image

Mbinu za kutoa huduma ya kwanza kwa wagonjwa walioingiliwa na uchafu puani.(foreign body).

Posti hii inaelezea kuhusiana na dalili na mbinu za kutoa huduma ya kwanza kwa mgonjwa alieye ingiwa na uchafu puani (foreign body)

Ishara na Dalili ya kitu kuingia kwenye pua (foreign body).


1. Kutoa makamasi au usaha.

2.kutokwa na Damu.

3.Pua kuwasha.

4.Maumivu
5. Ugumu wa kupumua kupitia pua iliyoathiriwa.

6.kutoa harufu mbaya Kama uchafu ukikaa kwa muda mrefu

 

   Sababu zainazopelekea kuingia kwenye pua Ni

 Vitu vilivyowekwa kwenye pua vinaweza kujumuisha
1. Chakula.

2.Mbegu
3. Maharage yaliyokaushwa
4. Kifutio
5. Pamba
6. Shanga
7. Vifungo vya kwenye nguo.

 

Mbinu za kutoa huduma ya kwanza kwa mgonjwa aliyeingiliwa na uchafu au kitu kwenye pua
1. Usichunguze kitu hicho kwa kutumia pamba au zana nyingine kwasababu unaweza ukakisukumia Ndani zaidi.
2. Usijaribu kuingiza kitu hicho kwa kuvuta pumzi kwa nguvu.
3. Badala yake, pumua kupitia kinywa chako hadi kitu kiondolewe.
4. Piga pua yako taratibu ili kujaribu kuachilia kitu, lakini usipige kwa nguvu au mara kwa mara.
5. Ikiwa pua moja tu imeathiriwa, funik pua ambayo haijaathiriwa na kisha pumua kwa upole kupitia pua iliyoathirika.
6. Ikiwa kitu kinaonekana na unaweza kukishika kwa urahisi na kibano, kiondoe unaweza kujitoa kwa utaratibu zaidi.
7. Usijaribu kuondoa kitu ambacho hakionekani au kushikika kwa urahisi.
10 Mpeleke mgonjwa hospitali kwa usimamizi zaidi Tena ikitokea Kama kitu kilichoingia puani hakionekani,au hakijatoka.





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1163


Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 kitabu cha Simulizi    

Post zifazofanana:-

Ratiba ya chanjo ya polio
Posti hii inahusu zaidi namna chanjo ya polio inavyotolewa na ratiba zake yaani kuanzia siku ya kwanza mpaka pale mtoto anapomaliza chanjo hii kwa hiyo tuone ratiba ya chanjo ya polio. Soma Zaidi...

Mbinu za kuondoa sumu mwilini.
Posti hii inahusu zaidi mbinu za kuondoa sumu mwilini, ni njia mbalimbali ambazo uweza kutumika ili kuondoa sumu mwilini. Soma Zaidi...

Chanjo zinazotolewa nchini Tanzania
Posti hii inahusu zaidi chanjo ambazo utolewa nchini Tanzania, ni chanjo ambazo uzuia Magonjwa ambayo yako katika sehemu mbalimbali za nchi. Soma Zaidi...

Je unaweza ukapona macho kama huoni vizuri kwa sababu ya vitamini A,
Jiamini A ni katika vitamini inayojulikana sana kuboresha na kuimarisha afya vya macho na uoni. Tafiti zinaonyesha kuwa kuna kundi kubwa la watoto wanaopata tayizobla kutokuona kutokana na ukosefu wa vitamini A vya kutosha. Soma Zaidi...

Madhara ya kuchelewa kutibu tatizo la kiafya
Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea endapo tatizo halijatibiwa. Soma Zaidi...

Umuhimu wa kupima virus vya ukimwi kwa wajawazito na wanaonyonyesha
Post hii inahusu umuhimu wa kupima virus vya ukimwi kwa mama wajawazito na wanaonyonyesha. Ni hatua ya kupima Mama akiwa mjamzito na wakati wa kunyonyesha ili kuepuka hatari ya kumwambikiza mtoto Soma Zaidi...

Faida za damu kwenye mwili
Post hii inahusu zaidi umuhimu wa damu mwilini, Damu ni tisu pekee yenye majimaji ambayo hufanya kazi mbalimbali katika mwili wa binadamu. Soma Zaidi...

Upungufu was fati
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu madhara ya upungufu was fati Soma Zaidi...

Fahamu kuhusu kazi za ini.
Posti hii inahusu zaidi kazi za ini, kwa kawaida tunafahamu kwamba ini ni sehemu muhimu kwenye mwili wa binadamu kwa sababu ni.likikosa kufanya kazi yake maisha ya binadamu yanakuwa hatarini kwa sababu mbalimbali. Soma Zaidi...

Zijue faida za maji ya uvuguvugu.
Posti hii inahusu zaidi faida za maji ya uvuguvugu, hasa hasa maji haya ni vizuri kabisa kuyatumia hasa wakati wa asubuhi na pia wakati tumbo likiwa halina kitu, kwa hiyo zifuatazo ni faida za maji ya uvuguvugu. Soma Zaidi...

Nna swali mimi nimefanya Romance na mtu ambaye sijampima kbsa sasa naogopa anaeza kuwa mgonjwa na mm nkaupata
Muulizaji anauliza he kula denda, ama kumbusu ama kufanya romance na muathirika was HIV na wewe uta ambukizwa? Soma Zaidi...

Zijue sababu za kupungukiwa damu mwilini
Posti hii inahusu zaidi tatizo la kupungukiwa damu mwilini, ni ugonjwa unaotokana sana hasa kwa watoto wadogo chini ya miaka mitano ingawa na kwa watu wazima. Soma Zaidi...