HUDUMA

picha
HIZI NI KAZI ZA MAPAFU MWILINI

Makala hii itakwenda kukufundisha kazi 5 za maafu mwilimi. Wengi tunajuwa tu kuwa mapafu yanafanya kazi ya kupumuwa. ila si hivyo tu yapo mengi zaidi.
picha
HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYEPANDWA NA PRESHA

Presha ya kupanda hutokea pale kipimo kinaposoma zaidi ya 120/80mm Hg.
picha
HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYENG’ATWA NA NYUKI

Kung’atwa na nyuki kunaweza kukahitaji huduma ya kwanza kwa haraka kama mgonjwa ana aleji na nyuki.
picha
KWANINI MTU ALIE NG'ATWA NA NYOKA HAIRUHUSIWI KUMPA POMBE?

Swali languKwanini mtu alie ng'atwa na nyoka hairuhusiwi kumpa pombe?
picha
BINADAM AKIWA MWEUPE MIKONONI ATAKUWA NA UPUNGUFU WA VITAMIN GANI?

Natak kufaham kuwa binadam akiwa mweupe mikononi atakuwa na upungufu wa vitamin gani?
picha
HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYEKUNYWA SUMU

Maisha ya mtu yanaweza kuwa hatarini ama kupotea mara moja baada ya kunywa sumu.
picha
HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYEPANDWA NA PRESHA

Presha ya kupanda hutokea pale kipimo kinaposoma zaidi ya 120/80mm Hg.
picha
HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYENG’ATWA NA NYUKI

Kung’atwa na nyuki kunaweza kukahitaji huduma ya kwanza kwa haraka kama mgonjwa ana aleji na nyuki.
picha
HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYENG’ATWA NA NYOKA

Nyoka wapo katka makundi makuu mawili, kuna wenye sumu na wasio na sumu.
picha
HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYEPATWA NA KWIKWI

Kwikwi sio hatari sana kwa afya, lakini inaweza kuwa hatari zaidi kwa mu aliyefanyiwa upasuaji kwenye tumbo.
picha
HUDUMA YA KWANZA KWA MWENYE KIZUNGUZUNGU

Unapokuwa na kizunguzungu unashindwa kuudhibiti mwili wako, unaweza kuanguka kabisa.
picha
HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYEANGUKA KIFAFA

Kifafa kinaweza kumpata mtu muda wowte.
picha
HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYEPATA JOTO LA JUU ZAIDI (HEAT STROKE)

Hii ni hali inayotokea ambapo wili unakuwa na joto la juu sana tofauti na kawaida.
picha
HUDUMA YA KWANZA KWA MTU ANAYETOKWA NA DAMU YA PUA

Kama mtu anatokwa na damu za pua, basi juwa kuwa anahitaji huduma ya kwanza.
picha
HUDUMA YA KWANZA KWA MTU ALIYEZIMIA (CARDIOPULMONARYRESUSCITATION) AU CPR

Kuzimia ni hali ya kupoteza fahamu ambako kunaendana na kutokuhema.
picha
HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYEUNGUA

Kuungua kupo kwa aina nyingi.
picha
HUDUMA YA KWANZA KWA ALIKAZWA NA MISULI

Kukaza kwa misuli lunaweza kutokea muda wowote ila mara nyingi hutokea pindi mtu anapofanya mazoezi, amnapoogelea ama anapofanya kazi.
picha
TAMAA

33.
picha
VIAPO

20.
picha
NINI HUSABABISHA KIBOFU CHA MKOJO KUUMA NA BAADAE KUTOKA DAMU

Katika post hii utajifunza sababu zinazowezabkuorlekea kibofu kuuma upande mmoja
picha
NJIA ZA KUSHUSHA PRESHA

Post hii inakwenda kukujulisha njia za kushusha presha iliyopanda.
picha
JINSI YA KUJIKINGA NA U.T.I INAYIJIRUDIA RUDIA.

Endapo U.T.I inajirudiarudia baada yavkutibiwa inawezabkuwa ikakupa mawazo mengi. Katika post hii nitakufafanulia nini ufanye.
picha
SABABU ZA MICHUBUKO KWA WATOTO WANAOZALIWA

Post hii inahusu zaidi sababu za michubuko kwa watoto wanaozaliwa,ni sababu ambazo uweza kuchangia kuwepo kwa michubuko kwa watoto wanaozaliwa.
picha
FAHAMU KUHUSU MICHUBUKO KWA WATOTO WAKATI WA KUZALIWA

Post hii inahusu zaidi michubuko ambayo mara nyingi utokea kwa watoto wakati wa kuzaliwa,na mara nyingi uweza kupona baada ya masaa ishilini na manne au ndani ya masaa ishilini na manne.
picha
NNA SWALI MIMI NIMEFANYA ROMANCE NA MTU AMBAYE SIJAMPIMA KBSA SASA NAOGOPA ANAEZA KUWA MGONJWA NA MM NKAUPATA

Muulizaji anauliza he kula denda, ama kumbusu ama kufanya romance na muathirika was HIV na wewe uta ambukizwa?
picha
MAMBO YANAYOWEZA KUDHOOFISHA KINGA YA MWILI

Kinga ya mwili inapodhoofu mwili unakuwa hatarini kupata maradhi. Je unayajuwa mambo yanayodhoofisha kinga ysbmeili?
picha
JINSI YA KUTOA HUDUMA YA KWANZA KULINGANA NA TATIZO

Posti hii inahusu sana mambo ya huduma ya kwanza ambayo huduma ya kwanza inapatikana au inatolewa na mtu yeyote katika jamii .
picha
HATARI YA UZITO MKUBWA

Posti hii inahusu zaidi hatari zilizopo kwa mtu mwenye uzito mkubwa,kwa sababu ya kuwepo kwa uzito mkubwa na pia unene usio wa kawaida usababisha mtu kuwa na matatizo mbalimbali hasa saratani za kila sehemu kama tutakavyoona.
picha
DALILI ZA KUWEPO KWA KIZUNGU ZUNGU

Posti hii inahusu zaidi dalili za kuwepo kwa kizungu Zungu,ni Dalili ambazo Uweza kujionyesha kwa mtu ambaye ameshawahi kupatwa na tatizo la kizungu Zungu au hajawahi kupata dalili zenyewe ni kama ifuatavyo.
picha
FAHAMU KUHUSU KIZUNGUZUNGU

Posti hii inahusu zaidi tatizo la kizungu Zungu ni tatizo ambalo utokea kwa watu mbalimbali na kwa sababu tofauti tofauti na pengine mtu akipata kizungu sehemu mbaya anaweza kusababisha majeraha au pengine kupata ulemavu
picha
NJIA ZA KUPUNGUZA UZITO NA KITAMBI

Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kupunguza tatizo la kuwepo kwa uzito mkubwa pamoja na kitambi
picha
FAHAMU KUHUSU MADHARA YA UZITO MKUBWA

Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kwa mtu mwenye uzito mkubwa,kwa kawaida ili mtu aweze kuwa na uzito wa kawaida ni vizuri na kiafya kupima urefu ukilinganisha na uzito wa mtu.
picha
FAHAMU KUHUSU KAZI ZA INI.

