Posti hii inahusu zaidi malengo ya kumsafisha mgonjwa nywele zake, ni sababu ambazo upelekea kumsafisha mgonjwa nywele kama tutakavyoona hapo chini.
Malengo ya kumsafisha mgonjwa nywele.
1.Kwanza kabisa tunamsafisha Mgonjwa nywele ili kuondoa wadudu kama vile chawa na mba.
Tunafanya hivyo kwa wakati mwingine kunakuwepo na chawa au mba ambao uweza kumsumbua mgonjwa na kufanya hali yake iweze kuwa mbaya kwa sababu chawa wanafyonza damu kama mgonjwa amelala kwa mda wa mwezi mmoja na hakuna usafi tunaona kuwa ni hatari kwa mgonjwa na pengine anahisi maumivu na hawezi kujikuna na hali hii usababisha hali ya mgonjwa kuwa mbaya zaidi.
2. Tunafanyia mgonjwa usafi wa nywele ili kuweza kuruhusu vizuri mzunguko wa damu.
Kwa kufanya hivyo mzunguko wa damu inaweza kwenda vizuri kwa sababu kama kuna mba kwa mda mrefu na sehemu hiyo mzunguko wa damu utakuwa shida kwa hiyo tunapaswa kusafisha sehemu hiyo ili kuweza kuruhusu mzunguko wa damu uenda vizuri.
3. Tunamsafisha Mgonjwa nywele ili kuweza kumfanya awe safi na kuweza kumpatia ahueni ya ugonjwa na anakuwa na matumizi mazuri na kujisikia vizuri kwamba anapendwa na kuna Watu wanamjali na pia mwonekano wa mgonjwa unakuwa vizuri.
4.Kwa hiyo tunapaswa kuwafanyia wagonjwa wetu usafi wa nywele kwa sababu kwenye nywele kunakuwepo na uchafu mwingi ambao Mgonjwa kama hajiwezi anashindwa kuomba masada ila mkijiongeza mkamsafisha anajisikia vizuri na anaweza kupata nafuu kwa sababu ya usafi mnaomuonyesha kwa hiyo tuwajali wagonjwa wetu hasa wanapokuwa hawajiwezi kwa kuwafanyia usafi kwa sababu na yenyewe ni sehemu ya tiba
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowJe umeipenda post hii ?
Posti hii inahusu zaidi kazi ya chanjo ya DTP au DPT ambayo Inazuia magonjwa ya Donda Koo, Pepopunda na kifaduro.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu kushiriki-ngono-na-mtu-aliye-na-vvu-na-ukimwi
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi rangi za mkojo na maana zake, hizi ni rangi ambazo uweza kutokea kwenye mkojo wa mtu mmoja na mwingine kwa sababu ya kuwepo kwa magonjwa, chakula,na mtindo wa maisha inawezekana unywaji wa maji au kutokunywa maji.
Soma Zaidi...Posti huu inahusu zaidi visababishi mbalimbali vya magonjwa, tunajua wazi kuwa ugonjwa ni hali ya kutokuwa kawaida kwa ogani mbalimbali kwenye mwili na kusababisha mwili kushindwa kufanya kazi zake vizuri.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi aina kuu za vidonda,kuna aina kuu tatu za vidonda ambapo kila aina utumiwa kwa njia yake kama tutakavyoona hapo chini.
Soma Zaidi...Kama mtu anatokwa na damu za pua, basi juwa kuwa anahitaji huduma ya kwanza.
Soma Zaidi...Katika post hii utajifunza sababu zinazowezabkuorlekea kibofu kuuma upande mmoja
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi vifaa vya kutumia wakati wa kusafisha vidonda, ni vifaa muhimu ambavyo mara nyingi kutwa hospitalini.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi kazi ya chanjo za polio na kazi zake,hii ni chanjo ambayo unazuia maambukizi ya Virusi vinavyosababisha polio.
Soma Zaidi...