Njia za kuingiza chanjo mwilini

Njia za kuingiza chanjo mwilini

Posti hii inahusu njia mbalimbali ambazo utumika kupitisha chanjo, njia hizo utegemea na kazi ya chanjo kama ifuatavyo.

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Njia zinazotumika kupitishia Chanjo.

1.Tunajua wazi kuwa chanjo lazima zipitishwe sehemu husikika kutokana na kazi maalumu kwa hiyo wahudumu wa afya wanapaswa kujua kwa kina kabisa njia ambapo chanjo inapaswa kupitia nyingine kwenye nyama ya mwili nyingine kwenye kinywa, nyingine kwenye  ngozi nyingine kwenye sehemu ya juu ya ngozi.

 

2.Chanjo zinazopita kwenye kinywa.

Hizi ni chanjo mbili ambayo ni Chanjo ya polio na chanjo inayozuia kuharisha kwa kitaalamu huitwa Rotarix hizi chanjo kwa wakati mwingine zinahitaji kudilutiwa kwa hiyo Poda yake na maji ya kuchanganya yanapaswa kutoka kwenye kiwanda kimoja kwa hiyo utolewa kwa njia ya matone kwa hiyo wataalamu wa afya wanapaswa kuzingatia masharti kwenye kutoa chanjo hii.

 

3.Njia nyingine ya kupitisha chanjo ni kwenye ngozi kwa kitaalamu huitwa intradermal, chanjo ambayo upitishwa kwenye sehemu hii ni chanjo inayotibu kifua kikuu chanjo hiyo kwa kitaalamu huitwa BCG ni chanjo ambayo utolewa baada ya mtoto kuzaliwa na mpaka pawepo na alama sehemu iliyotolewa.

 

4.Njia ya kwenye nyama ya ndani yaan kwenye nyuzi tisini, hii nayo ni mojawapo ya njia ya kupitisha chanjo ambayo kwa kitaalamu huitwa intramuscular, chanjo uingizwa chini kabisa kwenye nyama, kwa hiyo chanjo zitolewazo kwa njia hiyo ni chanjo ya pepopunda, homa ya ini, Dondakoo na chanjo za kuzuia njia ya upumuaji.

 

5.Njia ya nyama ya juu, hizi njia kwa kitaalamu huitwa subcutaneous, chanjo ambazo  utumia njia hizi ni chanjo ya Surua kwa kitaalamu huitwa MR maana yake ni chanjo ya Rubella na Measles ambazo uzuia kuharisha.

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 1001

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

Huduma kwa mgonjwa mwenye maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo
Huduma kwa mgonjwa mwenye maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo

Post hii inahusu zaidi huduma Kwa mgonjwa mwenye maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo,ni huduma maalumu ya kumsaidia mgonjwa aliyepata maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo.

Soma Zaidi...
Namna ya kutoa huduma ya kwanza
Namna ya kutoa huduma ya kwanza

Huduma ya kwanza ni huduma anayopewa mgonjwa au mtu yeyote aliyepata ajali kabla ya kumpeleka hospitalini

Soma Zaidi...
Upungufu wa vyakula vya madini
Upungufu wa vyakula vya madini

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu madhara ya upungufu wa vyakula vya madini

Soma Zaidi...
Jinsi ya kutoa huduma ya kwanza kulingana na tatizo
Jinsi ya kutoa huduma ya kwanza kulingana na tatizo

Posti hii inahusu sana mambo ya huduma ya kwanza ambayo huduma ya kwanza inapatikana au inatolewa na mtu yeyote katika jamii .

Soma Zaidi...
Faida za minyoo
Faida za minyoo

Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za minyoo

Soma Zaidi...
Huduma ya Kwanza kwa mtu anayetokwa na damu ya pua
Huduma ya Kwanza kwa mtu anayetokwa na damu ya pua

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu anayetokwa na damu ya pua

Soma Zaidi...
Haya hayawezi kuambukiza UKIMWI
Haya hayawezi kuambukiza UKIMWI

Somo hili linakwenda kukuletea mambo ambayo hayawezi kuambukiza UKIMWI

Soma Zaidi...
Mambo yanayoweza kudhoofisha kinga ya mwili
Mambo yanayoweza kudhoofisha kinga ya mwili

Kinga ya mwili inapodhoofu mwili unakuwa hatarini kupata maradhi. Je unayajuwa mambo yanayodhoofisha kinga ysbmeili?

Soma Zaidi...
Huduma kwa watu waliodhani wamepatwa na maambukizi.
Huduma kwa watu waliodhani wamepatwa na maambukizi.

Posti hii inahusu zaidi huduma ambazo utolewa kwa watu wanaodhani wamepatwa na maambukizi ya virus vya ukimwi.

Soma Zaidi...