Huduma kwa watu waliodhani wamepatwa na maambukizi.

Huduma kwa watu waliodhani wamepatwa na maambukizi.

Posti hii inahusu zaidi huduma ambazo utolewa kwa watu wanaodhani wamepatwa na maambukizi ya virus vya ukimwi.

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Huduma kwa watu wanaodhani wamepatwa na maambukizi ya virus vya ukimwi.

1. Hii ni huduma ambayo utolewa kwa wale wanaodhani wamepatwa na maambukizi ya ukimwi, maambukizi unaweza kuyapata kupitia sehemu mbalimbali kwa mfano mtu kapata ajali na ana maambukizi na wewe unaenda kumsaidia na una kidonda na damu zinazagaa mwili mzima na ukihisi umepata unaweza kwenda hospital na kupata dawa hizo, unapaswa kujieleza kwa yaliyotokea au pengine umechomaa sindano iliyomchoma mgonywa wa ukimwi au umebakw yaani hali yoyote ambayo unahisi umepata maambukizi.

 

2. Kwanza kabisa ukihisi umepata ugonjwa huu usupaniki jisafishe vizuri kama ni damu iondoe na nenda kwenye kituo cha afya uwaeleze kilichotokea na watakusikiliza, kwanza watakupima kama una maambukizi kama hauna watakupatia dawa za mwezi mzima na utazimeza kwa mwezi huo baada ya mwezi au siku ishilini na nane utakwenda kupima kama uliambukizwa kama haujaambukizwa utaendelea na maisha kama kawaida ila kama uliambukizwa utaanzishiwa dawa 

 

3. Maambukizi yanaweza kutokea kwa sababu zifuatazo kwanza unapohisi umeambukizwa unapaswa kwenda hospital ndani ya masaa sabini na mbili ni sawa na siku tatu, au kwa wakati mwingine unaweza kupewa dawa na usizitumie ipasavyo unazitumia ukiwa unakunywa pombe,au Leo umetumia kesho unatumia au wakati mwingine kuziacha kabisa kwa kufanya hivyo huwezi kupona na wadudu wataendelea kufanya kazi vizuri.

 

4. Kwa hiyo tunapaswa kuzipenda na kuzidhamini afya zetu ikitokea ukahisi una maambukizi ni vizuri kuwahi hospital Ili kuweza kupata matibabu na hata ukijamiiana na mtu na una wasi wasi naye ni vizuri kwenda hospital kupata matibabu mapema Ili kuepuka hali ya kuendelea kuishi na maambukizi na tukipewa dawa tuzitumie ipasavyo.

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 1378

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

Njia za kuzuia kiungulia
Njia za kuzuia kiungulia

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kuzuia kiungulia

Soma Zaidi...
Huduma kwa mgonjwa mwenye maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo
Huduma kwa mgonjwa mwenye maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo

Post hii inahusu zaidi huduma Kwa mgonjwa mwenye maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo,ni huduma maalumu ya kumsaidia mgonjwa aliyepata maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo.

Soma Zaidi...
Jinsi mimba inavyotungwa mpaka mtoto kuingia kwenye mfuko wa uzazi
Jinsi mimba inavyotungwa mpaka mtoto kuingia kwenye mfuko wa uzazi

Post hii inahusu zaidi namna mimba inavyotungwa mpaka mtoto kuingia kwenye mfuko wa uzazi, mimba kutungwa ni kitendo ambapo mbegu za kiume kuungana na yai la kike na kutengeneza zygote.

Soma Zaidi...
Namna ya kusaidia mwili kupambana na maradhi
Namna ya kusaidia mwili kupambana na maradhi

Somo hili linakwenda kukuletea namna ambavyo mwili unapambana na maradhi

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu virutubisho vya wanga na kazi zake mwilini
Fahamu kuhusu virutubisho vya wanga na kazi zake mwilini

Katika vyakula tunaposema wanga tunamaanisha virutubisho ambavyo hupatikana kwenye vyakula. Hivi husaidia sana katika kuifanya miili yetu iwe na nguvu.

Soma Zaidi...
Mambo ya kuzingatia unapokuwa unatoa huduma ya kwanza
Mambo ya kuzingatia unapokuwa unatoa huduma ya kwanza

Huduma ya kwanza ni huduma inayotolewa kwa mtu yeyote aliyepata ajali au mgonjwa yeyote kabla hajapelekwa hospitalini

Soma Zaidi...
Maana ya afya
Maana ya afya

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maana ya afya

Soma Zaidi...
Mambo yanayosababisha kupona kwa vidonda.
Mambo yanayosababisha kupona kwa vidonda.

Posti hii inahusu mambo yanayochangia katika kupona kwa kidonda, ni mambo ambayo yapo kwa mgonjwa mwenyewe kama ifuayavyo.

Soma Zaidi...
Madhara ya kutotibu Ugonjwa wa homa ya utu wa mgongo
Madhara ya kutotibu Ugonjwa wa homa ya utu wa mgongo

Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu homa ya uti wa mgongo, kwa kuwa ugonjwa huu mara nyingi uathiri sehemu za kwenye ubongo kuna madhara ambayo yanaweza kutokea endapo Ugonjwa huu haujatibiwa mapema.

Soma Zaidi...
Zijue sababu za kupoteza fahamu.
Zijue sababu za kupoteza fahamu.

Posti hii inahusu zaidi sababu za kupoteza fahamu, ni sababu ambazo umfanya mtu kupoteza fahamu kwa sababu mbalimbali kama ifuayavyo.

Soma Zaidi...