Posti hii inahusu zaidi kazi za ini, kwa kawaida tunafahamu kwamba ini ni sehemu muhimu kwenye mwili wa binadamu kwa sababu ni.likikosa kufanya kazi yake maisha ya binadamu yanakuwa hatarini kwa sababu mbalimbali.
picha
MADHARA YA KUCHELEWA KUTIBU TATIZO LA KIAFYA

Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea endapo tatizo halijatibiwa.
picha
MADHARA YA CHAKULA KUTOSAGWA VIZURI TUMBONI.

Posti hii inahusu zaidi madhara ya chakula kushindwa kumengenywa vizuri tumboni, haya ni madhara ambayo utokea kwa sababu ya chakula kushindwa kumengenywa vizuri tumboni.
picha
ZIJUE SABABU ZA CHAKULA KUSHINDWA KUMENGENYWA KWENYE TUMBO.

Posti hii inahusu zaidi sababu mbalimbali za chakula kushindwa kumengenywa kwenye tumbo,ni sababu mbalimbali hasa za kiafya kama tutakavyoona hapo mbeleni
picha
VIPIMO VYA KUCHUNGUZA KAMA UNA ASIDI NYINGI TUMBONI

Posti hii inahusu zaidi vipimo vya kuchunguza kama una kiwango kikubwa cha asidi au tindikali tumboni
picha
ZIJUE FAIDA ZA MAJI YA UVUGUVUGU.

Posti hii inahusu zaidi faida za maji ya uvuguvugu, hasa hasa maji haya ni vizuri kabisa kuyatumia hasa wakati wa asubuhi na pia wakati tumbo likiwa halina kitu, kwa hiyo zifuatazo ni faida za maji ya uvuguvugu.
picha
ATHARI ZA MKOJO MWILINI.

Posti hii inahusu zaidi athari za mkojo mwilini, kwa kawaida tunafahamu kwamba mkojo ni matokeo ya mkusanyiko wa uchafu wa maji maji yanayokusanyika kutoka mwilini ikiwa mkojo umebaki mwilini usababisha madhara mbalimbali kama tutakavyoona.
picha
MADHARA YA KUTOTIBU UGONJWA WA HOMA YA UTU WA MGONGO

Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu homa ya uti wa mgongo, kwa kuwa ugonjwa huu mara nyingi uathiri sehemu za kwenye ubongo kuna madhara ambayo yanaweza kutokea endapo Ugonjwa huu haujatibiwa mapema.
picha
UMUHIMU WA KUTUMIA DAWA ZA KUJIKINGA NA MAAMBUKIZI YA UKIMWI

Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kutumia dawa za kujikinga na maambukizi ya ukimwi, ni faida ambazo upatikana kwa watu wanaodhani wameambukizwa na virus vya ukimwi na kuweza kujikinga.
picha
HATUA ZA KUFUATA BAADA YA KUHISI KUWA UMEAMBUKIZWA NA VIRUSI VYA HIV

Posti hii inahusu zaidi hatua za kufuata unapohisi umeambukizwa na virus vya ukimwi. Kwa sababu watu wengi wanakuwa na kiwewe anapohisi ameambukizwa na virus vya ukimwi kwa hiyo wanapaswa kufanya yafuatayo.
picha
HUDUMA KWA WATU WALIODHANI WAMEPATWA NA MAAMBUKIZI.

Posti hii inahusu zaidi huduma ambazo utolewa kwa watu wanaodhani wamepatwa na maambukizi ya virus vya ukimwi.
picha
HUDUMA KWA WATU WANAOISHI NA VIRUSI VYA UKIMWI

Posti hii inahusu zaidi huduma ambazo wagonjwa wanaoishi na maambukizi ya virus vya ukimwi wanaweza kupata, huduma hii utolewa hasa kwa wale ambao wamejitokeza kupima afya zao na kujua wazi hali zao na kwa wale wanaofatilia huduma hii wanaweza kuishi vizu
picha
ALIYEPALIWA NA MAJI HUDUMA YA KWANZA ITAKUWAJE

Vipi utamsaidia mti ambaye amepaliwa na maji? Post hii itakwenda kukifundisha jambo hili.
picha
MAMBO YANAYOATHIRI UPONYAJI WAS JERAHA.

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Mambo yanayoweza kuadhiri Uponyaji wa jeraha.jeraha huleta maumivu makali sana, vilevile Uvimbe, kutoa usaha. Pia jeraha hutofautiana katika kupona kwa mtu mzima na Mtoto.
picha
MADHARA YA KUNYWA POMBE KIAFYA

Posti hii inahusu zaidi madhara ya kunywa pombe kiafya, ni madhara ambayo utokea kwa watu wanaokumywa pombe kwa kupita kiasi kwa hiyo wanapaswa kupunguza kunywa pombe baada ya kujua madhara yake.
picha
MADHARA YA KUTUMIA DAWA BILA USHAURI WA KITAALAMU.

Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutumia dawa bila kupata ushauri wa kitaalamu, madhara haya uwapata watu wengi kwa sababu hawajui taratibu za matumizi ya dawa.
picha
IJUE RANGI ZA MKOJO NA MAANA ZAKE KATIKA MWILI KUHSU AFYA YAKO

Posti hii inahusu zaidi rangi za mkojo na maana zake, hizi ni rangi ambazo uweza kutokea kwenye mkojo wa mtu mmoja na mwingine kwa sababu ya kuwepo kwa magonjwa, chakula,na mtindo wa maisha inawezekana unywaji wa maji au kutokunywa maji.
picha
MBINU ZA KUONDOA SUMU MWILINI.

Posti hii inahusu zaidi mbinu za kuondoa sumu mwilini, ni njia mbalimbali ambazo uweza kutumika ili kuondoa sumu mwilini.
picha
UMUHIMU WA KUPUMZIKA KIAFYA

Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kupumzika kiafya, kwa kawaida mwili na viungo vingine vya mwili uweza kufanya kazi zaidi pale mtu akiwa amepumzika.
picha
MBINU ZA KUPONYESHA MAJERAHA

Posti hii inahusu zaidi mbinu ambazo hutumika kuponyesha majeraha kwa haraka zaidi,tunajua majereha utokana na kupona kwa vile vidonda au kupona kwa sehemu ambayo imekuwa na majeraha kwa hiyo ili kuponyesha majeraha hayo tunapaswa kufanya yafuatayo.
picha
DALILI ZA FIZI KUVUJA DAMU

Posti hii inaelezea kuhusiana na Ugonjwa wa fizi ambapo fizi huweza kuwa na maumivu, kuambukizwa, kuvuja damu kwenye fizi na Vidonda.
picha
UPUNGUFU WA DAMU WA MADINI (ANEMIA YA UPUNGUFU WA MADINI)

upungufu wa damu wa madini ya chuma ni aina ya kawaida ya upungufu wa damu hali ambayo damu haina chembe nyekundu za damu zenye afya. Seli nyekundu za damu hubeba oksijeni kwa tishu za mwili. Bila chuma cha kutosha, mwili wako hauwezi kutoa dutu ya k
picha
NAMNA UGONJWA WA HERPES SIMPLEX UNAVYOSAMBAA.

