Posti hii inahusu zaidi aina mbalimbali ya maumivu ya mwili, Maumivu ya mwili utokea kwa aina mbalimbali kama ifuatavyo.
Aina mbalimbali ya maumivu ya mwili.
1.Kuna maumivu yanayotokea kwenye sehemu ya juu ya mwili na hasa hasa maumivu haya utokea kwenye ngozi, kuna kipindi unahisi maumivu kwenye ngozi hasa mtu akiungua.
2. Kuna maumivu ya ndani kabisa ya mwili ambayo uweza kuingilia na misuli,joint na ogani nyingine kwenye mwili haya maumivu yanakuwa makali na yasipotibiwa yanaweza kuleta kitu kingine kisichotarajiwa.
3. Kuna maumivu ambayo yanatokea kwenye sehemu moja ya kiungo cha mwanadamu kumbe chanzo kipo sehemu nyingine kwa mfano mtu anaumwa mgongo lakini maumivu yako kwenye miguu na mgongo wenye shida hata hauna maumivu hata kidogo, tatizo hili ugunduliwa na vipimo vya hali ya juu.
4. Kuna maumivu mengine ya kukata kiungo cha binadamu kwa mfano mtu aliyekutwa mguu kwa sababu ya ugonjwa wa kisukari au kwa sababu ya kuoza kwa mguu.
5. Maumivu kisaikolojia haya ni maumivu ambayo uwapata Watu wengi walioumizwa na wapenzi wao haya maumivu uwapata sana wachumba na wapenzi pale mmoja anapoamua kumsaliti mwingine.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowJe umeipenda post hii ?
Posti hii inahusu zaidi faida ya chanjo, tunajua wazi kuwa chanjo Ina faida kubwa kwenye mwili wa binadamu na vile vile kwenye jamii kama tutakavyoona hapo chini.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu hasa jinsi uchafu, wadudu na vitu vingine vinavyoweza kuingia machoni.macho ni mojawapo ya milango mitano ya fahamu ambapo kazi yake ni kuona.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi umuhimu wa uterusi, ni mfuko unayosaidia kumtunza mtoto akiwa tumboni mwa mama yake.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi rangi isiyo ya kawaida kwenye mkojo, kawaida mkojo huwa na rangi ya kahawia Ila ukiona rangi zifuatazo Kuna shida kwenye mkojo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi ratiba ya chanjo ya kuzuia kuharisha hii ni chanjo wanayopewa watoto wadogo chini ya miaka mitano kwa lengo la kuzuia kuharisha chanjo hiyo kwa kitaalamu huitwa Rotarix.
Soma Zaidi...Posti huu inahusu zaidi visababishi mbalimbali vya magonjwa, tunajua wazi kuwa ugonjwa ni hali ya kutokuwa kawaida kwa ogani mbalimbali kwenye mwili na kusababisha mwili kushindwa kufanya kazi zake vizuri.
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kukabiliana na minyoo
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyepatwa na shambulio la moyo
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kuzuia kiungulia
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi Imani potofu juu ya chanjo kwa watoto na akina Mama, ni baadhi ya Imani waliyonayo watu juu ya chanjo.
Soma Zaidi...