picha

HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYEKUNYWA SUMU

Maisha ya mtu yanaweza kuwa hatarini ama kupotea mara moja baada ya kunywa sumu.

HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYEKUNYWA SUMU

HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYEKUNYWA SUMU


Maisha ya mtu yanaweza kuwa hatarini ama kupotea mara moja baada ya kunywa sumu. Sumu inaweza kuwa katika vidonge, kimiminika, katika hali ya hewa ama kwenye sindano. Hapa nitazungumzia tu sumu inayoliwa na kuingia kwenye tumbo kwa njia ya mdomo. Sumu hii inawez akuwa ya panya am vidonge vya dawa.



Ukimuona mtu amekunywa ama kula sumu usimkimbie, na tambua kuwa anahitaji msaada wako. Kwanza angalia vyema hali yake na ukiwezekana ita msaada kwa haraka. Baad ya kufanya maamuzi kulingana na hali ya mgonwa unaweza kuanza kumpa huduma ya kwanza:



1.Mtapishe mgonjwa: kumtapisha mgonjwa ni katika njia nzuri na za haraka sana katika kupunguza athari za sumu. Unaweza kumtapisha mgonjwa kwa kumuingiza vidole mdomoni. Kama sumu ni ya kemikali mathalani amekunywa tindikali, njia ya kumtapisha sio njia sahihi.


2.Mpe maji mengi sana anywe. Kunywa maji mengi kutasaidia kupunguza makali ya sumu na kuiyeyusha kwenye maji.


3.Mpatie mgonjwa maziwa anywe. Unywaji wa maziwa uje baada ya kumtapisha. Usije mtapisha baada ya kumpa maziwa. Pia kama maziwa yapo usimpe maji mgonjwa.


4.Kama hali ya mgonjwa haijatengemaa, awahishe kituo cha afya kilicho karibu kwa haraka zaidi.



                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 3766

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Dua za Mitume na Manabii    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

Namna ya kumlisha Mgonjwa ambaye hawezi kujilisha mwenyewe ni

Posti hii inahusu njia za kumlisha Mgonjwa ambaye hawezi kujilisha wenyewe, hali hii uwa inawapata wagonjwa wale ambao hawawezi kujilisha wenyewe tunaweza kuwalisha kwa njia zifuatazo.

Soma Zaidi...
Njia za kujikinga na UTI

Somo hili linakwenda kukuletea njia za kujikinga na UTI

Soma Zaidi...
Kazi za wahudumu wa afya wakati wa kutoa dawa kwa wagojwa

Hii post inahusu zaidi kazi za wahudumu wa afya wakati wa kutoa dawa, ni kanuni zinazopaswa kufuata wakati wa kutoa dawa kwa wagojwa.

Soma Zaidi...
Aina kuu tatu za mvunjiko wa viuno vya mwilini na mifupa

Posti hii inahusu zaidi Aina kuu tatu za mvunjiko ni Aina za kuvunjika ambazo uwakumba watu mbalimbali na watu ushindwa kutambua hizi Aina tatu za mvunjiko, zifuatazo ni Aina za mvunjiko.

Soma Zaidi...
Zijue kazi za uke (vagina)

Uke ni sehemu ambayo imo ndani ya mwili wa mwanamke, sehemu hii ufanya kazi mbalimbali hasa wakati wa kujamiiana, kubarehe na kujifungua kwa mama.

Soma Zaidi...
Mbinu za kupunguza magonjwa yanayohusiana na figo

Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa figo. Ni ugonjwa unaotokana pale figo linaposhindwa kufanya kazi, tuone mbinu za kufanya Ili kuepuka na tatizo hilo.

Soma Zaidi...
Njia za kujikinga na kisukari

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kujikinga na kisukari

Soma Zaidi...
Njia juu zinazosababisha kuenea kwa ugonjwa wa Ukimwi

Post hii inahusu zaidi njia za kuenea kwa ugonjwa wa Ukimwi. Ukimwi ni upungufu wa kinga mwilini.

Soma Zaidi...
Hatari ya uzito mkubwa

Posti hii inahusu zaidi hatari zilizopo kwa mtu mwenye uzito mkubwa,kwa sababu ya kuwepo kwa uzito mkubwa na pia unene usio wa kawaida usababisha mtu kuwa na matatizo mbalimbali hasa saratani za kila sehemu kama tutakavyoona.

Soma Zaidi...
Dalili za kuwepo kwa kizungu Zungu

Posti hii inahusu zaidi dalili za kuwepo kwa kizungu Zungu,ni Dalili ambazo Uweza kujionyesha kwa mtu ambaye ameshawahi kupatwa na tatizo la kizungu Zungu au hajawahi kupata dalili zenyewe ni kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...