Huduma kwa mgonjwa mwenye maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo

Post hii inahusu zaidi huduma Kwa mgonjwa mwenye maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo,ni huduma maalumu ya kumsaidia mgonjwa aliyepata maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo.

Huduma kwa mgonjwa mwenye maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo.

1. Punguza maumivu kwa kuwapatia dawa za maumivu na kumhakikishia msaada

2. Mpatie maji mengi na vitu vya kunywa Ili kuondoa sumu mwilini

3. Mpatie dawa ambazo utibu maambukizi,zipo hospitalini na ugonjwa huu unatibika.

4. Mpatie elimu namna ya kuzuia maambukizi mengine ikiwa atapona.

 

 

 

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Author Tarehe 2021/11/24/Wednesday - 05:02:01 pm     Share On Facebook or WhatsApp Imesomwa mara 708

Post zifazofanana:-

Mambo yanayochangia katika makuzi ya mtoto
Post hii inahusu zaidi mambo yanayochangia katika makuzi ya mtoto, mtoto katika makuzi yake anahitaji kutunzwa vizuri Ili akue kwa afya nzuri bila magonjwa Soma Zaidi...

Namna ya kuzuia ugonjwa wa Homa ya inni.
Posti hii inahusu zaidi namna ya kuzuia ugonjwa wa Homa ya inni, ni njia ambazo utumiwa Ili kuepuka kusambaa kwa ugonjwa wa Homa ya inni kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine, Soma Zaidi...

Maumivu ya tumbo baada ya tendo la ndoa
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya tumbo baada ya tendo la ndoa Soma Zaidi...

Namna ya kutunza chumba cha upasuaji
Posti hii inahusu zaidi namna ya kutunza chumba cha upasuaji, chumba cha upasuaji ni tofauti na vyumba vingine kwenye hospitali kwa hiyo vinahitaji uangalizi wa hali ya juu sana ili kuepuka aina yoyote ya uchafu kuwepo kwenye chumba hicho, zifuatazo ni namna ya kutunza chumba cha upasuaji. Soma Zaidi...

Post hii inahusu zaidi umuhimu wa kondo la nyuma
Kondo la nyuma ni sehemu ya mwili wa mama anapokuwa mjamziti,kondo la nyuma husaidia katika kazi mbalimbali katika ukuaji wa mtoto. Soma Zaidi...

Dalili za ugonjwa wa Ugumu wa kumeza (dysphagia)
Ugumu wa kumeza (dysphagia) inamaanisha inachukua muda na bidii zaidi kuhamisha chakula kutoka kwa mdomo wako hadi kwenye tumbo lako. Ugumu wa kumeza unaweza pia kuhusishwa na maumivu. Katika baadhi ya matukio, kumeza inaweza kuwa haiwezekani. Ugumu wa mara kwa mara wa kumeza, ambao unaweza kutokea wakati unakula haraka sana au usipotafuna chakula chako vya kutosha, kwa kawaida sio sababu ya wasiwasi Lakini ukizid kuendelea unaweza kuonyesha hali mbaya. Soma Zaidi...

Ugonjwa wa kisukari ambao husababisha kupoteza fahamu ( coma ya kisukari)..
Posti hii inazungumzia kuhusiana na Ugonjwa wa kisukari unaopelekea kukosa fahamu ni tatizo linalohatarisha maisha kisukari ambalo husababisha kupoteza fahamu. Ikiwa una kisukari, sukari ya juu ya damu (hyperglycemia) au sukari iliyopungua sana (hypoglycemia) inaweza kusababisha kukosa fahamu kwa kisukari. Ukipatwa na hali ya kukosa fahamu ya kisukari, uko hai lakini huwezi kuamka au kujibu kwa makusudi vituko, sauti au aina zingine za kusisimua. Ikiwa haijatibiwa, coma ya kisukari inaweza kusababisha kifo. Soma Zaidi...

Maradhi ya macho
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maradhi ya macho,dalili na matibabu yake Soma Zaidi...

Utajuwaje kama kidonda kupona
Posti hii inahusu zaidi juu ya kuhakiki kama kidonda kimepona kwa mgonjwa mwenye vidonda, kwanza kabisa tunajua kuwa vidonda uwanyima Watu raha na pengine kuwafanya wakate tamaa kama wapo hospitalini kwa hiyo tunapaswa kutumia njia zifuatazo ili kuweza kuhakikisha kama kidonda kimepona au la. Soma Zaidi...

Walio hatarini kupata gonorrhea (gonoria)
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu watu walio hatarini kupata gonorrhea gonoria Soma Zaidi...

Dalili za kifua kikuu (tuberculosis)
Kifua kikuu ni ugonjwa sugu wa kuambukiza na anuwai ya magonjwa ya kiafya yanayosababishwa na Mycobacterium tuberculosis complex. Kwa binadamu sababu ya kawaida ni Mycobacterium tuberculosis. Soma Zaidi...

Dalili za fangasi ukeni
Post hii inakwenda kukujulisha dalili za kuwa huwenda una fangasi sehemu zako za siri. Soma Zaidi...