Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwepo kwa vidonda, kwa sababu tunaona vidonda vinashambulia sehemu mbalimbali za mwili ila tunakuwa hatuna sababu kwa hiyo zifuatazo ni sababu za kuwepo kwa vidonda.
Sababu za kuwepo kwa vidonda.
1.Damu kushindwa kuzunguka katika sehemu mbalimbali za mwili, kuna wakati mwingine damu inashindwa kusafili kwenye baadhi ya sehemu mbalimbali kwa hiyo sehemu hiyo ikikosa damu seli za pale zinakufa na zikishakufa zinafanya sehemu hiyo kwa na kidonda.
2.Sababu nyingine ya pili ni magonjwa kwa mfano ugonjwa wa kisukari, tunaona kabisa Watu wenye ugonjwa huu wakishapata vidonda ni vigumu kupona na utakuta wengi wao wamefanyiwa upasuaji kwa hiyo kwa wale wenye tatizo la ugonjwa wa kisukari wawe makini ili wasiweze kupata vidonda kwa maana wanapata shida katika kupona.
3.Pia kuna tatizo jingine ambapo damu usafiri kutoka sehemu mbalimbali za mwili na kwenda kwenye moyo ila kuna wakati damu inashindwa kurudi na kuzunguka kwenye sehemu yake hiki kitendo Usababisha vidonda.
4.Kulala kwa mda mrefu.
Hali hiii uwapata wagonjwa wanaolala mda mrefu bila kugeuzwa kwa hiyo hupata matatizo kama hayo kwa hiyo tunapaswa kuwageuza wagonjwa wetu mara tu wanapopata Magonjwa ambayo yanawafanya wasiamke sehemu walipo.
5.Kwa hiyo tumeweza kujua sababu za vidonda kwenye miili yetu , tunapaswa kuepuka njia yoyote ya kuenea kwa tonsili kwa sababu ni mateso makali kwa wagonjwa kwa hiyo na wale ambao wamelala kitangandani kwa mda mrefu tunapaswa kuwafanyia usafi ili
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi Aina ya choo kisichokuwa cha kawaida, ni dalili za choo ambacho siyo Cha kawaida, Ina maana ukiona dalili za choo Cha Aina hii ni vizuri kwenda hospitalini Ili kupata matibabu.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu madhara ya upungufu wa vyakula vya madini
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi njia za kuenea kwa ugonjwa wa Ukimwi. Ukimwi ni upungufu wa kinga mwilini.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu mwenye kizunguzungu
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi namna ya kuzuia maambukizi kwenye milija na ovari, ni njia ambazo usaidia kuzuia maambukizi kwenye milija na ovari
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi chanjo ambazo utolewa nchini Tanzania, ni chanjo ambazo uzuia Magonjwa ambayo yako katika sehemu mbalimbali za nchi.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi vifaa vya kutumia wakati wa kusafisha vidonda, ni vifaa muhimu ambavyo mara nyingi kutwa hospitalini.
Soma Zaidi...hatari matokeo ya kunywa kiasi kikubwa cha pombe kwa muda mfupi. Kunywa pombe haraka kupita kiasi kunaweza kuathiri kupumua kwako, mapigo ya moyo, halijoto ya mwili na kunaweza kusababisha Coma na kifo.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyepatwa na joto kubwa mwilini
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa aliyeungua
Soma Zaidi...