Imani potofu juu ya ugonjwa wa Ukimwi.

Posti hii inahusu zaidi imani potofu juu ya ugonjwa wa Ukimwi,ni Imani walizonazo watu wengi kuhusiana na ugonjwa wa Ukimwi.

Imani potofu juu ya ugonjwa wa Ukimwi.

1. Kupata ugonjwa wa Ukimwi ndio mwisho wa maisha, ni Imani waliyonayo watu wengi na wengine wanakata tamaa wakijua kuwa hawataishi mda mrefu.

 

2.Tohara kwa wanaume unazuia maambukizi ya Ukimwi, hii si kweli

 

3.Ukimwi unatibika,hii si kweli Ukimwi bao mpaka saa hauna tiba ya kuponyesha kwa wale wanapenda kwa waganga wanajidanganya na kidai kuwa wameombewa hiyo si kweli.

 

4.Nikiwa na ugonjwa wa Ukimwi siruhusiwa kubeba mimba, hii si kweli Kuna njia zinazotumika na wakina Mama wengi wenye maambukizi na wamebeba mimba na watoto wao hawana maambukizi.

 

5. Mtoto hapaswi kunyonya pale anapozaliwa na Mama mwenye maambukizi, hiyo si kweli, mama anapaswa kumnyonyesha mtoto wake akiwa anafuata maagizo ya wataalamu,

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Author Tarehe 2021/11/26/Friday - 01:23:50 pm     Share On Facebook or WhatsApp Imesomwa mara 1243

Post zifazofanana:-

Yanayoathiri afya
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu mambo yanayoathiri afya Soma Zaidi...

Mbinu za kuponyesha majeraha
Posti hii inahusu zaidi mbinu ambazo hutumika kuponyesha majeraha kwa haraka zaidi,tunajua majereha utokana na kupona kwa vile vidonda au kupona kwa sehemu ambayo imekuwa na majeraha kwa hiyo ili kuponyesha majeraha hayo tunapaswa kufanya yafuatayo. Soma Zaidi...

Vyakula hatari kwa mwenye vidonda vya tumbo
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula hatari kwa mwenye vidonda vya tumbo Soma Zaidi...

Kwanini mdomo unakuwa mchungu
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za mdomo kuwa mchungu Soma Zaidi...

Namna ya kuzuia ugonjwa wa Homa ya inni.
Posti hii inahusu zaidi namna ya kuzuia ugonjwa wa Homa ya inni, ni njia ambazo utumiwa Ili kuepuka kusambaa kwa ugonjwa wa Homa ya inni kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine, Soma Zaidi...

Namna ya kumhudumia mtu aliyeingongwa na nyoka
Posti hii inahusu njia na namna ya kumhudumia aliyeingiwa na nyoka. Nyoka ni kiumbe ambacho Kina sumu kali na mtu akifinywa na nyoka asipohudumiwa anaweza kupata ulemavu au kupoteza maisha Soma Zaidi...

Dalili na ishara za anemia ya minyoo
Posti hii inshusiana na dalili za anemia ya minyoo Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula karanga
Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula karanga Soma Zaidi...

Upungufu wa vyakula na madhara yake
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu madhara ya upungufu wa vyakula Soma Zaidi...

DAWA YA FANGASI
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa za fangasi Soma Zaidi...

Kuharisha choo cha marenda renda ni dalili gani?
Hivi huwa unachunguza choo chako? ivi huwa kinazama kwenye maji ama kinaelea? Kila damu ama malendalenda, je ni cheusi sana na kina harufu kali sana. Soma Zaidi...

Kuhifadhiwa kwa Quran
Quran (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...