Njia za kuzuia damu isiendelee kuvuja

Posti hii inahusu zaidi njia za kuzuia damu isiendelee kuvuja, ni njia ambazo utumika ikiwa kuna damu inavuja kwenye sehemu yoyote ya mwili,kwa hiyo tunaweza kutumia njia hizi ili kuepuka kuendelea kuvuja kwa damu.

Njia za kuzuia damu uendelea kuvuja.

1.Tumia nguvu nyingi kukandamiza sehemu ambayo inavuja, unaweza kutumia ngumi kama ni sehemu kubwa au kidole kama ni sehemu ambayo umechomwa na kitu chenye ncha kali.

 

2.Amsha sehemu iliyotumia, unapaswa kuinua juu ili kuweza kuuweka vizuri sehemu iliyovunjika.

 

3.Mpe matumaini mgonjwa na zungumza naye kila wakati ili mgonjwa asiweze kuzimia kwa sababu kitendo cha kuvuja damu kwa mda mrefu usababisha kuishiwa kwa damu na maji

 

4.Funika sehemu ambayo ina kidonda kama kimetokea ili kuweza kuzuia maambukizi kwenye kidonda hicho 

 

5.Hakikisha inamfanyia mgonjwa usafi ili kuzuia kuendelea kwa Maambukizi na kumfanya mgonjwa aendelee kuwa na matatizo mengine.

 

6.Ondoa tisu (nyamanyama, ama ngozingozi) ambazo zimeharibika (kupondeka, kukatikakatika) kwenye kidonda ili kuweza kuruhusu tisu nyingine ziweze kuingia na kupona kutakuwa rahisi kw hiyo hakikisha kila siku tisu zilizoharibika zinaondolewa.

 

7.Funga vizuri sehemu iliyoariabika ili kuweza kufanya uponyaji kuwa wa haraka.

 

8. Mpatie mgonjwa dawa ya kutuliza maumivu kama vile panadol, asprin na dawa nyingine za maumivu kutokana na hali ya mgonjwa

 

9. Mpatie mgonjwa antibiotics ili kuweza kuepuka Maambukizi ambayo yanaweza kutokea ua kusaidia kutibu maambukizi na dawa hizi zinapaswa kutolewa kwa ruhusa ya wataalamu wa afya.

 

10.Kama sehemu yenye matatizo kuna nywele jaribu kuzing'oa ili kuondoa njia ya kupata Maambukizi.

 

11.Mpatie Mgonjwa elimu kama patatokea shida yoyote kama vile maji maji na kuendelea kuvuja damu atoe taarifa.

 

12.Mpatie Mgonjwa Mda wa kuja kutolewa nyuzi kama sehemu iliyokuwa inavuja imeshomwa

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 1964

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYEUNGUA

Kuungua kupo kwa aina nyingi.

Soma Zaidi...
Faida za damu kwenye mwili

Post hii inahusu zaidi umuhimu wa damu mwilini, Damu ni tisu pekee yenye majimaji ambayo hufanya kazi mbalimbali katika mwili wa binadamu.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu fati na mafuta na kazi zake mwilini

Hata kama mtu atakuambbia usile vyakula yenye mafuta bado itahitajika kula tu. Kuna mafuta na fati je unajuwa utofauti wao. Ni zipi kazi zao mwilini? Endelea na makala hii

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu kazi za ini.

Posti hii inahusu zaidi kazi za ini, kwa kawaida tunafahamu kwamba ini ni sehemu muhimu kwenye mwili wa binadamu kwa sababu ni.likikosa kufanya kazi yake maisha ya binadamu yanakuwa hatarini kwa sababu mbalimbali.

Soma Zaidi...
Vyakula vya fati na mafuta

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya fati na mafuta

Soma Zaidi...
Mzunguko wa mwezi kwa mwanamke

Posti hii inahusu zaidi mzunguko wa mwezi kwa mwanamke, ni mzunguko ambao huchukua siku ishilini na nane kwa kawaida Ila lla ubadilika kulingana na mtu, Ila ngoja tuangalie siku ishilini na nane tu.

Soma Zaidi...
Yanayoathiri afya

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu mambo yanayoathiri afya

Soma Zaidi...
Aina mbalimbali za maumivu ya mwili.

Posti hii inahusu zaidi aina mbalimbali ya maumivu ya mwili, Maumivu ya mwili utokea kwa aina mbalimbali kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...
Imani potofu juu ya chanjo.

Post hii inahusu zaidi Imani potofu juu ya chanjo kwa watoto na akina Mama, ni baadhi ya Imani waliyonayo watu juu ya chanjo.

Soma Zaidi...
Madhara ya chakula kutosagwa vizuri tumboni.

Posti hii inahusu zaidi madhara ya chakula kushindwa kumengenywa vizuri tumboni, haya ni madhara ambayo utokea kwa sababu ya chakula kushindwa kumengenywa vizuri tumboni.

Soma Zaidi...