Mbinu za kuponyesha majeraha

Posti hii inahusu zaidi mbinu ambazo hutumika kuponyesha majeraha kwa haraka zaidi,tunajua majereha utokana na kupona kwa vile vidonda au kupona kwa sehemu ambayo imekuwa na majeraha kwa hiyo ili kuponyesha majeraha hayo tunapaswa kufanya yafuatayo.

Mbinu za kuponyesha majeraha.

1.Kwanza kabisa tunapaswa kutumia mlo kamili.

Mlo kamili ambao una kila aina ya virutubisho vya kutosha mwilini kwa kufanya hivyo majereha hatapona haraka kuliko kutumia vyakula visivyofaa au visivyokuwa na mpangilio maalumu. Kwa hiyo tujue kwa uhakika kuwa chakula ni dawa.

 

2. Kupumzika kwa mda wa kutosha.

Tunajua wazi kuwa mtu anapopumzika anafanya mwili kuweza kujitengeneza kwa mda, kwa hiyo mtu aliyepata tatizo la namna hii anapaswa kupumzika kwa muda wa kutosha ili kuupatia mwili mda wa kuweza kujitengeneza kwa mda.

 

3. Vile vile mgonjwa anapaswa kufuata mashariti ya wataalamu wa afya. Kwa kufanya hivyo mgonjwa ataweza kupona kwa urahisi, kwa hiyo ni vizuri kabisa kuhakikisha kuwa mashariti yanafuatwa kwa ukaribu zaidi na kwa mda wa kutosha.

 

4. Pia mgonjwa anapaswa kunywa maji ya kutosha kwa kufanya hivyo ataweza kuruhusu uchafu wowote kutoka kwenye mwili na kuruhusu mwili kujitengeneza kwa upya kwa sababu maji ufanya mwili uwe na mwororo na wa kuvutia sana.

 

5. Kuoga kwa maji ya baridi.

Tunaelewa wazi faida za maji ya baridi kwa hiyo tunapaswa kuyatumia ili kuweza kufanya ngozi ya mwili kurudia kwenye hali yake ya kawaida.kws kufanya hivyo tutaweza kuponyesha ngozi na majereha hatapona haraka.

 

6. Kwa hiyo tunaona wazi kwamba kuna wakati mwingine majereha Upata mtu kwenye sehemu mbaya yaani ya usoni hali ambayo ufanya watu kujihisi vibaya kwa kufanya hayo ambayo tumeyaona tutaweza kuponyesha majeraha mapema na maisha yataendelea kama kawaida.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 1421

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Namna ugonjwa wa herpes simplex unavyosambaa.

Posti hii inahusu zaidi namna ya ugonjwa wa vipele kwenye midomo na sehemu za siri unavyoweza kuenea kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine.

Soma Zaidi...
Mabadiliko kwa wavulana wakati wa kubarehe

Post hii inahusu zaidi mabadiliko kwa wavulana wakati wa kubarehe, ni kipindi ambacho ni kutoka utotoni kwendea ujana.

Soma Zaidi...
Njia za kufuata unapohudumia watu waliopata ajali

Post hii inahusu zaidi namna ya kutoa huduma ya kwanza kwa watu waliopata ajali. Ajali ni tukio lisilotarajiwa ambalo kinaweza kumkuta mtu yeyote, tunapotoa huduma ya kwanza tnazingatia rangi ambazo huwakilisha jinsi watu walivyoumia.

Soma Zaidi...
Namna ya kutumia vidonge vya ARV

Post hii inahusu zaidi matumizi ya vidonge vya ARV, ni vidonge vinavyotumiwa na wagonjwa waliopata ugonjwa wa Ukimwi

Soma Zaidi...
Zijue faida za mate mdomoni

Post hii inahusu zaidi umuhimu wa mate mdomoni, mate ni majimaji ambayo hukaa mdomoni na husaidia katika kazi mbalimbali mdomoni.

Soma Zaidi...
Hatari ya uzito mkubwa

Posti hii inahusu zaidi hatari zilizopo kwa mtu mwenye uzito mkubwa,kwa sababu ya kuwepo kwa uzito mkubwa na pia unene usio wa kawaida usababisha mtu kuwa na matatizo mbalimbali hasa saratani za kila sehemu kama tutakavyoona.

Soma Zaidi...
Mbinu za kupunguza magonjwa yanayohusiana na figo

Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa figo. Ni ugonjwa unaotokana pale figo linaposhindwa kufanya kazi, tuone mbinu za kufanya Ili kuepuka na tatizo hilo.

Soma Zaidi...
Huduma ya Kwanza kwa aliyeng'atwa na nyuki

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyeng'atwa na nyuko

Soma Zaidi...
Kushiriki ngono na mtu aliye na vvu na ukimwi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu kushiriki-ngono-na-mtu-aliye-na-vvu-na-ukimwi

Soma Zaidi...
Madhara ya kutumia dawa bila ushauri wa kitaalamu.

Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutumia dawa bila kupata ushauri wa kitaalamu, madhara haya uwapata watu wengi kwa sababu hawajui taratibu za matumizi ya dawa.

Soma Zaidi...