Post hii inahusu Aina za kuungua, kuungua ni Hali ya kubabuka kwa ngozi ya mwili na kusababisha madhara mbalimbali
Aina za kuungua
1. Kuunguzwa na vitu vikavu kama mshumaa,Kuni na chuma chenye moto
2. Kuungua kwa vitu vyenye maji maji kama vile mvuke,chai, mafuta yanayochemka na uji
3. Kuungua na umeme, hasa hasa kama miundo mbinu ya umeme kama haiko sawa
4. Kuungua kwa vitu vya baridi sana kama vile barafu na maji yenye baridi sana ambayo hufanya ngozi ibabuke
5. Kuungua na kemikali hasa kwenye maabara ya phizikia na kemia, kemikali hizo uunguza sehemu za mwili na kuubabua
6. Kuungua kwa mionzi, hii inatokea hasa kwa wagonjwa wa Kansa
7. Kuungua na miali ya mwanga wowote kutoka kwenye jua au kutoka kwenye chanzo chochote cha mwanga.
Kwa hiyo baada ya kujua Aina za kuungua inabidi tuwa makini na Aina zozote za vyanzo vinavyosababisha kuungua. Na tujue kuwa kuungua sio vitu vya moto tu Ila na vitu vingine kama tulivyoolodhesha hapo juu.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Kinga ya mwili inapodhoofu mwili unakuwa hatarini kupata maradhi. Je unayajuwa mambo yanayodhoofisha kinga ysbmeili?
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kutumia dawa za kujikinga na maambukizi ya ukimwi, ni faida ambazo upatikana kwa watu wanaodhani wameambukizwa na virus vya ukimwi na kuweza kujikinga.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi tatizo la kupungukiwa damu mwilini, ni ugonjwa unaotokana sana hasa kwa watoto wadogo chini ya miaka mitano ingawa na kwa watu wazima.
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyepatwa na presha ya kushuka
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia ambazo maradhi huambukizwa
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na mbinu za kutoa huduma ya kwanza kwa aliyeungua na Moto.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi vifaa vya kutumia wakati wa kusafisha vidonda, ni vifaa muhimu ambavyo mara nyingi kutwa hospitalini.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi Aina ya mkojo usiokuwaa wa kawaida uwa na vitu vifuatavyo, ukiona dalili kama hizo wahi mapema hospitalini Ili upatiwe huduma.
Soma Zaidi...