Posti hii inaelezea kuhusiana na dalili na mbinu za kutoa huduma ya kwanza kwa mgonjwa alieye ingiwa na uchafu puani (foreign body)
Ishara na Dalili ya kitu kuingia kwenye pua (foreign body).
1. Kutoa makamasi au usaha.
2.kutokwa na Damu.
3.Pua kuwasha.
4.Maumivu
5. Ugumu wa kupumua kupitia pua iliyoathiriwa.
6.kutoa harufu mbaya Kama uchafu ukikaa kwa muda mrefu
Sababu zainazopelekea kuingia kwenye pua Ni
Vitu vilivyowekwa kwenye pua vinaweza kujumuisha
1. Chakula.
2.Mbegu
3. Maharage yaliyokaushwa
4. Kifutio
5. Pamba
6. Shanga
7. Vifungo vya kwenye nguo.
Mbinu za kutoa huduma ya kwanza kwa mgonjwa aliyeingiliwa na uchafu au kitu kwenye pua
1. Usichunguze kitu hicho kwa kutumia pamba au zana nyingine kwasababu unaweza ukakisukumia Ndani zaidi.
2. Usijaribu kuingiza kitu hicho kwa kuvuta pumzi kwa nguvu.
3. Badala yake, pumua kupitia kinywa chako hadi kitu kiondolewe.
4. Piga pua yako taratibu ili kujaribu kuachilia kitu, lakini usipige kwa nguvu au mara kwa mara.
5. Ikiwa pua moja tu imeathiriwa, funik pua ambayo haijaathiriwa na kisha pumua kwa upole kupitia pua iliyoathirika.
6. Ikiwa kitu kinaonekana na unaweza kukishika kwa urahisi na kibano, kiondoe unaweza kujitoa kwa utaratibu zaidi.
7. Usijaribu kuondoa kitu ambacho hakionekani au kushikika kwa urahisi.
10 Mpeleke mgonjwa hospitali kwa usimamizi zaidi Tena ikitokea Kama kitu kilichoingia puani hakionekani,au hakijatoka.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
makala hii inakwenda kukupa faida, kazi na athari za vitamini B mwilini. Nini hutokea endapo utakuwa na upungufu wa vitamini B mwilini?
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyeng'atwa na nyoka
Soma Zaidi...Kushambuliwa kwa moyo na kupumua ni kitendo Cha moyo kusimama ghafla, Hali hii unapaswa kutolewa huduma ya kwanza Ili moyo ufanye kazi tena,
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za mdomo kuwa mchungu
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi namna mimba inavyotungwa mpaka mtoto kuingia kwenye mfuko wa uzazi, mimba kutungwa ni kitendo ambapo mbegu za kiume kuungana na yai la kike na kutengeneza zygote.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi kazi ya chanjo za polio na kazi zake,hii ni chanjo ambayo unazuia maambukizi ya Virusi vinavyosababisha polio.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na Mambo yanayoweza kuadhiri Uponyaji wa jeraha.jeraha huleta maumivu makali sana, vilevile Uvimbe, kutoa usaha. Pia jeraha hutofautiana katika kupona kwa mtu mzima na Mtoto.
Soma Zaidi...hatari matokeo ya kunywa kiasi kikubwa cha pombe kwa muda mfupi. Kunywa pombe haraka kupita kiasi kunaweza kuathiri kupumua kwako, mapigo ya moyo, halijoto ya mwili na kunaweza kusababisha Coma na kifo.
Soma Zaidi...