Posti hii inahusu njia mbalimbali ambazo utumika kupitisha chanjo, njia hizo utegemea na kazi ya chanjo kama ifuatavyo.
Njia zinazotumika kupitishia Chanjo.
1.Tunajua wazi kuwa chanjo lazima zipitishwe sehemu husikika kutokana na kazi maalumu kwa hiyo wahudumu wa afya wanapaswa kujua kwa kina kabisa njia ambapo chanjo inapaswa kupitia nyingine kwenye nyama ya mwili nyingine kwenye kinywa, nyingine kwenye ngozi nyingine kwenye sehemu ya juu ya ngozi.
2.Chanjo zinazopita kwenye kinywa.
Hizi ni chanjo mbili ambayo ni Chanjo ya polio na chanjo inayozuia kuharisha kwa kitaalamu huitwa Rotarix hizi chanjo kwa wakati mwingine zinahitaji kudilutiwa kwa hiyo Poda yake na maji ya kuchanganya yanapaswa kutoka kwenye kiwanda kimoja kwa hiyo utolewa kwa njia ya matone kwa hiyo wataalamu wa afya wanapaswa kuzingatia masharti kwenye kutoa chanjo hii.
3.Njia nyingine ya kupitisha chanjo ni kwenye ngozi kwa kitaalamu huitwa intradermal, chanjo ambayo upitishwa kwenye sehemu hii ni chanjo inayotibu kifua kikuu chanjo hiyo kwa kitaalamu huitwa BCG ni chanjo ambayo utolewa baada ya mtoto kuzaliwa na mpaka pawepo na alama sehemu iliyotolewa.
4.Njia ya kwenye nyama ya ndani yaan kwenye nyuzi tisini, hii nayo ni mojawapo ya njia ya kupitisha chanjo ambayo kwa kitaalamu huitwa intramuscular, chanjo uingizwa chini kabisa kwenye nyama, kwa hiyo chanjo zitolewazo kwa njia hiyo ni chanjo ya pepopunda, homa ya ini, Dondakoo na chanjo za kuzuia njia ya upumuaji.
5.Njia ya nyama ya juu, hizi njia kwa kitaalamu huitwa subcutaneous, chanjo ambazo utumia njia hizi ni chanjo ya Surua kwa kitaalamu huitwa MR maana yake ni chanjo ya Rubella na Measles ambazo uzuia kuharisha.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya njia za kuongeza nguvu za kiume
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi namna ya kutoa huduma ya kwanza kwa watu waliopata ajali. Ajali ni tukio lisilotarajiwa ambalo kinaweza kumkuta mtu yeyote, tunapotoa huduma ya kwanza tnazingatia rangi ambazo huwakilisha jinsi watu walivyoumia.
Soma Zaidi...Pumu ni ugonjwa ambao huathiri sehemu ya kupitisha hewa kwenda kwenye mapafu ya binadamu kitaalamu huitwa bronchioles. Mtu mwenye pumu huwa na michubuko sugu mwilini kwenye mirija yake ya kupitisha hewa. Hali ambayo husababisha kuvimba kwa kuta za mirija
Soma Zaidi...Post hii inahusu namna ya kutoa huduma ya kwanza kwa mtu aliyeungua moto, kuingia moto ni kitendo Cha kubabuka ngozi ya juu inaweza kuwa kwa kemikali,umeme na just,
Soma Zaidi...Natak kufaham kuwa binadam akiwa mweupe mikononi atakuwa na upungufu wa vitamin gani?
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu madhara ya upungufu wa vitamin
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi matokeo ya maambukizi kwenye milija na ovari, ni matokeo apatayo mtu mwenye maambukizi kwenye milija na ovari.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya kazi ya protin na vyakula vya protini mwilini
Soma Zaidi...Posti hii inaelezea kuhusiana na upungufu wa maji mwilini
Soma Zaidi...hatari matokeo ya kunywa kiasi kikubwa cha pombe kwa muda mfupi. Kunywa pombe haraka kupita kiasi kunaweza kuathiri kupumua kwako, mapigo ya moyo, halijoto ya mwili na kunaweza kusababisha Coma na kifo.
Soma Zaidi...