Njia za kuingiza chanjo mwilini

Posti hii inahusu njia mbalimbali ambazo utumika kupitisha chanjo, njia hizo utegemea na kazi ya chanjo kama ifuatavyo.

Njia zinazotumika kupitishia Chanjo.

1.Tunajua wazi kuwa chanjo lazima zipitishwe sehemu husikika kutokana na kazi maalumu kwa hiyo wahudumu wa afya wanapaswa kujua kwa kina kabisa njia ambapo chanjo inapaswa kupitia nyingine kwenye nyama ya mwili nyingine kwenye kinywa, nyingine kwenye  ngozi nyingine kwenye sehemu ya juu ya ngozi.

 

2.Chanjo zinazopita kwenye kinywa.

Hizi ni chanjo mbili ambayo ni Chanjo ya polio na chanjo inayozuia kuharisha kwa kitaalamu huitwa Rotarix hizi chanjo kwa wakati mwingine zinahitaji kudilutiwa kwa hiyo Poda yake na maji ya kuchanganya yanapaswa kutoka kwenye kiwanda kimoja kwa hiyo utolewa kwa njia ya matone kwa hiyo wataalamu wa afya wanapaswa kuzingatia masharti kwenye kutoa chanjo hii.

 

3.Njia nyingine ya kupitisha chanjo ni kwenye ngozi kwa kitaalamu huitwa intradermal, chanjo ambayo upitishwa kwenye sehemu hii ni chanjo inayotibu kifua kikuu chanjo hiyo kwa kitaalamu huitwa BCG ni chanjo ambayo utolewa baada ya mtoto kuzaliwa na mpaka pawepo na alama sehemu iliyotolewa.

 

4.Njia ya kwenye nyama ya ndani yaan kwenye nyuzi tisini, hii nayo ni mojawapo ya njia ya kupitisha chanjo ambayo kwa kitaalamu huitwa intramuscular, chanjo uingizwa chini kabisa kwenye nyama, kwa hiyo chanjo zitolewazo kwa njia hiyo ni chanjo ya pepopunda, homa ya ini, Dondakoo na chanjo za kuzuia njia ya upumuaji.

 

5.Njia ya nyama ya juu, hizi njia kwa kitaalamu huitwa subcutaneous, chanjo ambazo  utumia njia hizi ni chanjo ya Surua kwa kitaalamu huitwa MR maana yake ni chanjo ya Rubella na Measles ambazo uzuia kuharisha.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 1180

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Dua za Mitume na Manabii    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 web hosting    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Njia za kuongeza nguvu za kiume

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya njia za kuongeza nguvu za kiume

Soma Zaidi...
Njia za kufuata unapohudumia watu waliopata ajali

Post hii inahusu zaidi namna ya kutoa huduma ya kwanza kwa watu waliopata ajali. Ajali ni tukio lisilotarajiwa ambalo kinaweza kumkuta mtu yeyote, tunapotoa huduma ya kwanza tnazingatia rangi ambazo huwakilisha jinsi watu walivyoumia.

Soma Zaidi...
Ugonjwa wa Pumu, dalili zake na njia za kujilinda dhidi ya Pumu.

Pumu ni ugonjwa ambao huathiri sehemu ya kupitisha hewa kwenda kwenye mapafu ya binadamu kitaalamu huitwa bronchioles. Mtu mwenye pumu huwa na michubuko sugu mwilini kwenye mirija yake ya kupitisha hewa. Hali ambayo husababisha kuvimba kwa kuta za mirija

Soma Zaidi...
Huduma ya kwanza kwa aliyeungua moto

Post hii inahusu namna ya kutoa huduma ya kwanza kwa mtu aliyeungua moto, kuingia moto ni kitendo Cha kubabuka ngozi ya juu inaweza kuwa kwa kemikali,umeme na just,

Soma Zaidi...
binadam akiwa mweupe mikononi atakuwa na upungufu wa vitamin gani?

Natak kufaham kuwa binadam akiwa mweupe mikononi atakuwa na upungufu wa vitamin gani?

Soma Zaidi...
Upungufu wa vitamin

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu madhara ya upungufu wa vitamin

Soma Zaidi...
Matokeo ya maambukizi kwenye milija na ovari

Posti hii inahusu zaidi matokeo ya maambukizi kwenye milija na ovari, ni matokeo apatayo mtu mwenye maambukizi kwenye milija na ovari.

Soma Zaidi...
Kazi ya protin na vyakula vya protini mwilini

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya kazi ya protin na vyakula vya protini mwilini

Soma Zaidi...
Zijue dalili za upungufu wa maji mwilini

Posti hii inaelezea kuhusiana na upungufu wa maji mwilini

Soma Zaidi...
Dalili za sumu ya pombe

hatari matokeo ya kunywa kiasi kikubwa cha pombe kwa muda mfupi. Kunywa pombe haraka kupita kiasi kunaweza kuathiri kupumua kwako, mapigo ya moyo, halijoto ya mwili na kunaweza kusababisha Coma na kifo.

Soma Zaidi...