Imani potofu juu ya chanjo.

Post hii inahusu zaidi Imani potofu juu ya chanjo kwa watoto na akina Mama, ni baadhi ya Imani waliyonayo watu juu ya chanjo.

Imani potofu juu ya chanjo.

1. chanjo usababisha wanawake wengi kushindwa kusukuma wakati wa kujifungua.hii sio kweli kwamba chanjo wanazozipata wanawake ndizi uwafanye wafannyiwe upasuaji Bali Kuna vitu ambavyo ufanya wanawake wengi wajifungue kwa upasuaji kama vile mtoto kuwa na kilo nyingi ambazo ushindwa kupita kwenye via vya uzazi vya Mama na Mama lazima afanyiwe upasuaji na wakati mwingine mama ushindwa kufanya mazoezi kabla ya kujifungua na sababu ni nyingi kwa hiyo chanjo sio sababu ya Mama kushindwa kusukuma wakati wa kujifungua.

 

2.Chanjo kwa wasichana usababisha kuharibika kwa kizazi.hali hii siyo ya ukweli kwamba sindano au chanjo wanazochomwa wasichana wanapokuwa na miaka ya kuelekea kubeba Mimba usababisha kizazi kuharibika, hali hii si kweli Bali chanjo hizi uwasaidia akina dada wakibeba mimba watoto wao wasipatwe na magonjwa nyemelezi ambayo uleta ulemavu pia ni kwa Sababu ya kutunza afya zao wakiwa VA Mimba kwa hiyo watu watoe Imani potofu juu ya chanjo Bali chanjo ina faida sana.

 

3. Chanjo usababisha watoto kuwa na Tabia za ajabu kama vile kutisikia wakubwa na utundu unaopita mipaka. Kuna wazazi wengine wanaamini kuwa watoto kuwa na utundu wa kila siku ni kwa Sababu ya chanjo hasa za matone ndo maana utasikia baadhi ya kundi la vijana wanaitwa kizazi Cha matone hii ni kwa sababu wakizaliwa kipindi ambacho watoto walianza kutumia matone kwa hiyo wazazi wanapaswa kuelekea kuwa watoto wanakuwa kulingana na wakati na Mazingira na utundu kupita kiasi ni kipindi Cha mtoto Cha malezi .

 

4. Chanjo ni mpango wa mzungu Ili kuharibu kizazi Cha mwafrika, hii kauli sivyo Bali ni mpango wa mzungu Ili kutawala Afrika, kwa hiyo si maana  ya kweli chanjo zimeletwa Ili zisaidie watu sio kuwakomoa kwa hiyo tujiamini sisi pamojan na jamii nzima Ili tuweze kujikomboa katika hali zote.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 888

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Dua za Mitume na Manabii    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina   

Post zinazofanana:

Utaratibu wa lishe kwa wajawazito na wanaonyonyeaha

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu utaratibu wa lishe kwa wajawazito na wanaonyonyesha

Soma Zaidi...
Utajuwaje kama kidonda kupona

Posti hii inahusu zaidi juu ya kuhakiki kama kidonda kimepona kwa mgonjwa mwenye vidonda, kwanza kabisa tunajua kuwa vidonda uwanyima Watu raha na pengine kuwafanya wakate tamaa kama wapo hospitalini kwa hiyo tunapaswa kutumia njia zifuatazo ili kuweza ku

Soma Zaidi...
Huduma kwa watu wanaoishi na virusi vya Ukimwi

Posti hii inahusu zaidi huduma ambazo wagonjwa wanaoishi na maambukizi ya virus vya ukimwi wanaweza kupata, huduma hii utolewa hasa kwa wale ambao wamejitokeza kupima afya zao na kujua wazi hali zao na kwa wale wanaofatilia huduma hii wanaweza kuishi vizu

Soma Zaidi...
Dalili za unyanyasaji wa kimwili

Unyanyasaji wa kimwili. Unyanyasaji wa watoto kimwili hutokea wakati mtoto amejeruhiwa kimwili kimakusudi. Unyanyasaji wa kijinsia. Unyanyasaji wa watoto kingono ni shughuli yoyote ya kingono na mtoto, kama vile kumpapasa, kushikana mdomo na sehemu

Soma Zaidi...
Huduma ya kwanza kwa mwenye uchafu kwenye sikio.

Posti hii inaelezea kuhusiana na mbinu za kutoa huduma ya kwanza kqa mgonjwa aliyeingiliwa na kitu au uchafu kwenye sikio.

Soma Zaidi...
Faida za chanjo

Posti hii inahusu zaidi faida ya chanjo, tunajua wazi kuwa chanjo Ina faida kubwa kwenye mwili wa binadamu na vile vile kwenye jamii kama tutakavyoona hapo chini.

Soma Zaidi...
Zijue dalili za upungufu wa maji mwilini

Posti hii inaelezea kuhusiana na upungufu wa maji mwilini

Soma Zaidi...
Njia za kuzuia kiungulia

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kuzuia kiungulia

Soma Zaidi...
Njia za kujilinda dhidi ya mapunye

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kujilinda dhidi ya mapunye

Soma Zaidi...
Ukiwa unalima sana unaweza kukonda

Unadhanivkufanya kazi kunaweza kukusababishia maradhi ama mwili kudhoofu, ama kukonda. Umeshawahivkujiuliza wanao nenepa huwa hawafanyi kazi?

Soma Zaidi...