Posti hii inahusu zaidi ratiba ya chanjo ya kuzuia kifua kikuu, hiii ni ratiba ambayo chanjo hii utolewa na ushauri mbalimbali utolewa ili kuweza kufanikisha kazi ya chanjo hii
Ratiba ya chanjo ya kuzuia kifua kikuu.
1.Tunajua wazi kuwa ugonjwa wa kifua kikuu ni ugonjwa ambao unaleta matatizo sana kwenye jamii hasa ikishambulia watoto uweza kuleta madhara makubwa kama vile kudumaa, kuokoa na mambo ya ukuaji kwa mtoto urudi nyuma kwa hiyo tunapaswa kupambana na ugonjwa huu ili kuweza kuwafanya watoto wakue kwa afya njema.
2.Chanjo hii utolewa mara moja tu pale mtoto anapozaliwa na kiwango cha kutoa chanjo huu ni kidogo sana kuliko chanjo nyingine ambacho ni sifuri nukta sufuri, sifuri tano na utolewa kwenye bega la kulia kwenye ngozi nya juu na Chanjo hii inapotolewa kovu lazima lionekane lisipoonekana chanjo urudiwa upya.
3.Wakati wa kutoa chanjo hii kuna maudhi madogo madogo yanaweza kutokea kama vile homa kali lakini homa hii isizidi masaa ishirini na manne na yakizidi na homa bado ipo mtoto anapaswa kupelekwa hospitalini kwa uangalizi zaidi .Na wakati mwingine mtoto anaweza kupata kipu kwenye bega yaani sehemu alipopatiwa chanjo kwa hiyo hilo jipya halipaswi kupasuliwa na ukiona sio la kawaida mpeleke mtoto hospitalini kwa uangalizi zaidi.
4.Kwa hiyo tunaona kwamba chanjo hii ina faida kubwa tunapaswa kuwapeleka watoto ili waweze kupata ili kuepuka kuwepo kwa kifua kikuu kwenye jamii na wale ambao hawaelewi wanapaswa kupewa elimu ili waweze kuacha imani potovu juu ya chanjo hizi zenye manufaa na umuhimu mkubwa kwenye jamii
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi mgawanyo wa matibabu ya kifua kikuu, tunajua kubwa kifua kikuu ni Ugonjwa ambao utumia mda mrefu kidogo katika matibabu kwa hiyo mgawanyiko wake uko kwenye sehemu mbili muhimu kama tutajavyoona
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi jinsi moyo unavyosukuma damu, moyo ni ogani ambayo usukuma damu kwenye sehemu mbalimbali za mwili.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kujikinga na kisukari
Soma Zaidi...Pumu ni ugonjwa ambao huathiri sehemu ya kupitisha hewa kwenda kwenye mapafu ya binadamu kitaalamu huitwa bronchioles. Mtu mwenye pumu huwa na michubuko sugu mwilini kwenye mirija yake ya kupitisha hewa. Hali ambayo husababisha kuvimba kwa kuta za mirija
Soma Zaidi...makala hii inakwenda kukupa faida, kazi na athari za vitamini B mwilini. Nini hutokea endapo utakuwa na upungufu wa vitamini B mwilini?
Soma Zaidi...Posti hii inahusu njia za kumlisha Mgonjwa ambaye hawezi kujilisha wenyewe, hali hii uwa inawapata wagonjwa wale ambao hawawezi kujilisha wenyewe tunaweza kuwalisha kwa njia zifuatazo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi imani potofu juu ya ugonjwa wa Ukimwi,ni Imani walizonazo watu wengi kuhusiana na ugonjwa wa Ukimwi.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu mambo yanayosaidia kuboresha afya
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi imani potofu waliyonayo Watu kuhusu ugonjwa wa kifua kikuu, hizi ni imani ambazo uwepo kwenye jamii na pengine uweza kuaminika lakini si za ukweli.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya fati na mafuta
Soma Zaidi...