Malengo ya kumsafisha mgonjwa nywele.

Malengo ya kumsafisha mgonjwa nywele.

Posti hii inahusu zaidi malengo ya kumsafisha mgonjwa nywele zake, ni sababu ambazo upelekea kumsafisha mgonjwa nywele kama tutakavyoona hapo chini.

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Malengo ya kumsafisha mgonjwa nywele.

1.Kwanza kabisa tunamsafisha Mgonjwa nywele ili kuondoa wadudu kama vile chawa na mba.

Tunafanya hivyo kwa wakati mwingine kunakuwepo na chawa au mba ambao uweza kumsumbua mgonjwa na kufanya hali yake iweze kuwa mbaya kwa sababu chawa wanafyonza damu kama mgonjwa amelala kwa mda wa mwezi mmoja na hakuna usafi tunaona kuwa ni hatari kwa mgonjwa na pengine anahisi maumivu na hawezi kujikuna na hali hii usababisha hali ya mgonjwa kuwa mbaya zaidi.

 

2. Tunafanyia mgonjwa usafi wa nywele ili kuweza kuruhusu vizuri mzunguko wa damu.

Kwa kufanya hivyo mzunguko wa damu inaweza kwenda vizuri kwa sababu kama kuna mba  kwa mda mrefu na sehemu hiyo mzunguko wa damu utakuwa shida kwa hiyo tunapaswa kusafisha sehemu hiyo ili kuweza kuruhusu mzunguko wa damu uenda vizuri.

 

3. Tunamsafisha Mgonjwa nywele ili kuweza kumfanya awe safi na kuweza kumpatia ahueni ya ugonjwa na anakuwa na matumizi mazuri na kujisikia vizuri kwamba anapendwa na kuna Watu wanamjali na pia mwonekano wa mgonjwa unakuwa vizuri.

 

4.Kwa hiyo tunapaswa kuwafanyia wagonjwa wetu usafi wa nywele kwa sababu kwenye nywele kunakuwepo na uchafu mwingi ambao Mgonjwa kama hajiwezi anashindwa kuomba masada ila mkijiongeza mkamsafisha anajisikia vizuri na anaweza kupata nafuu kwa sababu ya usafi mnaomuonyesha kwa hiyo tuwajali wagonjwa wetu hasa wanapokuwa hawajiwezi kwa kuwafanyia usafi kwa sababu na yenyewe ni sehemu ya tiba

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 1058

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Upungufu was fati
Upungufu was fati

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu madhara ya upungufu was fati

Soma Zaidi...
Njia za kujikinga na UTI
Njia za kujikinga na UTI

Somo hili linakwenda kukuletea njia za kujikinga na UTI

Soma Zaidi...
Yanayoathiri afya
Yanayoathiri afya

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu mambo yanayoathiri afya

Soma Zaidi...
 Mambo yanayoathiri Uponyaji was jeraha.
Mambo yanayoathiri Uponyaji was jeraha.

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Mambo yanayoweza kuadhiri Uponyaji wa jeraha.jeraha huleta maumivu makali sana, vilevile Uvimbe, kutoa usaha. Pia jeraha hutofautiana katika kupona kwa mtu mzima na Mtoto.

Soma Zaidi...
HUDUMA YA KWANZA KWA MTU ANAYETOKWA NA DAMU YA PUA
HUDUMA YA KWANZA KWA MTU ANAYETOKWA NA DAMU YA PUA

Kama mtu anatokwa na damu za pua, basi juwa kuwa anahitaji huduma ya kwanza.

Soma Zaidi...
Njia za kuongeza nguvu za kiume
Njia za kuongeza nguvu za kiume

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya njia za kuongeza nguvu za kiume

Soma Zaidi...
HUDUMA YA KWANZA KWA ALIKAZWA NA MISULI
HUDUMA YA KWANZA KWA ALIKAZWA NA MISULI

Kukaza kwa misuli lunaweza kutokea muda wowote ila mara nyingi hutokea pindi mtu anapofanya mazoezi, amnapoogelea ama anapofanya kazi.

Soma Zaidi...
Roghage/ vyakula vya kambakamba
Roghage/ vyakula vya kambakamba

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya roghage

Soma Zaidi...
Mabadiliko kwa wavulana wakati wa kubarehe
Mabadiliko kwa wavulana wakati wa kubarehe

Post hii inahusu zaidi mabadiliko kwa wavulana wakati wa kubarehe, ni kipindi ambacho ni kutoka utotoni kwendea ujana.

Soma Zaidi...
Huwezi kuambukizwa Ukimwi kwa mambo yafuatayo
Huwezi kuambukizwa Ukimwi kwa mambo yafuatayo

Posti hii inahusu zaidi au inapinga Imani potofu ambayo utokea kwenye jamii kwamba unaweza kuambukizwa Ukimwi kwa vitu ambavyo haviusiani na namna mtu anavyoweza kuambukizwa Ukimwi,Ila mapendekezo kuwa watu wanapaswa kujua kuwa huwezi kuambukizwa Ukimwi k

Soma Zaidi...