Posti hii inahusu zaidi vifaa vya kutumia wakati wa kusafisha vidonda, ni vifaa muhimu ambavyo mara nyingi kutwa hospitalini.
Vifaa vya kutumia wakati wa kusafisha vidonda.
1.Kwanza kabisa tunapaswa kufahamu kubwa vidonda usafishwa kulingana na aina yake au hali yake kidonda kikubwa na chenye uchafu hakiwezi kusafishwa sawa na kidonda kidogo na kisicho na uchafu hata na dawa utofautiana.
2.Kuna dawa ambazo utumika kusafisha vidonda kama vile hydrogen peroxide, uso , na maji mengine ambayo kwa kawaida kuitwa hospitalini ambayo kwa kitaalamu huitwa normal saline ambayo utumika kusafishia vidonda vyenye uchafu wa kawaida.
3.vifaa vingine ni seti ya kusafishia vidonda ambavyo kwa kawaida huwa ni safi na usafishwa kila siku kabla ya kutumia na wanaofanya kazi hiyo ni wale wenye ujuzi kuhusu kusafisha vifaa hivyo.
4. Pia wakati wa kusafisha vidonda panakuwepo na kitambaa ambacho hakiputishi maji ili kuweza kuzuia maji maji yasiendelee kutoka wakati wa kusafisha vidonda.
5. Pia panakuwepo na gloves ambazo mhudumu utumia ili kuepuka Ugonjwa au wadudu kutoka kwa mgonjwa kwenda kwa mhudumu au kutoka kwa mhudumu kwenda kwa mgonjwa.
6.Pia panakuwepo na ndoo kwa ajili ya kusafishia vyombo vitakavyotumiwa moja inakuwa naaji yenye sabuni nyingine maji yenye chlorine na nyingine maji ya kawaida ambayo ni masafi.
7. Na gauze , bandage vinapaswa kuwepo ili kuweza kumfunga mgonjwa baada ya kumsafisha na pia dawa iliyoagizwa na daktari inabidi kuwepo ili kuweza kumfungia baada ya kumwosha
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu utaratibu wa lishe kwa vijana
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi kazi za ini, ni kiungo muhimu kwenye mwili ambacho Kina umuhimu sana, bila ini maisha ya mwanadamu yanaweza kuishia pabaya
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu anayetokwa na damu ya pua
Soma Zaidi...Unyanyasaji wa kimwili. Unyanyasaji wa watoto kimwili hutokea wakati mtoto amejeruhiwa kimwili kimakusudi. Unyanyasaji wa kijinsia. Unyanyasaji wa watoto kingono ni shughuli yoyote ya kingono na mtoto, kama vile kumpapasa, kushikana mdomo na sehemu
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu madhara ya upungufu wa vitamin
Soma Zaidi...Kushambuliwa kwa moyo na kupumua ni kitendo Cha moyo kusimama ghafla, Hali hii unapaswa kutolewa huduma ya kwanza Ili moyo ufanye kazi tena,
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu kushiriki-ngono-na-mtu-aliye-na-vvu-na-ukimwi
Soma Zaidi...Hii posti inahusu zaidi sifa za mkojo usio wa kawaida,ukiona mkojo wa namna hii unapaswa kwenda hospitalini kwa matibabu au vipimo vya zaidi.
Soma Zaidi...Huduma ya kwanza ni huduma inayotolewa kwa mtu yeyote aliyepata ajali au mgonjwa yeyote kabla hajapelekwa hospitalini
Soma Zaidi... Maumivu ya kifua yanayosababishwa na kupungua kwa mtiririko wa damu kwenye misuli ya moyo, kitaalamu huitwa Angina ni dalili ya Ugonjwa wa ateri ya Coronary. Ugonjwa huu kawaida hufafanuliwa kama kufinya, shinikizo, uzito, kubana au maumivu kwenye
Soma Zaidi...