Navigation Menu



Madhara ya chakula kutosagwa vizuri tumboni.

Posti hii inahusu zaidi madhara ya chakula kushindwa kumengenywa vizuri tumboni, haya ni madhara ambayo utokea kwa sababu ya chakula kushindwa kumengenywa vizuri tumboni.

Madhara ya chakula kushindwa kumengenywa vizuri tumboni.

1. Mzunguko wa damu kuharibika na kuwa mdogo.

Kwa kawaida ili chakula kiweze kusambaa kutoka sehemu moja kwenda nyingine na kufanya kazi mbalimbali kwenye mwili utokana na kiwango cha kusagia kwa chakula tumboni na pia damu uweza kusafiri kutoka sehemu moja kwenda nyingine kwa sababu ya kuwepo kwa mmeng'enyo mzuri wa chakula.

 

 

 

 

 

2. Maumivu kwenye kiuno na mgongo.

Kwa sababu chakula kinapaswa kusagwa vizuri kabisa na kufanya kazi mbalimbali kwenye mwili ni vizuri kabisa na pia kusipokuwepo hali ya chakula kusagwa usababisha maumivu ya mgongo na kiuno.

 

 

 

 

 

3. Miguu au mikono kufa ganzi.

Kwa kawaida kuna kipindi ambacho miguu na mikono ufa ganzi ila watu wengi huwa hawaelewi ni kwa sababu gani pengine ni tatizo la chakula kutosagwa vizuri tumboni.

 

 

 

 

4. Kuchoka haraka na kwa mara kwa mara.

Kwa sababu kila kitu mwilini kinapaswa kiwe sawa kabisa hasa usagaji wa vyakula mwilini kwa hiyo usagaji wa chakula isipokuwa vizuri usababisha  mtu kuchoka mara kwa mara.

 

 

 

 

 

5. Kukosa hamu ya kula chakula.

Kwa kawaida ili chakula kiweze kuliwa vizuri ni lazima kuwepo hali ya hamu ya kuwa chakula ni lazima kuwepo kwa hamu ya chakula kwa kufanya hivyo ni lazima kuwepo kwa hamu ya kula chakula.

 

 

 

6. Macho kushindwa kuona vizuri.

Kuna wakati mwingine macho yanashindwa kuona vizuri ni kwa sababu ya chakula kushindwa kumengenywa vizuri kwa sababu baadhi ya virutubisho ukosa na macho yenyewe ushindwa kuona vizuri.

 

 

 

 

 

7. Mapigo ya moyo kwenda kwa haraka.

Kwa kawaida kama kuna shida kwenye mmeng'enyo wa chakula kuna vyakula mbalimbali ukosa ambavyo usababisha mapigo ya moyo kwenda kwa mbio.

 

 

 

 

8. Maumivu ya kichwa .

Kwa sababu ya kuwepo kwa mzunguko mbaya wa damu usababisha maumivu makali ya kichwa kwa sababu ya kuwepo kwa baadhi ya vyakula ambavyo usababisha maumivu makali ya kichwa.

 

 

 

 

9. Kwa hiyo ni vizuri kabisa kuweza kujua tatizo hili na kulifanyia kazi kwa sababu likizidi sana usababisha matatizo makubwa kama tulivyoona yaona mbeleni.

Download app yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiw ana App yetu. Bofya liln hapo chini kuweza ku download

Download Now Bongoclass

           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu image Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Huduma Main: Post File: Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Views 2312


Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉4 Simulizi za Hadithi Audio     👉5 kitabu cha Simulizi     👉6 Kitau cha Fiqh    

Post zifazofanana:-

Sababu za zinazosababisha kuwepo kwa vidonda
Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwepo kwa vidonda, kwa sababu tunaona vidonda vinashambulia sehemu mbalimbali za mwili ila tunakuwa hatuna sababu kwa hiyo zifuatazo ni sababu za kuwepo kwa vidonda. Soma Zaidi...

Ugonjwa wa Pumu, dalili zake na njia za kujilinda dhidi ya Pumu.
Pumu ni ugonjwa ambao huathiri sehemu ya kupitisha hewa kwenda kwenye mapafu ya binadamu kitaalamu huitwa bronchioles. Mtu mwenye pumu huwa na michubuko sugu mwilini kwenye mirija yake ya kupitisha hewa. Hali ambayo husababisha kuvimba kwa kuta za mirija Soma Zaidi...

HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYEPATWA NA SHAMBULIO LA MOYO
Soma Zaidi...

Upungufu wa damu wa madini (anemia ya upungufu wa madini)
upungufu wa damu wa madini ya chuma ni aina ya kawaida ya upungufu wa damu hali ambayo damu haina chembe nyekundu za damu zenye afya. Seli nyekundu za damu hubeba oksijeni kwa tishu za mwili. Bila chuma cha kutosha, mwili wako hauwezi kutoa dutu ya k Soma Zaidi...

Mem mtoto ang almeza sumu yapanya ila tulimpa maziwa kwan inaweza leta madhara kwabaadae mana atukumpeleka hosptal
Maziwa ni mojakati ya vinywaji ambavyo ni dawa na hutumikakutoa huduma ya kwanza pale mtu anapomeza ama kula sumu. Huduma ya kwanza hii inaweza kuokoa maisha na wakati mwingine inaweza kuwa ndio dawa kabisa wala hakuna haja ya kufika Kituo cha afya. Soma Zaidi...

HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYEUNGUA
Kuungua kupo kwa aina nyingi. Soma Zaidi...

Kwanini mtu alie ng'atwa na nyoka hairuhusiwi kumpa pombe?
Swali languKwanini mtu alie ng'atwa na nyoka hairuhusiwi kumpa pombe? Soma Zaidi...

Athari za mkojo mwilini.
Posti hii inahusu zaidi athari za mkojo mwilini, kwa kawaida tunafahamu kwamba mkojo ni matokeo ya mkusanyiko wa uchafu wa maji maji yanayokusanyika kutoka mwilini ikiwa mkojo umebaki mwilini usababisha madhara mbalimbali kama tutakavyoona. Soma Zaidi...

Kazi ya protin na vyakula vya protini mwilini
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya kazi ya protin na vyakula vya protini mwilini Soma Zaidi...

Vyakula vya kuongeza nguvu za kiume
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya vyakula vinavyoongeza nguvu za kiume Soma Zaidi...