Huduma ya kwanza kwa mwenye jeraha linalotoa damu

Posti inahusu huduma ya kwanza kwa mwenye jeraha linalotoa damu.huduma ya kwanza Ni kumsaidia mtu alie pata jeraha au ajali kabla hajamwona dactari au kufika hospitalinia.

  Jinsi au namna ya kutoa huduma ya kwanza kwa mwe mwenye jeraha linalotoa Damu.

1.mwondoe kwenye hiyo sehemu ya Hatari ukizingatia usalama wake na usalama wako ili kusitokee Tena madhara au ajali nyingine .

 

2.angalia hewa, upumuaji,na mzunguko wake (asses airway, breathing and circulation) hii inakusaidia kujua Kama yupo Hali ya kawaida,amezimia,au koma (unconsciousness) na inakusaidia wewe kujua utaanzia wapi kumsadia mtu huyo aliyepa jeraha. Utagundua kuwa mgonjwa huyo anahitaji huduma ya haraka Sana, au huduma ya kusaidian wewe Kama wewe tu .

 

3.nawa mikono yako kabla hujagusa jeraha Hilo ili usiambukizie bacteria .

 

4. Kandamiza sehemu inayotoa Damu kwa kitambaa Safi na salama lakini Kama Damu zikizidi kutoka usikiondoe kitambaa hicho Bali weka lingine juu  mpaka Damu itakapo acha kutoka.

 

5.mpeleke mgonjwa hospitalini kwaajili ya matibabu zaidi endapo jeraha  Kama Ni kubwa na unaona kabisa kabisa kidonda hiko hakiwezi kupona haraka au kitachelewa ili jeraha lisije likaoza.

   

     Mwisho; huduma ya kwanza Ni huduma inayowasaidia watu wengi Sana ambao wanapata ajali mbalimbali Kama za magari, za miti n.k husaidia kuokoa maisha ya mtu, kupata huduma ya haraka n.k

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 2451

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Matokeo ya maambukizi kwenye milija na ovari

Posti hii inahusu zaidi matokeo ya maambukizi kwenye milija na ovari, ni matokeo apatayo mtu mwenye maambukizi kwenye milija na ovari.

Soma Zaidi...
Habari,mfano umekunywa dawa za chupa hizi halafu baadae unagundua chupa ilikuwa na UFA nn kofanyike

Kunywa soda ama dawa kwenyechupa zakioo ambayo ina ufa ama mipasuko ni hatari. Ni kwa sababu huwezijuwa huwenda kipande kikaingia mdomoni na umangimeza. Sasa nini ufanye endapo umeshakula?

Soma Zaidi...
HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYEPANDWA NA PRESHA

Presha ya kupanda hutokea pale kipimo kinaposoma zaidi ya 120/80mm Hg.

Soma Zaidi...
Madhara ya kutotibu Ugonjwa wa homa ya utu wa mgongo

Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu homa ya uti wa mgongo, kwa kuwa ugonjwa huu mara nyingi uathiri sehemu za kwenye ubongo kuna madhara ambayo yanaweza kutokea endapo Ugonjwa huu haujatibiwa mapema.

Soma Zaidi...
Yajue malengo ya kusafisha vidonda.

Posti hii inahusu zaidi malengo ya kusafisha vidonda, kwa sababu Kuna watu wengine huwa wanajiuliza kwa nini nisafishe kidonda hospitalini au kwenye kituo chochote Cha afya, yafuatayo ni majibu ya kwa Nini nisafishe kidonda.

Soma Zaidi...
Namna ya kuzuia maambukizi kwenye milija na ovari

Posti hii inahusu zaidi namna ya kuzuia maambukizi kwenye milija na ovari, ni njia ambazo usaidia kuzuia maambukizi kwenye milija na ovari

Soma Zaidi...
Matokeo ya maumivu makali.

Posti hii inahusu zaidi matokeo ya maumivu makali , kuna wakati mwingine mgonjwa anapata maumivu makali ya viungo na dawa mbalimbali uweza kutolewa kwa mgonjwa huyo lakini matokeo yake huwa ni kuendelea kwa maumivu kwa hiyo yafuatayo ni matokeo ya maumivu

Soma Zaidi...
Hatua za kufuata baada ya kuhisi kuwa umeambukizwa na virusi vya HIV

Posti hii inahusu zaidi hatua za kufuata unapohisi umeambukizwa na virus vya ukimwi. Kwa sababu watu wengi wanakuwa na kiwewe anapohisi ameambukizwa na virus vya ukimwi kwa hiyo wanapaswa kufanya yafuatayo.

Soma Zaidi...
Kuboresha afya

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu mambo yanayosaidia kuboresha afya

Soma Zaidi...
Mkojo usio wa kawaida huwa na vitu vifuatavyo.

Posti hii inahusu zaidi Aina ya mkojo usiokuwaa wa kawaida uwa na vitu vifuatavyo, ukiona dalili kama hizo wahi mapema hospitalini Ili upatiwe huduma.

Soma Zaidi...