Huduma kwa watu waliodhani wamepatwa na maambukizi.

Huduma kwa watu waliodhani wamepatwa na maambukizi.

Posti hii inahusu zaidi huduma ambazo utolewa kwa watu wanaodhani wamepatwa na maambukizi ya virus vya ukimwi.

Download Post hii hapa

Huduma kwa watu wanaodhani wamepatwa na maambukizi ya virus vya ukimwi.

1. Hii ni huduma ambayo utolewa kwa wale wanaodhani wamepatwa na maambukizi ya ukimwi, maambukizi unaweza kuyapata kupitia sehemu mbalimbali kwa mfano mtu kapata ajali na ana maambukizi na wewe unaenda kumsaidia na una kidonda na damu zinazagaa mwili mzima na ukihisi umepata unaweza kwenda hospital na kupata dawa hizo, unapaswa kujieleza kwa yaliyotokea au pengine umechomaa sindano iliyomchoma mgonywa wa ukimwi au umebakw yaani hali yoyote ambayo unahisi umepata maambukizi.

 

2. Kwanza kabisa ukihisi umepata ugonjwa huu usupaniki jisafishe vizuri kama ni damu iondoe na nenda kwenye kituo cha afya uwaeleze kilichotokea na watakusikiliza, kwanza watakupima kama una maambukizi kama hauna watakupatia dawa za mwezi mzima na utazimeza kwa mwezi huo baada ya mwezi au siku ishilini na nane utakwenda kupima kama uliambukizwa kama haujaambukizwa utaendelea na maisha kama kawaida ila kama uliambukizwa utaanzishiwa dawa 

 

3. Maambukizi yanaweza kutokea kwa sababu zifuatazo kwanza unapohisi umeambukizwa unapaswa kwenda hospital ndani ya masaa sabini na mbili ni sawa na siku tatu, au kwa wakati mwingine unaweza kupewa dawa na usizitumie ipasavyo unazitumia ukiwa unakunywa pombe,au Leo umetumia kesho unatumia au wakati mwingine kuziacha kabisa kwa kufanya hivyo huwezi kupona na wadudu wataendelea kufanya kazi vizuri.

 

4. Kwa hiyo tunapaswa kuzipenda na kuzidhamini afya zetu ikitokea ukahisi una maambukizi ni vizuri kuwahi hospital Ili kuweza kupata matibabu na hata ukijamiiana na mtu na una wasi wasi naye ni vizuri kwenda hospital kupata matibabu mapema Ili kuepuka hali ya kuendelea kuishi na maambukizi na tukipewa dawa tuzitumie ipasavyo.

Download Post hii hapa

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 1358

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Huduma ya Kwanza kwa mtu aliyepatwa na joto kubwa mwilini
Huduma ya Kwanza kwa mtu aliyepatwa na joto kubwa mwilini

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyepatwa na joto kubwa mwilini

Soma Zaidi...
Ijue rangi ya mkojo isiyo ya kawaida
Ijue rangi ya mkojo isiyo ya kawaida

Post hii inahusu zaidi rangi isiyo ya kawaida kwenye mkojo, kawaida mkojo huwa na rangi ya kahawia Ila ukiona rangi zifuatazo Kuna shida kwenye mkojo.

Soma Zaidi...
Aina mbalimbali za maumivu ya mwili.
Aina mbalimbali za maumivu ya mwili.

Posti hii inahusu zaidi aina mbalimbali ya maumivu ya mwili, Maumivu ya mwili utokea kwa aina mbalimbali kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...
Madhara ya kunywa pombe kiafya
Madhara ya kunywa pombe kiafya

Posti hii inahusu zaidi madhara ya kunywa pombe kiafya, ni madhara ambayo utokea kwa watu wanaokumywa pombe kwa kupita kiasi kwa hiyo wanapaswa kupunguza kunywa pombe baada ya kujua madhara yake.

Soma Zaidi...
Namna ya kumhudumia mtu aliyeingongwa na nyoka
Namna ya kumhudumia mtu aliyeingongwa na nyoka

Posti hii inahusu njia na namna ya kumhudumia aliyeingiwa na nyoka. Nyoka ni kiumbe ambacho Kina sumu kali na mtu akifinywa na nyoka asipohudumiwa anaweza kupata ulemavu au kupoteza maisha

Soma Zaidi...
Visababishi vya magonjwa.
Visababishi vya magonjwa.

Posti huu inahusu zaidi visababishi mbalimbali vya magonjwa, tunajua wazi kuwa ugonjwa ni hali ya kutokuwa kawaida kwa ogani mbalimbali kwenye mwili na kusababisha mwili kushindwa kufanya kazi zake vizuri.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu kazi za ini.
Fahamu kuhusu kazi za ini.

Posti hii inahusu zaidi kazi za ini, kwa kawaida tunafahamu kwamba ini ni sehemu muhimu kwenye mwili wa binadamu kwa sababu ni.likikosa kufanya kazi yake maisha ya binadamu yanakuwa hatarini kwa sababu mbalimbali.

Soma Zaidi...
Jinsi moyo unavyosukuma damu
Jinsi moyo unavyosukuma damu

Post hii inahusu zaidi jinsi moyo unavyosukuma damu, moyo ni ogani ambayo usukuma damu kwenye sehemu mbalimbali za mwili.

Soma Zaidi...
Athari ya kutotibu maambukizi ya kwenye kibofu cha mkojo
Athari ya kutotibu maambukizi ya kwenye kibofu cha mkojo

Post hii inahusu zaidi athari za kutotibu maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo, nimatazito yanayoweza kutokea iwapo ugonjwa huu hautatibika.

Soma Zaidi...
 Habari,mfano umekunywa dawa za chupa hizi halafu baadae unagundua chupa ilikuwa na UFA  nn kofanyike
Habari,mfano umekunywa dawa za chupa hizi halafu baadae unagundua chupa ilikuwa na UFA nn kofanyike

Kunywa soda ama dawa kwenyechupa zakioo ambayo ina ufa ama mipasuko ni hatari. Ni kwa sababu huwezijuwa huwenda kipande kikaingia mdomoni na umangimeza. Sasa nini ufanye endapo umeshakula?

Soma Zaidi...