Madhara ya chakula kutosagwa vizuri tumboni.

Posti hii inahusu zaidi madhara ya chakula kushindwa kumengenywa vizuri tumboni, haya ni madhara ambayo utokea kwa sababu ya chakula kushindwa kumengenywa vizuri tumboni.

Madhara ya chakula kushindwa kumengenywa vizuri tumboni.

1. Mzunguko wa damu kuharibika na kuwa mdogo.

Kwa kawaida ili chakula kiweze kusambaa kutoka sehemu moja kwenda nyingine na kufanya kazi mbalimbali kwenye mwili utokana na kiwango cha kusagia kwa chakula tumboni na pia damu uweza kusafiri kutoka sehemu moja kwenda nyingine kwa sababu ya kuwepo kwa mmeng'enyo mzuri wa chakula.

 

 

 

 

 

2. Maumivu kwenye kiuno na mgongo.

Kwa sababu chakula kinapaswa kusagwa vizuri kabisa na kufanya kazi mbalimbali kwenye mwili ni vizuri kabisa na pia kusipokuwepo hali ya chakula kusagwa usababisha maumivu ya mgongo na kiuno.

 

 

 

 

 

3. Miguu au mikono kufa ganzi.

Kwa kawaida kuna kipindi ambacho miguu na mikono ufa ganzi ila watu wengi huwa hawaelewi ni kwa sababu gani pengine ni tatizo la chakula kutosagwa vizuri tumboni.

 

 

 

 

4. Kuchoka haraka na kwa mara kwa mara.

Kwa sababu kila kitu mwilini kinapaswa kiwe sawa kabisa hasa usagaji wa vyakula mwilini kwa hiyo usagaji wa chakula isipokuwa vizuri usababisha  mtu kuchoka mara kwa mara.

 

 

 

 

 

5. Kukosa hamu ya kula chakula.

Kwa kawaida ili chakula kiweze kuliwa vizuri ni lazima kuwepo hali ya hamu ya kuwa chakula ni lazima kuwepo kwa hamu ya chakula kwa kufanya hivyo ni lazima kuwepo kwa hamu ya kula chakula.

 

 

 

6. Macho kushindwa kuona vizuri.

Kuna wakati mwingine macho yanashindwa kuona vizuri ni kwa sababu ya chakula kushindwa kumengenywa vizuri kwa sababu baadhi ya virutubisho ukosa na macho yenyewe ushindwa kuona vizuri.

 

 

 

 

 

7. Mapigo ya moyo kwenda kwa haraka.

Kwa kawaida kama kuna shida kwenye mmeng'enyo wa chakula kuna vyakula mbalimbali ukosa ambavyo usababisha mapigo ya moyo kwenda kwa mbio.

 

 

 

 

8. Maumivu ya kichwa .

Kwa sababu ya kuwepo kwa mzunguko mbaya wa damu usababisha maumivu makali ya kichwa kwa sababu ya kuwepo kwa baadhi ya vyakula ambavyo usababisha maumivu makali ya kichwa.

 

 

 

 

9. Kwa hiyo ni vizuri kabisa kuweza kujua tatizo hili na kulifanyia kazi kwa sababu likizidi sana usababisha matatizo makubwa kama tulivyoona yaona mbeleni.

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2022/07/16/Saturday - 02:03:01 pm     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1681

Post zifazofanana:-

Mji wa Makkah na kabila la kiqureish
Bara arabu zama za jahiliyyah (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

Athari za mkojo mwilini.
Posti hii inahusu zaidi athari za mkojo mwilini, kwa kawaida tunafahamu kwamba mkojo ni matokeo ya mkusanyiko wa uchafu wa maji maji yanayokusanyika kutoka mwilini ikiwa mkojo umebaki mwilini usababisha madhara mbalimbali kama tutakavyoona. Soma Zaidi...

Njia za kupunguza tatizo la kutanuka kwa tezi dume.
Posti hii inahusu zaidi njia ambazo tunaweza kutumia ili kuweza kupunguza tatizo hili la kutanuka kwa tezi dume, kwa hiyo tunaweza kutumia njia zifuatazo ili kuweza kupunguza tatizo hili kwenye jamii kama ifuatavyo. Soma Zaidi...

Dalili za ugonjwa sugu wa Figo.
Ugonjwa sugu wa figo, pia huitwa kushindwa kwa figo sugu, huelezea upotevu wa taratibu wa utendakazi wa figo. Figo zako huchuja taka na Majimaji kupita kiasi kutoka kwa damu yako, ambayo hutolewa kwenye mkojo wako. Ugonjwa sugu wa figo unapofikia hatua Soma Zaidi...

Faida za kitunguu maji/ onion
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu umuhimu wa kitunguu maji mwilini Soma Zaidi...

Pilipili kali
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za pilipili kali Soma Zaidi...

Kumuamini mwenyezi Mungu..
Nguzo za Imani (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

Namna ya kutumia tiba ya jino.
Posti hii inahusu zaidi namna au njia ya kufanya Ili kuweza kutumia tiba hii ya jino, kwa sababu ya mchanganyiko ambao umekwisha kuwepo kwa hiyo unachumua mchanganyiko unafanya kama ifuatavyo. Soma Zaidi...

Tofauti kati ya hijjah na umrah
Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

Sababu za kushuka surat Al-Kawthar
Sura hii ni miongoni mwa Sura fupi sanya huwenda ndiosura yenye aya chache kuliko sura zote katika Quran. Soma Zaidi...

Maswali kuhusu hali ya bara arabu zama za jahiliyyah
Bara arabu zama za jahiliyyah (EDK form 2 dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

Matatizo yanayosababisha saratani ya mapafu
Posti hii inaonyesha matatizo yanayosababisha saratani ya mapafu . Soma Zaidi...