Posti hii inahusu zaidi njia za kuzuia damu isiendelee kuvuja, ni njia ambazo utumika ikiwa kuna damu inavuja kwenye sehemu yoyote ya mwili,kwa hiyo tunaweza kutumia njia hizi ili kuepuka kuendelea kuvuja kwa damu.
Njia za kuzuia damu uendelea kuvuja.
1.Tumia nguvu nyingi kukandamiza sehemu ambayo inavuja, unaweza kutumia ngumi kama ni sehemu kubwa au kidole kama ni sehemu ambayo umechomwa na kitu chenye ncha kali.
2.Amsha sehemu iliyotumia, unapaswa kuinua juu ili kuweza kuuweka vizuri sehemu iliyovunjika.
3.Mpe matumaini mgonjwa na zungumza naye kila wakati ili mgonjwa asiweze kuzimia kwa sababu kitendo cha kuvuja damu kwa mda mrefu usababisha kuishiwa kwa damu na maji
4.Funika sehemu ambayo ina kidonda kama kimetokea ili kuweza kuzuia maambukizi kwenye kidonda hicho
5.Hakikisha inamfanyia mgonjwa usafi ili kuzuia kuendelea kwa Maambukizi na kumfanya mgonjwa aendelee kuwa na matatizo mengine.
6.Ondoa tisu (nyamanyama, ama ngozingozi) ambazo zimeharibika (kupondeka, kukatikakatika) kwenye kidonda ili kuweza kuruhusu tisu nyingine ziweze kuingia na kupona kutakuwa rahisi kw hiyo hakikisha kila siku tisu zilizoharibika zinaondolewa.
7.Funga vizuri sehemu iliyoariabika ili kuweza kufanya uponyaji kuwa wa haraka.
8. Mpatie mgonjwa dawa ya kutuliza maumivu kama vile panadol, asprin na dawa nyingine za maumivu kutokana na hali ya mgonjwa
9. Mpatie mgonjwa antibiotics ili kuweza kuepuka Maambukizi ambayo yanaweza kutokea ua kusaidia kutibu maambukizi na dawa hizi zinapaswa kutolewa kwa ruhusa ya wataalamu wa afya.
10.Kama sehemu yenye matatizo kuna nywele jaribu kuzing'oa ili kuondoa njia ya kupata Maambukizi.
11.Mpatie Mgonjwa elimu kama patatokea shida yoyote kama vile maji maji na kuendelea kuvuja damu atoe taarifa.
12.Mpatie Mgonjwa Mda wa kuja kutolewa nyuzi kama sehemu iliyokuwa inavuja imeshomwa
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Post hii inahusu zaidi mabadiliko kwa wavulana wakati wa kubarehe, ni kipindi ambacho ni kutoka utotoni kwendea ujana.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi chanjo ambazo utolewa nchini Tanzania, ni chanjo ambazo uzuia Magonjwa ambayo yako katika sehemu mbalimbali za nchi.
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu utaratibu wa lishe kwa wazee
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza jinsi ya kumfanyia huduma ya Kwanza kwa mtu aloanguka kifafa
Soma Zaidi...vitamini k ni moja katika vitamini vinavyoitajika sana mwilini. Je unazijuwa athari za upungufu wa vitamini k mwilini?
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu namna ya kuyatunza macho
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi huduma ya kwanza ya mgonjwa mwenye jeraha la kawaida kwenye ubongo, ni Tiba ambayo utolewa kulingana na dalili za jeraha la kawaida kwenye ubongo kama ifuayavyo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi huduma ambazo utolewa kwa watu wanaodhani wamepatwa na maambukizi ya virus vya ukimwi.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi aina kuu za vidonda,kuna aina kuu tatu za vidonda ambapo kila aina utumiwa kwa njia yake kama tutakavyoona hapo chini.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu Rangi za mkojo na maana zake na mkojo mchafu
Soma Zaidi...