Post hii inahusu namna ya kutoa huduma ya kwanza kwa mtu aliyeungua moto, kuingia moto ni kitendo Cha kubabuka ngozi ya juu inaweza kuwa kwa kemikali,umeme na just,
Huduma ya kwanza kwa aliyeungua moto
1. Zuia kitendo Cha kuungua kwa kumtoa mgonjwa katika chanzo Cha kuungua inawezekana kutoka katika umeme, kumtoa katika kemikali na mengineyo
2.poza sehemu iliyoungua, mpoze mgonjwa kwa maji lakini isizidi dakika Kumi Ili kuepuka joto la mwili kushuka
3. Mfunike mgonjwa, unaweza kumfunika kwa blanketi na shuka Safi Ili kuzuia uchafu kuingia kwenye sehemu iliyoungua,
4.angalia kama mgonjwa anapumua vizuri,damu kama inatembea vizuri pia angalia kama maji yamepotea mengi
5. Kama mgonjwa anasikia maumivu unaweza kumoatia dawa za kupunguza maumivu kama vile Panadol
6. Angalia kiasi Cha kuungua kikoje na kama kwenye ngozi Kuna majimaji usitoboe kitu chocho
7. Mpeleke mgonjwa hospitalini kwa matibabu zaidi
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu madhara ya upungufu wa maji mwilini
Soma Zaidi...Posti hii inaelezea kuhusiana na Ugonjwa wa fizi ambapo fizi huweza kuwa na maumivu, kuambukizwa, kuvuja damu kwenye fizi na Vidonda.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi umuhimu wa pua kama mojawapo ya mlango wa fahamu.pua ni mlango wa fahamu ambao uhusika na kupumua.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu mambo yanayochangia katika kupona kwa kidonda, ni mambo ambayo yapo kwa mgonjwa mwenyewe kama ifuayavyo.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za upungufu wa vitamini C mwilini
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu madhara ya upungufu wa protini
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea Mambo ambayo hayawezi kuambukiza UKIMWI
Soma Zaidi...Posti huu inahusu zaidi visababishi mbalimbali vya magonjwa, tunajua wazi kuwa ugonjwa ni hali ya kutokuwa kawaida kwa ogani mbalimbali kwenye mwili na kusababisha mwili kushindwa kufanya kazi zake vizuri.
Soma Zaidi...Degedege ni ugonjwa unaoshambulia sana watoto chini ya miaka mitano,na uwaletea matatizo mengi pamoja na kuwepo kwa ulemavu na vifo vingi vinavyosababishwa na ugonjwa huu.
Soma Zaidi...