Zijuwe athari za vidonda mwilini

Posti hii inahusu zaidi athari za kutotibu vidonda, hizi ni athari mbalimbali ambazo zinaweza kutokea ingawa kama vidonge haujatibiwa au vimetibiwa kwa kuchelewa.

Athari za kutotibu vidonda.

1.Kuwepo kwa makovu katikati ya tishu.

Kama kidonda hakijatibiwa vizuri kuna uwezekano mkubwa wa kuwepo kwa makovu makubwa kati kati ya tishu ambayo Usababisha kurudiwa kwa upasuaji  kama kidonda kilikuwa kimesababishwa na upasuaji , makovu haya yanaweza kuwa kwenye moyo na na sehemu nyingine ambazo Usababisha kuaribika kwa utumbo mkubwa au mdogo kwa sababu ya sumu kutoka katika sehemu mbalimbali zenye makovu hayo.

 

2. Pia panaweza kuwepo kwa mivutano kwenye misuli, kwa kawaida kidonda kama kinaposa uvuta ngozi moja na nyiy ili kuweza kufanya uponyaji kutokea lakini kuna vidonda vingine uvuta ngozi sana na kusababisha kutokea kwa kitu kingine ambacho hakikuwepo baadae kunaweza kusababisha misuli kuwa na maumivu yasiyo ya kawaida.

 

3.Pia Kuna madhara mengine ambayo ni kupasuka kwenye sehemu ambayo kidonda kinajifunga hasa hasa hali hii usababishwa na jinsi upasuaji ulivyofanyika kwa sababu hali hii utokea kwa wale waliofanyiwa upasuaji kwenye sehemu za tumboni.

 

4.Kuwepo kwa Maambukizi, hali hii utokea kwa sababu ya kuwepo kwa uchafu au utunzaji mbaya kwenye sehemu ya kidonda kwa hiyo ni lazima na vizuri kuweka kidonda kwenye sehemu safi.

 

5. Kuvuja kwa kidonda.

Hali hiii utokea kwa sababu ya kuwepo kwa sehemu ambayo haijafungwa vizuri na pia sehemu ya kidonda labda imepatwa na ajali

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 1275

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

Ratiba ya chanjo ya kifua kikuu

Posti hii inahusu zaidi ratiba ya chanjo ya kuzuia kifua kikuu, hiii ni ratiba ambayo chanjo hii utolewa na ushauri mbalimbali utolewa ili kuweza kufanikisha kazi ya chanjo hii

Soma Zaidi...
Ijue rangi za mkojo na maana zake katika mwili kuhsu afya yako

Posti hii inahusu zaidi rangi za mkojo na maana zake, hizi ni rangi ambazo uweza kutokea kwenye mkojo wa mtu mmoja na mwingine kwa sababu ya kuwepo kwa magonjwa, chakula,na mtindo wa maisha inawezekana unywaji wa maji au kutokunywa maji.

Soma Zaidi...
Madhara ya kuchelewa kutibu tatizo la kiafya

Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea endapo tatizo halijatibiwa.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu michubuko kwa watoto wakati wa kuzaliwa

Post hii inahusu zaidi michubuko ambayo mara nyingi utokea kwa watoto wakati wa kuzaliwa,na mara nyingi uweza kupona baada ya masaa ishilini na manne au ndani ya masaa ishilini na manne.

Soma Zaidi...
Namna ya kuzuia maambukizi kwenye milija na ovari

Posti hii inahusu zaidi namna ya kuzuia maambukizi kwenye milija na ovari, ni njia ambazo usaidia kuzuia maambukizi kwenye milija na ovari

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu fati na mafuta na kazi zake mwilini

Hata kama mtu atakuambbia usile vyakula yenye mafuta bado itahitajika kula tu. Kuna mafuta na fati je unajuwa utofauti wao. Ni zipi kazi zao mwilini? Endelea na makala hii

Soma Zaidi...
Namna ya kumsaidia mgonjwa aliye na Maambukizi kwenye milija na ovari

Posti hii inahusu zaidi namna ya kuwasaidia wagonjwa waliopata maambukizi kwenye milija na ovari, ni wagonjwa waliopata maambukizi kwenye milija na ovari.

Soma Zaidi...
Vyakula vya kuongeza nguvu za kiume

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya vyakula vinavyoongeza nguvu za kiume

Soma Zaidi...