picha

Sababu za zinazosababisha kuwepo kwa vidonda

Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwepo kwa vidonda, kwa sababu tunaona vidonda vinashambulia sehemu mbalimbali za mwili ila tunakuwa hatuna sababu kwa hiyo zifuatazo ni sababu za kuwepo kwa vidonda.

Sababu za kuwepo kwa vidonda.

1.Damu kushindwa kuzunguka katika sehemu mbalimbali za mwili, kuna wakati mwingine damu inashindwa kusafili kwenye baadhi ya sehemu mbalimbali kwa hiyo sehemu hiyo ikikosa damu seli za pale zinakufa na zikishakufa zinafanya sehemu hiyo kwa na kidonda.

 

2.Sababu nyingine ya pili ni magonjwa kwa mfano ugonjwa wa kisukari, tunaona kabisa Watu wenye ugonjwa huu wakishapata vidonda ni vigumu kupona na utakuta wengi wao wamefanyiwa upasuaji kwa hiyo kwa wale wenye tatizo la ugonjwa wa kisukari wawe makini ili wasiweze kupata vidonda kwa maana wanapata shida katika kupona.

 

3.Pia kuna tatizo jingine ambapo damu usafiri kutoka sehemu mbalimbali za mwili na kwenda kwenye moyo ila kuna wakati damu inashindwa kurudi na kuzunguka kwenye sehemu yake hiki kitendo Usababisha vidonda.

 

4.Kulala kwa mda mrefu.

Hali hiii uwapata wagonjwa wanaolala mda mrefu bila kugeuzwa kwa hiyo hupata matatizo kama hayo kwa hiyo tunapaswa kuwageuza wagonjwa wetu mara tu wanapopata Magonjwa ambayo yanawafanya wasiamke sehemu walipo.

 

5.Kwa hiyo tumeweza kujua sababu za vidonda kwenye miili yetu , tunapaswa kuepuka njia yoyote ya kuenea kwa tonsili kwa sababu ni mateso makali kwa wagonjwa kwa hiyo na wale ambao wamelala kitangandani kwa mda mrefu tunapaswa kuwafanyia usafi ili 

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Huduma Main: Post File: Download PDF Views 1334

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 kitabu cha Simulizi     👉5 Dua za Mitume na Manabii     👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    

Post zinazofanana:

huduma ya kwanza kwa mtu aliyeingiwa na uchafu sikioni

Post hii inahusu huduma ya kwanza kwa mtu aliyeingiwa na uchafu au kitu chochote sikioni. Sikio ni mojawapo ya milango ya fahamu ambapo hutumika kusikia, Kuna wakati vitu uingia ndani yake na kuleta madhara

Soma Zaidi...
Huduma kwa mgonjwa mwenye maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo

Post hii inahusu zaidi huduma Kwa mgonjwa mwenye maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo,ni huduma maalumu ya kumsaidia mgonjwa aliyepata maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo.

Soma Zaidi...
Umuhimu wa asidi iliyokwenye tumbo( kwa kitaalamu huitwa HCL)

Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa asidi iliyo kwenye tumbo kwa kitaalamu huitwa HCL, ni asidi inayofanya kazi nyingi hasa wakati wa kumengenya chakula.

Soma Zaidi...
Huduma ya Kwanza kwa mtu aliyeng'atwa na nyoka

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyeng'atwa na nyoka

Soma Zaidi...
Dalili za upungufu wa vitamini C mwilini

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za upungufu wa vitamini C mwilini

Soma Zaidi...
Huduma ya kwanza kwa aliyeungua moto

Post hii inahusu namna ya kutoa huduma ya kwanza kwa mtu aliyeungua moto, kuingia moto ni kitendo Cha kubabuka ngozi ya juu inaweza kuwa kwa kemikali,umeme na just,

Soma Zaidi...