Aina za mishipa inayosafilisha damu mwilni
Post hii inahusu zaidi mishipa inayosafilisha damu mwilni, ni Aina tatu za mishipa ambazo usafilisha damu kutoka sehemu Moja kwenda nyingine
Aina za mishipa inayosafilisha damu mwilni
1. Mishipa inayosafilisha damu Safi,
Hii ni Aina ya mishipa inayosafilisha damu kutoka kwenye moyo kwenda sehemu mbalimbali za mwili, kwa kitaalamu huitwa (Arteries).
2.Mishipa inayosafilisha damu chafu kutoka kwenye mwili mpaka kwenyemapafu kwa ajili ya kusafisha au kupata Oxgeni
Hii ni Aina ya mishipa ambayo ubeba damu chafu kutoka sehemu mbalimbali k za mwili mpaka kwenye moyo Ili kupata Oxgeni kwa kitaalamu huitwa (Veins)
3.Mishipa midogo midogo sana iliyoenea kwenye mwili
Hii ni Aina ya mishipa ambayo ubeba damu kwenye sehemu mbalimbali za mwili kwa kawaida ni midogo sana ,kwa kitaalamu huitwa (Capillaries)
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Kitau cha Fiqh 👉2 Madrasa kiganjani 👉3 web hosting 👉4 Bongolite - Game zone - Play free game 👉5 Dua za Mitume na Manabii 👉6 Simulizi za Hadithi Audio
Post zinazofanana:
Mbinu za kuponyesha majeraha
Posti hii inahusu zaidi mbinu ambazo hutumika kuponyesha majeraha kwa haraka zaidi,tunajua majereha utokana na kupona kwa vile vidonda au kupona kwa sehemu ambayo imekuwa na majeraha kwa hiyo ili kuponyesha majeraha hayo tunapaswa kufanya yafuatayo.
Soma Zaidi...Vipi utaepuka maumivu ya kichwa ya mara kwa mara?
maumivu ya kichwa ni moja ya dalili za kiafya ambazo huashiria hali isiyo ya kawaida. hata hivyo maumivu ya kichwa yanaweza kutokea hata kama sio mgonjwa. Hapa nitakuletea sababu zinazopelekea kuumwa na kichwa mara kwa mara.Maumivu
Soma Zaidi...Upungufu wa vyakula vya madini
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu madhara ya upungufu wa vyakula vya madini
Soma Zaidi...Fahamu kuhusu protini na kazi zake mwilini
Tunahitaji kuwa na protini mwilini. Kuna baadhi ya makundi ya watu wanahitaji protini zaidi. Je unawajuwa hao ni kina nana?, na je unauwa kazi za protini mwilini na athari za upungufu wake? endelea na makala hii.
Soma Zaidi...fahamu kuhusu vitamini B na faida zake
makala hii inakwenda kukupa faida, kazi na athari za vitamini B mwilini. Nini hutokea endapo utakuwa na upungufu wa vitamini B mwilini?
Soma Zaidi...