Post hii inahusu zaidi michubuko ambayo mara nyingi utokea kwa watoto wakati wa kuzaliwa,na mara nyingi uweza kupona baada ya masaa ishilini na manne au ndani ya masaa ishilini na manne.
Michubuko kwa watoto wakati wa kuzaliwa.
1. Kwanza kabisa tunafahamu mtoto anapozaliwa upitia sehemu mbalimbali na hatua mbalimbali Ili kuweza kutoka nje ya tumbo la uzazi la mama ,Kuna wakati mwingine kichwa cha mtoto na kiuno cha mama ambapo mtoto anapaswa kupitia huwa havilingani hali ambayo usababisha mtoto kutumia nguvu Ili kutoka nje na hivyo kusababisha michubuko kwenye kichwa cha mtoto kwa hiyo wataalamu wa afya ni vizuri kabisa kugundua hali hizi Ili kuweza kuepuka na hali ya michubuko wakati wa mtoto kuzaliwa.
2. Tunaposema kuhusu michubuko sio kama Ile ya Kawaida ya kuchubuka kwa ngozi, michubuko mingine uingia ndani ya layer za ndani hali ambayo usababisha mtoto kuvuja kwa ndani na dalili mojawapo ni mtoto kuwa na macho mekundu au kuvimba uso na wakati mwingine mtoto anakuwa analia kila unapomgusa kichwani au kumshika kwa sababu ya kutojisikia vizuri mtoto anaweza kushindwa kunyonya na pengine kukosa Raha na kulia mara kwa mara , kwa hiyo ni vizuri kabisa kwa wataalamu wa afya kugundua tatizo mapema na kufanyia utafiti Ili kuweza kuepuka madhara mengine zaidi.
3. Vile vile Kuna michubuko ambayo ujitokeza nje yaani mtoto anakuwa amevimba kichwani pindi anapozaliwa,hali hii utokea hasa kwa akina mama wanaojifungua kwa mara ya kwanza ,kwa sababu utumia nguvu kubwa wakati wa kusukuma na pia utumia masaa mengi wakati wa kujifungua kuliko akina mama ambao wamejifungua Zaid ya mara Moja kwa hiyo, watoto wakizaliwa hivyo kwa kawaida upona ndani ya masaa ishilini na manne na pia usafi ni lazima, kwa hiyo akina mama hawapaswi kiwa na wasiwasi endapo mtoto akiwa amepata mikwaruzo kwenye kichwa ambayo uonekana kama uvimbe.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowJe umeipenda post hii ?
Posti hii inahusu zaidi namna chanjo ya polio inavyotolewa na ratiba zake yaani kuanzia siku ya kwanza mpaka pale mtoto anapomaliza chanjo hii kwa hiyo tuone ratiba ya chanjo ya polio.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi kazi ya chanjo ya Surua kwa watoto, ni Aina ya chanjo ambayo utolewa kwa watoto na kufanya kazi mbalimbali mwilini ambazo ni kumkinga mtoto asipatwe na magonjwa.
Soma Zaidi...Kukaza kwa misuli lunaweza kutokea muda wowote ila mara nyingi hutokea pindi mtu anapofanya mazoezi, amnapoogelea ama anapofanya kazi.
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kujilinda na magonjwa ya meno
Soma Zaidi...Natak kufaham kuwa binadam akiwa mweupe mikononi atakuwa na upungufu wa vitamin gani?
Soma Zaidi...vitamini k ni moja katika vitamini vinavyoitajika sana mwilini. Je unazijuwa athari za upungufu wa vitamini k mwilini?
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mgawanyo wa matibabu ya kifua kikuu, tunajua kubwa kifua kikuu ni Ugonjwa ambao utumia mda mrefu kidogo katika matibabu kwa hiyo mgawanyiko wake uko kwenye sehemu mbili muhimu kama tutajavyoona
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi chanjo ambazo utolewa nchini Tanzania, ni chanjo ambazo uzuia Magonjwa ambayo yako katika sehemu mbalimbali za nchi.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu Rangi za mkojo na maana zake na mkojo mchafu
Soma Zaidi...