picha

Vifaa vya kutumia wakati wa kusafisha vidonda.

Posti hii inahusu zaidi vifaa vya kutumia wakati wa kusafisha vidonda, ni vifaa muhimu ambavyo mara nyingi kutwa hospitalini.

Vifaa vya kutumia wakati wa kusafisha vidonda.

1.Kwanza kabisa tunapaswa kufahamu kubwa vidonda usafishwa kulingana na aina yake au hali yake kidonda kikubwa na chenye uchafu hakiwezi kusafishwa sawa na kidonda kidogo na kisicho na uchafu hata na dawa utofautiana.

 

2.Kuna dawa ambazo utumika kusafisha vidonda kama vile hydrogen peroxide, uso , na maji mengine ambayo kwa kawaida kuitwa hospitalini ambayo kwa kitaalamu huitwa normal saline ambayo utumika kusafishia vidonda vyenye uchafu wa kawaida.

 

3.vifaa vingine ni seti ya kusafishia vidonda ambavyo kwa kawaida huwa ni safi na usafishwa kila siku kabla ya kutumia na wanaofanya kazi hiyo ni wale wenye ujuzi kuhusu kusafisha vifaa hivyo.

 

4. Pia wakati wa kusafisha vidonda panakuwepo na kitambaa ambacho hakiputishi maji ili kuweza kuzuia maji maji yasiendelee kutoka wakati wa kusafisha vidonda.

 

5. Pia panakuwepo na gloves ambazo mhudumu utumia ili kuepuka Ugonjwa au wadudu kutoka kwa mgonjwa kwenda kwa mhudumu au kutoka kwa mhudumu kwenda kwa mgonjwa.

 

6.Pia panakuwepo na ndoo kwa ajili ya kusafishia vyombo vitakavyotumiwa moja inakuwa naaji yenye sabuni nyingine maji yenye chlorine na nyingine maji ya kawaida ambayo ni masafi.

 

7. Na gauze , bandage vinapaswa kuwepo ili kuweza kumfunga mgonjwa baada ya kumsafisha na pia dawa iliyoagizwa na daktari inabidi kuwepo ili kuweza kumfungia baada ya kumwosha

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Huduma Main: Post File: Download PDF Views 5884

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 web hosting     👉4 Simulizi za Hadithi Audio     👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉6 Kitabu cha Afya    

Post zinazofanana:

Upungufu wa damu wa madini (anemia ya upungufu wa madini)

upungufu wa damu wa madini ya chuma ni aina ya kawaida ya upungufu wa damu hali ambayo damu haina chembe nyekundu za damu zenye afya. Seli nyekundu za damu hubeba oksijeni kwa tishu za mwili. Bila chuma cha kutosha, mwili wako hauwezi kutoa dutu ya k

Soma Zaidi...
Aina za vidonda

Posti hii inahusu zaidi Aina mbalimbali za vidonda kwenye mwili wa binadamu, ni vidonda ambavyo utokea kwenye mwili wa binadamu kwa Aina tofauti.

Soma Zaidi...
HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYEUNGUA

Kuungua kupo kwa aina nyingi.

Soma Zaidi...
Sababu za michubuko kwa watoto wanaozaliwa

Post hii inahusu zaidi sababu za michubuko kwa watoto wanaozaliwa,ni sababu ambazo uweza kuchangia kuwepo kwa michubuko kwa watoto wanaozaliwa.

Soma Zaidi...
Nyanja sita za afya

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu nyanja sita za afya

Soma Zaidi...
Faida za kusafisha vidonda.

Posti hii inahusu zaidi faida za kusafisha vidonda, ni faida ambazo Mgonjwa mwenye vidonge uzipata kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...