picha

Fahamu kuhusu michubuko kwa watoto wakati wa kuzaliwa

Post hii inahusu zaidi michubuko ambayo mara nyingi utokea kwa watoto wakati wa kuzaliwa,na mara nyingi uweza kupona baada ya masaa ishilini na manne au ndani ya masaa ishilini na manne.

Michubuko kwa watoto wakati wa kuzaliwa.

1. Kwanza kabisa tunafahamu mtoto anapozaliwa upitia sehemu mbalimbali na hatua mbalimbali Ili kuweza kutoka nje ya tumbo la uzazi la mama ,Kuna wakati mwingine kichwa cha mtoto na kiuno cha mama ambapo mtoto anapaswa kupitia huwa havilingani hali ambayo usababisha mtoto kutumia nguvu Ili kutoka nje na hivyo kusababisha michubuko kwenye kichwa cha mtoto kwa hiyo wataalamu wa afya ni vizuri kabisa kugundua  hali hizi Ili kuweza kuepuka na hali ya michubuko wakati wa mtoto kuzaliwa.

 

2. Tunaposema kuhusu michubuko sio kama Ile ya Kawaida  ya kuchubuka kwa ngozi, michubuko mingine uingia ndani ya layer za ndani hali ambayo usababisha mtoto kuvuja kwa ndani na dalili mojawapo ni mtoto kuwa na macho mekundu au kuvimba uso na wakati mwingine mtoto anakuwa analia kila unapomgusa kichwani au kumshika kwa sababu ya kutojisikia vizuri mtoto anaweza kushindwa kunyonya na pengine kukosa Raha na kulia mara kwa mara , kwa hiyo ni vizuri kabisa kwa wataalamu wa afya kugundua tatizo mapema na kufanyia utafiti Ili kuweza kuepuka madhara mengine zaidi.

 

3. Vile vile Kuna michubuko ambayo ujitokeza nje yaani mtoto anakuwa amevimba kichwani pindi anapozaliwa,hali hii utokea hasa kwa akina mama wanaojifungua kwa mara ya kwanza ,kwa sababu utumia nguvu kubwa wakati wa kusukuma na pia utumia masaa mengi wakati wa kujifungua kuliko akina mama ambao wamejifungua Zaid ya mara Moja kwa hiyo, watoto wakizaliwa hivyo kwa kawaida upona ndani ya masaa ishilini na manne na pia usafi ni lazima, kwa hiyo akina mama hawapaswi kiwa na wasiwasi endapo mtoto akiwa amepata mikwaruzo kwenye kichwa ambayo uonekana kama uvimbe.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 1870

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Dua za Mitume na Manabii    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Zijue kazi za uke (vagina)

Uke ni sehemu ambayo imo ndani ya mwili wa mwanamke, sehemu hii ufanya kazi mbalimbali hasa wakati wa kujamiiana, kubarehe na kujifungua kwa mama.

Soma Zaidi...
Sababu za michubuko kwa watoto wanaozaliwa

Post hii inahusu zaidi sababu za michubuko kwa watoto wanaozaliwa,ni sababu ambazo uweza kuchangia kuwepo kwa michubuko kwa watoto wanaozaliwa.

Soma Zaidi...
Ijue rangi ya mkojo isiyo ya kawaida

Post hii inahusu zaidi rangi isiyo ya kawaida kwenye mkojo, kawaida mkojo huwa na rangi ya kahawia Ila ukiona rangi zifuatazo Kuna shida kwenye mkojo.

Soma Zaidi...
Njia za kushusha presha

Post hii inakwenda kukujulisha njia za kushusha presha iliyopanda.

Soma Zaidi...
Dalili za upungufu wa vitamini C mwilini

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za upungufu wa vitamini C mwilini

Soma Zaidi...
Aina mbalimbali za maumivu ya mwili.

Posti hii inahusu zaidi aina mbalimbali ya maumivu ya mwili, Maumivu ya mwili utokea kwa aina mbalimbali kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...
Kuboresha afya

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu mambo yanayosaidia kuboresha afya

Soma Zaidi...
Msaada kwa wenye tonsils

Posti hii inahusu zaidi msaada kwa wenye tonsils, kwa wale wenye tonsils wanapaswa kufanya yafuatayo ili kuweza kupambana na ugonjwa huu.

Soma Zaidi...
Jifunze kuhusu msukumo wa damu kwa kitaalamu huitwa pressure

Kupanda kwa msukumo wa damu ni ktendo ambapo moyo husukuma damu kwa nguvu kuliko kawaida ambapo hupelekea matatizo mengi kwenye mwili

Soma Zaidi...
Chanjo zinazotolewa nchini Tanzania

Posti hii inahusu zaidi chanjo ambazo utolewa nchini Tanzania, ni chanjo ambazo uzuia Magonjwa ambayo yako katika sehemu mbalimbali za nchi.

Soma Zaidi...