Posti hii inahusu zaidi namna ya ugonjwa wa vipele kwenye midomo na sehemu za siri unavyoweza kuenea kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine.
picha
HUDUMA KWA WENYE UGONJWA WA HERPES SIMPLEX AU VIPELE KWENYE MIDOMO NA SEHEMU ZA SIRI

Post hii inahusu zaidi tiba na huduma kwa wenye ugonjwa wa herpes simplex au vipele kwenye midomo na sehemu za siri.
picha
ZIJUWE ATHARI ZA VIDONDA MWILINI

Posti hii inahusu zaidi athari za kutotibu vidonda, hizi ni athari mbalimbali ambazo zinaweza kutokea ingawa kama vidonge haujatibiwa au vimetibiwa kwa kuchelewa.
picha
UVIMBE KWENYE UTANDU LAINI ULIOPO TUMBONI (PERITONITIS)

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Uvimbe au mashambulizi ya bacteria kwenye utando laini uliopo tumboni ambao kitaalamu hujulikana Kama peritonitis.
picha
NJIA ZA KUZUIA DAMU ISIENDELEE KUVUJA

Posti hii inahusu zaidi njia za kuzuia damu isiendelee kuvuja, ni njia ambazo utumika ikiwa kuna damu inavuja kwenye sehemu yoyote ya mwili,kwa hiyo tunaweza kutumia njia hizi ili kuepuka kuendelea kuvuja kwa damu.
picha
SABABU ZA ZINAZOSABABISHA KUWEPO KWA VIDONDA

Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwepo kwa vidonda, kwa sababu tunaona vidonda vinashambulia sehemu mbalimbali za mwili ila tunakuwa hatuna sababu kwa hiyo zifuatazo ni sababu za kuwepo kwa vidonda.
picha
UTAJUWAJE KAMA KIDONDA KUPONA

Posti hii inahusu zaidi juu ya kuhakiki kama kidonda kimepona kwa mgonjwa mwenye vidonda, kwanza kabisa tunajua kuwa vidonda uwanyima Watu raha na pengine kuwafanya wakate tamaa kama wapo hospitalini kwa hiyo tunapaswa kutumia njia zifuatazo ili kuweza ku
picha
MSAADA KWA WENYE TONSILS

Posti hii inahusu zaidi msaada kwa wenye tonsils, kwa wale wenye tonsils wanapaswa kufanya yafuatayo ili kuweza kupambana na ugonjwa huu.
picha
MAUMIVU YA KIFUA YANAYOSABABISHWA NA KUPUNGUA KWA MTIRIRIKO WA DAMU KWENYE MOYO.

 Maumivu ya kifua yanayosababishwa na kupungua kwa mtiririko wa damu kwenye misuli ya moyo, kitaalamu huitwa Angina ni dalili ya Ugonjwa wa ateri ya Coronary. Ugonjwa huu kawaida hufafanuliwa kama kufinya, shinikizo, uzito, kubana au maumivu kwenye
picha
MATOKEO YA MAUMIVU MAKALI.

Posti hii inahusu zaidi matokeo ya maumivu makali , kuna wakati mwingine mgonjwa anapata maumivu makali ya viungo na dawa mbalimbali uweza kutolewa kwa mgonjwa huyo lakini matokeo yake huwa ni kuendelea kwa maumivu kwa hiyo yafuatayo ni matokeo ya maumivu
picha
AINA MBALIMBALI ZA MAUMIVU YA MWILI.

Posti hii inahusu zaidi aina mbalimbali ya maumivu ya mwili, Maumivu ya mwili utokea kwa aina mbalimbali kama ifuatavyo.
picha
SABABU ZA MAUMIVU YA MWILI.

Posti hii inahusu zaidi sababu ya kuwepo kwa maumivu ya mwili kwa sababu tunaweza kuhisi maumivu kwenye sehemu za mwili kwa sababu mbalimbali kama tutakavyoona hapo chini
picha
NAMNA YA KUMWOSHA MGONJWA VIDONDA

Posti hii inahusu zaidi njia za kutumia unapotaka kumwosha Mgonjwa vidonda, ni njia muhimu ambazo ni lazima kuzipitia unapotaka kumwosha Mgonjwa vidonda.
picha
VIFAA VYA KUTUMIA WAKATI WA KUSAFISHA VIDONDA.

Posti hii inahusu zaidi vifaa vya kutumia wakati wa kusafisha vidonda, ni vifaa muhimu ambavyo mara nyingi kutwa hospitalini.
picha
AINA ZA VIDONDA.

Posti hii inahusu zaidi aina kuu za vidonda,kuna aina kuu tatu za vidonda ambapo kila aina utumiwa kwa njia yake kama tutakavyoona hapo chini.
picha
FAIDA ZA KUSAFISHA VIDONDA.

Posti hii inahusu zaidi faida za kusafisha vidonda, ni faida ambazo Mgonjwa mwenye vidonge uzipata kama ifuatavyo.
picha
NAMNA YA KUMLISHA MGONJWA AMBAYE HAWEZI KUJILISHA MWENYEWE NI

Posti hii inahusu njia za kumlisha Mgonjwa ambaye hawezi kujilisha wenyewe, hali hii uwa inawapata wagonjwa wale ambao hawawezi kujilisha wenyewe tunaweza kuwalisha kwa njia zifuatazo.
picha
SABABU ZA KUMWOSHA MGONJWA MWILI MZIMA.

Posti hii inahusu zaidi sababu za kumwosha Mgonjwa mwili mzima,ni sababu ambazo umsaidie mgonjwa ili aweze kupata nafuu mapema na kumsaidia kama tutakavyoona hapo chini
picha
NAMNA YA KUMFANYIA USAFI MGONJWA KWA MWILI MZIMA.

Posti hii inahusu namna ya kumfanyia mgonjwa usafi mwili mzima, ni njia ambazo utumika kumfanyia mgonjwa usafi mwili mzima au kumwosha Mgonjwa hasa wale walio mahututi na hawawezi kuamka kitandani.
picha
MALENGO YA KUMSAFISHA MGONJWA NYWELE.

