Posti hii inahusu zaidi madhara ya kunywa pombe kiafya, ni madhara ambayo utokea kwa watu wanaokumywa pombe kwa kupita kiasi kwa hiyo wanapaswa kupunguza kunywa pombe baada ya kujua madhara yake.
Madhara ya kunywa pombe kiafya.
1. Pombe iliyopita kiasi Usababisha matatizo kwenye moyo kwa sababu udhoofisha mishipa na mishipa kushindwa kusukuma damu kwa hiyo wa nywaji wa pombe wanapaswa kupunguza ili kuepuka madhara ya magonjwa wa moyo.
2. Matatizo ya ini .
Kwa sababu ya kuwepo kwa sumu inayosababishwa na unywaji wa pombe Usababisha sumu kubwa mwilini ambayo uweza kushambulia ini na kusababisha Magonjwa ya ini kwa hiyo wanywaji wa pombe kupita kiasi wanapaswa kujua hili.
3. Watumiaji wa pombe wako kwenye hatari ya kupata tatizo la shinikizo la damu kwa sababu ya kulegea kwa mishipa inayosukuma damu.
4. Pia unywaji wa pombe unasababisha kuwepo kwa ugonjwa wa Anemia kwa sababu seli kushindwa kusafilisha damu.
5. Pia matatizo ya unywaji wa pombe Usababisha kuwepo kwa ugonjwa wa saratani kwa sababu ya kuwepo kwa sumu nyingi mwilini.
6. Pia matatizo ya pombe Usababisha kusinyaa kwa ubongo kwa sababu ubongo ushindwa kufanya kazi vizuri kwa hiyo tunapaswa kuacha kutumia pombe.
7. Kwa sababu ya matumizi ya pombe kunaweza kuwepo na msongo wa mawazo kwa sababu ya kuaribika na kemikali zinazosafirisha damu mpaka kwenye ubongo.
8. Kwa kujua adhari za pombe tunapaswa kuacha kutumia pombe ili kuweza kuepuka madhara makubwa ambayo yanaweza kutokea katika maisha yetu.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiw ana App yetu. Bofya liln hapo chini kuweza ku download
Download NowJe! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Huduma Main: Post File: Download PDF Share On Facebook or Whatsapp Views 1293
Sponsored links
👉1
kitabu cha Simulizi
👉2
Madrasa kiganjani
👉3
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉4
Simulizi za Hadithi Audio
👉5
Kitau cha Fiqh
👉6
Kitabu cha Afya
Hatari ya uzito mkubwa
Posti hii inahusu zaidi hatari zilizopo kwa mtu mwenye uzito mkubwa,kwa sababu ya kuwepo kwa uzito mkubwa na pia unene usio wa kawaida usababisha mtu kuwa na matatizo mbalimbali hasa saratani za kila sehemu kama tutakavyoona. Soma Zaidi...
Mbinu za kutoa huduma ya kwanza kwa wagonjwa walio na majeraha ya macho.
Posti hii inaelezea kuhusiana na mbinu za kutoa huduma ya kwanza kwa walio na majeraha ya macho kutokana na aina mbalimbali ya jeraha Soma Zaidi...
Huduma kwa watu wanaoishi na virusi vya Ukimwi
Posti hii inahusu zaidi huduma ambazo wagonjwa wanaoishi na maambukizi ya virus vya ukimwi wanaweza kupata, huduma hii utolewa hasa kwa wale ambao wamejitokeza kupima afya zao na kujua wazi hali zao na kwa wale wanaofatilia huduma hii wanaweza kuishi vizu Soma Zaidi...
Dalili za shambulio la hofu
Shambulio la hofu ni tukio la ghafla la hofu kali ambayo husababisha athari kali za kimwili wakati hakuna hatari halisi au sababu inayoonekana. Mashambulizi ya hofu yanaweza kuwa ya kutisha sana. Mashambulizi ya hofu yanapotokea, unaweza kufikiri kwamba Soma Zaidi...
Kazi ya chanjo ya Surua
Posti hii inahusu zaidi kazi ya chanjo ya Surua kwa watoto, ni Aina ya chanjo ambayo utolewa kwa watoto na kufanya kazi mbalimbali mwilini ambazo ni kumkinga mtoto asipatwe na magonjwa. Soma Zaidi...
Huduma ya Kwanza kwa mtu aliyepatwa na kwikwi
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyepatwa na kwikwi Soma Zaidi...
Njia za kukabiliana na minyoo
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kukabiliana na minyoo Soma Zaidi...
Huduma ya kwanza kwa aliye ungua na Moto.
Posti hii inazungumzia kuhusiana na mbinu za kutoa huduma ya kwanza kwa aliyeungua na Moto. Soma Zaidi...
Madhara ya ulevi
Poshi hii inahusu madhara ya ulevi.Utegemezi wa pombe kwa kawaida humaanisha kuwa mtu anatumia kiasi kikubwa cha pombe na kuna masuala kuhusu kupoteza udhibiti. Soma Zaidi...
Namna ya kuyatunza macho
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu namna ya kuyatunza macho Soma Zaidi...