image

Njia za kupunguza uzito na kitambi

Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kupunguza tatizo la kuwepo kwa uzito mkubwa pamoja na kitambi

Njia za kupunguza uzito mkubwa pamoja na kitambi.

1. Tunapaswa kufahamu kwamba mara nyingi tatizo la kuwepo kwa uzito mkubwa na kitambi ni mtindo wa maisha ambapo kwa walio wengi ujiachiaa kabisa katika maisha na vyakula, kwa mfano unaweza kuona mtu anatoka nyumbani kwenda kazini kwa kutumia gari na akifika kazini ni kukaa tu na jioni akitoka kazini ni kupiga bia na nyama yoyote ile na pengine anaongezea chips akitoka hapo anafika nyumbani ni kuangalia movies na kusubiria chakula, watu wanaishi hivyo hata bila ya mazoezi hatimaye kuota kitambi na unene kupita kiasi.

 

2. Kwa hiyo watu wanapaswa kubadilika na kufuata yafuatayo ili kuweza kuepuka na tatizo la kuwepo kwa vitambi kwa kubadilisha mtindo wa maisha kwa kupiga mazoezi mara kwa mara walau mara tatu kwa  wiki pamoja na kutumia maji ya uvuguvugu ili kupunguza vitambi na unene uliopitiliza.

 

3. Epuka matumizi ya vyakula vya wanga.

Kwa kawaida kitu kikubwa ambacho kipo kwenye vyakula vya wanga ni starch na ndiyo inayosababisha kuwepo kwa unene uliopitiliza.

 

4. Epuka matumizi ya vyakula vyenye sukari nyingi.

Kwa kawaida tunajua kazi ya sukari ikiwa nyingi mwilini usababisha kuwepo kwa mwongezeko wa mwili pamoja na uzito kwa hiyo ni vizuri kutumia sukari kidogo kwenye vinywaji.

 

5. Kufunga ili kuweza kuchoma calories ambazo zimo mwilini ambazo utokana na ulaji wa vyakula vyenye wanga na sukari.

 

6. Tumia vyakula vyenye wingi wa protini na gari kwa kiasi kidogo na pia tumia uchache wa unga na sukari.

 

7. Katika kupunguza uzito ni vizuri kabisa kufahamu kwamba matumizi ya vyakula vya wanga mara kwa mara hata kama unafanya mazoezi sio rahisi kupunguza tatizo kwa hiyo punguza matumizi ya vyakula vyenye wanga.

 





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1147


Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 kitabu cha Simulizi    

Post zifazofanana:-

Zijue dalili za upungufu wa maji mwilini
Posti hii inaelezea kuhusiana na upungufu wa maji mwilini Soma Zaidi...

Kazi ya chanjo ya kifua kikuu
Posti hii inahusu kazi ya chanjo ya kifua kikuu kwa kitaalamu huitwa BCG. Ni chanjo ambayo uzuia kifua kikuu na ukoma. Soma Zaidi...

Namna ya kutunza nywele za mgonjwa
Posti hii inahusu zaidi namna ya kutunza nywele za mgonjwa hasa kwa wagonjwa mahututi na wale wasiojiweza tunafanya hivyo ili tuweze kuwatoa kwenye hali ya usafi. Soma Zaidi...

Upungufu wa vyakula na madhara yake
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu madhara ya upungufu wa vyakula Soma Zaidi...

Vifaa vya kutumia wakati wa kusafisha vidonda.
Posti hii inahusu zaidi vifaa vya kutumia wakati wa kusafisha vidonda, ni vifaa muhimu ambavyo mara nyingi kutwa hospitalini. Soma Zaidi...

Namna ya kutoa huduma ya kwanza
Huduma ya kwanza ni huduma anayopewa mgonjwa au mtu yeyote aliyepata ajali kabla ya kumpeleka hospitalini Soma Zaidi...

Huduma ya kwanza kwa aliyeungua moto
Post hii inahusu namna ya kutoa huduma ya kwanza kwa mtu aliyeungua moto, kuingia moto ni kitendo Cha kubabuka ngozi ya juu inaweza kuwa kwa kemikali,umeme na just, Soma Zaidi...

Fahamu kuhusu vitamini C na kazi zake
Makala hii itakujulisha kazi kuu za vitamini C mwilini. Hapa pia utatambuwa ni kwa nini tunahitaji vitamini C na wapi tutavipata Soma Zaidi...

Imani potofu kuhusu kifua kikuu
Posti hii inahusu zaidi imani potofu waliyonayo Watu kuhusu ugonjwa wa kifua kikuu, hizi ni imani ambazo uwepo kwenye jamii na pengine uweza kuaminika lakini si za ukweli. Soma Zaidi...

Zijue faida za mate mdomoni
Post hii inahusu zaidi umuhimu wa mate mdomoni, mate ni majimaji ambayo hukaa mdomoni na husaidia katika kazi mbalimbali mdomoni. Soma Zaidi...

Upungufu wa vitamin
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu madhara ya upungufu wa vitamin Soma Zaidi...

Zijue kazi za uke (vagina)
Uke ni sehemu ambayo imo ndani ya mwili wa mwanamke, sehemu hii ufanya kazi mbalimbali hasa wakati wa kujamiiana, kubarehe na kujifungua kwa mama. Soma Zaidi...