picha

Namna ya kusaidia vijana wakati wa kubarehe

Post hii inahusu zaidi namna ya kuwasaidia vijana wakati wa kubarehe, ni njia za kuhakikisha kuwa vijana wanakuwa na mwelekeo ,

Namna ya kuwasaidia vijana wakati wa kubarehe

1. Kuwashauri na kuwaambia ukweli kuhusu kipindi walichomo na wakitumia vibaya wakati huo na kujua madhara katika maisha yoa

 

2.Kuhakikisha vijana wanakuwa wasafi katika miili yao maana uchafu unaowatoka sio kama vile walipokuwa watoto

3. Kujua marafiki zao na kuhakikisha wanakuwa na marafiki wa maana

 

4. Kuwafundisha juu ya uzazi wa mpango, kujua faida na hasara zake

5 .kuwajulisha kuwa Kuna magonjwa ya hatari kama vile magonjwa ya ngono na Ukimwi.

 

 

 

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Huduma Main: Post File: Download PDF Views 1637

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 ai web app     👉5 kitabu cha Simulizi     👉6 Bongolite - Game zone - Play free game    

Post zinazofanana:

Huduma ya kwanz akwa aliyeumwa na nyoka

Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kumsaidia aliyeumwa na nyoka

Soma Zaidi...
Habari,mfano umekunywa dawa za chupa hizi halafu baadae unagundua chupa ilikuwa na UFA nn kofanyike

Kunywa soda ama dawa kwenyechupa zakioo ambayo ina ufa ama mipasuko ni hatari. Ni kwa sababu huwezijuwa huwenda kipande kikaingia mdomoni na umangimeza. Sasa nini ufanye endapo umeshakula?

Soma Zaidi...
Madhara ya kunywa pombe kiafya

Posti hii inahusu zaidi madhara ya kunywa pombe kiafya, ni madhara ambayo utokea kwa watu wanaokumywa pombe kwa kupita kiasi kwa hiyo wanapaswa kupunguza kunywa pombe baada ya kujua madhara yake.

Soma Zaidi...
Namna ya kumsaidia mgonjwa aliye na Maambukizi kwenye milija na ovari

Posti hii inahusu zaidi namna ya kuwasaidia wagonjwa waliopata maambukizi kwenye milija na ovari, ni wagonjwa waliopata maambukizi kwenye milija na ovari.

Soma Zaidi...
Maana ya afya

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maana ya afya

Soma Zaidi...
Zijue kazi za Figo mwilini

Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa Figo mwilini, Figo ni ogani ambayo kazi yake ni kuchuja sumu mwilini.

Soma Zaidi...