Posti hii inahusu zaidi vifaa vya kutumia wakati wa kusafisha vidonda, ni vifaa muhimu ambavyo mara nyingi kutwa hospitalini.
Vifaa vya kutumia wakati wa kusafisha vidonda.
1.Kwanza kabisa tunapaswa kufahamu kubwa vidonda usafishwa kulingana na aina yake au hali yake kidonda kikubwa na chenye uchafu hakiwezi kusafishwa sawa na kidonda kidogo na kisicho na uchafu hata na dawa utofautiana.
2.Kuna dawa ambazo utumika kusafisha vidonda kama vile hydrogen peroxide, uso , na maji mengine ambayo kwa kawaida kuitwa hospitalini ambayo kwa kitaalamu huitwa normal saline ambayo utumika kusafishia vidonda vyenye uchafu wa kawaida.
3.vifaa vingine ni seti ya kusafishia vidonda ambavyo kwa kawaida huwa ni safi na usafishwa kila siku kabla ya kutumia na wanaofanya kazi hiyo ni wale wenye ujuzi kuhusu kusafisha vifaa hivyo.
4. Pia wakati wa kusafisha vidonda panakuwepo na kitambaa ambacho hakiputishi maji ili kuweza kuzuia maji maji yasiendelee kutoka wakati wa kusafisha vidonda.
5. Pia panakuwepo na gloves ambazo mhudumu utumia ili kuepuka Ugonjwa au wadudu kutoka kwa mgonjwa kwenda kwa mhudumu au kutoka kwa mhudumu kwenda kwa mgonjwa.
6.Pia panakuwepo na ndoo kwa ajili ya kusafishia vyombo vitakavyotumiwa moja inakuwa naaji yenye sabuni nyingine maji yenye chlorine na nyingine maji ya kawaida ambayo ni masafi.
7. Na gauze , bandage vinapaswa kuwepo ili kuweza kumfunga mgonjwa baada ya kumsafisha na pia dawa iliyoagizwa na daktari inabidi kuwepo ili kuweza kumfungia baada ya kumwosha
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Posti hii inahusu zaidi tatizo la kizungu Zungu ni tatizo ambalo utokea kwa watu mbalimbali na kwa sababu tofauti tofauti na pengine mtu akipata kizungu sehemu mbaya anaweza kusababisha majeraha au pengine kupata ulemavu
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi jinsi moyo unavyosukuma damu, moyo ni ogani ambayo usukuma damu kwenye sehemu mbalimbali za mwili.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa figo. Ni ugonjwa unaotokana pale figo linaposhindwa kufanya kazi, tuone mbinu za kufanya Ili kuepuka na tatizo hilo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi au inapinga Imani potofu ambayo utokea kwenye jamii kwamba unaweza kuambukizwa Ukimwi kwa vitu ambavyo haviusiani na namna mtu anavyoweza kuambukizwa Ukimwi,Ila mapendekezo kuwa watu wanapaswa kujua kuwa huwezi kuambukizwa Ukimwi k
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi namna chanjo ya polio inavyotolewa na ratiba zake yaani kuanzia siku ya kwanza mpaka pale mtoto anapomaliza chanjo hii kwa hiyo tuone ratiba ya chanjo ya polio.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za kupoteza fahamu, ni sababu ambazo umfanya mtu kupoteza fahamu kwa sababu mbalimbali kama ifuayavyo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi faida za seli. Seli ni chembechembe hai za mwili ambazo hufanya kazi mbalimbali katika mwili wa binadamu.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na kumsaidia mwenye aliyeumwa na nyuki.nyuki na wadudu ambao wakikushambulia Sana na ukikosa msaada unaweza kufa au kuwa katika Hali mbaya.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa aliyeungua
Soma Zaidi...Presha ya kupanda hutokea pale kipimo kinaposoma zaidi ya 120/80mm Hg.
Soma Zaidi...