Posti hii inahusu zaidi sababu za kumsafisha mgonjwa kinywa, Mgonjwa akiwa anaumwa na pia anakula chakula ni lazima asafishwe kinywa Ili kuweza kuepuka madhara mengine yanayoweza kujitokeza kwa sababu ya kuwepo kwa uchafu kinywani.
Sababu za kumsafisha mgonjwa kinywa.
1.Tunamsafisha Mgonjwa kinywa ili tuweze kusafisha mdomo na meno kwa sababu kuna baadhi ya masalia ubaki mdomoni pindi tunapimlisha mgonjwa na pia kufanya meno ya mgonjwa juwa safi.
2. Tunamsafisha mgonjwa kinywa ili kuweza kuzuia kuaribika kwa meno na pia kuzuia maambukizi zaidi ya meno kwa sababu kuna vyakula vingine vinakuwa na sukari kwa hiyo vikikaa kwa mda bila kusafishwa Mgonjwa anaweza kupata Maambukizi kutokana na uchafu au meno kuoza.
3. Kuongeza mzunguko wa damu kwenye sehemu za kinywa, kama kuna uchafu ni vigumu damu kuzunguka kwa urahisi ila kama hakuna uchafu damu inaweza kusafili kwa urahisi kwenye kinywa cha mgonjwa.
4. Pia tunamsafisha Mgonjwa kinywa ili aweze kuwa huru na kuzuia harufu mbaya kwenye mdomo kwa hiyo kinywa likiwa kisafi na hamu ya kula ya mgonjwa uongezeka na pia katika kumfanyia mgonjwa usafi kinywani tunaweza kuondoa mabaki kinywani mwa mgonjwa.
5.Kwa hiyo tunapaswa kuwahudumia wagonjwa wetu vizuri na kuwaweka kwenye hali ya usafi kwa sababu na wenyewe wana hamu ya kuwa safi kwa hiyo tukiwa na wagonjwa nyumbani tuwahudumie na kwa kufanya hivyo tunaweza kuepusha hatari mbalimbali.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Dalili za mimba zinaweza kuwa tata sana kuzijua mpaka upate vipimo. Kwa mfano unaweza kupatwa na maumivu yakibofu. Je unadhani nayo ni dalili ya mimba?
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi namna ya kutunza nywele za mgonjwa hasa kwa wagonjwa mahututi na wale wasiojiweza tunafanya hivyo ili tuweze kuwatoa kwenye hali ya usafi.
Soma Zaidi...Vipi utamsaidia mti ambaye amepaliwa na maji? Post hii itakwenda kukifundisha jambo hili.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi huduma Kwa mgonjwa mwenye maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo,ni huduma maalumu ya kumsaidia mgonjwa aliyepata maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kutumia dawa za kujikinga na maambukizi ya ukimwi, ni faida ambazo upatikana kwa watu wanaodhani wameambukizwa na virus vya ukimwi na kuweza kujikinga.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi namna ya kuwasaidia wagonjwa waliopata maambukizi kwenye milija na ovari, ni wagonjwa waliopata maambukizi kwenye milija na ovari.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea mambo ambayo hayawezi kuambukiza UKIMWI
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyepatwa na kwikwi
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kuzuia kiungulia
Soma Zaidi...