Posti hii inahusu zaidi mgawanyo wa matibabu ya kifua kikuu, tunajua kubwa kifua kikuu ni Ugonjwa ambao utumia mda mrefu kidogo katika matibabu kwa hiyo mgawanyiko wake uko kwenye sehemu mbili muhimu kama tutajavyoona
Mgawanyo wa matibabu ya kifua kikuu.
1.Kifua kikuu ni Ugonjwa ambao utumia mda mrefu kidogo wakati wa matibabu kwa hiyo matibabu yake yamegawanyika kwenye sehemu mbili muhimu ambapo mtu anaweza kutumia dawa za sehemu ya kwanza akapona na mwingine anaweza kutumia zote mbili na akapona vizuri kwa hiyo inategemea.
2.Sehemu ya kwanza ya matibabu mgonjwa utumia dawa zifuatazo kama vile Rifampicin, Isoniazid, pyrazinamide na ethambutol hizi dawa mgonjwa uzitumia kwa kipindi cha miezi miwili kwa mgonjwa aliyetambulika kwa na kifua kikuu.
3.Katika miezi mingine miwili mgonjwa uendelee kutumia dawa za Rifampicin, Isoniazid, ethambutol, pyrazinamide na kuongezea na streptomycin , dawa hizi utumika kwa kipindi cha miezi miwili ambapo mgonjwa kila siku ni lazima awe anatumia dawa hizo na kwa uaminifu. Na pia mgonjwa urudia dawa za kwenye miezi miwili ya mwanzoni na utumia dawa hizo kwa kipindi cha mwezi mmoja.
4.Kama Mgonjwa hajapona katika miezi ya mwanzo mgonjwa utumia dawa mbili tu ambazo ni Rifampicin na Isoniazid kwa kipindi cha miezi minne na akimaliza miezi hiyo mingine anao gezewa Ethambutol kwenye Rifampicin na Isoniazid dawa hizi mgonjwa uzitumia kwa kipindi cha miezi mitano na kama mgonjwa akitumia dawa zake vizuri yaani kupona kutakuwa rahisi mno.
5.Na katika matumizi ya dawa hizi unapaswa kuwasiliana na wataalamu wa afya ambao wataweza kukupatia maelekezo kwenye matumizi ya dawa kwa hiyo tunapaswa kuwapeleka wagonjwa wetu ili wapate dawa na kutibu ugonjwa huu
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukuletea namna ambavyo mwili unapambana na maradhi
Soma Zaidi...Kuzimia ni hali ya kupoteza fahamu ambako kunaendana na kutokuhema.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi kazi ya chanjo za polio na kazi zake,hii ni chanjo ambayo unazuia maambukizi ya Virusi vinavyosababisha polio.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi ugonjwa wa kipindupindu ni ugonjwa unaosababishwa na bakteria kwa kitaalamu huitwa vibrio cholera.
Soma Zaidi...Post hii inahusu namna ya kutoa huduma ya kwanza kwa mtu aliyeungua moto, kuingia moto ni kitendo Cha kubabuka ngozi ya juu inaweza kuwa kwa kemikali,umeme na just,
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi huduma ya kwanza ya mgonjwa mwenye jeraha la kawaida kwenye ubongo, ni Tiba ambayo utolewa kulingana na dalili za jeraha la kawaida kwenye ubongo kama ifuayavyo.
Soma Zaidi...Tunahitaji kuwa na protini mwilini. Kuna baadhi ya makundi ya watu wanahitaji protini zaidi. Je unawajuwa hao ni kina nana?, na je unauwa kazi za protini mwilini na athari za upungufu wake? endelea na makala hii.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi umuhimu wa makundi manne ya damu na jinsi yanavyotumika, Ni magroup manne ya damu ambayo husaidia kuongeza damu kwa mtu ambaye amepungukiwa damu
Soma Zaidi...Post inaenda kuzungumzia kuhusiana na upungufu wa damu mwilini ambapo tutaona SABABU na dalili zake lakin upungufu wa damu mwilini hujulikana Kama ANEMIA.
Soma Zaidi...