Post hii inahusu zaidi jinsi moyo unavyosukuma damu, moyo ni ogani ambayo usukuma damu kwenye sehemu mbalimbali za mwili.
Jinsi moyo unavyosukuma damu
1.Moyo una sehemu juu nne ambazo ni orikali ya Julia kwa kitaalamu huitwa ( right atrium) na ventrikali ya kulia kwa kitaalamu huitwa (right ventricle)
2.Kazi ya orikali ni kuupokea damu yenye karbonidioksidi kutoka sehemu mbalimbali za mwili na kuisukuma kwenye ventrikali baadae Inapitia kwenye palmonary Aitery mpaka kwenye mapafu kwa ajili ya kukusanya hewa ya oksijeni
3. Kutoka kwenye mapafu Damu upitia katika orikali ya kushoto mpaka kwenye ventrikali ya kushoto mpaka kwenye Aorta baadae inasukumwa kwenye sehemu mbalimbali za mwili
4. Tukumbuke kuwa damu inayotokea kwenye sehemu ya mapafu inakuwa na hewa ya oksijeni ndo maana usukuma damu kwenye sehemu mbalimbali za mwili.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Poshi hii inahusu madhara ya ulevi.Utegemezi wa pombe kwa kawaida humaanisha kuwa mtu anatumia kiasi kikubwa cha pombe na kuna masuala kuhusu kupoteza udhibiti.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kukabiliana na presha ya kushuka
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu utaratibu wa lishe kwa wajawazito na wanaonyonyesha
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukujulisha njia za kushusha presha iliyopanda.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi au inapinga Imani potofu ambayo utokea kwenye jamii kwamba unaweza kuambukizwa Ukimwi kwa vitu ambavyo haviusiani na namna mtu anavyoweza kuambukizwa Ukimwi,Ila mapendekezo kuwa watu wanapaswa kujua kuwa huwezi kuambukizwa Ukimwi k
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kumsaidia aliyeumwa na nyoka
Soma Zaidi...