Posti hii inahusu zaidi kazi ya chanjo ya Surua kwa watoto, ni Aina ya chanjo ambayo utolewa kwa watoto na kufanya kazi mbalimbali mwilini ambazo ni kumkinga mtoto asipatwe na magonjwa.
Kazi ya chanjo ya Surua.
1. Hii ni chanjo ambayo upewa na watoto Ili kuwakinga na magonjwa mbalimbali kwenye mwili, chanjo hii huwa Iko kwenye mfumo wa poda na uweza kuchanganya Ili iweze kufanya kazi, na wakati wa poda kuchanganya na maji inabidi vyote vinapaswa kutoka kwenye sehemu kiwanda kimoja Ili kuepuka hali ya kuchanganya madawa ambayo yanaweza kuleta madhara makubwa kwa mtoto kwa sababu mtoto mdogo anahitaji uangalizi wa hali ya juu.
2. Kama mtoto hasipopota chanjo hii anaweza kuwa na utapiamlo kwa sababu sura usababisha utapiamlo kwa mtoto na makuzi ya mtoto yanakuwa kwa shida kwa hiyo mtoto anakuwa dhaifu hali inayopelekea mtoto kupata magonjwa nyemelezi kama vile upungufu wa damu, kubanwa kifua, kushindwa kupumua hali hii ujitokeza kwa Sababu ya utapiamlo kwa hiyo watoto wanapaswa kupewa chanjo hii Ili waweze kuwa na afya nzuri na pia kuepuka utapiamlo kwa watoto.
3. Ugonjwa wa Surua usababisha ubongo wa Mtoto kuwa na matatizo ambapo mtoto anakuwa na matatizo katika kufikilia na hatimaye mtoto anakuwa na upungufu wa akili na anaweza hasieleweke katika jamii na hatimaye kupoteza taiga la kesho, kwa hiyo tunapaswa kuwapatia watoto wetu chanjo ya kuzuia Surua Ili kupunguza watu wasio na akili timamu kwenye jamii na watoto wajisikie vizuri kwenye jamii. Na wazazi wapewe elimu kuhusu kukosa kwa chanjo hiii kwa watoto
4. Pengine mtoto hasipopata chanjo hii ya kuzuia Surua anaweza kuwa bubu au kiziwi na kusababisha madhara mengine ambayo hayakutarajiwa kwa sababu ya hali ya kutojali au kushindwa kumpatia mtoto chanjo akiwa bado mdogo kwa hiyo basi tunapaswa kutimiza wajibu katika kuwashughulikia watoto.
5. Pengine mtoto anaweza hasipate chanjo hii ya Surua kwa hiyo mtoto utamtambua kwa dalili zifuatazo kama vile joto la mwili kupanda Mara kwa mara, mtoto anaweza akawa na upele kwenye mwili mzima au sehemu nyingine za mwili, kikohozi ambacho hakikatiki, Macho ya mtoto kuwa mwekundu kwa mda wote, mtoto hasipopata huduma mapema kifo kinaweza kutokea kwa mtoto.kwa hiyo jamii nzima kwa ujumla wanapaswa kuchukua hatua kuhakikisha kuwa watoto wanakata chanjo kwa Sababu magonjwa nyemelezi kwa watoto ni mengi mno.
6. Hii chanjo ya Surua inabidi mtoto apewa kwenye miezi tisa naa miezi ya Kumi na nane baada ya mtoto kuzaliwa, kwa hiyo dozi hii utolewa mara mbili tu yaani mwezi wa tisa baada ya kuzaliwa na mwezi wa Kumi na nane baada ya mtoto kuzaliwa kwa hiyo kila mzazi anapaswa kujua hilo na kulitendea kazi .kwa hiyo jamii yote inapaswa kutis maanani chanjo hii Ili kuondoa hali ya kuleta madhara kwenye jamii.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inazungumzia kuhusiana na Mambo yanayoweza kuadhiri Uponyaji wa jeraha.jeraha huleta maumivu makali sana, vilevile Uvimbe, kutoa usaha. Pia jeraha hutofautiana katika kupona kwa mtu mzima na Mtoto.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi aina kuu za vidonda,kuna aina kuu tatu za vidonda ambapo kila aina utumiwa kwa njia yake kama tutakavyoona hapo chini.
Soma Zaidi...Hii ni hali inayotokea ambapo wili unakuwa na joto la juu sana tofauti na kawaida.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi namna ya kutoa huduma ya kwanza kwa watu waliopata ajali. Ajali ni tukio lisilotarajiwa ambalo kinaweza kumkuta mtu yeyote, tunapotoa huduma ya kwanza tnazingatia rangi ambazo huwakilisha jinsi watu walivyoumia.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi namna ya kuzuia maambukizi kwenye milija na ovari, ni njia ambazo usaidia kuzuia maambukizi kwenye milija na ovari
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu magonjwa ya vidonda vya tumbo, ni hatari inayotokea kwa mtu ambaye haujatibiwa vidonda vya tumbo.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi kutoa huduma ya kwanza kwa mtu aliyekula chakula chenye sumu, kula sumu ni kitendo Cha kula kitu chochote kama dawa,pombe, kemikali na chakula kichafu.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi matokeo ya maumivu makali , kuna wakati mwingine mgonjwa anapata maumivu makali ya viungo na dawa mbalimbali uweza kutolewa kwa mgonjwa huyo lakini matokeo yake huwa ni kuendelea kwa maumivu kwa hiyo yafuatayo ni matokeo ya maumivu
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za mdomo kuwa mchungu
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi umuhimu wa makundi manne ya damu na jinsi yanavyotumika, Ni magroup manne ya damu ambayo husaidia kuongeza damu kwa mtu ambaye amepungukiwa damu
Soma Zaidi...