Post hii inahusu zaidi jinsi moyo unavyosukuma damu, moyo ni ogani ambayo usukuma damu kwenye sehemu mbalimbali za mwili.
Jinsi moyo unavyosukuma damu
1.Moyo una sehemu juu nne ambazo ni orikali ya Julia kwa kitaalamu huitwa ( right atrium) na ventrikali ya kulia kwa kitaalamu huitwa (right ventricle)
2.Kazi ya orikali ni kuupokea damu yenye karbonidioksidi kutoka sehemu mbalimbali za mwili na kuisukuma kwenye ventrikali baadae Inapitia kwenye palmonary Aitery mpaka kwenye mapafu kwa ajili ya kukusanya hewa ya oksijeni
3. Kutoka kwenye mapafu Damu upitia katika orikali ya kushoto mpaka kwenye ventrikali ya kushoto mpaka kwenye Aorta baadae inasukumwa kwenye sehemu mbalimbali za mwili
4. Tukumbuke kuwa damu inayotokea kwenye sehemu ya mapafu inakuwa na hewa ya oksijeni ndo maana usukuma damu kwenye sehemu mbalimbali za mwili.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyepatwa na joto kubwa mwilini
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za kumwosha Mgonjwa mwili mzima,ni sababu ambazo umsaidie mgonjwa ili aweze kupata nafuu mapema na kumsaidia kama tutakavyoona hapo chini
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea mambo ambayo hayawezi kuambukiza UKIMWI
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea Mambo ambayo hayawezi kuambukiza UKIMWI
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi matumizi ya vidonge vya ARV, ni vidonge vinavyotumiwa na wagonjwa waliopata ugonjwa wa Ukimwi
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu madhara ya upungufu wa vyakula vya madini
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyekazwa na misuli
Soma Zaidi...Tunahitaji kuwa na protini mwilini. Kuna baadhi ya makundi ya watu wanahitaji protini zaidi. Je unawajuwa hao ni kina nana?, na je unauwa kazi za protini mwilini na athari za upungufu wake? endelea na makala hii.
Soma Zaidi...Pumu ni ugonjwa ambao huathiri sehemu ya kupitisha hewa kwenda kwenye mapafu ya binadamu kitaalamu huitwa bronchioles. Mtu mwenye pumu huwa na michubuko sugu mwilini kwenye mirija yake ya kupitisha hewa. Hali ambayo husababisha kuvimba kwa kuta za mirija
Soma Zaidi...