picha

Imani potofu juu ya chanjo.

Post hii inahusu zaidi Imani potofu juu ya chanjo kwa watoto na akina Mama, ni baadhi ya Imani waliyonayo watu juu ya chanjo.

Imani potofu juu ya chanjo.

1. chanjo usababisha wanawake wengi kushindwa kusukuma wakati wa kujifungua.hii sio kweli kwamba chanjo wanazozipata wanawake ndizi uwafanye wafannyiwe upasuaji Bali Kuna vitu ambavyo ufanya wanawake wengi wajifungue kwa upasuaji kama vile mtoto kuwa na kilo nyingi ambazo ushindwa kupita kwenye via vya uzazi vya Mama na Mama lazima afanyiwe upasuaji na wakati mwingine mama ushindwa kufanya mazoezi kabla ya kujifungua na sababu ni nyingi kwa hiyo chanjo sio sababu ya Mama kushindwa kusukuma wakati wa kujifungua.

 

2.Chanjo kwa wasichana usababisha kuharibika kwa kizazi.hali hii siyo ya ukweli kwamba sindano au chanjo wanazochomwa wasichana wanapokuwa na miaka ya kuelekea kubeba Mimba usababisha kizazi kuharibika, hali hii si kweli Bali chanjo hizi uwasaidia akina dada wakibeba mimba watoto wao wasipatwe na magonjwa nyemelezi ambayo uleta ulemavu pia ni kwa Sababu ya kutunza afya zao wakiwa VA Mimba kwa hiyo watu watoe Imani potofu juu ya chanjo Bali chanjo ina faida sana.

 

3. Chanjo usababisha watoto kuwa na Tabia za ajabu kama vile kutisikia wakubwa na utundu unaopita mipaka. Kuna wazazi wengine wanaamini kuwa watoto kuwa na utundu wa kila siku ni kwa Sababu ya chanjo hasa za matone ndo maana utasikia baadhi ya kundi la vijana wanaitwa kizazi Cha matone hii ni kwa sababu wakizaliwa kipindi ambacho watoto walianza kutumia matone kwa hiyo wazazi wanapaswa kuelekea kuwa watoto wanakuwa kulingana na wakati na Mazingira na utundu kupita kiasi ni kipindi Cha mtoto Cha malezi .

 

4. Chanjo ni mpango wa mzungu Ili kuharibu kizazi Cha mwafrika, hii kauli sivyo Bali ni mpango wa mzungu Ili kutawala Afrika, kwa hiyo si maana  ya kweli chanjo zimeletwa Ili zisaidie watu sio kuwakomoa kwa hiyo tujiamini sisi pamojan na jamii nzima Ili tuweze kujikomboa katika hali zote.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2021/12/16/Thursday - 10:17:27 pm Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 967

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 ai web app    👉2 Dua za Mitume na Manabii    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 web hosting    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

Jinsi ya kutoa huduma ya kwanza kulingana na tatizo

Posti hii inahusu sana mambo ya huduma ya kwanza ambayo huduma ya kwanza inapatikana au inatolewa na mtu yeyote katika jamii .

Soma Zaidi...
Madhara ya ulevi

Poshi hii inahusu madhara ya ulevi.Utegemezi wa pombe kwa kawaida humaanisha kuwa mtu anatumia kiasi kikubwa cha pombe na kuna masuala kuhusu kupoteza udhibiti.

Soma Zaidi...
Faida za kusafisha vidonda.

Posti hii inahusu zaidi faida za kusafisha vidonda, ni faida ambazo Mgonjwa mwenye vidonge uzipata kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...
Kazi ya chanjo ya Surua

Posti hii inahusu zaidi kazi ya chanjo ya Surua kwa watoto, ni Aina ya chanjo ambayo utolewa kwa watoto na kufanya kazi mbalimbali mwilini ambazo ni kumkinga mtoto asipatwe na magonjwa.

Soma Zaidi...
HUDUMA YA KWANZA KWA MWENYE KIZUNGUZUNGU

Unapokuwa na kizunguzungu unashindwa kuudhibiti mwili wako, unaweza kuanguka kabisa.

Soma Zaidi...
Madhara ya chakula kutosagwa vizuri tumboni.

Posti hii inahusu zaidi madhara ya chakula kushindwa kumengenywa vizuri tumboni, haya ni madhara ambayo utokea kwa sababu ya chakula kushindwa kumengenywa vizuri tumboni.

Soma Zaidi...
Huduma ya Kwanza kwa mtu aliyekunywa sumu

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyekunywa sumu

Soma Zaidi...
Mabadiliko kwa wavulana wakati wa kubarehe

Post hii inahusu zaidi mabadiliko kwa wavulana wakati wa kubarehe, ni kipindi ambacho ni kutoka utotoni kwendea ujana.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu kazi za ini.

Posti hii inahusu zaidi kazi za ini, kwa kawaida tunafahamu kwamba ini ni sehemu muhimu kwenye mwili wa binadamu kwa sababu ni.likikosa kufanya kazi yake maisha ya binadamu yanakuwa hatarini kwa sababu mbalimbali.

Soma Zaidi...
Huduma ya Kwanza kwa mtu aloanguka kifafa

Somo hili linakwenda kukueleza jinsi ya kumfanyia huduma ya Kwanza kwa mtu aloanguka kifafa

Soma Zaidi...