Posti hii inahusu zaidi mbinu ambazo hutumika kuponyesha majeraha kwa haraka zaidi,tunajua majereha utokana na kupona kwa vile vidonda au kupona kwa sehemu ambayo imekuwa na majeraha kwa hiyo ili kuponyesha majeraha hayo tunapaswa kufanya yafuatayo.
Mbinu za kuponyesha majeraha.
1.Kwanza kabisa tunapaswa kutumia mlo kamili.
Mlo kamili ambao una kila aina ya virutubisho vya kutosha mwilini kwa kufanya hivyo majereha hatapona haraka kuliko kutumia vyakula visivyofaa au visivyokuwa na mpangilio maalumu. Kwa hiyo tujue kwa uhakika kuwa chakula ni dawa.
2. Kupumzika kwa mda wa kutosha.
Tunajua wazi kuwa mtu anapopumzika anafanya mwili kuweza kujitengeneza kwa mda, kwa hiyo mtu aliyepata tatizo la namna hii anapaswa kupumzika kwa muda wa kutosha ili kuupatia mwili mda wa kuweza kujitengeneza kwa mda.
3. Vile vile mgonjwa anapaswa kufuata mashariti ya wataalamu wa afya. Kwa kufanya hivyo mgonjwa ataweza kupona kwa urahisi, kwa hiyo ni vizuri kabisa kuhakikisha kuwa mashariti yanafuatwa kwa ukaribu zaidi na kwa mda wa kutosha.
4. Pia mgonjwa anapaswa kunywa maji ya kutosha kwa kufanya hivyo ataweza kuruhusu uchafu wowote kutoka kwenye mwili na kuruhusu mwili kujitengeneza kwa upya kwa sababu maji ufanya mwili uwe na mwororo na wa kuvutia sana.
5. Kuoga kwa maji ya baridi.
Tunaelewa wazi faida za maji ya baridi kwa hiyo tunapaswa kuyatumia ili kuweza kufanya ngozi ya mwili kurudia kwenye hali yake ya kawaida.kws kufanya hivyo tutaweza kuponyesha ngozi na majereha hatapona haraka.
6. Kwa hiyo tunaona wazi kwamba kuna wakati mwingine majereha Upata mtu kwenye sehemu mbaya yaani ya usoni hali ambayo ufanya watu kujihisi vibaya kwa kufanya hayo ambayo tumeyaona tutaweza kuponyesha majeraha mapema na maisha yataendelea kama kawaida.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya fati na mafuta
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu mwenye kizunguzungu
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza sababu za kwanini mbu hawezi kuambukiza ukimwi
Soma Zaidi...Makala hii itakujulisha kazi kuu za vitamini C mwilini. Hapa pia utatambuwa ni kwa nini tunahitaji vitamini C na wapi tutavipata
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi imani potofu waliyonayo Watu kuhusu ugonjwa wa kifua kikuu, hizi ni imani ambazo uwepo kwenye jamii na pengine uweza kuaminika lakini si za ukweli.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi umuhimu wa pua kama mojawapo ya mlango wa fahamu.pua ni mlango wa fahamu ambao uhusika na kupumua.
Soma Zaidi...Presha ya kupanda hutokea pale kipimo kinaposoma zaidi ya 120/80mm Hg.
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu utaratibu wa lishe kwa wajawazito na wanaonyonyesha
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mkojo wa kawaida kwa kila mwanadamu na unavyopaswakuwa, mkojo wa kawaida kwa binadamu huwa na sifa zifuatazo.
Soma Zaidi...Kushambuliwa kwa moyo na kupumua ni kitendo Cha moyo kusimama ghafla, Hali hii unapaswa kutolewa huduma ya kwanza Ili moyo ufanye kazi tena,
Soma Zaidi...