Posti hii inahusu zaidi malengo ya kumsafisha mgonjwa nywele zake, ni sababu ambazo upelekea kumsafisha mgonjwa nywele kama tutakavyoona hapo chini.
picha
NAMNA YA KUTUNZA NYWELE ZA MGONJWA

Posti hii inahusu zaidi namna ya kutunza nywele za mgonjwa hasa kwa wagonjwa mahututi na wale wasiojiweza tunafanya hivyo ili tuweze kuwatoa kwenye hali ya usafi.
picha
SABABU ZA KUMSAFISHA MGONJWA KINYWA

Posti hii inahusu zaidi sababu za kumsafisha mgonjwa kinywa, Mgonjwa akiwa anaumwa na pia anakula chakula ni lazima asafishwe kinywa Ili kuweza kuepuka madhara mengine yanayoweza kujitokeza kwa sababu ya kuwepo kwa uchafu kinywani.
picha
NAMNA YA KUMSAFISHA MGONJWA KINYWA

Posti hii inahusu namna ya kumsafisha mgonjwa kinywa,ni njia unazopaswa kufuata wakati unamsafisha mgonjwa kinywa hasa wale walio mahututi.
picha
IMANI POTOFU KUHUSU KIFUA KIKUU

Posti hii inahusu zaidi imani potofu waliyonayo Watu kuhusu ugonjwa wa kifua kikuu, hizi ni imani ambazo uwepo kwenye jamii na pengine uweza kuaminika lakini si za ukweli.
picha
NAMNA YA KUJIKINGA NA KIFUA KIKUU

Posti hii inahusu zaidi namna ya kuzuia au kujikinga na kifua kikuu, hizi ni njia ambazo utumika ili kujikinga na kifua kikuu
picha
MGAWANYO WA MATIBABU YA KIFUA KIKUU.

Posti hii inahusu zaidi mgawanyo wa matibabu ya kifua kikuu, tunajua kubwa kifua kikuu ni Ugonjwa ambao utumia mda mrefu kidogo katika matibabu kwa hiyo mgawanyiko wake uko kwenye sehemu mbili muhimu kama tutajavyoona
picha
MALENGO YA KUTIBU UKOMA

Posti hii inahusu zaidi malengo ya kutibu ukoma, ni malengo ambayo yamewekwa na wizara ya afya ili kuweza kutokomeza ukoma kwenye jamii
picha
FAIDA ZA CHANJO

Posti hii inahusu zaidi faida ya chanjo, tunajua wazi kuwa chanjo Ina faida kubwa kwenye mwili wa binadamu na vile vile kwenye jamii kama tutakavyoona hapo chini.
picha
RATIBA YA CHANJO YA KIFUA KIKUU

Posti hii inahusu zaidi ratiba ya chanjo ya kuzuia kifua kikuu, hiii ni ratiba ambayo chanjo hii utolewa na ushauri mbalimbali utolewa ili kuweza kufanikisha kazi ya chanjo hii
picha
RATIBA YA CHANJO YA KUZUIA NIMONIA

Posti hii inahusu zaidi ratiba ya chanjo ya kuzuia Nimonia, hii ni chanjo inayozuia hasa hasa Magonjwa ya mfumo wa hewa kwa hiyo nayo upewa watoto wenye umri chini ya miaka mitano.
picha
RATIBA YA CHANJO YA KUZUIA KUHARISHA

Posti hii inahusu zaidi ratiba ya chanjo ya kuzuia kuharisha hii ni chanjo wanayopewa watoto wadogo chini ya miaka mitano kwa lengo la kuzuia kuharisha chanjo hiyo kwa kitaalamu huitwa Rotarix.
picha
RATIBA YA CHANJO YA PENTAVALENTI

Posti hii inahusu zaidi chanjo ya pentavalent ni aina ya chanjo ambayo inazuia Magonjwa matano ambayo ni kifadulo, pepopunda, homa ya ini na magonjwa yanayohusiana na upumuaji.
picha
RATIBA YA CHANJO YA POLIO

Posti hii inahusu zaidi namna chanjo ya polio inavyotolewa na ratiba zake yaani kuanzia siku ya kwanza mpaka pale mtoto anapomaliza chanjo hii kwa hiyo tuone ratiba ya chanjo ya polio.
picha
NAMNA YA KUCHOMA CHANJO

Posti hii inahusu zaidi namna ya kuchoma chanjo, ni njia ambazo utumika kutoa chanjo kwa watoto na watu wazima kwa utaratibu uliowekwa.
picha
ZIJUE SEHEMU ZA MWILI ZINAZOCHOMWA CHANJO.

Posti hii inahusu zaidi sehemu ambazo zinapaswa kudungwa chanjo, hizi ni sehemu zile zilizopendekezwa kwa ajili ya kuchoma chanjo kwa kadiri ya kazi ya chanjo.
picha
NJIA ZA KUINGIZA CHANJO MWILINI

Posti hii inahusu njia mbalimbali ambazo utumika kupitisha chanjo, njia hizo utegemea na kazi ya chanjo kama ifuatavyo.
picha
CHANJO ZINAZOTOLEWA NCHINI TANZANIA

Posti hii inahusu zaidi chanjo ambazo utolewa nchini Tanzania, ni chanjo ambazo uzuia Magonjwa ambayo yako katika sehemu mbalimbali za nchi.
picha
AMBAO HAWAPASWI KUPATA CHANJO

Posti hii inahusu zaidi watu ambao hawapaswi kupewa chanjo, hawa ni wale ambao wana hali tofauti na ikitokea wakapata chanjo wanaweza kupata madhara badala ya kuwasaidia.
picha
VISABABISHI VYA MAGONJWA.

Posti huu inahusu zaidi visababishi mbalimbali vya magonjwa, tunajua wazi kuwa ugonjwa ni hali ya kutokuwa kawaida kwa ogani mbalimbali kwenye mwili na kusababisha mwili kushindwa kufanya kazi zake vizuri.
picha
UMUHIMU WA KUPIMA VIRUS VYA UKIMWI KWA WAJAWAZITO NA WANAONYONYESHA

Post hii inahusu umuhimu wa kupima virus vya ukimwi kwa mama wajawazito na wanaonyonyesha. Ni hatua ya kupima Mama akiwa mjamzito na wakati wa kunyonyesha ili kuepuka hatari ya kumwambikiza mtoto
picha
MAMBO YA KUANGALIA KWA MTU ALIYEPOTEZA FAHAMU

Posti hii inahusu zaidi mambo ya kuangalia kwa mtu aliyepoteza fahamu, kama mtu amepoteza fahamu Kuna mambo muhimu yanapaswa kuangaliwa kwa makini kama ifuayavyo.
picha
ZIJUE SABABU ZA KUPOTEZA FAHAMU.

