Huduma ya kwanza kwa mwenye jeraha linalotoa damu

Posti inahusu huduma ya kwanza kwa mwenye jeraha linalotoa damu.huduma ya kwanza Ni kumsaidia mtu alie pata jeraha au ajali kabla hajamwona dactari au kufika hospitalinia.

  Jinsi au namna ya kutoa huduma ya kwanza kwa mwe mwenye jeraha linalotoa Damu.

1.mwondoe kwenye hiyo sehemu ya Hatari ukizingatia usalama wake na usalama wako ili kusitokee Tena madhara au ajali nyingine .

 

2.angalia hewa, upumuaji,na mzunguko wake (asses airway, breathing and circulation) hii inakusaidia kujua Kama yupo Hali ya kawaida,amezimia,au koma (unconsciousness) na inakusaidia wewe kujua utaanzia wapi kumsadia mtu huyo aliyepa jeraha. Utagundua kuwa mgonjwa huyo anahitaji huduma ya haraka Sana, au huduma ya kusaidian wewe Kama wewe tu .

 

3.nawa mikono yako kabla hujagusa jeraha Hilo ili usiambukizie bacteria .

 

4. Kandamiza sehemu inayotoa Damu kwa kitambaa Safi na salama lakini Kama Damu zikizidi kutoka usikiondoe kitambaa hicho Bali weka lingine juu  mpaka Damu itakapo acha kutoka.

 

5.mpeleke mgonjwa hospitalini kwaajili ya matibabu zaidi endapo jeraha  Kama Ni kubwa na unaona kabisa kabisa kidonda hiko hakiwezi kupona haraka au kitachelewa ili jeraha lisije likaoza.

   

     Mwisho; huduma ya kwanza Ni huduma inayowasaidia watu wengi Sana ambao wanapata ajali mbalimbali Kama za magari, za miti n.k husaidia kuokoa maisha ya mtu, kupata huduma ya haraka n.k

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 2650

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

Namna ya kuyatunza macho

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu namna ya kuyatunza macho

Soma Zaidi...
Madhara ya kutotibu Ugonjwa wa homa ya utu wa mgongo

Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu homa ya uti wa mgongo, kwa kuwa ugonjwa huu mara nyingi uathiri sehemu za kwenye ubongo kuna madhara ambayo yanaweza kutokea endapo Ugonjwa huu haujatibiwa mapema.

Soma Zaidi...
Kushiriki ngono na mtu aliye na vvu na ukimwi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu kushiriki-ngono-na-mtu-aliye-na-vvu-na-ukimwi

Soma Zaidi...
HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYEPATA JOTO LA JUU ZAIDI (HEAT STROKE)

Hii ni hali inayotokea ambapo wili unakuwa na joto la juu sana tofauti na kawaida.

Soma Zaidi...
Huduma ya kwanza kwa mgonjwa aliyepata ajali ya kichwa

Ajali ya kichwa na ajali inayotolewa kwenye sehemu mbalimbali za kichwa, ambavyo husababishwa madhara kwa aliyepata ajali hiyo

Soma Zaidi...
Mzunguko wa mwezi kwa mwanamke

Posti hii inahusu zaidi mzunguko wa mwezi kwa mwanamke, ni mzunguko ambao huchukua siku ishilini na nane kwa kawaida Ila lla ubadilika kulingana na mtu, Ila ngoja tuangalie siku ishilini na nane tu.

Soma Zaidi...
Huduma ya Kwanza kwa mwenye kizunguzungu

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu mwenye kizunguzungu

Soma Zaidi...
Sababu za michubuko kwa watoto wanaozaliwa

Post hii inahusu zaidi sababu za michubuko kwa watoto wanaozaliwa,ni sababu ambazo uweza kuchangia kuwepo kwa michubuko kwa watoto wanaozaliwa.

Soma Zaidi...
Kwanini mdomo unakuwa mchungu

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za mdomo kuwa mchungu

Soma Zaidi...
Dalili za unyanyasaji wa kimwili

Unyanyasaji wa kimwili. Unyanyasaji wa watoto kimwili hutokea wakati mtoto amejeruhiwa kimwili kimakusudi. Unyanyasaji wa kijinsia. Unyanyasaji wa watoto kingono ni shughuli yoyote ya kingono na mtoto, kama vile kumpapasa, kushikana mdomo na sehemu

Soma Zaidi...