Huduma kwa watu waliodhani wamepatwa na maambukizi.

Posti hii inahusu zaidi huduma ambazo utolewa kwa watu wanaodhani wamepatwa na maambukizi ya virus vya ukimwi.

Huduma kwa watu wanaodhani wamepatwa na maambukizi ya virus vya ukimwi.

1. Hii ni huduma ambayo utolewa kwa wale wanaodhani wamepatwa na maambukizi ya ukimwi, maambukizi unaweza kuyapata kupitia sehemu mbalimbali kwa mfano mtu kapata ajali na ana maambukizi na wewe unaenda kumsaidia na una kidonda na damu zinazagaa mwili mzima na ukihisi umepata unaweza kwenda hospital na kupata dawa hizo, unapaswa kujieleza kwa yaliyotokea au pengine umechomaa sindano iliyomchoma mgonywa wa ukimwi au umebakw yaani hali yoyote ambayo unahisi umepata maambukizi.

 

2. Kwanza kabisa ukihisi umepata ugonjwa huu usupaniki jisafishe vizuri kama ni damu iondoe na nenda kwenye kituo cha afya uwaeleze kilichotokea na watakusikiliza, kwanza watakupima kama una maambukizi kama hauna watakupatia dawa za mwezi mzima na utazimeza kwa mwezi huo baada ya mwezi au siku ishilini na nane utakwenda kupima kama uliambukizwa kama haujaambukizwa utaendelea na maisha kama kawaida ila kama uliambukizwa utaanzishiwa dawa 

 

3. Maambukizi yanaweza kutokea kwa sababu zifuatazo kwanza unapohisi umeambukizwa unapaswa kwenda hospital ndani ya masaa sabini na mbili ni sawa na siku tatu, au kwa wakati mwingine unaweza kupewa dawa na usizitumie ipasavyo unazitumia ukiwa unakunywa pombe,au Leo umetumia kesho unatumia au wakati mwingine kuziacha kabisa kwa kufanya hivyo huwezi kupona na wadudu wataendelea kufanya kazi vizuri.

 

4. Kwa hiyo tunapaswa kuzipenda na kuzidhamini afya zetu ikitokea ukahisi una maambukizi ni vizuri kuwahi hospital Ili kuweza kupata matibabu na hata ukijamiiana na mtu na una wasi wasi naye ni vizuri kwenda hospital kupata matibabu mapema Ili kuepuka hali ya kuendelea kuishi na maambukizi na tukipewa dawa tuzitumie ipasavyo.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 1598

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 web hosting    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Mambo yanayosababisha kupona kwa vidonda.

Posti hii inahusu mambo yanayochangia katika kupona kwa kidonda, ni mambo ambayo yapo kwa mgonjwa mwenyewe kama ifuayavyo.

Soma Zaidi...
Kazi ya madini mwilini

Posti hii inakwenda kukueleza kuhusu kazi za madini mwilini

Soma Zaidi...
Huduma ya Kwanza kwa aliyeng'atwa na nyuki

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyeng'atwa na nyuko

Soma Zaidi...
Namna ya kumsafisha mgonjwa kinywa

Posti hii inahusu namna ya kumsafisha mgonjwa kinywa,ni njia unazopaswa kufuata wakati unamsafisha mgonjwa kinywa hasa wale walio mahututi.

Soma Zaidi...
Huduma kwa watu wanaoishi na virusi vya Ukimwi

Posti hii inahusu zaidi huduma ambazo wagonjwa wanaoishi na maambukizi ya virus vya ukimwi wanaweza kupata, huduma hii utolewa hasa kwa wale ambao wamejitokeza kupima afya zao na kujua wazi hali zao na kwa wale wanaofatilia huduma hii wanaweza kuishi vizu

Soma Zaidi...
HUDUMA YA KWANZA KWA MTU ALIYEZIMIA (CARDIOPULMONARYRESUSCITATION) AU CPR

Kuzimia ni hali ya kupoteza fahamu ambako kunaendana na kutokuhema.

Soma Zaidi...
HUDUMA YA KWANZA KWA ALIKAZWA NA MISULI

Kukaza kwa misuli lunaweza kutokea muda wowote ila mara nyingi hutokea pindi mtu anapofanya mazoezi, amnapoogelea ama anapofanya kazi.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu protini na kazi zake mwilini

Tunahitaji kuwa na protini mwilini. Kuna baadhi ya makundi ya watu wanahitaji protini zaidi. Je unawajuwa hao ni kina nana?, na je unauwa kazi za protini mwilini na athari za upungufu wake? endelea na makala hii.

Soma Zaidi...
Kumsaidia mtu aliyeingiwa na uchafu au kitu chochote machoni

Posti hii inahusu hasa jinsi uchafu, wadudu na vitu vingine vinavyoweza kuingia machoni.macho ni mojawapo ya milango mitano ya fahamu ambapo kazi yake ni kuona.

Soma Zaidi...
Zijue faida za mate mdomoni

Post hii inahusu zaidi umuhimu wa mate mdomoni, mate ni majimaji ambayo hukaa mdomoni na husaidia katika kazi mbalimbali mdomoni.

Soma Zaidi...