picha

Imani potofu juu ya chanjo.

Post hii inahusu zaidi Imani potofu juu ya chanjo kwa watoto na akina Mama, ni baadhi ya Imani waliyonayo watu juu ya chanjo.

Imani potofu juu ya chanjo.

1. chanjo usababisha wanawake wengi kushindwa kusukuma wakati wa kujifungua.hii sio kweli kwamba chanjo wanazozipata wanawake ndizi uwafanye wafannyiwe upasuaji Bali Kuna vitu ambavyo ufanya wanawake wengi wajifungue kwa upasuaji kama vile mtoto kuwa na kilo nyingi ambazo ushindwa kupita kwenye via vya uzazi vya Mama na Mama lazima afanyiwe upasuaji na wakati mwingine mama ushindwa kufanya mazoezi kabla ya kujifungua na sababu ni nyingi kwa hiyo chanjo sio sababu ya Mama kushindwa kusukuma wakati wa kujifungua.

 

2.Chanjo kwa wasichana usababisha kuharibika kwa kizazi.hali hii siyo ya ukweli kwamba sindano au chanjo wanazochomwa wasichana wanapokuwa na miaka ya kuelekea kubeba Mimba usababisha kizazi kuharibika, hali hii si kweli Bali chanjo hizi uwasaidia akina dada wakibeba mimba watoto wao wasipatwe na magonjwa nyemelezi ambayo uleta ulemavu pia ni kwa Sababu ya kutunza afya zao wakiwa VA Mimba kwa hiyo watu watoe Imani potofu juu ya chanjo Bali chanjo ina faida sana.

 

3. Chanjo usababisha watoto kuwa na Tabia za ajabu kama vile kutisikia wakubwa na utundu unaopita mipaka. Kuna wazazi wengine wanaamini kuwa watoto kuwa na utundu wa kila siku ni kwa Sababu ya chanjo hasa za matone ndo maana utasikia baadhi ya kundi la vijana wanaitwa kizazi Cha matone hii ni kwa sababu wakizaliwa kipindi ambacho watoto walianza kutumia matone kwa hiyo wazazi wanapaswa kuelekea kuwa watoto wanakuwa kulingana na wakati na Mazingira na utundu kupita kiasi ni kipindi Cha mtoto Cha malezi .

 

4. Chanjo ni mpango wa mzungu Ili kuharibu kizazi Cha mwafrika, hii kauli sivyo Bali ni mpango wa mzungu Ili kutawala Afrika, kwa hiyo si maana  ya kweli chanjo zimeletwa Ili zisaidie watu sio kuwakomoa kwa hiyo tujiamini sisi pamojan na jamii nzima Ili tuweze kujikomboa katika hali zote.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Huduma Main: Post File: Download PDF Views 979

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Dua za Mitume na Manabii     👉2 web hosting     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 Bongolite - Game zone - Play free game     👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉6 Madrasa kiganjani    

Post zinazofanana:

Faida za damu kwenye mwili

Post hii inahusu zaidi umuhimu wa damu mwilini, Damu ni tisu pekee yenye majimaji ambayo hufanya kazi mbalimbali katika mwili wa binadamu.

Soma Zaidi...
Zijue sababu za chakula kushindwa kumengenywa kwenye tumbo.

Posti hii inahusu zaidi sababu mbalimbali za chakula kushindwa kumengenywa kwenye tumbo,ni sababu mbalimbali hasa za kiafya kama tutakavyoona hapo mbeleni

Soma Zaidi...
Huwezi kuambukizwa Ukimwi kwa mambo yafuatayo

Posti hii inahusu zaidi au inapinga Imani potofu ambayo utokea kwenye jamii kwamba unaweza kuambukizwa Ukimwi kwa vitu ambavyo haviusiani na namna mtu anavyoweza kuambukizwa Ukimwi,Ila mapendekezo kuwa watu wanapaswa kujua kuwa huwezi kuambukizwa Ukimwi k

Soma Zaidi...
Upungufu wa vitamin

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu madhara ya upungufu wa vitamin

Soma Zaidi...
Vipi utaepuka maumivu ya kichwa ya mara kwa mara?

maumivu ya kichwa ni moja ya dalili za kiafya ambazo huashiria hali isiyo ya kawaida. hata hivyo maumivu ya kichwa yanaweza kutokea hata kama sio mgonjwa. Hapa nitakuletea sababu zinazopelekea kuumwa na kichwa mara kwa mara.Maumivu

Soma Zaidi...
Sababu za kumsafisha mgonjwa kinywa

Posti hii inahusu zaidi sababu za kumsafisha mgonjwa kinywa, Mgonjwa akiwa anaumwa na pia anakula chakula ni lazima asafishwe kinywa Ili kuweza kuepuka madhara mengine yanayoweza kujitokeza kwa sababu ya kuwepo kwa uchafu kinywani.

Soma Zaidi...