picha

Sababu za zinazosababisha kuwepo kwa vidonda

Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwepo kwa vidonda, kwa sababu tunaona vidonda vinashambulia sehemu mbalimbali za mwili ila tunakuwa hatuna sababu kwa hiyo zifuatazo ni sababu za kuwepo kwa vidonda.

Sababu za kuwepo kwa vidonda.

1.Damu kushindwa kuzunguka katika sehemu mbalimbali za mwili, kuna wakati mwingine damu inashindwa kusafili kwenye baadhi ya sehemu mbalimbali kwa hiyo sehemu hiyo ikikosa damu seli za pale zinakufa na zikishakufa zinafanya sehemu hiyo kwa na kidonda.

 

2.Sababu nyingine ya pili ni magonjwa kwa mfano ugonjwa wa kisukari, tunaona kabisa Watu wenye ugonjwa huu wakishapata vidonda ni vigumu kupona na utakuta wengi wao wamefanyiwa upasuaji kwa hiyo kwa wale wenye tatizo la ugonjwa wa kisukari wawe makini ili wasiweze kupata vidonda kwa maana wanapata shida katika kupona.

 

3.Pia kuna tatizo jingine ambapo damu usafiri kutoka sehemu mbalimbali za mwili na kwenda kwenye moyo ila kuna wakati damu inashindwa kurudi na kuzunguka kwenye sehemu yake hiki kitendo Usababisha vidonda.

 

4.Kulala kwa mda mrefu.

Hali hiii uwapata wagonjwa wanaolala mda mrefu bila kugeuzwa kwa hiyo hupata matatizo kama hayo kwa hiyo tunapaswa kuwageuza wagonjwa wetu mara tu wanapopata Magonjwa ambayo yanawafanya wasiamke sehemu walipo.

 

5.Kwa hiyo tumeweza kujua sababu za vidonda kwenye miili yetu , tunapaswa kuepuka njia yoyote ya kuenea kwa tonsili kwa sababu ni mateso makali kwa wagonjwa kwa hiyo na wale ambao wamelala kitangandani kwa mda mrefu tunapaswa kuwafanyia usafi ili 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2022/02/22/Tuesday - 10:50:55 pm Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 1183

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
πŸ‘‰1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    πŸ‘‰2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    πŸ‘‰3 kitabu cha Simulizi    πŸ‘‰4 web hosting    πŸ‘‰5 Kitau cha Fiqh    πŸ‘‰6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

Umuhimu wa kutumia dawa za kujikinga na maambukizi ya ukimwi

Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kutumia dawa za kujikinga na maambukizi ya ukimwi, ni faida ambazo upatikana kwa watu wanaodhani wameambukizwa na virus vya ukimwi na kuweza kujikinga.

Soma Zaidi...
HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYENG’ATWA NA NYOKA

Nyoka wapo katka makundi makuu mawili, kuna wenye sumu na wasio na sumu.

Soma Zaidi...
Vyakula vya vitamini

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za vyakula vya vitamini

Soma Zaidi...
Imani potofu juu ya ugonjwa wa Ukimwi.

Posti hii inahusu zaidi imani potofu juu ya ugonjwa wa Ukimwi,ni Imani walizonazo watu wengi kuhusiana na ugonjwa wa Ukimwi.

Soma Zaidi...
Mambo yanayoweza kudhoofisha kinga ya mwili

Kinga ya mwili inapodhoofu mwili unakuwa hatarini kupata maradhi. Je unayajuwa mambo yanayodhoofisha kinga ysbmeili?

Soma Zaidi...
Ijue rangi za mkojo na maana zake katika mwili kuhsu afya yako

Posti hii inahusu zaidi rangi za mkojo na maana zake, hizi ni rangi ambazo uweza kutokea kwenye mkojo wa mtu mmoja na mwingine kwa sababu ya kuwepo kwa magonjwa, chakula,na mtindo wa maisha inawezekana unywaji wa maji au kutokunywa maji.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhsu vitamini E na kazi zake mwilini

Je unazijuwa faida za kuwa na vitamini E mwilini mwako.Unahani utapata matatizo yapi ya kiafya endapo utakuwa na upungufu wa vitamini E mwilini? Makala hii ni kwa ajili yako.

Soma Zaidi...
Aina za kuungua

Post hii inahusu Aina za kuungua, kuungua ni Hali ya kubabuka kwa ngozi ya mwili na kusababisha madhara mbalimbali

Soma Zaidi...
Namna ya kujikinga na kifua kikuu

Posti hii inahusu zaidi namna ya kuzuia au kujikinga na kifua kikuu, hizi ni njia ambazo utumika ili kujikinga na kifua kikuu

Soma Zaidi...