image

Makundi manne ya damu na jinsi yanavyotumika

Post hii inahusu zaidi umuhimu wa makundi manne ya damu na jinsi yanavyotumika, Ni magroup manne ya damu ambayo husaidia kuongeza damu kwa mtu ambaye amepungukiwa damu

Makundi manne ya damu

1. kundi  A ni Aina ya  group mojawapo ambalo hutoa damu kwa mtu mwenye nkundi A na AB

2. kundi B ni Aina ya kundi ambalo hutoa damu kwa mtu mwenye kundi AB na B

3. kundi  AB hutoa damu kwa mtu mwenye kundi AB tu

4. kundi  O hutoa damu kwa  makundi yoteaA,AB,B na I, lakini hupokea kwa O peke Yao.

 

Imani potofu kuhusu makundi ya damu

1. Jinsi kundi lako la damu lilovyo ndivyo utu wako ulivyo. Yaani kuna watu wanaamini ukiwa na klundi fulani la damu utakuwa lamda mkarimu sana, ama mkorofi ama una maguvu. Hii sio sahihi kabisa.

 

2. Kwamba lishe inategemeana pia na aina ya damu ulio nayo. kwa mfano kuna watu wanaamini kuwa ukiwa na damu kundi fulani utatakiwa kula aina maalumu ya vyakula. Jambo hili sio sahihi pia, unaweza kula chakula chochote kile bila ya kuathiri kundi lako la damu.

 

3. Kwamba kuna baaadhi yakundi ya damu hayapati maradhi kuliko mengine. Ukweli ni kuwa aina ya kundi la damu ulionayo haitakusaidia kukukinga na maradhi, hata HIV. Ijapokuwa kila kundi la damu lina athari yake kwa baadhi ya maradhi lakini hii haimaanishi kuwa kuna makundi ya damu hayapati magonjwa mara kwa mara kulinganisha na mengine.

 

4. mbu anapenda damu yenye group O. hii pia sio sahihi, kitu kinachomvutia mbu ni hewa ya carbondioxide ambayo unaitowa unapopumuwa. Hii itamjulisha mbu mahala ulipo na upo umbali kiasi gani.

 

5. Kuwa ukkiwa na group O sio rahisi kupata HIV na UKIMWI, hii pia sio sahii kabisa. Kila kundi la damu lina hatari sawa kupata HIV endapo utajiingiza kwenye mazingira hatarishi ya kuweza kupata HIV.





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 4070


Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Kitabu cha Afya    

Post zifazofanana:-

Mambo yanayochangia Ili dawa kuingia kwenye damu vizuri
Post hii inahusu zaidi mambo yanayochangia Ili dawa iingie vizuri kwenye damu, na mambo yanayoweza kusababisha dawa kuingia au kutoingia vizuri kwenye damu. Soma Zaidi...

Vipimo vya minyoo
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vipimo vya minyoo Soma Zaidi...

Utaratibu wa lishe kwa wajawazito na wanaonyonyeaha
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu utaratibu wa lishe kwa wajawazito na wanaonyonyesha Soma Zaidi...

Nyanja sita za afya
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu nyanja sita za afya Soma Zaidi...

Matokeo ya maumivu makali.
Posti hii inahusu zaidi matokeo ya maumivu makali , kuna wakati mwingine mgonjwa anapata maumivu makali ya viungo na dawa mbalimbali uweza kutolewa kwa mgonjwa huyo lakini matokeo yake huwa ni kuendelea kwa maumivu kwa hiyo yafuatayo ni matokeo ya maumivu Soma Zaidi...

Zijue kazi za chanjo ya DTP au DPT (Donda Koo,Pepopunda, na kifaduro))
Posti hii inahusu zaidi kazi ya chanjo ya DTP au DPT ambayo Inazuia magonjwa ya Donda Koo, Pepopunda na kifaduro. Soma Zaidi...

Umuhimu wa asidi iliyokwenye tumbo( kwa kitaalamu huitwa HCL)
Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa asidi iliyo kwenye tumbo kwa kitaalamu huitwa HCL, ni asidi inayofanya kazi nyingi hasa wakati wa kumengenya chakula. Soma Zaidi...

HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYEPATA JOTO LA JUU ZAIDI (HEAT STROKE)
Hii ni hali inayotokea ambapo wili unakuwa na joto la juu sana tofauti na kawaida. Soma Zaidi...

Aina za kuungua
Post hii inahusu Aina za kuungua, kuungua ni Hali ya kubabuka kwa ngozi ya mwili na kusababisha madhara mbalimbali Soma Zaidi...

Msaada kwa wenye tonsils
Posti hii inahusu zaidi msaada kwa wenye tonsils, kwa wale wenye tonsils wanapaswa kufanya yafuatayo ili kuweza kupambana na ugonjwa huu. Soma Zaidi...

Huduma ya kwanza kwa mtu aliyekula sumu
Post hii inahusu zaidi kutoa huduma ya kwanza kwa mtu aliyekula chakula chenye sumu, kula sumu ni kitendo Cha kula kitu chochote kama dawa,pombe, kemikali na chakula kichafu. Soma Zaidi...

Namna ya kusaidia mwili kupambana na maradhi
Somo hili linakwenda kukuletea namna ambavyo mwili unapambana na maradhi Soma Zaidi...