Makundi manne ya damu na jinsi yanavyotumika
Post hii inahusu zaidi umuhimu wa makundi manne ya damu na jinsi yanavyotumika, Ni magroup manne ya damu ambayo husaidia kuongeza damu kwa mtu ambaye amepungukiwa damu
Makundi manne ya damu
1. kundi A ni Aina ya group mojawapo ambalo hutoa damu kwa mtu mwenye nkundi A na AB
2. kundi B ni Aina ya kundi ambalo hutoa damu kwa mtu mwenye kundi AB na B
3. kundi AB hutoa damu kwa mtu mwenye kundi AB tu
4. kundi O hutoa damu kwa makundi yoteaA,AB,B na I, lakini hupokea kwa O peke Yao.
Imani potofu kuhusu makundi ya damu
1. Jinsi kundi lako la damu lilovyo ndivyo utu wako ulivyo. Yaani kuna watu wanaamini ukiwa na klundi fulani la damu utakuwa lamda mkarimu sana, ama mkorofi ama una maguvu. Hii sio sahihi kabisa.
2. Kwamba lishe inategemeana pia na aina ya damu ulio nayo. kwa mfano kuna watu wanaamini kuwa ukiwa na damu kundi fulani utatakiwa kula aina maalumu ya vyakula. Jambo hili sio sahihi pia, unaweza kula chakula chochote kile bila ya kuathiri kundi lako la damu.
3. Kwamba kuna baaadhi yakundi ya damu hayapati maradhi kuliko mengine. Ukweli ni kuwa aina ya kundi la damu ulionayo haitakusaidia kukukinga na maradhi, hata HIV. Ijapokuwa kila kundi la damu lina athari yake kwa baadhi ya maradhi lakini hii haimaanishi kuwa kuna makundi ya damu hayapati magonjwa mara kwa mara kulinganisha na mengine.
4. mbu anapenda damu yenye group O. hii pia sio sahihi, kitu kinachomvutia mbu ni hewa ya carbondioxide ambayo unaitowa unapopumuwa. Hii itamjulisha mbu mahala ulipo na upo umbali kiasi gani.
5. Kuwa ukkiwa na group O sio rahisi kupata HIV na UKIMWI, hii pia sio sahii kabisa. Kila kundi la damu lina hatari sawa kupata HIV endapo utajiingiza kwenye mazingira hatarishi ya kuweza kupata HIV.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game 👉2 Madrasa kiganjani 👉3 kitabu cha Simulizi 👉4 Kitau cha Fiqh 👉5 web hosting 👉6 Dua za Mitume na Manabii
Post zinazofanana:
Umuhimu wa kutumia dawa za kujikinga na maambukizi ya ukimwi
Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kutumia dawa za kujikinga na maambukizi ya ukimwi, ni faida ambazo upatikana kwa watu wanaodhani wameambukizwa na virus vya ukimwi na kuweza kujikinga.
Soma Zaidi...Huduma ya Kwanza kwa aliyekazwa na misuli
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyekazwa na misuli
Soma Zaidi...Njia za kuingiza chanjo mwilini
Posti hii inahusu njia mbalimbali ambazo utumika kupitisha chanjo, njia hizo utegemea na kazi ya chanjo kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Namna ya kusaidia vijana wakati wa kubarehe
Post hii inahusu zaidi namna ya kuwasaidia vijana wakati wa kubarehe, ni njia za kuhakikisha kuwa vijana wanakuwa na mwelekeo ,
Soma Zaidi...Ratiba ya chanjo ya Pentavalenti
Posti hii inahusu zaidi chanjo ya pentavalent ni aina ya chanjo ambayo inazuia Magonjwa matano ambayo ni kifadulo, pepopunda, homa ya ini na magonjwa yanayohusiana na upumuaji.
Soma Zaidi...