picha

Zijuwe athari za vidonda mwilini

Posti hii inahusu zaidi athari za kutotibu vidonda, hizi ni athari mbalimbali ambazo zinaweza kutokea ingawa kama vidonge haujatibiwa au vimetibiwa kwa kuchelewa.

Athari za kutotibu vidonda.

1.Kuwepo kwa makovu katikati ya tishu.

Kama kidonda hakijatibiwa vizuri kuna uwezekano mkubwa wa kuwepo kwa makovu makubwa kati kati ya tishu ambayo Usababisha kurudiwa kwa upasuaji  kama kidonda kilikuwa kimesababishwa na upasuaji , makovu haya yanaweza kuwa kwenye moyo na na sehemu nyingine ambazo Usababisha kuaribika kwa utumbo mkubwa au mdogo kwa sababu ya sumu kutoka katika sehemu mbalimbali zenye makovu hayo.

 

2. Pia panaweza kuwepo kwa mivutano kwenye misuli, kwa kawaida kidonda kama kinaposa uvuta ngozi moja na nyiy ili kuweza kufanya uponyaji kutokea lakini kuna vidonda vingine uvuta ngozi sana na kusababisha kutokea kwa kitu kingine ambacho hakikuwepo baadae kunaweza kusababisha misuli kuwa na maumivu yasiyo ya kawaida.

 

3.Pia Kuna madhara mengine ambayo ni kupasuka kwenye sehemu ambayo kidonda kinajifunga hasa hasa hali hii usababishwa na jinsi upasuaji ulivyofanyika kwa sababu hali hii utokea kwa wale waliofanyiwa upasuaji kwenye sehemu za tumboni.

 

4.Kuwepo kwa Maambukizi, hali hii utokea kwa sababu ya kuwepo kwa uchafu au utunzaji mbaya kwenye sehemu ya kidonda kwa hiyo ni lazima na vizuri kuweka kidonda kwenye sehemu safi.

 

5. Kuvuja kwa kidonda.

Hali hiii utokea kwa sababu ya kuwepo kwa sehemu ambayo haijafungwa vizuri na pia sehemu ya kidonda labda imepatwa na ajali

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Huduma Main: Post File: Download PDF Views 1582

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉2 web hosting     👉3 ai web app     👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉5 Kitabu cha Afya     👉6 Madrasa kiganjani    

Post zinazofanana:

Nyanja sita za afya

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu nyanja sita za afya

Soma Zaidi...
Mambo yanayoathiri Uponyaji was jeraha.

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Mambo yanayoweza kuadhiri Uponyaji wa jeraha.jeraha huleta maumivu makali sana, vilevile Uvimbe, kutoa usaha. Pia jeraha hutofautiana katika kupona kwa mtu mzima na Mtoto.

Soma Zaidi...
Sababu za zinazosababisha kuwepo kwa vidonda

Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwepo kwa vidonda, kwa sababu tunaona vidonda vinashambulia sehemu mbalimbali za mwili ila tunakuwa hatuna sababu kwa hiyo zifuatazo ni sababu za kuwepo kwa vidonda.

Soma Zaidi...
Athari za mkojo mwilini.

Posti hii inahusu zaidi athari za mkojo mwilini, kwa kawaida tunafahamu kwamba mkojo ni matokeo ya mkusanyiko wa uchafu wa maji maji yanayokusanyika kutoka mwilini ikiwa mkojo umebaki mwilini usababisha madhara mbalimbali kama tutakavyoona.

Soma Zaidi...
HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYEPATWA NA KWIKWI

Kwikwi sio hatari sana kwa afya, lakini inaweza kuwa hatari zaidi kwa mu aliyefanyiwa upasuaji kwenye tumbo.

Soma Zaidi...
Kumsaidia mtu aliyeingiwa na uchafu au kitu chochote machoni

Posti hii inahusu hasa jinsi uchafu, wadudu na vitu vingine vinavyoweza kuingia machoni.macho ni mojawapo ya milango mitano ya fahamu ambapo kazi yake ni kuona.

Soma Zaidi...