Posti hii inahusu zaidi mgawanyo wa matibabu ya kifua kikuu, tunajua kubwa kifua kikuu ni Ugonjwa ambao utumia mda mrefu kidogo katika matibabu kwa hiyo mgawanyiko wake uko kwenye sehemu mbili muhimu kama tutajavyoona
Mgawanyo wa matibabu ya kifua kikuu.
1.Kifua kikuu ni Ugonjwa ambao utumia mda mrefu kidogo wakati wa matibabu kwa hiyo matibabu yake yamegawanyika kwenye sehemu mbili muhimu ambapo mtu anaweza kutumia dawa za sehemu ya kwanza akapona na mwingine anaweza kutumia zote mbili na akapona vizuri kwa hiyo inategemea.
2.Sehemu ya kwanza ya matibabu mgonjwa utumia dawa zifuatazo kama vile Rifampicin, Isoniazid, pyrazinamide na ethambutol hizi dawa mgonjwa uzitumia kwa kipindi cha miezi miwili kwa mgonjwa aliyetambulika kwa na kifua kikuu.
3.Katika miezi mingine miwili mgonjwa uendelee kutumia dawa za Rifampicin, Isoniazid, ethambutol, pyrazinamide na kuongezea na streptomycin , dawa hizi utumika kwa kipindi cha miezi miwili ambapo mgonjwa kila siku ni lazima awe anatumia dawa hizo na kwa uaminifu. Na pia mgonjwa urudia dawa za kwenye miezi miwili ya mwanzoni na utumia dawa hizo kwa kipindi cha mwezi mmoja.
4.Kama Mgonjwa hajapona katika miezi ya mwanzo mgonjwa utumia dawa mbili tu ambazo ni Rifampicin na Isoniazid kwa kipindi cha miezi minne na akimaliza miezi hiyo mingine anao gezewa Ethambutol kwenye Rifampicin na Isoniazid dawa hizi mgonjwa uzitumia kwa kipindi cha miezi mitano na kama mgonjwa akitumia dawa zake vizuri yaani kupona kutakuwa rahisi mno.
5.Na katika matumizi ya dawa hizi unapaswa kuwasiliana na wataalamu wa afya ambao wataweza kukupatia maelekezo kwenye matumizi ya dawa kwa hiyo tunapaswa kuwapeleka wagonjwa wetu ili wapate dawa na kutibu ugonjwa huu
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Kukaza kwa misuli lunaweza kutokea muda wowote ila mara nyingi hutokea pindi mtu anapofanya mazoezi, amnapoogelea ama anapofanya kazi.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi namna mimba inavyotungwa mpaka mtoto kuingia kwenye mfuko wa uzazi, mimba kutungwa ni kitendo ambapo mbegu za kiume kuungana na yai la kike na kutengeneza zygote.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi imani potofu waliyonayo Watu kuhusu ugonjwa wa kifua kikuu, hizi ni imani ambazo uwepo kwenye jamii na pengine uweza kuaminika lakini si za ukweli.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu namna ya kumfanyia mgonjwa usafi mwili mzima, ni njia ambazo utumika kumfanyia mgonjwa usafi mwili mzima au kumwosha Mgonjwa hasa wale walio mahututi na hawawezi kuamka kitandani.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mbinu za kuondoa sumu mwilini, ni njia mbalimbali ambazo uweza kutumika ili kuondoa sumu mwilini.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi rangi isiyo ya kawaida kwenye mkojo, kawaida mkojo huwa na rangi ya kahawia Ila ukiona rangi zifuatazo Kuna shida kwenye mkojo.
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kuzuia kiungulia
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi kazi ya chanjo za polio na kazi zake,hii ni chanjo ambayo unazuia maambukizi ya Virusi vinavyosababisha polio.
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu utaratibu wa lishe kwa wajawazito na wanaonyonyesha
Soma Zaidi...