Ratiba ya chanjo ya kifua kikuu

Posti hii inahusu zaidi ratiba ya chanjo ya kuzuia kifua kikuu, hiii ni ratiba ambayo chanjo hii utolewa na ushauri mbalimbali utolewa ili kuweza kufanikisha kazi ya chanjo hii

Ratiba ya chanjo ya kuzuia kifua kikuu.

1.Tunajua wazi kuwa ugonjwa wa kifua kikuu ni ugonjwa ambao unaleta matatizo sana kwenye jamii hasa ikishambulia watoto uweza kuleta madhara makubwa kama vile kudumaa, kuokoa na mambo ya ukuaji kwa mtoto urudi nyuma kwa hiyo tunapaswa kupambana na ugonjwa huu ili kuweza kuwafanya watoto wakue kwa afya njema.

 

2.Chanjo hii utolewa mara moja tu pale mtoto anapozaliwa na kiwango cha kutoa chanjo huu ni kidogo sana kuliko chanjo nyingine ambacho ni sifuri nukta sufuri, sifuri tano na utolewa kwenye bega la kulia kwenye ngozi nya juu na Chanjo hii inapotolewa kovu lazima lionekane lisipoonekana chanjo urudiwa upya.

 

3.Wakati wa kutoa chanjo hii kuna maudhi madogo madogo yanaweza kutokea kama vile homa kali lakini homa hii isizidi masaa ishirini na manne na yakizidi na homa bado ipo mtoto anapaswa kupelekwa hospitalini kwa uangalizi zaidi .Na wakati mwingine mtoto anaweza kupata kipu kwenye bega yaani sehemu alipopatiwa chanjo kwa hiyo hilo jipya halipaswi kupasuliwa na ukiona sio la kawaida mpeleke mtoto hospitalini kwa uangalizi zaidi.

 

4.Kwa hiyo tunaona kwamba chanjo hii ina faida kubwa tunapaswa kuwapeleka watoto ili waweze kupata ili kuepuka kuwepo kwa kifua kikuu kwenye jamii na wale ambao hawaelewi wanapaswa kupewa elimu ili waweze kuacha imani potovu juu ya chanjo hizi zenye manufaa na umuhimu mkubwa kwenye jamii

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 1259

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Dua za Mitume na Manabii    👉4 web hosting    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Faida za tumbo katika mwili wa binadamu

Posti hii inahusu zaidi faida za tumbo,tumbo ni sehemu ya mwili ambayo ushughilika na kutunza chakula,

Soma Zaidi...
Kazi ya chanjo ya Surua

Posti hii inahusu zaidi kazi ya chanjo ya Surua kwa watoto, ni Aina ya chanjo ambayo utolewa kwa watoto na kufanya kazi mbalimbali mwilini ambazo ni kumkinga mtoto asipatwe na magonjwa.

Soma Zaidi...
Aina kuu tatu za mvunjiko wa viuno vya mwilini na mifupa

Posti hii inahusu zaidi Aina kuu tatu za mvunjiko ni Aina za kuvunjika ambazo uwakumba watu mbalimbali na watu ushindwa kutambua hizi Aina tatu za mvunjiko, zifuatazo ni Aina za mvunjiko.

Soma Zaidi...
Kazi ya madini mwilini

Posti hii inakwenda kukueleza kuhusu kazi za madini mwilini

Soma Zaidi...
Njia za kukabiliana na presha ya kupanda/hypertension

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kukabiliana na presha ya kupanda

Soma Zaidi...
Namna ya kuwasaidia wagonjwa wa vidonda vya tumbo

Post hii inahusu zaidi namna ya kuwasaidia wagonjwa wa vidonda vya tumbo, ni njia ya kuwasaidia wagonjwa waliopata madonda ya tumbo

Soma Zaidi...
Huduma kwa watu wanaoishi na virusi vya Ukimwi

Posti hii inahusu zaidi huduma ambazo wagonjwa wanaoishi na maambukizi ya virus vya ukimwi wanaweza kupata, huduma hii utolewa hasa kwa wale ambao wamejitokeza kupima afya zao na kujua wazi hali zao na kwa wale wanaofatilia huduma hii wanaweza kuishi vizu

Soma Zaidi...
Mabadiliko yanayotokea wakati wa kubarehe kwa wsichana

Post hii inahusu zaidi mabadiliko katika umri wa kubarehe kwa wsichana, ni kipindi ambacho watoto huelekea ujana, utokea Kati ya miaka kuanzia Kumi na kuendelea.

Soma Zaidi...
fahamu vitamini A na kazi zake

Je na wewe i katika wale ambaowanahitaji kujuwa kuhusu Vitamini A, kazi zake na vyakula vya vitamini A. post hii inakwenda kukujuza zaidi pamoja na historia ya vitamini A.

Soma Zaidi...
Jifunze kuhusu msukumo wa damu kwa kitaalamu huitwa pressure

Kupanda kwa msukumo wa damu ni ktendo ambapo moyo husukuma damu kwa nguvu kuliko kawaida ambapo hupelekea matatizo mengi kwenye mwili

Soma Zaidi...