Posti hii inahusu zaidi athari za kutotibu vidonda, hizi ni athari mbalimbali ambazo zinaweza kutokea ingawa kama vidonge haujatibiwa au vimetibiwa kwa kuchelewa.
Athari za kutotibu vidonda.
1.Kuwepo kwa makovu katikati ya tishu.
Kama kidonda hakijatibiwa vizuri kuna uwezekano mkubwa wa kuwepo kwa makovu makubwa kati kati ya tishu ambayo Usababisha kurudiwa kwa upasuaji kama kidonda kilikuwa kimesababishwa na upasuaji , makovu haya yanaweza kuwa kwenye moyo na na sehemu nyingine ambazo Usababisha kuaribika kwa utumbo mkubwa au mdogo kwa sababu ya sumu kutoka katika sehemu mbalimbali zenye makovu hayo.
2. Pia panaweza kuwepo kwa mivutano kwenye misuli, kwa kawaida kidonda kama kinaposa uvuta ngozi moja na nyiy ili kuweza kufanya uponyaji kutokea lakini kuna vidonda vingine uvuta ngozi sana na kusababisha kutokea kwa kitu kingine ambacho hakikuwepo baadae kunaweza kusababisha misuli kuwa na maumivu yasiyo ya kawaida.
3.Pia Kuna madhara mengine ambayo ni kupasuka kwenye sehemu ambayo kidonda kinajifunga hasa hasa hali hii usababishwa na jinsi upasuaji ulivyofanyika kwa sababu hali hii utokea kwa wale waliofanyiwa upasuaji kwenye sehemu za tumboni.
4.Kuwepo kwa Maambukizi, hali hii utokea kwa sababu ya kuwepo kwa uchafu au utunzaji mbaya kwenye sehemu ya kidonda kwa hiyo ni lazima na vizuri kuweka kidonda kwenye sehemu safi.
5. Kuvuja kwa kidonda.
Hali hiii utokea kwa sababu ya kuwepo kwa sehemu ambayo haijafungwa vizuri na pia sehemu ya kidonda labda imepatwa na ajali
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Kifafa hakiambukizi na ugonjwa wa ubongo lakini kifafa pia hakiathiri akili au ubongo Ila kikiwa kifafa Cha kudumu na Cha nguvu ndio huweza kuadhiri. Pia Kuna kifafa Cha mimba na kifafa Cha kawaida.kifafa Cha mimba ndio kinahatari Sana kuliko Cha Kawaid
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi malengo ya kumsafisha mgonjwa nywele zake, ni sababu ambazo upelekea kumsafisha mgonjwa nywele kama tutakavyoona hapo chini.
Soma Zaidi...Mtoto mdogo ni mtoto chini ya miaka mitano, yaan kuanzia pale anapozaliwa mpaka anapafikisha miaka mitano
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi huduma Kwa mgonjwa mwenye maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo,ni huduma maalumu ya kumsaidia mgonjwa aliyepata maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo.
Soma Zaidi...Hii post inahusu zaidi kazi za wahudumu wa afya wakati wa kutoa dawa, ni kanuni zinazopaswa kufuata wakati wa kutoa dawa kwa wagojwa.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mgawanyo wa matibabu ya kifua kikuu, tunajua kubwa kifua kikuu ni Ugonjwa ambao utumia mda mrefu kidogo katika matibabu kwa hiyo mgawanyiko wake uko kwenye sehemu mbili muhimu kama tutajavyoona
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu utaratibu wa lishe kwa wazee
Soma Zaidi...Katika vyakula tunaposema wanga tunamaanisha virutubisho ambavyo hupatikana kwenye vyakula. Hivi husaidia sana katika kuifanya miili yetu iwe na nguvu.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi njia za kuenea kwa ugonjwa wa Ukimwi. Ukimwi ni upungufu wa kinga mwilini.
Soma Zaidi...