Post hii inahusu zaidi mishipa inayosafilisha damu mwilni, ni Aina tatu za mishipa ambazo usafilisha damu kutoka sehemu Moja kwenda nyingine
Aina za mishipa inayosafilisha damu mwilni
1. Mishipa inayosafilisha damu Safi,
Hii ni Aina ya mishipa inayosafilisha damu kutoka kwenye moyo kwenda sehemu mbalimbali za mwili, kwa kitaalamu huitwa (Arteries).
2.Mishipa inayosafilisha damu chafu kutoka kwenye mwili mpaka kwenyemapafu kwa ajili ya kusafisha au kupata Oxgeni
Hii ni Aina ya mishipa ambayo ubeba damu chafu kutoka sehemu mbalimbali k za mwili mpaka kwenye moyo Ili kupata Oxgeni kwa kitaalamu huitwa (Veins)
3.Mishipa midogo midogo sana iliyoenea kwenye mwili
Hii ni Aina ya mishipa ambayo ubeba damu kwenye sehemu mbalimbali za mwili kwa kawaida ni midogo sana ,kwa kitaalamu huitwa (Capillaries)
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi huduma ambazo utolewa kwa watu wanaodhani wamepatwa na maambukizi ya virus vya ukimwi.
Soma Zaidi...Post hii inahusu Aina za kuungua, kuungua ni Hali ya kubabuka kwa ngozi ya mwili na kusababisha madhara mbalimbali
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu Mambo yanayopunguza nguvu za kiume
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyepatwa na shambulio la moyo
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi athari za mkojo mwilini, kwa kawaida tunafahamu kwamba mkojo ni matokeo ya mkusanyiko wa uchafu wa maji maji yanayokusanyika kutoka mwilini ikiwa mkojo umebaki mwilini usababisha madhara mbalimbali kama tutakavyoona.
Soma Zaidi...Natak kufaham kuwa binadam akiwa mweupe mikononi atakuwa na upungufu wa vitamin gani?
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyeng'atwa na nyuko
Soma Zaidi...