picha

Zijue kazi za Figo mwilini

Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa Figo mwilini, Figo ni ogani ambayo kazi yake ni kuchuja sumu mwilini.

Kazi muhimu za Figo

1. Usaidia kuondoa uchafu mwilini

Kati ya ogani zote Figo ndiyo ogani ya pekee ambayo kazi yake kuu ni kutoa uchafu mwilini hasa kuchuja damu na kuzalisha mkojo,

 

2. Kuhakikisha kuwa kiwango Cha damu mwilini Kiko sawa kwa kupunguza maji kama Kuna maji mengi kwenye damu na kuongeza maji kama kwenye damu Kuna maji kidogo

 

3. Kuhakikisha Kuna kiwango Cha kutosha Cha madini kwenye Figo kama vile sodium,patasiumu,kalsium, cloride na mengineyo yabayohitajika .

 

4. Kuhakikisha PH ya damu Iko vizuri  

Figo uhakikisha kuwa PH Iko vizuri kwa kuzalisha kiasi kingi Cha H+ kwa kiwango Cha kutosha.

 

5. Huzalisha vitamini D vya kutosha, kazi ya Figo ni kuzalisha vitamini D kwenye mwili ambavyo ufanya kazi mbalimbali kwenye mwili.

 

6. Huzalisha seli nyekundu za damu, Figo husaidia kuzalisha seli nyekundu ambazo usaidia katika kusfilisha gasi ya oksijeni kwenye mwili.

 

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Huduma Main: Post File: Download PDF Views 3877

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Dua za Mitume na Manabii     👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉3 web hosting     👉4 ai web app     👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉6 Madrasa kiganjani    

Post zinazofanana:

Mkojo wa kawaida

Posti hii inahusu zaidi mkojo wa kawaida kwa kila mwanadamu na unavyopaswakuwa, mkojo wa kawaida kwa binadamu huwa na sifa zifuatazo.

Soma Zaidi...
Kwanini mtu alie ng'atwa na nyoka hairuhusiwi kumpa pombe?

Swali languKwanini mtu alie ng'atwa na nyoka hairuhusiwi kumpa pombe?

Soma Zaidi...
Sababu za kumwosha Mgonjwa mwili mzima.

Posti hii inahusu zaidi sababu za kumwosha Mgonjwa mwili mzima,ni sababu ambazo umsaidie mgonjwa ili aweze kupata nafuu mapema na kumsaidia kama tutakavyoona hapo chini

Soma Zaidi...
HUDUMA YA KWANZA KWA MWENYE KIZUNGUZUNGU

Unapokuwa na kizunguzungu unashindwa kuudhibiti mwili wako, unaweza kuanguka kabisa.

Soma Zaidi...
Zijue dalili za upungufu wa maji mwilini

Posti hii inaelezea kuhusiana na upungufu wa maji mwilini

Soma Zaidi...
Maji

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za maji mwilini

Soma Zaidi...