Kama mtu anatokwa na damu za pua, basi juwa kuwa anahitaji huduma ya kwanza.
Kama mtu anatokwa na damu za pua, basi juwa kuwa anahitaji huduma ya kwanza. Kwanza msaidie mgonjwa kumtuliza, asipaniki. Kutokwa na damu puani kunaweza kutibika bila hata ya kuhitaji kwenda hospitali. Ila kwanza angalia hali aliyo mgonjwa na ni kwa kiasi gani damu inatoka, na ni kwasababu gani.
Baada ya kujiridhisha na hali ya mgonjwa unaweza kutoa taarifa kwa watu wa karibu ama kuwasiliana na kituo cha afya jirani. Wakati ukisubiri msaada unaweza kumpa mgojwa huduma ya kwanza kwa kufuata njia zifuatazo:-
1.mkalishe mgonjwa na ainamishe kichwa chake kwa mbele
2.Kwa kutumia vidole vyako minywa pua yake kuziba matundu ya pua zake
3.Fanya hivi kwa kuziba a kuachwa kwa muda wa dakika tano
4.Endelea mpaka uone damu imekata
5.Kama damu itaendelea kutoka kwa muda wa dakika 20 zaidi basi mpeleke mgonjwa kituo cha afya jirani.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowJe umeipenda post hii ?
Kifafa hakiambukizi na ugonjwa wa ubongo lakini kifafa pia hakiathiri akili au ubongo Ila kikiwa kifafa Cha kudumu na Cha nguvu ndio huweza kuadhiri. Pia Kuna kifafa Cha mimba na kifafa Cha kawaida.kifafa Cha mimba ndio kinahatari Sana kuliko Cha Kawaid
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya vyakula vinavyoongeza nguvu za kiume
Soma Zaidi...Ajali ya kichwa na ajali inayotolewa kwenye sehemu mbalimbali za kichwa, ambavyo husababishwa madhara kwa aliyepata ajali hiyo
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea endapo tatizo halijatibiwa.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia za kuzuia damu isiendelee kuvuja, ni njia ambazo utumika ikiwa kuna damu inavuja kwenye sehemu yoyote ya mwili,kwa hiyo tunaweza kutumia njia hizi ili kuepuka kuendelea kuvuja kwa damu.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kukabiliana na presha ya kushuka
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi athari za mkojo mwilini, kwa kawaida tunafahamu kwamba mkojo ni matokeo ya mkusanyiko wa uchafu wa maji maji yanayokusanyika kutoka mwilini ikiwa mkojo umebaki mwilini usababisha madhara mbalimbali kama tutakavyoona.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi kazi za ini, ni kiungo muhimu kwenye mwili ambacho Kina umuhimu sana, bila ini maisha ya mwanadamu yanaweza kuishia pabaya
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea Mambo ambayo hayawezi kuambukiza UKIMWI
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi huduma ya kwanza ya mgonjwa mwenye jeraha la kawaida kwenye ubongo, ni Tiba ambayo utolewa kulingana na dalili za jeraha la kawaida kwenye ubongo kama ifuayavyo.
Soma Zaidi...