Post hii inahusu zaidi umuhimu wa makundi manne ya damu na jinsi yanavyotumika, Ni magroup manne ya damu ambayo husaidia kuongeza damu kwa mtu ambaye amepungukiwa damu
Makundi manne ya damu
1. kundi A ni Aina ya group mojawapo ambalo hutoa damu kwa mtu mwenye nkundi A na AB
2. kundi B ni Aina ya kundi ambalo hutoa damu kwa mtu mwenye kundi AB na B
3. kundi AB hutoa damu kwa mtu mwenye kundi AB tu
4. kundi O hutoa damu kwa makundi yoteaA,AB,B na I, lakini hupokea kwa O peke Yao.
Imani potofu kuhusu makundi ya damu
1. Jinsi kundi lako la damu lilovyo ndivyo utu wako ulivyo. Yaani kuna watu wanaamini ukiwa na klundi fulani la damu utakuwa lamda mkarimu sana, ama mkorofi ama una maguvu. Hii sio sahihi kabisa.
2. Kwamba lishe inategemeana pia na aina ya damu ulio nayo. kwa mfano kuna watu wanaamini kuwa ukiwa na damu kundi fulani utatakiwa kula aina maalumu ya vyakula. Jambo hili sio sahihi pia, unaweza kula chakula chochote kile bila ya kuathiri kundi lako la damu.
3. Kwamba kuna baaadhi yakundi ya damu hayapati maradhi kuliko mengine. Ukweli ni kuwa aina ya kundi la damu ulionayo haitakusaidia kukukinga na maradhi, hata HIV. Ijapokuwa kila kundi la damu lina athari yake kwa baadhi ya maradhi lakini hii haimaanishi kuwa kuna makundi ya damu hayapati magonjwa mara kwa mara kulinganisha na mengine.
4. mbu anapenda damu yenye group O. hii pia sio sahihi, kitu kinachomvutia mbu ni hewa ya carbondioxide ambayo unaitowa unapopumuwa. Hii itamjulisha mbu mahala ulipo na upo umbali kiasi gani.
5. Kuwa ukkiwa na group O sio rahisi kupata HIV na UKIMWI, hii pia sio sahii kabisa. Kila kundi la damu lina hatari sawa kupata HIV endapo utajiingiza kwenye mazingira hatarishi ya kuweza kupata HIV.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu kushiriki-ngono-na-mtu-aliye-na-vvu-na-ukimwi
Soma Zaidi...Pumu ni ugonjwa ambao huathiri sehemu ya kupitisha hewa kwenda kwenye mapafu ya binadamu kitaalamu huitwa bronchioles. Mtu mwenye pumu huwa na michubuko sugu mwilini kwenye mirija yake ya kupitisha hewa. Hali ambayo husababisha kuvimba kwa kuta za mirija
Soma Zaidi...Post hii inahusu Aina za kuungua, kuungua ni Hali ya kubabuka kwa ngozi ya mwili na kusababisha madhara mbalimbali
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya vyakula vinavyoongeza nguvu za kiume
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi chanjo ambazo utolewa nchini Tanzania, ni chanjo ambazo uzuia Magonjwa ambayo yako katika sehemu mbalimbali za nchi.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi kazi ya chanjo ya Surua kwa watoto, ni Aina ya chanjo ambayo utolewa kwa watoto na kufanya kazi mbalimbali mwilini ambazo ni kumkinga mtoto asipatwe na magonjwa.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya kazi ya protin na vyakula vya protini mwilini
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi njia za kuenea kwa ugonjwa wa Ukimwi. Ukimwi ni upungufu wa kinga mwilini.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi kazi ya chanjo za polio na kazi zake,hii ni chanjo ambayo unazuia maambukizi ya Virusi vinavyosababisha polio.
Soma Zaidi...Je na wewe i katika wale ambaowanahitaji kujuwa kuhusu Vitamini A, kazi zake na vyakula vya vitamini A. post hii inakwenda kukujuza zaidi pamoja na historia ya vitamini A.
Soma Zaidi...