Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa Figo mwilini, Figo ni ogani ambayo kazi yake ni kuchuja sumu mwilini.
Kazi muhimu za Figo
1. Usaidia kuondoa uchafu mwilini
Kati ya ogani zote Figo ndiyo ogani ya pekee ambayo kazi yake kuu ni kutoa uchafu mwilini hasa kuchuja damu na kuzalisha mkojo,
2. Kuhakikisha kuwa kiwango Cha damu mwilini Kiko sawa kwa kupunguza maji kama Kuna maji mengi kwenye damu na kuongeza maji kama kwenye damu Kuna maji kidogo
3. Kuhakikisha Kuna kiwango Cha kutosha Cha madini kwenye Figo kama vile sodium,patasiumu,kalsium, cloride na mengineyo yabayohitajika .
4. Kuhakikisha PH ya damu Iko vizuri
Figo uhakikisha kuwa PH Iko vizuri kwa kuzalisha kiasi kingi Cha H+ kwa kiwango Cha kutosha.
5. Huzalisha vitamini D vya kutosha, kazi ya Figo ni kuzalisha vitamini D kwenye mwili ambavyo ufanya kazi mbalimbali kwenye mwili.
6. Huzalisha seli nyekundu za damu, Figo husaidia kuzalisha seli nyekundu ambazo usaidia katika kusfilisha gasi ya oksijeni kwenye mwili.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu anayetokwa na damu ya pua
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyepatwa na shambulio la moyo
Soma Zaidi...Kupanda kwa msukumo wa damu ni ktendo ambapo moyo husukuma damu kwa nguvu kuliko kawaida ambapo hupelekea matatizo mengi kwenye mwili
Soma Zaidi...Natak kufaham kuwa binadam akiwa mweupe mikononi atakuwa na upungufu wa vitamin gani?
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu ya kuwepo kwa maumivu ya mwili kwa sababu tunaweza kuhisi maumivu kwenye sehemu za mwili kwa sababu mbalimbali kama tutakavyoona hapo chini
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi namna ya kutunza nywele za mgonjwa hasa kwa wagonjwa mahututi na wale wasiojiweza tunafanya hivyo ili tuweze kuwatoa kwenye hali ya usafi.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia ambazo maradhi huambukizwa
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kutumia dawa za kujikinga na maambukizi ya ukimwi, ni faida ambazo upatikana kwa watu wanaodhani wameambukizwa na virus vya ukimwi na kuweza kujikinga.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na Uvimbe au mashambulizi ya bacteria kwenye utando laini uliopo tumboni ambao kitaalamu hujulikana Kama peritonitis.
Soma Zaidi...