image

Huduma ya kwanza kwa mwenye jeraha linalotoa damu

Posti inahusu huduma ya kwanza kwa mwenye jeraha linalotoa damu.huduma ya kwanza Ni kumsaidia mtu alie pata jeraha au ajali kabla hajamwona dactari au kufika hospitalinia.

  Jinsi au namna ya kutoa huduma ya kwanza kwa mwe mwenye jeraha linalotoa Damu.

1.mwondoe kwenye hiyo sehemu ya Hatari ukizingatia usalama wake na usalama wako ili kusitokee Tena madhara au ajali nyingine .

 

2.angalia hewa, upumuaji,na mzunguko wake (asses airway, breathing and circulation) hii inakusaidia kujua Kama yupo Hali ya kawaida,amezimia,au koma (unconsciousness) na inakusaidia wewe kujua utaanzia wapi kumsadia mtu huyo aliyepa jeraha. Utagundua kuwa mgonjwa huyo anahitaji huduma ya haraka Sana, au huduma ya kusaidian wewe Kama wewe tu .

 

3.nawa mikono yako kabla hujagusa jeraha Hilo ili usiambukizie bacteria .

 

4. Kandamiza sehemu inayotoa Damu kwa kitambaa Safi na salama lakini Kama Damu zikizidi kutoka usikiondoe kitambaa hicho Bali weka lingine juu  mpaka Damu itakapo acha kutoka.

 

5.mpeleke mgonjwa hospitalini kwaajili ya matibabu zaidi endapo jeraha  Kama Ni kubwa na unaona kabisa kabisa kidonda hiko hakiwezi kupona haraka au kitachelewa ili jeraha lisije likaoza.

   

     Mwisho; huduma ya kwanza Ni huduma inayowasaidia watu wengi Sana ambao wanapata ajali mbalimbali Kama za magari, za miti n.k husaidia kuokoa maisha ya mtu, kupata huduma ya haraka n.k





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1331


Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Madrasa kiganjani    

Post zifazofanana:-

Mambo yanayoathiri Uponyaji was jeraha.
Posti hii inazungumzia kuhusiana na Mambo yanayoweza kuadhiri Uponyaji wa jeraha.jeraha huleta maumivu makali sana, vilevile Uvimbe, kutoa usaha. Pia jeraha hutofautiana katika kupona kwa mtu mzima na Mtoto. Soma Zaidi...

HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYEUNGUA
Kuungua kupo kwa aina nyingi. Soma Zaidi...

Njia za kufuata unapohudumia watu waliopata ajali
Post hii inahusu zaidi namna ya kutoa huduma ya kwanza kwa watu waliopata ajali. Ajali ni tukio lisilotarajiwa ambalo kinaweza kumkuta mtu yeyote, tunapotoa huduma ya kwanza tnazingatia rangi ambazo huwakilisha jinsi watu walivyoumia. Soma Zaidi...

Faida za kusafisha vidonda.
Posti hii inahusu zaidi faida za kusafisha vidonda, ni faida ambazo Mgonjwa mwenye vidonge uzipata kama ifuatavyo. Soma Zaidi...

Fahamu kuhusu virutubisho vya wanga na kazi zake mwilini
Katika vyakula tunaposema wanga tunamaanisha virutubisho ambavyo hupatikana kwenye vyakula. Hivi husaidia sana katika kuifanya miili yetu iwe na nguvu. Soma Zaidi...

viapo
20. Soma Zaidi...

HUDUMA YA KWANZA KWA MWENYE KIZUNGUZUNGU
Unapokuwa na kizunguzungu unashindwa kuudhibiti mwili wako, unaweza kuanguka kabisa. Soma Zaidi...

Mambo yanayopunguza nguvu za kiume
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu Mambo yanayopunguza nguvu za kiume Soma Zaidi...

Roghage/ vyakula vya kambakamba
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya roghage Soma Zaidi...

Njia za kukabiliana na presha ya kupanda/hypertension
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kukabiliana na presha ya kupanda Soma Zaidi...

Huduma ya Kwanza kwa aliyepatwa na presha ya kushuka
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyepatwa na presha ya kushuka Soma Zaidi...

Ntajilinda vipi na magonjwa ya meno
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kujilinda na magonjwa ya meno Soma Zaidi...