Posti hii inahusu zaidi sababu za kupoteza fahamu, ni sababu ambazo umfanya mtu kupoteza fahamu kwa sababu mbalimbali kama ifuayavyo.
picha
HUDUMA YA KANZA KWA MGONJWA MWENYE JERAHA LA KAWAIDA KWENYE UBONGO

Posti hii inahusu zaidi huduma ya kwanza ya mgonjwa mwenye jeraha la kawaida kwenye ubongo, ni Tiba ambayo utolewa kulingana na dalili za jeraha la kawaida kwenye ubongo kama ifuayavyo.
picha
HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYE UNGUA NA MOTO.

Posti hii inazungumzia kuhusiana na mbinu za kutoa huduma ya kwanza kwa aliyeungua na Moto.
picha
HUDUMA YA KWANZA KWA MWENYE UCHAFU KWENYE SIKIO.

Posti hii inaelezea kuhusiana na mbinu za kutoa huduma ya kwanza kqa mgonjwa aliyeingiliwa na kitu au uchafu kwenye sikio.
picha
MBINU ZA KUTOA HUDUMA YA KWANZA KWA WAGONJWA WALIOINGILIWA NA UCHAFU PUANI.(FOREIGN BODY).

Posti hii inaelezea kuhusiana na dalili na mbinu za kutoa huduma ya kwanza kwa mgonjwa alieye ingiwa na uchafu puani (foreign body)
picha
MBINU ZA KUTOA HUDUMA YA KWANZA KWA WAGONJWA WALIO NA MAJERAHA YA MACHO.

Posti hii inaelezea kuhusiana na mbinu za kutoa huduma ya kwanza kwa walio na majeraha ya macho kutokana na aina mbalimbali ya jeraha
picha
IMANI POTOFU JUU YA CHANJO.

Post hii inahusu zaidi Imani potofu juu ya chanjo kwa watoto na akina Mama, ni baadhi ya Imani waliyonayo watu juu ya chanjo.
picha
KAZI YA CHANJO YA KIFUA KIKUU

Posti hii inahusu kazi ya chanjo ya kifua kikuu kwa kitaalamu huitwa BCG. Ni chanjo ambayo uzuia kifua kikuu na ukoma.
picha
KAZI YA CHANJO YA SURUA

Posti hii inahusu zaidi kazi ya chanjo ya Surua kwa watoto, ni Aina ya chanjo ambayo utolewa kwa watoto na kufanya kazi mbalimbali mwilini ambazo ni kumkinga mtoto asipatwe na magonjwa.
picha
ZIJUE KAZI ZA CHANJO YA DTP AU DPT (DONDA KOO,PEPOPUNDA, NA KIFADURO))

Posti hii inahusu zaidi kazi ya chanjo ya DTP au DPT ambayo Inazuia magonjwa ya Donda Koo, Pepopunda na kifaduro.
picha
KAZI ZA CHANJO YA POLIO

Posti hii inahusu zaidi kazi ya chanjo za polio na kazi zake,hii ni chanjo ambayo unazuia maambukizi ya Virusi vinavyosababisha polio.
picha
CHOO KISICHOKUWA CHA KAWAIDA

Posti hii inahusu zaidi Aina ya choo kisichokuwa cha kawaida, ni dalili za choo ambacho siyo Cha kawaida, Ina maana ukiona dalili za choo Cha Aina hii ni vizuri kwenda hospitalini Ili kupata matibabu.
picha
MKOJO WA KAWAIDA

Posti hii inahusu zaidi mkojo wa kawaida kwa kila mwanadamu na unavyopaswakuwa, mkojo wa kawaida kwa binadamu huwa na sifa zifuatazo.
picha
ZIJUE DALILI ZA UPUNGUFU WA MAJI MWILINI

Posti hii inaelezea kuhusiana na upungufu wa maji mwilini
picha
NINI HUSABABISHA KIZUNGUZUNGU?

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Mambo mbalimbali ambayo husababisha kizunguzungu.
picha
MKOJO USIO WA KAWAIDA HUWA NA VITU VIFUATAVYO.

Posti hii inahusu zaidi Aina ya mkojo usiokuwaa wa kawaida uwa na vitu vifuatavyo, ukiona dalili kama hizo wahi mapema hospitalini Ili upatiwe huduma.
picha
IJUE RANGI YA MKOJO ISIYO YA KAWAIDA

Post hii inahusu zaidi rangi isiyo ya kawaida kwenye mkojo, kawaida mkojo huwa na rangi ya kahawia Ila ukiona rangi zifuatazo Kuna shida kwenye mkojo.
picha
KIASI CHA MKOJO KISICHOKUWA CHA KAWAIDA.

Hii posti inahusu zaidi sifa za mkojo usio wa kawaida,ukiona mkojo wa namna hii unapaswa kwenda hospitalini kwa matibabu au vipimo vya zaidi.
picha
MAMBO YANAYOSABABISHA KUPONA KWA VIDONDA.

Posti hii inahusu mambo yanayochangia katika kupona kwa kidonda, ni mambo ambayo yapo kwa mgonjwa mwenyewe kama ifuayavyo.
picha
YAJUE MALENGO YA KUSAFISHA VIDONDA.

Posti hii inahusu zaidi malengo ya kusafisha vidonda, kwa sababu Kuna watu wengine huwa wanajiuliza kwa nini nisafishe kidonda hospitalini au kwenye kituo chochote Cha afya, yafuatayo ni majibu ya kwa Nini nisafishe kidonda.
picha
AINA ZA VIDONDA

Posti hii inahusu zaidi Aina mbalimbali za vidonda kwenye mwili wa binadamu, ni vidonda ambavyo utokea kwenye mwili wa binadamu kwa Aina tofauti.
picha
AINA KUU TATU ZA MVUNJIKO WA VIUNO VYA MWILINI NA MIFUPA

Posti hii inahusu zaidi Aina kuu tatu za mvunjiko ni Aina za kuvunjika ambazo uwakumba watu mbalimbali na watu ushindwa kutambua hizi Aina tatu za mvunjiko, zifuatazo ni Aina za mvunjiko.
picha
JE, UTAMSAIDIA VIPI MTU ALIYEUMWA NA NYUKI?

Posti hii inazungumzia kuhusiana na kumsaidia mwenye aliyeumwa na nyuki.nyuki na wadudu ambao wakikushambulia Sana na ukikosa msaada unaweza kufa au kuwa katika Hali mbaya.
picha
JIFUNZE JINSI YA KUMSAIDIA MWENYE KIFAFA

Kifafa hakiambukizi na ugonjwa wa ubongo lakini kifafa pia hakiathiri akili au ubongo Ila kikiwa kifafa Cha kudumu na Cha nguvu ndio huweza kuadhiri. Pia Kuna kifafa Cha mimba na kifafa Cha kawaida.kifafa Cha mimba ndio kinahatari Sana kuliko Cha Kawaid
picha
HUDUMA YA KWANZA KWA MWENYE JERAHA LINALOTOA DAMU

Posti inahusu huduma ya kwanza kwa mwenye jeraha linalotoa damu.huduma ya kwanza Ni kumsaidia mtu alie pata jeraha au ajali kabla hajamwona dactari au kufika hospitalinia.
picha
NAMNA YA KUZUIA UGONJWA WA KIPINDUPINDU,

Post hii inahusu zaidi ugonjwa wa kipindupindu ni ugonjwa unaosababishwa na bakteria kwa kitaalamu huitwa vibrio cholera.
picha
ZIJUE SABABU ZA KUPUNGUKIWA DAMU MWILINI

Posti hii inahusu zaidi tatizo la kupungukiwa damu mwilini, ni ugonjwa unaotokana sana hasa kwa watoto wadogo chini ya miaka mitano ingawa na kwa watu wazima.
picha
IMANI POTOFU JUU YA UGONJWA WA UKIMWI.

