Madhara ya kutumia dawa bila ushauri wa kitaalamu.


image


Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutumia dawa bila kupata ushauri wa kitaalamu, madhara haya uwapata watu wengi kwa sababu hawajui taratibu za matumizi ya dawa.


Madhara ya kutumia dawa bila ushauri wa kitaalamu.

1. Uongeza sumu mwilini kwa sababu dozi hauishii na mara nyingine dawa utumika pasipokuwepo na mpangilio hatimaye badala ya kutibu dawa hiyo uwa sumu.

 

2. Dawa utengeneza usugu wa magonjwa.

Kwa wakati mwingine dawa zinawe kutumika visivyo na kuwafanya wadudu wanaosababisha ugonjwa huo kubwa sugu na kusababisha madhara makubwa ambapo kila dawa ikitumika Ugonjwa hauponi.

 

3. Uweza kusababisha saratani.

Kwa kawaida saratani nyingine Usababishwa na kutumia dawa visivyo kwa sababu ya mrundikano wa madawa yasiyokuwa na mpangilio usababisha kuwepo kwa saratani.

 

4. Kwa mara nyingine matumizi ya dawa bila ushauri wa kitaalamu uweza kusababisha kifo kwa sababu kuna dawa ambazo mtu mwenye presha hapaswi kutumia ila kwa sababu ya kutojua mtu anatumia na anaweza kusababisha kifo.

 

5. Pengine dawa zinaweza kuibua tatizo la mzio(aleji) kwa sababu mtu hajui kama ana aleji na dawa zipi anatumia tu.

 

6. Pia dawa hizi za bila kutumia utaalamu zinaweza kuharibu afya ya mama na mtoto kwa hiyo tujue wazi kuna dawa ambazo Mama hapaswi kutumia kama ana mimba.

 



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Tunakukaribisha kwenye Maktaba yetu       ðŸ‘‰    2 Jifunze Fiqh       ðŸ‘‰    3 Madrasa kiganjani offline       ðŸ‘‰    4 Download App zetu hapa ujifunze zaidi    


Je una maswali, maoni ama ushauri, tutumie sms ✉ bofya hapa hapa, ama wasiliana nasi kwa WhatsApp bofya hapa



Post Nyingine


image Vijuwe vidonda vya tumbo na madhara yake.
Madonda ya tumbo ni ugonjwa unaotokana na kuwepo kwa vidonda kwenye Koo, tumboni na kwenye utumbo mdogo Soma Zaidi...

image Wajibu wa mjamzito katika utaratibu wa uleaji wa mimba
Posti hii inahusu zaidi wajibu wa Mama mjamzito katika kileo mimba sio yeye tu Bali na wote waliomzunguka wanapaswa kuhakikisha kuwa mama mjamzito anapaswa kufanyiwa huduma zote Ili kuweza kujifungua salama na bila shida yoyote. Soma Zaidi...

image Dalili na madhara ya Kiungulia
post hii inaelezea kuhusiana na dalili au ishara na madhara ya Kiungulia ni maumivu ya moto kwenye kifua chako, nyuma ya mfupa wako wa kifua. Maumivu huwa mabaya zaidi wakati wa kulala au kuinama Soma Zaidi...

image Njia za uzazi wa mpango
Posti hii inahusu zaidi kuhusu njia za uzazi wa mpango, uzazi wa mpango ni njia za kupanga uzazi Ili kupata idadi ya watoto unaohitaji Soma Zaidi...

image Njia za uzazi wa mpango zinazomhusisha mwanaume
Posti hii inahusu zaidi njia za uzazi wa mpango unavyofanya na mwanaume kushiriki, ni njia ambayo umfanye mwanaume awe mhusika hasa wakati wa kujamiiana. Soma Zaidi...

image Zijue sababu za kupungukiwa damu mwilini
Posti hii inahusu zaidi tatizo la kupungukiwa damu mwilini, ni ugonjwa unaotokana sana hasa kwa watoto wadogo chini ya miaka mitano ingawa na kwa watu wazima. Soma Zaidi...

image Athari za kutotibu fangasi
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu athari za kutokutibu fangasi Soma Zaidi...

image Dalili za fangasi ukeni
Post hii inakwenda kukujulisha dalili za kuwa huwenda una fangasi sehemu zako za siri. Soma Zaidi...

image Ujue Ugonjwa wa homa ya ini yenye sumu.
Homa ya ini yenye sumu ni kuvimba kwa ini lako kutokana na kuathiriwa na vitu fulani ambavyo umeathiriwa navyo. Homa ya ini yenye sumu inaweza kusababishwa na pombe, kemikali, dawa za kulevya au viongeza vya lishe. Soma Zaidi...

image Yajue malengo ya kusafisha vidonda.
Posti hii inahusu zaidi malengo ya kusafisha vidonda, kwa sababu Kuna watu wengine huwa wanajiuliza kwa nini nisafishe kidonda hospitalini au kwenye kituo chochote Cha afya, yafuatayo ni majibu ya kwa Nini nisafishe kidonda. Soma Zaidi...