Post hii inahusu zaidi mambo yanayochangia Ili dawa iingie vizuri kwenye damu, na mambo yanayoweza kusababisha dawa kuingia au kutoingia vizuri kwenye damu.
Mambo yanayosababisha dawa kuingia vizuri kwenye damu.
1. Njia inayopitisha dawa, kama dawa Inapitia kwenye mishipa itaingia yote kwenye damu kuliko ikipitia kwenye nyama ya mwili
2.Dozi, ikiwa kubwa itasababisha dawa nyingi kuingia kwenye damu kuliko kama dozi ni ndogo.
3. Kiwango Cha dawa inavyotolewa kwenye mwili,kama mtu anakuwa vyakula vya kumaliza dawa nguvu,dawa itaondoka mapema kwenye mwili kuliko yule ambaye hatumii vyakula hivyo
4. Dawa inayopitia mdomoni na kwenye nyama ya mwili haifiki yote kwenye damu, nyingine hutolewa na kinyesi na nyingine na mkojo
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza jinsi ya kumfanyia huduma ya Kwanza kwa mtu aloanguka kifafa
Soma Zaidi...Kungโatwa na nyuki kunaweza kukahitaji huduma ya kwanza kwa haraka kama mgonjwa ana aleji na nyuki.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi namna ya ugonjwa wa vipele kwenye midomo na sehemu za siri unavyoweza kuenea kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine.
Soma Zaidi...Hata kama mtu atakuambbia usile vyakula yenye mafuta bado itahitajika kula tu. Kuna mafuta na fati je unajuwa utofauti wao. Ni zipi kazi zao mwilini? Endelea na makala hii
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu mwenye kizunguzungu
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi umuhimu wa damu mwilini, Damu ni tisu pekee yenye majimaji ambayo hufanya kazi mbalimbali katika mwili wa binadamu.
Soma Zaidi...Ajali ya kichwa na ajali inayotolewa kwenye sehemu mbalimbali za kichwa, ambavyo husababishwa madhara kwa aliyepata ajali hiyo
Soma Zaidi...