image

Madhara ya chakula kutosagwa vizuri tumboni.

Posti hii inahusu zaidi madhara ya chakula kushindwa kumengenywa vizuri tumboni, haya ni madhara ambayo utokea kwa sababu ya chakula kushindwa kumengenywa vizuri tumboni.

Madhara ya chakula kushindwa kumengenywa vizuri tumboni.

1. Mzunguko wa damu kuharibika na kuwa mdogo.

Kwa kawaida ili chakula kiweze kusambaa kutoka sehemu moja kwenda nyingine na kufanya kazi mbalimbali kwenye mwili utokana na kiwango cha kusagia kwa chakula tumboni na pia damu uweza kusafiri kutoka sehemu moja kwenda nyingine kwa sababu ya kuwepo kwa mmeng'enyo mzuri wa chakula.

 

 

 

 

 

2. Maumivu kwenye kiuno na mgongo.

Kwa sababu chakula kinapaswa kusagwa vizuri kabisa na kufanya kazi mbalimbali kwenye mwili ni vizuri kabisa na pia kusipokuwepo hali ya chakula kusagwa usababisha maumivu ya mgongo na kiuno.

 

 

 

 

 

3. Miguu au mikono kufa ganzi.

Kwa kawaida kuna kipindi ambacho miguu na mikono ufa ganzi ila watu wengi huwa hawaelewi ni kwa sababu gani pengine ni tatizo la chakula kutosagwa vizuri tumboni.

 

 

 

 

4. Kuchoka haraka na kwa mara kwa mara.

Kwa sababu kila kitu mwilini kinapaswa kiwe sawa kabisa hasa usagaji wa vyakula mwilini kwa hiyo usagaji wa chakula isipokuwa vizuri usababisha  mtu kuchoka mara kwa mara.

 

 

 

 

 

5. Kukosa hamu ya kula chakula.

Kwa kawaida ili chakula kiweze kuliwa vizuri ni lazima kuwepo hali ya hamu ya kuwa chakula ni lazima kuwepo kwa hamu ya chakula kwa kufanya hivyo ni lazima kuwepo kwa hamu ya kula chakula.

 

 

 

6. Macho kushindwa kuona vizuri.

Kuna wakati mwingine macho yanashindwa kuona vizuri ni kwa sababu ya chakula kushindwa kumengenywa vizuri kwa sababu baadhi ya virutubisho ukosa na macho yenyewe ushindwa kuona vizuri.

 

 

 

 

 

7. Mapigo ya moyo kwenda kwa haraka.

Kwa kawaida kama kuna shida kwenye mmeng'enyo wa chakula kuna vyakula mbalimbali ukosa ambavyo usababisha mapigo ya moyo kwenda kwa mbio.

 

 

 

 

8. Maumivu ya kichwa .

Kwa sababu ya kuwepo kwa mzunguko mbaya wa damu usababisha maumivu makali ya kichwa kwa sababu ya kuwepo kwa baadhi ya vyakula ambavyo usababisha maumivu makali ya kichwa.

 

 

 

 

9. Kwa hiyo ni vizuri kabisa kuweza kujua tatizo hili na kulifanyia kazi kwa sababu likizidi sana usababisha matatizo makubwa kama tulivyoona yaona mbeleni.





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1902


Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 Madrasa kiganjani    

Post zifazofanana:-

Vyakula vya vitamini
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za vyakula vya vitamini Soma Zaidi...

Huduma ya kwanza kwa mgonjwa aliyepata ajali ya kichwa
Ajali ya kichwa na ajali inayotolewa kwenye sehemu mbalimbali za kichwa, ambavyo husababishwa madhara kwa aliyepata ajali hiyo Soma Zaidi...

tamaa
33. Soma Zaidi...

HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYENG’ATWA NA NYOKA
Nyoka wapo katka makundi makuu mawili, kuna wenye sumu na wasio na sumu. Soma Zaidi...

Namna ya kuyatunza macho
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu namna ya kuyatunza macho Soma Zaidi...

Namna ya kuzuia maambukizi kwenye milija na ovari
Posti hii inahusu zaidi namna ya kuzuia maambukizi kwenye milija na ovari, ni njia ambazo usaidia kuzuia maambukizi kwenye milija na ovari Soma Zaidi...

Mabadiliko yanayotokea wakati wa kubarehe kwa wsichana
Post hii inahusu zaidi mabadiliko katika umri wa kubarehe kwa wsichana, ni kipindi ambacho watoto huelekea ujana, utokea Kati ya miaka kuanzia Kumi na kuendelea. Soma Zaidi...

HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYENG’ATWA NA NYUKI
Kung’atwa na nyuki kunaweza kukahitaji huduma ya kwanza kwa haraka kama mgonjwa ana aleji na nyuki. Soma Zaidi...

Haya hayawezi kuambukiza UKIMWI
Somo hili linakwenda kukuletea Mambo ambayo hayawezi kuambukiza UKIMWI Soma Zaidi...

viapo
20. Soma Zaidi...

Aina za mishipa inayosafilisha damu mwilni
Post hii inahusu zaidi mishipa inayosafilisha damu mwilni, ni Aina tatu za mishipa ambazo usafilisha damu kutoka sehemu Moja kwenda nyingine Soma Zaidi...

Mambo yanayoweza kudhoofisha kinga ya mwili
Kinga ya mwili inapodhoofu mwili unakuwa hatarini kupata maradhi. Je unayajuwa mambo yanayodhoofisha kinga ysbmeili? Soma Zaidi...