Njia za kuingiza chanjo mwilini


image


Posti hii inahusu njia mbalimbali ambazo utumika kupitisha chanjo, njia hizo utegemea na kazi ya chanjo kama ifuatavyo.


Njia zinazotumika kupitishia Chanjo.

1.Tunajua wazi kuwa chanjo lazima zipitishwe sehemu husikika kutokana na kazi maalumu kwa hiyo wahudumu wa afya wanapaswa kujua kwa kina kabisa njia ambapo chanjo inapaswa kupitia nyingine kwenye nyama ya mwili nyingine kwenye kinywa, nyingine kwenye  ngozi nyingine kwenye sehemu ya juu ya ngozi.

 

2.Chanjo zinazopita kwenye kinywa.

Hizi ni chanjo mbili ambayo ni Chanjo ya polio na chanjo inayozuia kuharisha kwa kitaalamu huitwa Rotarix hizi chanjo kwa wakati mwingine zinahitaji kudilutiwa kwa hiyo Poda yake na maji ya kuchanganya yanapaswa kutoka kwenye kiwanda kimoja kwa hiyo utolewa kwa njia ya matone kwa hiyo wataalamu wa afya wanapaswa kuzingatia masharti kwenye kutoa chanjo hii.

 

3.Njia nyingine ya kupitisha chanjo ni kwenye ngozi kwa kitaalamu huitwa intradermal, chanjo ambayo upitishwa kwenye sehemu hii ni chanjo inayotibu kifua kikuu chanjo hiyo kwa kitaalamu huitwa BCG ni chanjo ambayo utolewa baada ya mtoto kuzaliwa na mpaka pawepo na alama sehemu iliyotolewa.

 

4.Njia ya kwenye nyama ya ndani yaan kwenye nyuzi tisini, hii nayo ni mojawapo ya njia ya kupitisha chanjo ambayo kwa kitaalamu huitwa intramuscular, chanjo uingizwa chini kabisa kwenye nyama, kwa hiyo chanjo zitolewazo kwa njia hiyo ni chanjo ya pepopunda, homa ya ini, Dondakoo na chanjo za kuzuia njia ya upumuaji.

 

5.Njia ya nyama ya juu, hizi njia kwa kitaalamu huitwa subcutaneous, chanjo ambazo  utumia njia hizi ni chanjo ya Surua kwa kitaalamu huitwa MR maana yake ni chanjo ya Rubella na Measles ambazo uzuia kuharisha.



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Download App zetu hapa ujifunze zaidi       ðŸ‘‰    2 Madrasa kiganjani offline       ðŸ‘‰    3 Jifunze Fiqh       ðŸ‘‰    4 Tunakukaribisha kwenye Maktaba yetu    


Je una maswali, maoni ama ushauri, tutumie sms ✉ bofya hapa hapa, ama wasiliana nasi kwa WhatsApp bofya hapa



Post Nyingine


image Namna ya kuangalia Maambukizi kwenye mifupa.
Posti hii inahusu zaidi njia zinazotumika ili kuangalia Maambukizi kwenye mifupa. Soma Zaidi...

image Faida za minyoo
Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za minyoo Soma Zaidi...

image Njia za kuzuia upele
Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali za kuzuia upele, ni njia ambazo utumiwa Ili kupunguza tatizo la upele kwenye jamii, kwa hiyo jamii inapaswa kutumia njia hizi Ili kuweza kupambana na ugonjwa huu ambao unatibika. Soma Zaidi...

image Vyumba vidogo vidogo kwenye chumba cha upasuaji
Post hii inahusu zaidi juu ya vyumba vidogo vidogo ambavyo Vimo kwenye chumba cha upasuaji, ingawa chumba cha upasuaji ni kimoja ila kuna vyumba vingine vidogo ambavyo vinatumika kwa kazi mbalimbali kama tutakavyoona. Soma Zaidi...

image Dalili za coma
Coma ni hali ya kupoteza fahamu kwa muda mrefu ambayo inaweza kusababishwa na matatizo mbalimbali Jeraha la kichwa , Kiharusi, Tumor ya ubongo, ulevi wa dawa za kulevya au pombe, au hata ugonjwa wa msingi, kama vile Kisukari au maambukizi. Soma Zaidi...

image Njia za kujilinda na kujikinga na UTI
Somo hili linakwenda kukuletea njia za kujilinda na kujikinga na UTI Soma Zaidi...

image Dalili za maumivu ya jino
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za maumivu ya jino Soma Zaidi...

image Ugonjwa wa vipele kwenye midomo na sehemu za siri.
Posti hii inahusu zaidi kuwepo kwa vipele kwenye midomo na sehemu za siri .Ni ugonjwa ambao kwa kitaalamu huitwa herpes zoster Soma Zaidi...

image Umuhimu wa kumpeleka mtoto kliniki
Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kumpeleka mtoto kliniki, kliniki nisehemu ambayo mtoto hupelekwa Ili kujua maendeleo ya mtoto akiwa chini ya umri wa miaka mitano Soma Zaidi...

image Kivimba kwa utando wa pua
post hii inazungumzia kuhusiana na kuvimba kwa utando wa pua unaoonyeshwa na mchanganyiko wa dalili zifuatazo: Kupiga chafya Msongamano wa pua Muwasho wa kiwambo cha sikio Kuwasha kwa pua na koromeo Uvimbe huu hutokea ikiwa mashambulizi ya kupiga chafya, kutokwa na pua au kuziba hutokea kwa zaidi ya saa moja kwa siku nyingi pia. Soma Zaidi...