Posti hii inahusu zaidi athari za kutotibu vidonda, hizi ni athari mbalimbali ambazo zinaweza kutokea ingawa kama vidonge haujatibiwa au vimetibiwa kwa kuchelewa.
Athari za kutotibu vidonda.
1.Kuwepo kwa makovu katikati ya tishu.
Kama kidonda hakijatibiwa vizuri kuna uwezekano mkubwa wa kuwepo kwa makovu makubwa kati kati ya tishu ambayo Usababisha kurudiwa kwa upasuaji kama kidonda kilikuwa kimesababishwa na upasuaji , makovu haya yanaweza kuwa kwenye moyo na na sehemu nyingine ambazo Usababisha kuaribika kwa utumbo mkubwa au mdogo kwa sababu ya sumu kutoka katika sehemu mbalimbali zenye makovu hayo.
2. Pia panaweza kuwepo kwa mivutano kwenye misuli, kwa kawaida kidonda kama kinaposa uvuta ngozi moja na nyiy ili kuweza kufanya uponyaji kutokea lakini kuna vidonda vingine uvuta ngozi sana na kusababisha kutokea kwa kitu kingine ambacho hakikuwepo baadae kunaweza kusababisha misuli kuwa na maumivu yasiyo ya kawaida.
3.Pia Kuna madhara mengine ambayo ni kupasuka kwenye sehemu ambayo kidonda kinajifunga hasa hasa hali hii usababishwa na jinsi upasuaji ulivyofanyika kwa sababu hali hii utokea kwa wale waliofanyiwa upasuaji kwenye sehemu za tumboni.
4.Kuwepo kwa Maambukizi, hali hii utokea kwa sababu ya kuwepo kwa uchafu au utunzaji mbaya kwenye sehemu ya kidonda kwa hiyo ni lazima na vizuri kuweka kidonda kwenye sehemu safi.
5. Kuvuja kwa kidonda.
Hali hiii utokea kwa sababu ya kuwepo kwa sehemu ambayo haijafungwa vizuri na pia sehemu ya kidonda labda imepatwa na ajali
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi viwango vitatu vya kuungua. Ili tuweze kujua mtu ameunguaje Kuna viwango vitatu vya kujua kiasi na namna mtu alivyoungua
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi rangi za mkojo na maana zake, hizi ni rangi ambazo uweza kutokea kwenye mkojo wa mtu mmoja na mwingine kwa sababu ya kuwepo kwa magonjwa, chakula,na mtindo wa maisha inawezekana unywaji wa maji au kutokunywa maji.
Soma Zaidi...Hii ni hali inayotokea ambapo wili unakuwa na joto la juu sana tofauti na kawaida.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya vyakula vinavyoongeza nguvu za kiume
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi faida ya chanjo, tunajua wazi kuwa chanjo Ina faida kubwa kwenye mwili wa binadamu na vile vile kwenye jamii kama tutakavyoona hapo chini.
Soma Zaidi...Uke ni sehemu ambayo imo ndani ya mwili wa mwanamke, sehemu hii ufanya kazi mbalimbali hasa wakati wa kujamiiana, kubarehe na kujifungua kwa mama.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi michubuko ambayo mara nyingi utokea kwa watoto wakati wa kuzaliwa,na mara nyingi uweza kupona baada ya masaa ishilini na manne au ndani ya masaa ishilini na manne.
Soma Zaidi...Posti hii inaelezea kuhusiana na mbinu za kutoa huduma ya kwanza kwa walio na majeraha ya macho kutokana na aina mbalimbali ya jeraha
Soma Zaidi...Hata kama mtu atakuambbia usile vyakula yenye mafuta bado itahitajika kula tu. Kuna mafuta na fati je unajuwa utofauti wao. Ni zipi kazi zao mwilini? Endelea na makala hii
Soma Zaidi...