HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYEKUNYWA SUMU

Maisha ya mtu yanaweza kuwa hatarini ama kupotea mara moja baada ya kunywa sumu.

HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYEKUNYWA SUMU

HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYEKUNYWA SUMU


Maisha ya mtu yanaweza kuwa hatarini ama kupotea mara moja baada ya kunywa sumu. Sumu inaweza kuwa katika vidonge, kimiminika, katika hali ya hewa ama kwenye sindano. Hapa nitazungumzia tu sumu inayoliwa na kuingia kwenye tumbo kwa njia ya mdomo. Sumu hii inawez akuwa ya panya am vidonge vya dawa.



Ukimuona mtu amekunywa ama kula sumu usimkimbie, na tambua kuwa anahitaji msaada wako. Kwanza angalia vyema hali yake na ukiwezekana ita msaada kwa haraka. Baad ya kufanya maamuzi kulingana na hali ya mgonwa unaweza kuanza kumpa huduma ya kwanza:



1.Mtapishe mgonjwa: kumtapisha mgonjwa ni katika njia nzuri na za haraka sana katika kupunguza athari za sumu. Unaweza kumtapisha mgonjwa kwa kumuingiza vidole mdomoni. Kama sumu ni ya kemikali mathalani amekunywa tindikali, njia ya kumtapisha sio njia sahihi.


2.Mpe maji mengi sana anywe. Kunywa maji mengi kutasaidia kupunguza makali ya sumu na kuiyeyusha kwenye maji.


3.Mpatie mgonjwa maziwa anywe. Unywaji wa maziwa uje baada ya kumtapisha. Usije mtapisha baada ya kumpa maziwa. Pia kama maziwa yapo usimpe maji mgonjwa.


4.Kama hali ya mgonjwa haijatengemaa, awahishe kituo cha afya kilicho karibu kwa haraka zaidi.



                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 3307

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Dua za Mitume na Manabii    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Vipimo vya minyoo

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vipimo vya minyoo

Soma Zaidi...
Zijuwe athari za vidonda mwilini

Posti hii inahusu zaidi athari za kutotibu vidonda, hizi ni athari mbalimbali ambazo zinaweza kutokea ingawa kama vidonge haujatibiwa au vimetibiwa kwa kuchelewa.

Soma Zaidi...
Huduma ya kwanza kwa aliye ungua na Moto.

Posti hii inazungumzia kuhusiana na mbinu za kutoa huduma ya kwanza kwa aliyeungua na Moto.

Soma Zaidi...
fahamu kuhusu vitamini B na faida zake

makala hii inakwenda kukupa faida, kazi na athari za vitamini B mwilini. Nini hutokea endapo utakuwa na upungufu wa vitamini B mwilini?

Soma Zaidi...
binadam akiwa mweupe mikononi atakuwa na upungufu wa vitamin gani?

Natak kufaham kuwa binadam akiwa mweupe mikononi atakuwa na upungufu wa vitamin gani?

Soma Zaidi...
Aina kuu tatu za mvunjiko wa viuno vya mwilini na mifupa

Posti hii inahusu zaidi Aina kuu tatu za mvunjiko ni Aina za kuvunjika ambazo uwakumba watu mbalimbali na watu ushindwa kutambua hizi Aina tatu za mvunjiko, zifuatazo ni Aina za mvunjiko.

Soma Zaidi...
Namna ya kujikinga na kifua kikuu

Posti hii inahusu zaidi namna ya kuzuia au kujikinga na kifua kikuu, hizi ni njia ambazo utumika ili kujikinga na kifua kikuu

Soma Zaidi...
Zijue sababu za kupungukiwa damu mwilini

Posti hii inahusu zaidi tatizo la kupungukiwa damu mwilini, ni ugonjwa unaotokana sana hasa kwa watoto wadogo chini ya miaka mitano ingawa na kwa watu wazima.

Soma Zaidi...
Jinsi ya kujikinga na U.T.I inayijirudia rudia.

Endapo U.T.I inajirudiarudia baada yavkutibiwa inawezabkuwa ikakupa mawazo mengi. Katika post hii nitakufafanulia nini ufanye.

Soma Zaidi...
Huduma ya Kwanza kwa aliyekazwa na misuli

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyekazwa na misuli

Soma Zaidi...