picha

Huduma ya kwanza kwa mtu aliyeshambuliwa na moyo na kushindwa kupumua

Kushambuliwa kwa moyo na kupumua ni kitendo Cha moyo kusimama ghafla, Hali hii unapaswa kutolewa huduma ya kwanza Ili moyo ufanye kazi tena,

Njia za kuamsha moyo uliosimama

1. Kwanza angalia usalama wa mtu na mazingira yake

2.angalia kama mtu anaweza kuhisi maumivu, kuona ishara yoyote au kuamka

3.analia upumuaji wa mgonjwa na msukumo wa damu

4.angalia upumuaji kama haupo chukua mikono yako weka juu ya kifua Cha mgonjwa, gandamiza na kutoa mikono mara thelathini. Ukifikisha mara thelathini unampatia hewa mara mbili, endelea hivyo mara Tano mfululizo ukigandamiza mara thelathini na hewa mara mbili 

5, ukifikisha mara Tano angalia kama msukumo wa damu umerudi kawaida

6. Endelea kumpatia hewa baadae kama ameweza kupumua vizuri, pima msukumo wa damu

7. Kama mgonjwa ataweza kupumua mpelekee hospitalini kwa matibabu zaidi

 

Angalia huduma ya kwanza kwa aliyezimia bofya hapa

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Huduma Main: Post File: Download PDF Views 1630

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Dua za Mitume na Manabii     👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉3 web hosting     👉4 Bongolite - Game zone - Play free game     👉5 ai web app     👉6 Kitabu cha Afya    

Post zinazofanana:

Maana ya afya

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maana ya afya

Soma Zaidi...
Utaratibu wa lishe kwa vijana

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu utaratibu wa lishe kwa vijana

Soma Zaidi...
Aina za vidonda.

Posti hii inahusu zaidi aina kuu za vidonda,kuna aina kuu tatu za vidonda ambapo kila aina utumiwa kwa njia yake kama tutakavyoona hapo chini.

Soma Zaidi...
Zijue faida za mate mdomoni

Post hii inahusu zaidi umuhimu wa mate mdomoni, mate ni majimaji ambayo hukaa mdomoni na husaidia katika kazi mbalimbali mdomoni.

Soma Zaidi...
Huduma ya Kwanza kwa mtu aliyepatwa na shambulio la moyo

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyepatwa na shambulio la moyo

Soma Zaidi...