Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa Figo mwilini, Figo ni ogani ambayo kazi yake ni kuchuja sumu mwilini.
Kazi muhimu za Figo
1. Usaidia kuondoa uchafu mwilini
Kati ya ogani zote Figo ndiyo ogani ya pekee ambayo kazi yake kuu ni kutoa uchafu mwilini hasa kuchuja damu na kuzalisha mkojo,
2. Kuhakikisha kuwa kiwango Cha damu mwilini Kiko sawa kwa kupunguza maji kama Kuna maji mengi kwenye damu na kuongeza maji kama kwenye damu Kuna maji kidogo
3. Kuhakikisha Kuna kiwango Cha kutosha Cha madini kwenye Figo kama vile sodium,patasiumu,kalsium, cloride na mengineyo yabayohitajika .
4. Kuhakikisha PH ya damu Iko vizuri
Figo uhakikisha kuwa PH Iko vizuri kwa kuzalisha kiasi kingi Cha H+ kwa kiwango Cha kutosha.
5. Huzalisha vitamini D vya kutosha, kazi ya Figo ni kuzalisha vitamini D kwenye mwili ambavyo ufanya kazi mbalimbali kwenye mwili.
6. Huzalisha seli nyekundu za damu, Figo husaidia kuzalisha seli nyekundu ambazo usaidia katika kusfilisha gasi ya oksijeni kwenye mwili.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Kama unahitaji kujuwa namna ya kuweza kujikinga na vidonda vya tumbo, basi makala hii ni kwa ajili yako. Hapa utaweza kuzijuwa hatuwa zote za kujikinga na kupata vidonda vya tumbo.
Soma Zaidi...Posti hii inaelezea kuhusiana na mbinu za kutoa huduma ya kwanza kqa mgonjwa aliyeingiliwa na kitu au uchafu kwenye sikio.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kujikinga na kisukari
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa mifupa mwilini, mifupa ni mojawapo ya tushy zilizounganika na ufanya kazi kubwa kwenye mwili.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kupumzika kiafya, kwa kawaida mwili na viungo vingine vya mwili uweza kufanya kazi zaidi pale mtu akiwa amepumzika.
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyepatwa na presha ya kushuka
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi hatua za kufuata unapohisi umeambukizwa na virus vya ukimwi. Kwa sababu watu wengi wanakuwa na kiwewe anapohisi ameambukizwa na virus vya ukimwi kwa hiyo wanapaswa kufanya yafuatayo.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi Imani potofu juu ya chanjo kwa watoto na akina Mama, ni baadhi ya Imani waliyonayo watu juu ya chanjo.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu Rangi za mkojo na maana zake na mkojo mchafu
Soma Zaidi...