picha

HUDUMA YA KWANZA KWA MTU ANAYETOKWA NA DAMU YA PUA

Kama mtu anatokwa na damu za pua, basi juwa kuwa anahitaji huduma ya kwanza.

HUDUMA YA KWANZA KWA MTU ANAYETOKWA NA DAMU YA PUA

HUDUMA YA KWANZA KWA MTU ANAYETOKWA NA DAMU YA PUA


Kama mtu anatokwa na damu za pua, basi juwa kuwa anahitaji huduma ya kwanza. Kwanza msaidie mgonjwa kumtuliza, asipaniki. Kutokwa na damu puani kunaweza kutibika bila hata ya kuhitaji kwenda hospitali. Ila kwanza angalia hali aliyo mgonjwa na ni kwa kiasi gani damu inatoka, na ni kwasababu gani.



Baada ya kujiridhisha na hali ya mgonjwa unaweza kutoa taarifa kwa watu wa karibu ama kuwasiliana na kituo cha afya jirani. Wakati ukisubiri msaada unaweza kumpa mgojwa huduma ya kwanza kwa kufuata njia zifuatazo:-


1.mkalishe mgonjwa na ainamishe kichwa chake kwa mbele


2.Kwa kutumia vidole vyako minywa pua yake kuziba matundu ya pua zake


3.Fanya hivi kwa kuziba a kuachwa kwa muda wa dakika tano


4.Endelea mpaka uone damu imekata


5.Kama damu itaendelea kutoka kwa muda wa dakika 20 zaidi basi mpeleke mgonjwa kituo cha afya jirani.



                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Huduma Main: Post File: Download PDF Views 7441

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 web hosting     👉4 Madrasa kiganjani     👉5 Kitau cha Fiqh     👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    

Post zinazofanana:

Dalili za sumu ya pombe

hatari matokeo ya kunywa kiasi kikubwa cha pombe kwa muda mfupi. Kunywa pombe haraka kupita kiasi kunaweza kuathiri kupumua kwako, mapigo ya moyo, halijoto ya mwili na kunaweza kusababisha Coma na kifo.

Soma Zaidi...
Namna ya kumsafisha mgonjwa kinywa

Posti hii inahusu namna ya kumsafisha mgonjwa kinywa,ni njia unazopaswa kufuata wakati unamsafisha mgonjwa kinywa hasa wale walio mahututi.

Soma Zaidi...
Mambo ya kuangalia kwa mtu aliyepoteza fahamu

Posti hii inahusu zaidi mambo ya kuangalia kwa mtu aliyepoteza fahamu, kama mtu amepoteza fahamu Kuna mambo muhimu yanapaswa kuangaliwa kwa makini kama ifuayavyo.

Soma Zaidi...
Umuhimu wa uterusi

Post hii inahusu zaidi umuhimu wa uterusi, ni mfuko unayosaidia kumtunza mtoto akiwa tumboni mwa mama yake.

Soma Zaidi...
Utaratibu wa maisha kwa aliye athirika

Somo hili linakwenda kukuletea utaratibu wa maisha kwa aliye athirika

Soma Zaidi...
Dalili za shambulio la hofu

Shambulio la hofu ni tukio la ghafla la hofu kali ambayo husababisha athari kali za kimwili wakati hakuna hatari halisi au sababu inayoonekana. Mashambulizi ya hofu yanaweza kuwa ya kutisha sana. Mashambulizi ya hofu yanapotokea, unaweza kufikiri kwamba

Soma Zaidi...