Posti hii inahusu zaidi sababu za kumsafisha mgonjwa kinywa, Mgonjwa akiwa anaumwa na pia anakula chakula ni lazima asafishwe kinywa Ili kuweza kuepuka madhara mengine yanayoweza kujitokeza kwa sababu ya kuwepo kwa uchafu kinywani.
Sababu za kumsafisha mgonjwa kinywa.
1.Tunamsafisha Mgonjwa kinywa ili tuweze kusafisha mdomo na meno kwa sababu kuna baadhi ya masalia ubaki mdomoni pindi tunapimlisha mgonjwa na pia kufanya meno ya mgonjwa juwa safi.
2. Tunamsafisha mgonjwa kinywa ili kuweza kuzuia kuaribika kwa meno na pia kuzuia maambukizi zaidi ya meno kwa sababu kuna vyakula vingine vinakuwa na sukari kwa hiyo vikikaa kwa mda bila kusafishwa Mgonjwa anaweza kupata Maambukizi kutokana na uchafu au meno kuoza.
3. Kuongeza mzunguko wa damu kwenye sehemu za kinywa, kama kuna uchafu ni vigumu damu kuzunguka kwa urahisi ila kama hakuna uchafu damu inaweza kusafili kwa urahisi kwenye kinywa cha mgonjwa.
4. Pia tunamsafisha Mgonjwa kinywa ili aweze kuwa huru na kuzuia harufu mbaya kwenye mdomo kwa hiyo kinywa likiwa kisafi na hamu ya kula ya mgonjwa uongezeka na pia katika kumfanyia mgonjwa usafi kinywani tunaweza kuondoa mabaki kinywani mwa mgonjwa.
5.Kwa hiyo tunapaswa kuwahudumia wagonjwa wetu vizuri na kuwaweka kwenye hali ya usafi kwa sababu na wenyewe wana hamu ya kuwa safi kwa hiyo tukiwa na wagonjwa nyumbani tuwahudumie na kwa kufanya hivyo tunaweza kuepusha hatari mbalimbali.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Hii post inahusu zaidi kazi za wahudumu wa afya wakati wa kutoa dawa, ni kanuni zinazopaswa kufuata wakati wa kutoa dawa kwa wagojwa.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa aliyeungua
Soma Zaidi...Huduma ya kwanza ni huduma inayotolewa kwa mtu yeyote aliyepata ajali au mgonjwa yeyote kabla hajapelekwa hospitalini
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi hatari zilizopo kwa mtu mwenye uzito mkubwa,kwa sababu ya kuwepo kwa uzito mkubwa na pia unene usio wa kawaida usababisha mtu kuwa na matatizo mbalimbali hasa saratani za kila sehemu kama tutakavyoona.
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyepatwa na presha ya kushuka
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu namna ambavyo mwili unapambana na maradhi
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za upungufu wa vitamini C mwilini
Soma Zaidi...Kama unahitaji kujuwa namna ya kuweza kujikinga na vidonda vya tumbo, basi makala hii ni kwa ajili yako. Hapa utaweza kuzijuwa hatuwa zote za kujikinga na kupata vidonda vya tumbo.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyepaliwa
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi chanjo ya pentavalent ni aina ya chanjo ambayo inazuia Magonjwa matano ambayo ni kifadulo, pepopunda, homa ya ini na magonjwa yanayohusiana na upumuaji.
Soma Zaidi...