Posti hii inaelezea kuhusiana na dalili na mbinu za kutoa huduma ya kwanza kwa mgonjwa alieye ingiwa na uchafu puani (foreign body)
Ishara na Dalili ya kitu kuingia kwenye pua (foreign body).
1. Kutoa makamasi au usaha.
2.kutokwa na Damu.
3.Pua kuwasha.
4.Maumivu
5. Ugumu wa kupumua kupitia pua iliyoathiriwa.
6.kutoa harufu mbaya Kama uchafu ukikaa kwa muda mrefu
Sababu zainazopelekea kuingia kwenye pua Ni
Vitu vilivyowekwa kwenye pua vinaweza kujumuisha
1. Chakula.
2.Mbegu
3. Maharage yaliyokaushwa
4. Kifutio
5. Pamba
6. Shanga
7. Vifungo vya kwenye nguo.
Mbinu za kutoa huduma ya kwanza kwa mgonjwa aliyeingiliwa na uchafu au kitu kwenye pua
1. Usichunguze kitu hicho kwa kutumia pamba au zana nyingine kwasababu unaweza ukakisukumia Ndani zaidi.
2. Usijaribu kuingiza kitu hicho kwa kuvuta pumzi kwa nguvu.
3. Badala yake, pumua kupitia kinywa chako hadi kitu kiondolewe.
4. Piga pua yako taratibu ili kujaribu kuachilia kitu, lakini usipige kwa nguvu au mara kwa mara.
5. Ikiwa pua moja tu imeathiriwa, funik pua ambayo haijaathiriwa na kisha pumua kwa upole kupitia pua iliyoathirika.
6. Ikiwa kitu kinaonekana na unaweza kukishika kwa urahisi na kibano, kiondoe unaweza kujitoa kwa utaratibu zaidi.
7. Usijaribu kuondoa kitu ambacho hakionekani au kushikika kwa urahisi.
10 Mpeleke mgonjwa hospitali kwa usimamizi zaidi Tena ikitokea Kama kitu kilichoingia puani hakionekani,au hakijatoka.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu namna ambavyo mwili unapambana na maradhi
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu magonjwa ya vidonda vya tumbo, ni hatari inayotokea kwa mtu ambaye haujatibiwa vidonda vya tumbo.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya madini mwilini
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi aina kuu za vidonda,kuna aina kuu tatu za vidonda ambapo kila aina utumiwa kwa njia yake kama tutakavyoona hapo chini.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za kumwosha Mgonjwa mwili mzima,ni sababu ambazo umsaidie mgonjwa ili aweze kupata nafuu mapema na kumsaidia kama tutakavyoona hapo chini
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi umuhimu wa pua kama mojawapo ya mlango wa fahamu.pua ni mlango wa fahamu ambao uhusika na kupumua.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mgawanyo wa matibabu ya kifua kikuu, tunajua kubwa kifua kikuu ni Ugonjwa ambao utumia mda mrefu kidogo katika matibabu kwa hiyo mgawanyiko wake uko kwenye sehemu mbili muhimu kama tutajavyoona
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi namna ya ugonjwa wa vipele kwenye midomo na sehemu za siri unavyoweza kuenea kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine.
Soma Zaidi...