Imani potofu juu ya chanjo.
Post hii inahusu zaidi Imani potofu juu ya chanjo kwa watoto na akina Mama, ni baadhi ya Imani waliyonayo watu juu ya chanjo.
Imani potofu juu ya chanjo.
1. chanjo usababisha wanawake wengi kushindwa kusukuma wakati wa kujifungua.hii sio kweli kwamba chanjo wanazozipata wanawake ndizi uwafanye wafannyiwe upasuaji Bali Kuna vitu ambavyo ufanya wanawake wengi wajifungue kwa upasuaji kama vile mtoto kuwa na kilo nyingi ambazo ushindwa kupita kwenye via vya uzazi vya Mama na Mama lazima afanyiwe upasuaji na wakati mwingine mama ushindwa kufanya mazoezi kabla ya kujifungua na sababu ni nyingi kwa hiyo chanjo sio sababu ya Mama kushindwa kusukuma wakati wa kujifungua.
2.Chanjo kwa wasichana usababisha kuharibika kwa kizazi.hali hii siyo ya ukweli kwamba sindano au chanjo wanazochomwa wasichana wanapokuwa na miaka ya kuelekea kubeba Mimba usababisha kizazi kuharibika, hali hii si kweli Bali chanjo hizi uwasaidia akina dada wakibeba mimba watoto wao wasipatwe na magonjwa nyemelezi ambayo uleta ulemavu pia ni kwa Sababu ya kutunza afya zao wakiwa VA Mimba kwa hiyo watu watoe Imani potofu juu ya chanjo Bali chanjo ina faida sana.
3. Chanjo usababisha watoto kuwa na Tabia za ajabu kama vile kutisikia wakubwa na utundu unaopita mipaka. Kuna wazazi wengine wanaamini kuwa watoto kuwa na utundu wa kila siku ni kwa Sababu ya chanjo hasa za matone ndo maana utasikia baadhi ya kundi la vijana wanaitwa kizazi Cha matone hii ni kwa sababu wakizaliwa kipindi ambacho watoto walianza kutumia matone kwa hiyo wazazi wanapaswa kuelekea kuwa watoto wanakuwa kulingana na wakati na Mazingira na utundu kupita kiasi ni kipindi Cha mtoto Cha malezi .
4. Chanjo ni mpango wa mzungu Ili kuharibu kizazi Cha mwafrika, hii kauli sivyo Bali ni mpango wa mzungu Ili kutawala Afrika, kwa hiyo si maana ya kweli chanjo zimeletwa Ili zisaidie watu sio kuwakomoa kwa hiyo tujiamini sisi pamojan na jamii nzima Ili tuweze kujikomboa katika hali zote.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
๐1 Kitabu cha Afya ๐2 kitabu cha Simulizi ๐3 Bongolite - Game zone - Play free game ๐4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina ๐5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) ๐6 web hosting
Post zinazofanana:
Huduma ya Kwanza kwa mtu anayetokwa na damu ya pua
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu anayetokwa na damu ya pua
Soma Zaidi...HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYENGโATWA NA NYUKI
Kungโatwa na nyuki kunaweza kukahitaji huduma ya kwanza kwa haraka kama mgonjwa ana aleji na nyuki.
Soma Zaidi...Huduma ya kwanza kwa aliyeungua moto
Post hii inahusu namna ya kutoa huduma ya kwanza kwa mtu aliyeungua moto, kuingia moto ni kitendo Cha kubabuka ngozi ya juu inaweza kuwa kwa kemikali,umeme na just,
Soma Zaidi...Huduma kwa wenye ugonjwa wa herpes simplex au vipele kwenye midomo na sehemu za siri
Post hii inahusu zaidi tiba na huduma kwa wenye ugonjwa wa herpes simplex au vipele kwenye midomo na sehemu za siri.
Soma Zaidi...Madhara ya kuchelewa kutibu tatizo la kiafya
Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea endapo tatizo halijatibiwa.
Soma Zaidi...Faida za chanjo
Posti hii inahusu zaidi faida ya chanjo, tunajua wazi kuwa chanjo Ina faida kubwa kwenye mwili wa binadamu na vile vile kwenye jamii kama tutakavyoona hapo chini.
Soma Zaidi...