Aina za mishipa inayosafilisha damu mwilni

Post hii inahusu zaidi mishipa inayosafilisha damu mwilni, ni Aina tatu za mishipa ambazo usafilisha damu kutoka sehemu Moja kwenda nyingine

Aina za mishipa inayosafilisha damu mwilni

1. Mishipa inayosafilisha damu Safi,

Hii ni Aina ya mishipa inayosafilisha damu kutoka kwenye moyo kwenda sehemu mbalimbali za mwili, kwa kitaalamu huitwa (Arteries).

 

2.Mishipa inayosafilisha damu chafu kutoka kwenye mwili mpaka kwenyemapafu  kwa ajili ya kusafisha au kupata Oxgeni

Hii ni Aina ya mishipa ambayo ubeba damu chafu kutoka sehemu mbalimbali k za mwili mpaka kwenye moyo Ili kupata Oxgeni kwa kitaalamu huitwa (Veins)

 

3.Mishipa midogo midogo sana iliyoenea kwenye mwili

Hii ni Aina ya mishipa ambayo ubeba damu kwenye sehemu mbalimbali za mwili kwa kawaida ni midogo sana ,kwa kitaalamu huitwa (Capillaries)

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 1947

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

Huduma kwa watu waliodhani wamepatwa na maambukizi.

Posti hii inahusu zaidi huduma ambazo utolewa kwa watu wanaodhani wamepatwa na maambukizi ya virus vya ukimwi.

Soma Zaidi...
Njia za kujikinga na UTI

Somo hili linakwenda kukuletea njia za kujikinga na UTI

Soma Zaidi...
Aina za kuungua

Post hii inahusu Aina za kuungua, kuungua ni Hali ya kubabuka kwa ngozi ya mwili na kusababisha madhara mbalimbali

Soma Zaidi...
Mambo yanayopunguza nguvu za kiume

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu Mambo yanayopunguza nguvu za kiume

Soma Zaidi...
Upungufu was fati

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu madhara ya upungufu was fati

Soma Zaidi...
Huduma ya Kwanza kwa mtu aliyepatwa na shambulio la moyo

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyepatwa na shambulio la moyo

Soma Zaidi...
Athari za mkojo mwilini.

Posti hii inahusu zaidi athari za mkojo mwilini, kwa kawaida tunafahamu kwamba mkojo ni matokeo ya mkusanyiko wa uchafu wa maji maji yanayokusanyika kutoka mwilini ikiwa mkojo umebaki mwilini usababisha madhara mbalimbali kama tutakavyoona.

Soma Zaidi...
binadam akiwa mweupe mikononi atakuwa na upungufu wa vitamin gani?

Natak kufaham kuwa binadam akiwa mweupe mikononi atakuwa na upungufu wa vitamin gani?

Soma Zaidi...
Huduma ya Kwanza kwa aliyeng'atwa na nyuki

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyeng'atwa na nyuko

Soma Zaidi...