Huduma kwa watu waliodhani wamepatwa na maambukizi.

Posti hii inahusu zaidi huduma ambazo utolewa kwa watu wanaodhani wamepatwa na maambukizi ya virus vya ukimwi.

Huduma kwa watu wanaodhani wamepatwa na maambukizi ya virus vya ukimwi.

1. Hii ni huduma ambayo utolewa kwa wale wanaodhani wamepatwa na maambukizi ya ukimwi, maambukizi unaweza kuyapata kupitia sehemu mbalimbali kwa mfano mtu kapata ajali na ana maambukizi na wewe unaenda kumsaidia na una kidonda na damu zinazagaa mwili mzima na ukihisi umepata unaweza kwenda hospital na kupata dawa hizo, unapaswa kujieleza kwa yaliyotokea au pengine umechomaa sindano iliyomchoma mgonywa wa ukimwi au umebakw yaani hali yoyote ambayo unahisi umepata maambukizi.

 

2. Kwanza kabisa ukihisi umepata ugonjwa huu usupaniki jisafishe vizuri kama ni damu iondoe na nenda kwenye kituo cha afya uwaeleze kilichotokea na watakusikiliza, kwanza watakupima kama una maambukizi kama hauna watakupatia dawa za mwezi mzima na utazimeza kwa mwezi huo baada ya mwezi au siku ishilini na nane utakwenda kupima kama uliambukizwa kama haujaambukizwa utaendelea na maisha kama kawaida ila kama uliambukizwa utaanzishiwa dawa 

 

3. Maambukizi yanaweza kutokea kwa sababu zifuatazo kwanza unapohisi umeambukizwa unapaswa kwenda hospital ndani ya masaa sabini na mbili ni sawa na siku tatu, au kwa wakati mwingine unaweza kupewa dawa na usizitumie ipasavyo unazitumia ukiwa unakunywa pombe,au Leo umetumia kesho unatumia au wakati mwingine kuziacha kabisa kwa kufanya hivyo huwezi kupona na wadudu wataendelea kufanya kazi vizuri.

 

4. Kwa hiyo tunapaswa kuzipenda na kuzidhamini afya zetu ikitokea ukahisi una maambukizi ni vizuri kuwahi hospital Ili kuweza kupata matibabu na hata ukijamiiana na mtu na una wasi wasi naye ni vizuri kwenda hospital kupata matibabu mapema Ili kuepuka hali ya kuendelea kuishi na maambukizi na tukipewa dawa tuzitumie ipasavyo.

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Je umeipenda post hii ?

Ndio            Hapana            Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 1308

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Huduma ya Kwanza kwa mtu aliyepatwa na joto kubwa mwilini

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyepatwa na joto kubwa mwilini

Soma Zaidi...
Namna ya kujikinga na kifua kikuu

Posti hii inahusu zaidi namna ya kuzuia au kujikinga na kifua kikuu, hizi ni njia ambazo utumika ili kujikinga na kifua kikuu

Soma Zaidi...
HUDUMA YA KWANZA KWA MTU ALIYEZIMIA (CARDIOPULMONARYRESUSCITATION) AU CPR

Kuzimia ni hali ya kupoteza fahamu ambako kunaendana na kutokuhema.

Soma Zaidi...
Njia za kukabiliana na minyoo

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kukabiliana na minyoo

Soma Zaidi...
Upungufu wa protin

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu madhara ya upungufu wa protini

Soma Zaidi...
Mbinu za kutoa huduma ya kwanza kwa wagonjwa walio na majeraha ya macho.

Posti hii inaelezea kuhusiana na mbinu za kutoa huduma ya kwanza kwa walio na majeraha ya macho kutokana na aina mbalimbali ya jeraha

Soma Zaidi...
Aina za mishipa inayosafilisha damu mwilni

Post hii inahusu zaidi mishipa inayosafilisha damu mwilni, ni Aina tatu za mishipa ambazo usafilisha damu kutoka sehemu Moja kwenda nyingine

Soma Zaidi...
Utaratibu wa lishe kwa watoto

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu utaratibu wa lishe kwa watoto

Soma Zaidi...
Namna ya kumsaidia mgonjwa aliye na Maambukizi kwenye milija na ovari

Posti hii inahusu zaidi namna ya kuwasaidia wagonjwa waliopata maambukizi kwenye milija na ovari, ni wagonjwa waliopata maambukizi kwenye milija na ovari.

Soma Zaidi...