Kazi ya chanjo ya Surua

Kazi ya chanjo ya Surua

Posti hii inahusu zaidi kazi ya chanjo ya Surua kwa watoto, ni Aina ya chanjo ambayo utolewa kwa watoto na kufanya kazi mbalimbali mwilini ambazo ni kumkinga mtoto asipatwe na magonjwa.

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Kazi ya chanjo ya Surua.

1. Hii ni chanjo ambayo upewa na watoto Ili kuwakinga na magonjwa mbalimbali kwenye mwili, chanjo hii huwa Iko kwenye mfumo wa poda na uweza kuchanganya Ili iweze kufanya kazi, na wakati wa poda kuchanganya na maji inabidi vyote vinapaswa kutoka kwenye sehemu kiwanda kimoja Ili kuepuka hali ya kuchanganya madawa ambayo yanaweza kuleta madhara makubwa kwa mtoto kwa sababu mtoto mdogo anahitaji uangalizi wa hali ya juu.

 

2. Kama mtoto hasipopota chanjo hii anaweza kuwa na utapiamlo kwa sababu sura usababisha utapiamlo kwa mtoto na makuzi ya mtoto yanakuwa kwa shida kwa hiyo mtoto anakuwa dhaifu hali inayopelekea mtoto kupata magonjwa nyemelezi kama vile upungufu wa damu, kubanwa kifua, kushindwa kupumua hali hii ujitokeza kwa Sababu ya utapiamlo kwa hiyo watoto wanapaswa kupewa chanjo hii Ili waweze kuwa na afya nzuri na pia kuepuka utapiamlo kwa watoto.

 

3. Ugonjwa wa Surua usababisha ubongo wa Mtoto kuwa na matatizo ambapo mtoto anakuwa na matatizo katika kufikilia na hatimaye mtoto anakuwa na upungufu wa akili na anaweza hasieleweke katika jamii na hatimaye kupoteza taiga la kesho, kwa hiyo tunapaswa kuwapatia watoto wetu chanjo ya kuzuia Surua Ili kupunguza watu wasio na akili timamu kwenye jamii na watoto wajisikie vizuri kwenye jamii. Na wazazi wapewe elimu kuhusu kukosa kwa chanjo hiii kwa watoto

 

4. Pengine mtoto hasipopata chanjo hii ya kuzuia Surua anaweza kuwa  bubu au kiziwi na kusababisha madhara mengine ambayo hayakutarajiwa kwa sababu ya hali ya kutojali au kushindwa kumpatia mtoto chanjo akiwa bado mdogo kwa hiyo basi tunapaswa kutimiza wajibu katika kuwashughulikia watoto.

 

5. Pengine mtoto anaweza hasipate chanjo hii ya Surua kwa hiyo mtoto utamtambua kwa dalili zifuatazo kama vile joto la mwili kupanda Mara kwa mara, mtoto anaweza akawa na upele kwenye mwili mzima au sehemu nyingine za mwili, kikohozi ambacho hakikatiki, Macho ya mtoto kuwa mwekundu kwa mda wote, mtoto hasipopata huduma mapema kifo kinaweza kutokea kwa mtoto.kwa hiyo jamii nzima kwa ujumla wanapaswa kuchukua hatua kuhakikisha kuwa watoto wanakata chanjo kwa Sababu magonjwa nyemelezi kwa watoto ni mengi mno.

 

6. Hii chanjo ya Surua inabidi mtoto apewa kwenye miezi tisa naa miezi ya Kumi na nane baada ya mtoto kuzaliwa, kwa hiyo dozi hii utolewa mara mbili tu yaani mwezi wa tisa baada ya kuzaliwa na mwezi wa Kumi na nane baada ya mtoto kuzaliwa kwa hiyo kila mzazi anapaswa kujua hilo na kulitendea kazi .kwa hiyo jamii yote inapaswa kutis maanani chanjo hii Ili kuondoa hali ya kuleta madhara kwenye jamii.

 

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 2127

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

Madhara ya kutotibu magonjwa ya vidonda vya tumbo
Madhara ya kutotibu magonjwa ya vidonda vya tumbo

Post hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu magonjwa ya vidonda vya tumbo, ni hatari inayotokea kwa mtu ambaye haujatibiwa vidonda vya tumbo.

Soma Zaidi...
Viwango vitatu vya kuungua.
Viwango vitatu vya kuungua.

Posti hii inahusu zaidi viwango vitatu vya kuungua. Ili tuweze kujua mtu ameunguaje Kuna viwango vitatu vya kujua kiasi na namna mtu alivyoungua

Soma Zaidi...
Utaratibu wa lishe kwa wajawazito na wanaonyonyeaha
Utaratibu wa lishe kwa wajawazito na wanaonyonyeaha

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu utaratibu wa lishe kwa wajawazito na wanaonyonyesha

Soma Zaidi...
fahamu vitamini A na kazi zake
fahamu vitamini A na kazi zake

Je na wewe i katika wale ambaowanahitaji kujuwa kuhusu Vitamini A, kazi zake na vyakula vya vitamini A. post hii inakwenda kukujuza zaidi pamoja na historia ya vitamini A.

Soma Zaidi...
Vyakula vya fati na mafuta
Vyakula vya fati na mafuta

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya fati na mafuta

Soma Zaidi...
Njia za kuzuia damu isiendelee kuvuja
Njia za kuzuia damu isiendelee kuvuja

Posti hii inahusu zaidi njia za kuzuia damu isiendelee kuvuja, ni njia ambazo utumika ikiwa kuna damu inavuja kwenye sehemu yoyote ya mwili,kwa hiyo tunaweza kutumia njia hizi ili kuepuka kuendelea kuvuja kwa damu.

Soma Zaidi...
Njia za kujikinga na UTI
Njia za kujikinga na UTI

Somo hili linakwenda kukuletea njia za kujikinga na UTI

Soma Zaidi...
Haya hayawezi kuambukiza UKIMWI
Haya hayawezi kuambukiza UKIMWI

Somo hili linakwenda kukuletea mambo ambayo hayawezi kuambukiza UKIMWI

Soma Zaidi...
HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYENG’ATWA NA NYUKI
HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYENG’ATWA NA NYUKI

Kung’atwa na nyuki kunaweza kukahitaji huduma ya kwanza kwa haraka kama mgonjwa ana aleji na nyuki.

Soma Zaidi...
Njia za kuongeza nguvu za kiume
Njia za kuongeza nguvu za kiume

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya njia za kuongeza nguvu za kiume

Soma Zaidi...