Aina za kuungua

Post hii inahusu Aina za kuungua, kuungua ni Hali ya kubabuka kwa ngozi ya mwili na kusababisha madhara mbalimbali

Aina za kuungua

1. Kuunguzwa  na vitu vikavu kama mshumaa,Kuni na chuma chenye moto

2. Kuungua kwa vitu vyenye maji maji kama vile mvuke,chai, mafuta yanayochemka na uji

3. Kuungua na umeme, hasa hasa kama miundo mbinu ya umeme kama haiko sawa

4. Kuungua kwa vitu vya baridi sana kama vile barafu na maji yenye baridi  sana ambayo hufanya ngozi ibabuke

5. Kuungua na kemikali hasa kwenye maabara ya phizikia na kemia, kemikali hizo uunguza sehemu za mwili na kuubabua

6. Kuungua kwa mionzi, hii inatokea hasa kwa wagonjwa wa Kansa 

7. Kuungua na miali ya mwanga wowote kutoka kwenye jua au kutoka kwenye chanzo chochote cha mwanga.

Kwa hiyo baada ya kujua Aina za kuungua inabidi tuwa makini na Aina zozote za vyanzo vinavyosababisha kuungua. Na tujue kuwa kuungua sio vitu vya moto tu Ila na vitu vingine kama tulivyoolodhesha hapo juu.

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Author Tarehe 2021/11/18/Thursday - 12:59:57 pm     Share On Facebook or WhatsApp Imesomwa mara 1332

Post zifazofanana:-

Vipimo muhimu kabla ya kubeba mimba
Posti hii inahusu zaidi vipimo muhimu kabla ya kubeba mimba,ni vipimo vya moja kwa moja kutoka maabara na vingine sio vya maabara. Soma Zaidi...

Ninashida Kuna mtu anaumwa pressure Kila anap pima Iko juu il mwil aumuumi at kidg n dawa anatumia unawez kunisaidiaj
Kama unasumbuliwa na presha post hii ni kwa ajili yako. Hapa tutakuoatia ushauri kutokana na swali alilouliza mdau wetu. Soma Zaidi...

Zijue sababu za kupoteza fahamu.
Posti hii inahusu zaidi sababu za kupoteza fahamu, ni sababu ambazo umfanya mtu kupoteza fahamu kwa sababu mbalimbali kama ifuayavyo. Soma Zaidi...

Mambo yanayosababisha kuharisha
Post hii inahusu zaidi ugonjwa wa kuharisha, kuharisha ni kitendo Cha kupitisha kinyesi Cha maji chenye damu au kisichokuwa na damu Soma Zaidi...

Maambukizi ya tezi za mate
Psti hii inazungumzia kuhusiana na Ugonjwa wa Maambukizi ya tezi za mate ambao hujulikana Kama MABUSHA (mumps) ni maambukizi ya virusi ambayo kimsingi huathiri tezi mojawapo ya jozi tatu za tezi za mate zinazotoa mate, zilizo chini na mbele ya masikio yako. Ikiwa wewe au mtoto wako atapatwa na mabusha, inaweza kusababisha uvimbe katika tezi moja au zote mbili. Soma Zaidi...

Ajali ya jicho
Post hii inahusu zaidi ajali ya jicho na visababishi vyake, ajali ya jicho ni pale jicho linavyoingiliwa na uchafu na vitu vingine ambavyo havistahili kuwa kwenye jicho Soma Zaidi...

Dalili za Ugonjwa wa ini
Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa inni, hizi ni dalili ambazo ujitokeza kwa mtu Mwenye ugonjwa wa inni, Dalili zenyewe ni kama ifuatavyo. Soma Zaidi...

Vyanzo vya minyoo
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyanzo vya minyoo Soma Zaidi...

Zijue sababu za kupungukiwa damu mwilini
Posti hii inahusu zaidi tatizo la kupungukiwa damu mwilini, ni ugonjwa unaotokana sana hasa kwa watoto wadogo chini ya miaka mitano ingawa na kwa watu wazima. Soma Zaidi...

Namna ya kusaidia vijana wakati wa kubarehe
Post hii inahusu zaidi namna ya kuwasaidia vijana wakati wa kubarehe, ni njia za kuhakikisha kuwa vijana wanakuwa na mwelekeo , Soma Zaidi...

Chakula cha minyoo
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya minyoo Soma Zaidi...

Fahamu aina mbalimbali za Magonjwa nyemelezi ya moyo
Posti hii inahusu zaidi aina mbalimbali za Magonjwa ya moyo,kwa kawaida tunajua wazi kuwa kuna moyo mmoja lakini moyo huo unaweza kushambuliwa na magonjwa kwa kila aina kwa mfano kuna Maambukizi kwenye mishipa ya moyo,au kubadilika kwa mapigo ya moyo na mambo mengine kama hayo kwa hiyo hayo yote ushambulia moyo mmoja.kwa hiyo aina ya magonjwa ya moyo ni kama ifuatavyo. Soma Zaidi...