Navigation Menu



Madhara ya kutumia dawa bila ushauri wa kitaalamu.

Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutumia dawa bila kupata ushauri wa kitaalamu, madhara haya uwapata watu wengi kwa sababu hawajui taratibu za matumizi ya dawa.

Madhara ya kutumia dawa bila ushauri wa kitaalamu.

1. Uongeza sumu mwilini kwa sababu dozi hauishii na mara nyingine dawa utumika pasipokuwepo na mpangilio hatimaye badala ya kutibu dawa hiyo uwa sumu.

 

2. Dawa utengeneza usugu wa magonjwa.

Kwa wakati mwingine dawa zinawe kutumika visivyo na kuwafanya wadudu wanaosababisha ugonjwa huo kubwa sugu na kusababisha madhara makubwa ambapo kila dawa ikitumika Ugonjwa hauponi.

 

3. Uweza kusababisha saratani.

Kwa kawaida saratani nyingine Usababishwa na kutumia dawa visivyo kwa sababu ya mrundikano wa madawa yasiyokuwa na mpangilio usababisha kuwepo kwa saratani.

 

4. Kwa mara nyingine matumizi ya dawa bila ushauri wa kitaalamu uweza kusababisha kifo kwa sababu kuna dawa ambazo mtu mwenye presha hapaswi kutumia ila kwa sababu ya kutojua mtu anatumia na anaweza kusababisha kifo.

 

5. Pengine dawa zinaweza kuibua tatizo la mzio(aleji) kwa sababu mtu hajui kama ana aleji na dawa zipi anatumia tu.

 

6. Pia dawa hizi za bila kutumia utaalamu zinaweza kuharibu afya ya mama na mtoto kwa hiyo tujue wazi kuna dawa ambazo Mama hapaswi kutumia kama ana mimba.

 

Download app yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiw ana App yetu. Bofya liln hapo chini kuweza ku download

Download Now Bongoclass

           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu image Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Huduma Main: Post File: Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Views 1151


Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 Madrasa kiganjani     👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉6 Kitau cha Fiqh    

Post zifazofanana:-

Yanayoathiri afya
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu mambo yanayoathiri afya Soma Zaidi...

Jinsi ya kujikinga na U.T.I inayijirudia rudia.
Endapo U.T.I inajirudiarudia baada yavkutibiwa inawezabkuwa ikakupa mawazo mengi. Katika post hii nitakufafanulia nini ufanye. Soma Zaidi...

Upungufu wa damu wa madini (anemia ya upungufu wa madini)
upungufu wa damu wa madini ya chuma ni aina ya kawaida ya upungufu wa damu hali ambayo damu haina chembe nyekundu za damu zenye afya. Seli nyekundu za damu hubeba oksijeni kwa tishu za mwili. Bila chuma cha kutosha, mwili wako hauwezi kutoa dutu ya k Soma Zaidi...

Huduma ya Kwanza kwa aliyekazwa na misuli
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyekazwa na misuli Soma Zaidi...

Namna ya kuchoma chanjo
Posti hii inahusu zaidi namna ya kuchoma chanjo, ni njia ambazo utumika kutoa chanjo kwa watoto na watu wazima kwa utaratibu uliowekwa. Soma Zaidi...

Jinsi ya kutoa huduma ya kwanza kulingana na tatizo
Posti hii inahusu sana mambo ya huduma ya kwanza ambayo huduma ya kwanza inapatikana au inatolewa na mtu yeyote katika jamii . Soma Zaidi...

Mambo yanayoweza kudhoofisha kinga ya mwili
Kinga ya mwili inapodhoofu mwili unakuwa hatarini kupata maradhi. Je unayajuwa mambo yanayodhoofisha kinga ysbmeili? Soma Zaidi...

Faida za minyoo
Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za minyoo Soma Zaidi...

Mambo yanayochangia Ili dawa kuingia kwenye damu vizuri
Post hii inahusu zaidi mambo yanayochangia Ili dawa iingie vizuri kwenye damu, na mambo yanayoweza kusababisha dawa kuingia au kutoingia vizuri kwenye damu. Soma Zaidi...

Vipi kuhusu kibofu kukaza sana na unapokula unahisi kama tumbo kujaa zaidi je hii nidall yamimba?
Dalili za mimba zinaweza kuwa tata sana kuzijua mpaka upate vipimo. Kwa mfano unaweza kupatwa na maumivu yakibofu. Je unadhani nayo ni dalili ya mimba? Soma Zaidi...