Posti hii inahusu zaidi imani potofu juu ya ugonjwa wa Ukimwi,ni Imani walizonazo watu wengi kuhusiana na ugonjwa wa Ukimwi.
picha
HUWEZI KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAMBO YAFUATAYO

Posti hii inahusu zaidi au inapinga Imani potofu ambayo utokea kwenye jamii kwamba unaweza kuambukizwa Ukimwi kwa vitu ambavyo haviusiani na namna mtu anavyoweza kuambukizwa Ukimwi,Ila mapendekezo kuwa watu wanapaswa kujua kuwa huwezi kuambukizwa Ukimwi k
picha
NAMNA YA KUMSAIDIA MTOTO MWENYE DEGEDEGE

Degedege ni ugonjwa unaoshambulia sana watoto chini ya miaka mitano,na uwaletea matatizo mengi pamoja na kuwepo kwa ulemavu na vifo vingi vinavyosababishwa na ugonjwa huu.
picha
ZIJUE HASARA ZA MAGONJWA YA NGONO

Posti hii inahusu zaidi hasara za magonjwa ya ngono, ni magonjwa yanayoambukizwa kwa kujamiiana bila kutumia kinga.
picha
ATHARI YA KUTOTIBU MAAMBUKIZI YA KWENYE KIBOFU CHA MKOJO

Post hii inahusu zaidi athari za kutotibu maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo, nimatazito yanayoweza kutokea iwapo ugonjwa huu hautatibika.
picha
HUDUMA KWA MGONJWA MWENYE MAAMBUKIZI KWENYE KIBOFU CHA MKOJO

Post hii inahusu zaidi huduma Kwa mgonjwa mwenye maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo,ni huduma maalumu ya kumsaidia mgonjwa aliyepata maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo.
picha
DALILI ZA SHAMBULIO LA HOFU

Shambulio la hofu ni tukio la ghafla la hofu kali ambayo husababisha athari kali za kimwili wakati hakuna hatari halisi au sababu inayoonekana. Mashambulizi ya hofu yanaweza kuwa ya kutisha sana. Mashambulizi ya hofu yanapotokea, unaweza kufikiri kwamba
picha
DALILI ZA SUMU YA POMBE

hatari matokeo ya kunywa kiasi kikubwa cha pombe kwa muda mfupi. Kunywa pombe haraka kupita kiasi kunaweza kuathiri kupumua kwako, mapigo ya moyo, halijoto ya mwili na kunaweza kusababisha Coma na kifo.
picha
SABABU ZINAZOPELEKEA MAUMIVU YA SHINGO.

Maumivu ya shingo ni malalamiko ya kawaida. Misuli ya shingo inaweza kuchujwa kutokana na mkao mbaya - iwe inaegemea kwenye kompyuta yako kazini au kuwinda benchi yako ya kazi nyumbani.
picha
MAMBO YANAYOCHANGIA ILI DAWA KUINGIA KWENYE DAMU VIZURI

Post hii inahusu zaidi mambo yanayochangia Ili dawa iingie vizuri kwenye damu, na mambo yanayoweza kusababisha dawa kuingia au kutoingia vizuri kwenye damu.
picha
KAZI ZA WAHUDUMU WA AFYA WAKATI WA KUTOA DAWA KWA WAGOJWA

Hii post inahusu zaidi kazi za wahudumu wa afya wakati wa kutoa dawa, ni kanuni zinazopaswa kufuata wakati wa kutoa dawa kwa wagojwa.
picha
MADHARA YA KUTOTIBU MAGONJWA YA VIDONDA VYA TUMBO

Post hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu magonjwa ya vidonda vya tumbo, ni hatari inayotokea kwa mtu ambaye haujatibiwa vidonda vya tumbo.
picha
NAMNA YA KUWASAIDIA WAGONJWA WA VIDONDA VYA TUMBO

Post hii inahusu zaidi namna ya kuwasaidia wagonjwa wa vidonda vya tumbo, ni njia ya kuwasaidia wagonjwa waliopata madonda ya tumbo
picha
MATOKEO YA MAAMBUKIZI KWENYE MILIJA NA OVARI

Posti hii inahusu zaidi matokeo ya maambukizi kwenye milija na ovari, ni matokeo apatayo mtu mwenye maambukizi kwenye milija na ovari.
picha
NAMNA YA KUMSAIDIA MGONJWA ALIYE NA MAAMBUKIZI KWENYE MILIJA NA OVARI

Posti hii inahusu zaidi namna ya kuwasaidia wagonjwa waliopata maambukizi kwenye milija na ovari, ni wagonjwa waliopata maambukizi kwenye milija na ovari.
picha
NAMNA YA KUZUIA MAAMBUKIZI KWENYE MILIJA NA OVARI

Posti hii inahusu zaidi namna ya kuzuia maambukizi kwenye milija na ovari, ni njia ambazo usaidia kuzuia maambukizi kwenye milija na ovari
picha
MBINU ZA KUPUNGUZA MAGONJWA YANAYOHUSIANA NA FIGO

Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa figo. Ni ugonjwa unaotokana pale figo linaposhindwa kufanya kazi, tuone mbinu za kufanya Ili kuepuka na tatizo hilo.
picha
ZIJUE KAZI ZA FIGO MWILINI

Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa Figo mwilini, Figo ni ogani ambayo kazi yake ni kuchuja sumu mwilini.
picha
MZUNGUKO WA MWEZI KWA MWANAMKE

Posti hii inahusu zaidi mzunguko wa mwezi kwa mwanamke, ni mzunguko ambao huchukua siku ishilini na nane kwa kawaida Ila lla ubadilika kulingana na mtu, Ila ngoja tuangalie siku ishilini na nane tu.
picha
UMUHIMU WA UTERUSI

Post hii inahusu zaidi umuhimu wa uterusi, ni mfuko unayosaidia kumtunza mtoto akiwa tumboni mwa mama yake.
picha
ZIJUE KAZI ZA UKE (VAGINA)

Uke ni sehemu ambayo imo ndani ya mwili wa mwanamke, sehemu hii ufanya kazi mbalimbali hasa wakati wa kujamiiana, kubarehe na kujifungua kwa mama.
picha
JINSI MOYO UNAVYOSUKUMA DAMU

