Post hii inahusu zaidi jinsi moyo unavyosukuma damu, moyo ni ogani ambayo usukuma damu kwenye sehemu mbalimbali za mwili.
Jinsi moyo unavyosukuma damu
1.Moyo una sehemu juu nne ambazo ni orikali ya Julia kwa kitaalamu huitwa ( right atrium) na ventrikali ya kulia kwa kitaalamu huitwa (right ventricle)
2.Kazi ya orikali ni kuupokea damu yenye karbonidioksidi kutoka sehemu mbalimbali za mwili na kuisukuma kwenye ventrikali baadae Inapitia kwenye palmonary Aitery mpaka kwenye mapafu kwa ajili ya kukusanya hewa ya oksijeni
3. Kutoka kwenye mapafu Damu upitia katika orikali ya kushoto mpaka kwenye ventrikali ya kushoto mpaka kwenye Aorta baadae inasukumwa kwenye sehemu mbalimbali za mwili
4. Tukumbuke kuwa damu inayotokea kwenye sehemu ya mapafu inakuwa na hewa ya oksijeni ndo maana usukuma damu kwenye sehemu mbalimbali za mwili.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inazungumzia kuhusiana na Mambo mbalimbali ambayo husababisha kizunguzungu.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyekazwa na misuli
Soma Zaidi...Shambulio la hofu ni tukio la ghafla la hofu kali ambayo husababisha athari kali za kimwili wakati hakuna hatari halisi au sababu inayoonekana. Mashambulizi ya hofu yanaweza kuwa ya kutisha sana. Mashambulizi ya hofu yanapotokea, unaweza kufikiri kwamba
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa ovari kwenye mwili wa mwanamke. ovari ni sehemu ambapo mayai ya mwanamke hutunza, kwa hiyo kila mwanamke huwa na ovari ambayo husaidia kutunza mayai.
Soma Zaidi...Dalili za mimba zinaweza kuwa tata sana kuzijua mpaka upate vipimo. Kwa mfano unaweza kupatwa na maumivu yakibofu. Je unadhani nayo ni dalili ya mimba?
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu kazi za vitamin B na makundi take
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi faida za kusafisha vidonda, ni faida ambazo Mgonjwa mwenye vidonge uzipata kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Post hii inahusu namna ya kutoa huduma ya kwanza kwa mtu aliyeungua moto, kuingia moto ni kitendo Cha kubabuka ngozi ya juu inaweza kuwa kwa kemikali,umeme na just,
Soma Zaidi...Nyoka wapo katka makundi makuu mawili, kuna wenye sumu na wasio na sumu.
Soma Zaidi...