Post hii inahusu namna ya kutoa huduma ya kwanza kwa mtu aliyeungua moto, kuingia moto ni kitendo Cha kubabuka ngozi ya juu inaweza kuwa kwa kemikali,umeme na just,
Huduma ya kwanza kwa aliyeungua moto
1. Zuia kitendo Cha kuungua kwa kumtoa mgonjwa katika chanzo Cha kuungua inawezekana kutoka katika umeme, kumtoa katika kemikali na mengineyo
2.poza sehemu iliyoungua, mpoze mgonjwa kwa maji lakini isizidi dakika Kumi Ili kuepuka joto la mwili kushuka
3. Mfunike mgonjwa, unaweza kumfunika kwa blanketi na shuka Safi Ili kuzuia uchafu kuingia kwenye sehemu iliyoungua,
4.angalia kama mgonjwa anapumua vizuri,damu kama inatembea vizuri pia angalia kama maji yamepotea mengi
5. Kama mgonjwa anasikia maumivu unaweza kumoatia dawa za kupunguza maumivu kama vile Panadol
6. Angalia kiasi Cha kuungua kikoje na kama kwenye ngozi Kuna majimaji usitoboe kitu chocho
7. Mpeleke mgonjwa hospitalini kwa matibabu zaidi
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu namna ya kumsafisha mgonjwa kinywa,ni njia unazopaswa kufuata wakati unamsafisha mgonjwa kinywa hasa wale walio mahututi.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu mbalimbali za chakula kushindwa kumengenywa kwenye tumbo,ni sababu mbalimbali hasa za kiafya kama tutakavyoona hapo mbeleni
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu utaratibu wa lishe kwa watoto
Soma Zaidi...Kukaza kwa misuli lunaweza kutokea muda wowote ila mara nyingi hutokea pindi mtu anapofanya mazoezi, amnapoogelea ama anapofanya kazi.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa ovari kwenye mwili wa mwanamke. ovari ni sehemu ambapo mayai ya mwanamke hutunza, kwa hiyo kila mwanamke huwa na ovari ambayo husaidia kutunza mayai.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ya chakula kushindwa kumengenywa vizuri tumboni, haya ni madhara ambayo utokea kwa sababu ya chakula kushindwa kumengenywa vizuri tumboni.
Soma Zaidi...Post hii inahusu Aina za kuungua, kuungua ni Hali ya kubabuka kwa ngozi ya mwili na kusababisha madhara mbalimbali
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi imani potofu waliyonayo Watu kuhusu ugonjwa wa kifua kikuu, hizi ni imani ambazo uwepo kwenye jamii na pengine uweza kuaminika lakini si za ukweli.
Soma Zaidi...