Post hii inahusu zaidi jinsi moyo unavyosukuma damu, moyo ni ogani ambayo usukuma damu kwenye sehemu mbalimbali za mwili.
picha
DALILI ZA UNYANYASAJI WA KIMWILI

Unyanyasaji wa kimwili. Unyanyasaji wa watoto kimwili hutokea wakati mtoto amejeruhiwa kimwili kimakusudi. Unyanyasaji wa kijinsia. Unyanyasaji wa watoto kingono ni shughuli yoyote ya kingono na mtoto, kama vile kumpapasa, kushikana mdomo na sehemu
picha
NAMNA YA KUSAIDIA VIJANA WAKATI WA KUBAREHE

Post hii inahusu zaidi namna ya kuwasaidia vijana wakati wa kubarehe, ni njia za kuhakikisha kuwa vijana wanakuwa na mwelekeo ,
picha
MABADILIKO KWA WAVULANA WAKATI WA KUBAREHE

Post hii inahusu zaidi mabadiliko kwa wavulana wakati wa kubarehe, ni kipindi ambacho ni kutoka utotoni kwendea ujana.
picha
MABADILIKO YANAYOTOKEA WAKATI WA KUBAREHE KWA WSICHANA

Post hii inahusu zaidi mabadiliko katika umri wa kubarehe kwa wsichana, ni kipindi ambacho watoto huelekea ujana, utokea Kati ya miaka kuanzia Kumi na kuendelea.
picha
ZIJUE KAZI ZA OVARI

Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa ovari kwenye mwili wa mwanamke. ovari ni sehemu ambapo mayai ya mwanamke hutunza, kwa hiyo kila mwanamke huwa na ovari ambayo husaidia kutunza mayai.
picha
KAZI ZA MIFUPA MWILINJ

Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa mifupa mwilini, mifupa ni mojawapo ya tushy zilizounganika na ufanya kazi kubwa kwenye mwili.
picha
AINA ZA MISHIPA INAYOSAFILISHA DAMU MWILNI

Post hii inahusu zaidi mishipa inayosafilisha damu mwilni, ni Aina tatu za mishipa ambazo usafilisha damu kutoka sehemu Moja kwenda nyingine
picha
MFUNO WA DAMU NA MAKUNDI MANNE YA DAMU NA ASILI YAKE NANI ANAYEPASA KUTOA DAMU?

Posti hii inakwenda kukujuza kuhusu makundi manne ya damu, asili yake, maana ya antijeni na antibody, pia utajifunza kuhusu mfumo wa Rh. Mwisho utajifunza watu wanaopasa kutoa damu.
picha
MAKUNDI MANNE YA DAMU NA JINSI YANAVYOTUMIKA

Post hii inahusu zaidi umuhimu wa makundi manne ya damu na jinsi yanavyotumika, Ni magroup manne ya damu ambayo husaidia kuongeza damu kwa mtu ambaye amepungukiwa damu
picha
FAIDA ZA DAMU KWENYE MWILI

Post hii inahusu zaidi umuhimu wa damu mwilini, Damu ni tisu pekee yenye majimaji ambayo hufanya kazi mbalimbali katika mwili wa binadamu.
picha
UMUHIMU WA ASIDI ILIYOKWENYE TUMBO( KWA KITAALAMU HUITWA HCL)

Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa asidi iliyo kwenye tumbo kwa kitaalamu huitwa HCL, ni asidi inayofanya kazi nyingi hasa wakati wa kumengenya chakula.
picha
ZIJUE KAZI ZA INI

Post hii inahusu zaidi kazi za ini, ni kiungo muhimu kwenye mwili ambacho Kina umuhimu sana, bila ini maisha ya mwanadamu yanaweza kuishia pabaya
picha
FAIDA ZA TUMBO KATIKA MWILI WA BINADAMU

Posti hii inahusu zaidi faida za tumbo,tumbo ni sehemu ya mwili ambayo ushughilika na kutunza chakula,
picha
ZIJUE FAIDA ZA MATE MDOMONI

Post hii inahusu zaidi umuhimu wa mate mdomoni, mate ni majimaji ambayo hukaa mdomoni na husaidia katika kazi mbalimbali mdomoni.
picha
UMUHIMU WA PUA KAMA MOJAWAPO YA MLANGO WA FAHAMU

Post hii inahusu zaidi umuhimu wa pua kama mojawapo ya mlango wa fahamu.pua ni mlango wa fahamu ambao uhusika na kupumua.
picha
FAIDA ZA SELI

Posti hii inahusu zaidi faida za seli. Seli ni chembechembe hai za mwili ambazo hufanya kazi mbalimbali katika mwili wa binadamu.
picha
NAMNA YA KUTUMIA VIDONGE VYA ARV

Post hii inahusu zaidi matumizi ya vidonge vya ARV, ni vidonge vinavyotumiwa na wagonjwa waliopata ugonjwa wa Ukimwi
picha
NJIA ZA KUTUMIA ILI KUEPUKA TATIZO LA KUPUNGUA KWA DAMU

Post hii inahusu zaidi ugonjwa wa tatizo na kuishiwa damu, kuishiwa damu ni tatizo linolowakumba watu wengi na kusababisha matatizo mengi
picha
NJIA JUU ZINAZOSABABISHA KUENEA KWA UGONJWA WA UKIMWI

Post hii inahusu zaidi njia za kuenea kwa ugonjwa wa Ukimwi. Ukimwi ni upungufu wa kinga mwilini.
picha
JINSI MIMBA INAVYOTUNGWA MPAKA MTOTO KUINGIA KWENYE MFUKO WA UZAZI

Post hii inahusu zaidi namna mimba inavyotungwa mpaka mtoto kuingia kwenye mfuko wa uzazi, mimba kutungwa ni kitendo ambapo mbegu za kiume kuungana na yai la kike na kutengeneza zygote.
picha
AJALI YA JICHO

Post hii inahusu zaidi ajali ya jicho na visababishi vyake, ajali ya jicho ni pale jicho linavyoingiliwa na uchafu na vitu vingine ambavyo havistahili kuwa kwenye jicho
picha
NJIA ZA KUFUATA UNAPOHUDUMIA WATU WALIOPATA AJALI

Post hii inahusu zaidi namna ya kutoa huduma ya kwanza kwa watu waliopata ajali. Ajali ni tukio lisilotarajiwa ambalo kinaweza kumkuta mtu yeyote, tunapotoa huduma ya kwanza tnazingatia rangi ambazo huwakilisha jinsi watu walivyoumia.
picha
HUDUMA YA KWANZA KWA MTU ALIYEKULA SUMU

Post hii inahusu zaidi kutoa huduma ya kwanza kwa mtu aliyekula chakula chenye sumu, kula sumu ni kitendo Cha kula kitu chochote kama dawa,pombe, kemikali na chakula kichafu.
picha
VIWANGO VITATU VYA KUUNGUA.

