picha

Aina za kuungua

Post hii inahusu Aina za kuungua, kuungua ni Hali ya kubabuka kwa ngozi ya mwili na kusababisha madhara mbalimbali

Aina za kuungua

1. Kuunguzwa  na vitu vikavu kama mshumaa,Kuni na chuma chenye moto

2. Kuungua kwa vitu vyenye maji maji kama vile mvuke,chai, mafuta yanayochemka na uji

3. Kuungua na umeme, hasa hasa kama miundo mbinu ya umeme kama haiko sawa

4. Kuungua kwa vitu vya baridi sana kama vile barafu na maji yenye baridi  sana ambayo hufanya ngozi ibabuke

5. Kuungua na kemikali hasa kwenye maabara ya phizikia na kemia, kemikali hizo uunguza sehemu za mwili na kuubabua

6. Kuungua kwa mionzi, hii inatokea hasa kwa wagonjwa wa Kansa 

7. Kuungua na miali ya mwanga wowote kutoka kwenye jua au kutoka kwenye chanzo chochote cha mwanga.

Kwa hiyo baada ya kujua Aina za kuungua inabidi tuwa makini na Aina zozote za vyanzo vinavyosababisha kuungua. Na tujue kuwa kuungua sio vitu vya moto tu Ila na vitu vingine kama tulivyoolodhesha hapo juu.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Huduma Main: Post File: Download PDF Views 3063

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 web hosting     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 ai web app     👉4 Simulizi za Hadithi Audio     👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉6 Madrasa kiganjani    

Post zinazofanana:

Njia za kufuata unapohudumia watu waliopata ajali

Post hii inahusu zaidi namna ya kutoa huduma ya kwanza kwa watu waliopata ajali. Ajali ni tukio lisilotarajiwa ambalo kinaweza kumkuta mtu yeyote, tunapotoa huduma ya kwanza tnazingatia rangi ambazo huwakilisha jinsi watu walivyoumia.

Soma Zaidi...
Mambo yanayosababisha kupona kwa vidonda.

Posti hii inahusu mambo yanayochangia katika kupona kwa kidonda, ni mambo ambayo yapo kwa mgonjwa mwenyewe kama ifuayavyo.

Soma Zaidi...
Aina kuu tatu za mvunjiko wa viuno vya mwilini na mifupa

Posti hii inahusu zaidi Aina kuu tatu za mvunjiko ni Aina za kuvunjika ambazo uwakumba watu mbalimbali na watu ushindwa kutambua hizi Aina tatu za mvunjiko, zifuatazo ni Aina za mvunjiko.

Soma Zaidi...
Ukiwa unalima sana unaweza kukonda

Unadhanivkufanya kazi kunaweza kukusababishia maradhi ama mwili kudhoofu, ama kukonda. Umeshawahivkujiuliza wanao nenepa huwa hawafanyi kazi?

Soma Zaidi...
Zijue hasara za magonjwa ya ngono

Posti hii inahusu zaidi hasara za magonjwa ya ngono, ni magonjwa yanayoambukizwa kwa kujamiiana bila kutumia kinga.

Soma Zaidi...
Zijue sababu za chakula kushindwa kumengenywa kwenye tumbo.

Posti hii inahusu zaidi sababu mbalimbali za chakula kushindwa kumengenywa kwenye tumbo,ni sababu mbalimbali hasa za kiafya kama tutakavyoona hapo mbeleni

Soma Zaidi...