Posti hii inahusu zaidi imani potofu juu ya ugonjwa wa Ukimwi,ni Imani walizonazo watu wengi kuhusiana na ugonjwa wa Ukimwi.
Imani potofu juu ya ugonjwa wa Ukimwi.
1. Kupata ugonjwa wa Ukimwi ndio mwisho wa maisha, ni Imani waliyonayo watu wengi na wengine wanakata tamaa wakijua kuwa hawataishi mda mrefu.
2.Tohara kwa wanaume unazuia maambukizi ya Ukimwi, hii si kweli
3.Ukimwi unatibika,hii si kweli Ukimwi bao mpaka saa hauna tiba ya kuponyesha kwa wale wanapenda kwa waganga wanajidanganya na kidai kuwa wameombewa hiyo si kweli.
4.Nikiwa na ugonjwa wa Ukimwi siruhusiwa kubeba mimba, hii si kweli Kuna njia zinazotumika na wakina Mama wengi wenye maambukizi na wamebeba mimba na watoto wao hawana maambukizi.
5. Mtoto hapaswi kunyonya pale anapozaliwa na Mama mwenye maambukizi, hiyo si kweli, mama anapaswa kumnyonyesha mtoto wake akiwa anafuata maagizo ya wataalamu,
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowJe umeipenda post hii ?
Posti hii inahusu zaidi aina mbalimbali ya maumivu ya mwili, Maumivu ya mwili utokea kwa aina mbalimbali kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi namna ya kuchoma chanjo, ni njia ambazo utumika kutoa chanjo kwa watoto na watu wazima kwa utaratibu uliowekwa.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya vyakula vinavyoongeza nguvu za kiume
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu mwenye kizunguzungu
Soma Zaidi...Hata kama mtu atakuambbia usile vyakula yenye mafuta bado itahitajika kula tu. Kuna mafuta na fati je unajuwa utofauti wao. Ni zipi kazi zao mwilini? Endelea na makala hii
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi hasara za magonjwa ya ngono, ni magonjwa yanayoambukizwa kwa kujamiiana bila kutumia kinga.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyepaliwa
Soma Zaidi...Makala hii itakujulisha kazi kuu za vitamini C mwilini. Hapa pia utatambuwa ni kwa nini tunahitaji vitamini C na wapi tutavipata
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kwa mtu mwenye uzito mkubwa,kwa kawaida ili mtu aweze kuwa na uzito wa kawaida ni vizuri na kiafya kupima urefu ukilinganisha na uzito wa mtu.
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukujulisha njia za kushusha presha iliyopanda.
Soma Zaidi...