Posti hii inahusu zaidi viwango vitatu vya kuungua. Ili tuweze kujua mtu ameunguaje Kuna viwango vitatu vya kujua kiasi na namna mtu alivyoungua
picha
AINA ZA KUUNGUA

Post hii inahusu Aina za kuungua, kuungua ni Hali ya kubabuka kwa ngozi ya mwili na kusababisha madhara mbalimbali
picha
MADHARA YA ULEVI

Poshi hii inahusu madhara ya ulevi.Utegemezi wa pombe kwa kawaida humaanisha kuwa mtu anatumia kiasi kikubwa cha pombe na kuna masuala kuhusu kupoteza udhibiti.
picha
HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYEUNGUA MOTO

Post hii inahusu namna ya kutoa huduma ya kwanza kwa mtu aliyeungua moto, kuingia moto ni kitendo Cha kubabuka ngozi ya juu inaweza kuwa kwa kemikali,umeme na just,
picha
HUDUMA YA KWANZA KWA MTU ALIYESHAMBULIWA NA MOYO NA KUSHINDWA KUPUMUA

Kushambuliwa kwa moyo na kupumua ni kitendo Cha moyo kusimama ghafla, Hali hii unapaswa kutolewa huduma ya kwanza Ili moyo ufanye kazi tena,
picha
KUMSAIDIA MTU ALIYEINGIWA NA UCHAFU AU KITU CHOCHOTE MACHONI

Posti hii inahusu hasa jinsi uchafu, wadudu na vitu vingine vinavyoweza kuingia machoni.macho ni mojawapo ya milango mitano ya fahamu ambapo kazi yake ni kuona.
picha
HUDUMA YA KWANZA KWA MTU ALIYENG,AREA NA WADUDU

Posti hii inahusu zaidi huduma ya kwanza kwa mtu aliyengatwa na wadudu. Wadudu ni viumbe vidogo ambavyo hukaa sehemu mbalimbali kama vile kwenye miti na sehemu kama hizo
picha
NAMNA YA KUMHUDUMIA MTU ALIYEINGONGWA NA NYOKA

Posti hii inahusu njia na namna ya kumhudumia aliyeingiwa na nyoka. Nyoka ni kiumbe ambacho Kina sumu kali na mtu akifinywa na nyoka asipohudumiwa anaweza kupata ulemavu au kupoteza maisha
picha
HUDUMA YA KWANZA KWA MTU ALIYEINGIWA NA UCHAFU SIKIONI

Post hii inahusu huduma ya kwanza kwa mtu aliyeingiwa na uchafu au kitu chochote sikioni. Sikio ni mojawapo ya milango ya fahamu ambapo hutumika kusikia, Kuna wakati vitu uingia ndani yake na kuleta madhara
picha
HUDUMA YA KWANZA KWA MGONJWA ALIYEPATA AJALI YA KICHWA

Ajali ya kichwa na ajali inayotolewa kwenye sehemu mbalimbali za kichwa, ambavyo husababishwa madhara kwa aliyepata ajali hiyo
picha
MAMBO YA KUZINGATIA UNAPOKUWA UNATOA HUDUMA YA KWANZA

Huduma ya kwanza ni huduma inayotolewa kwa mtu yeyote aliyepata ajali au mgonjwa yeyote kabla hajapelekwa hospitalini
picha
NAMNA YA KUTOA HUDUMA YA KWANZA

Huduma ya kwanza ni huduma anayopewa mgonjwa au mtu yeyote aliyepata ajali kabla ya kumpeleka hospitalini
picha
JIFUNZE KUHUSU MSUKUMO WA DAMU KWA KITAALAMU HUITWA PRESSURE

Kupanda kwa msukumo wa damu ni ktendo ambapo moyo husukuma damu kwa nguvu kuliko kawaida ambapo hupelekea matatizo mengi kwenye mwili
picha
HUDUMA KWA MTOTO MDOGO ANAYEUMWA

Mtoto mdogo ni mtoto chini ya miaka mitano, yaan kuanzia pale anapozaliwa mpaka anapafikisha miaka mitano
picha
VIPI UTAEPUKA MAUMIVU YA KICHWA YA MARA KWA MARA?

maumivu ya kichwa ni moja ya dalili za kiafya ambazo huashiria hali isiyo ya kawaida. hata hivyo maumivu ya kichwa yanaweza kutokea hata kama sio mgonjwa. Hapa nitakuletea sababu zinazopelekea kuumwa na kichwa mara kwa mara.Maumivu
picha
UPUNGUFU WA DAMU MWILINI

Post inaenda kuzungumzia kuhusiana na upungufu wa damu mwilini ambapo tutaona SABABU na dalili zake lakin upungufu wa damu mwilini hujulikana Kama ANEMIA.
picha
VIPI KUHUSU KIBOFU KUKAZA SANA NA UNAPOKULA UNAHISI KAMA TUMBO KUJAA ZAIDI JE HII NIDALL YAMIMBA?

Dalili za mimba zinaweza kuwa tata sana kuzijua mpaka upate vipimo. Kwa mfano unaweza kupatwa na maumivu yakibofu. Je unadhani nayo ni dalili ya mimba?
picha
UVUTAJI WA SIGARA

Somo Hili linakwenda me kuhusu madhara ya uvutaji wa sigara
picha
UTARATIBU WA LISHE KWA WATOTO

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu utaratibu wa lishe kwa watoto
picha
UGONJWA WA PUMU, DALILI ZAKE NA NJIA ZA KUJILINDA DHIDI YA PUMU.

Pumu ni ugonjwa ambao huathiri sehemu ya kupitisha hewa kwenda kwenye mapafu ya binadamu kitaalamu huitwa bronchioles. Mtu mwenye pumu huwa na michubuko sugu mwilini kwenye mirija yake ya kupitisha hewa. Hali ambayo husababisha kuvimba kwa kuta za mirija
picha
UTARATIBU WA LISHE KWA WAZEE

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu utaratibu wa lishe kwa wazee
picha
UTARATIBU WA LISHE KWA WAJAWAZITO NA WANAONYONYEAHA

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu utaratibu wa lishe kwa wajawazito na wanaonyonyesha
picha
UTARATIBU WA LISHE KWA WAGONJWA

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu utaratibu wa lishe kwa wagonjwa
picha
UTARATIBU WA LISHE KWA VIJANA

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu utaratibu wa lishe kwa vijana
picha
NJIA ZA KUZUIA KIUNGULIA

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kuzuia kiungulia
picha
NAMNA YA KUYATUNZA MACHO

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu namna ya kuyatunza macho
picha
NJIA ZA KUJILINDA DHIDI YA MAPUNYE

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kujilinda dhidi ya mapunye
picha
NTAJILINDA VIPI NA MAGONJWA YA MENO

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kujilinda na magonjwa ya meno