Mgawanyo wa matibabu ya kifua kikuu.

Posti hii inahusu zaidi mgawanyo wa matibabu ya kifua kikuu, tunajua kubwa kifua kikuu ni Ugonjwa ambao utumia mda mrefu kidogo katika matibabu kwa hiyo mgawanyiko wake uko kwenye sehemu mbili muhimu kama tutajavyoona

Mgawanyo wa matibabu ya kifua kikuu.

1.Kifua kikuu ni Ugonjwa  ambao utumia mda mrefu kidogo wakati wa matibabu kwa hiyo matibabu yake yamegawanyika kwenye sehemu mbili muhimu ambapo mtu anaweza kutumia dawa za sehemu ya kwanza akapona na mwingine anaweza kutumia zote mbili na akapona vizuri kwa hiyo inategemea.

 

2.Sehemu ya kwanza ya matibabu mgonjwa utumia dawa zifuatazo kama vile Rifampicin, Isoniazid, pyrazinamide na ethambutol hizi dawa mgonjwa uzitumia kwa kipindi cha miezi miwili kwa mgonjwa aliyetambulika kwa na kifua kikuu.

 

3.Katika miezi mingine miwili mgonjwa uendelee kutumia dawa za Rifampicin, Isoniazid, ethambutol, pyrazinamide na kuongezea na streptomycin , dawa hizi utumika kwa kipindi cha miezi miwili ambapo mgonjwa kila siku ni lazima awe anatumia dawa hizo na kwa uaminifu. Na pia mgonjwa urudia dawa za kwenye miezi miwili ya mwanzoni na utumia dawa hizo kwa kipindi cha mwezi mmoja.

 

4.Kama Mgonjwa hajapona katika miezi ya mwanzo  mgonjwa utumia dawa mbili tu ambazo ni Rifampicin na Isoniazid kwa kipindi cha miezi minne na akimaliza miezi hiyo mingine anao gezewa Ethambutol kwenye Rifampicin na Isoniazid dawa hizi mgonjwa uzitumia kwa kipindi cha miezi mitano na kama mgonjwa akitumia dawa zake vizuri yaani kupona kutakuwa rahisi mno.

 

5.Na katika matumizi ya dawa hizi unapaswa kuwasiliana na wataalamu wa afya ambao wataweza kukupatia maelekezo kwenye matumizi ya dawa kwa hiyo tunapaswa kuwapeleka wagonjwa wetu ili wapate dawa na kutibu ugonjwa huu

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 935

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

Fahamu kuhusu madhara ya uzito mkubwa

Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kwa mtu mwenye uzito mkubwa,kwa kawaida ili mtu aweze kuwa na uzito wa kawaida ni vizuri na kiafya kupima urefu ukilinganisha na uzito wa mtu.

Soma Zaidi...
Vyakula vya madini

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya madini mwilini

Soma Zaidi...
huduma ya kwanza kwa mtu aliyeingiwa na uchafu sikioni

Post hii inahusu huduma ya kwanza kwa mtu aliyeingiwa na uchafu au kitu chochote sikioni. Sikio ni mojawapo ya milango ya fahamu ambapo hutumika kusikia, Kuna wakati vitu uingia ndani yake na kuleta madhara

Soma Zaidi...
Kawaida Mtu anatakiwa na kiwango gani Cha presha

Nimeambiwa presha yangu umeshuka iko 90/60 na Nina umri wa miaka 26 KawaidaMtu anatakiwa na kiwango gani Cha presha

Soma Zaidi...
Huduma ya kwanza kwa mwenye uchafu kwenye sikio.

Posti hii inaelezea kuhusiana na mbinu za kutoa huduma ya kwanza kqa mgonjwa aliyeingiliwa na kitu au uchafu kwenye sikio.

Soma Zaidi...
Kwanini mdomo unakuwa mchungu

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za mdomo kuwa mchungu

Soma Zaidi...
Namna ambavyo mwili unapambana na maradhi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu namna ambavyo mwili unapambana na maradhi

Soma Zaidi...
Upungufu was fati

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu madhara ya upungufu was fati

Soma Zaidi...
HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYEPANDWA NA PRESHA

Presha ya kupanda hutokea pale kipimo kinaposoma zaidi ya 120/80mm Hg.

Soma Zaidi...