Ijue rangi za mkojo na maana zake katika mwili kuhsu afya yako

Posti hii inahusu zaidi rangi za mkojo na maana zake, hizi ni rangi ambazo uweza kutokea kwenye mkojo wa mtu mmoja na mwingine kwa sababu ya kuwepo kwa magonjwa, chakula,na mtindo wa maisha inawezekana unywaji wa maji au kutokunywa maji.

Rangi za mkojo na rangi zake.

1.rangi ya kwanza ni rangi ya majani makavu ya njano.ukiona rangi hii mtu anakuwa sawa kabisa ki afya  na mwili unakuwa na maji ya kutosha.

 

2. Mkojo kutokuwa na rangi au angavu.

Mkojo ukiwa hauna rangi maalumu ni ishara wazi kuwa unakumbwa maji mengi na unaweza kupunguza kwa kiasi fulani kwa hiyo mwi umejaa maji.

 

3. Rangi ya njano angavu.

 Hii ni rangi ya kawaida kwa mkojo inaonekana kubwa mtu anakunywa maji ya kawaida ila ni kubwa makini njano isije kuwa kubwa zaidi.

 

4. Njano iliyojaa na weusi.

Rangi hii inatoa taarifa kuwa Mgonjwa anapaswa kunywa maji kwa wingi na pia mtu akinywa maji mkojo kubadilika ni kwa mara moja tu 

 

5. Mkojo juwa na rangi ya asali.

Hali hii utokea kwa wale ambao hawana maji ya kutosha kwenye miili yao kwa hiyo wanapaswa kunywa maji ya kutosha ili walau hii rangi ibadilike na kuwa ya mkojo wa kawaida.

 

6. Rangi ya mkojo kubwa kahawia iliyokaza weusi.

 Ukiona rangi hii ya mkojo uenda ukawa na matatizo ya ini ni vizuri na lazima kwenda kwenye vipimo ili kuweza kuangalia tatizo ni lipi kwa mtoto.

 

7. Rangi ya waridi na yenye wekundu.

Kwa mara nyingine mkojo unakuwa na rangi ya waridi na yenye wekundu inabidi kuangalia kama mtu amekula matunda au vyakula vyenye rangi karibuni kama hapana inawezekana kuna damu kwenye mkojo.

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Author Tarehe 2022/03/08/Tuesday - 12:44:35 pm     Share On Facebook or WhatsApp Imesomwa mara 613

Post zifazofanana:-

Msaada kwa wenye tonsils
Posti hii inahusu zaidi msaada kwa wenye tonsils, kwa wale wenye tonsils wanapaswa kufanya yafuatayo ili kuweza kupambana na ugonjwa huu. Soma Zaidi...

Dalili na ishara za anemia ya minyoo
Posti hii inshusiana na dalili za anemia ya minyoo Soma Zaidi...

Yafahamu magonjwa nyemelezi kwa watoto chini ya miaka mitano
Posti hii inahusu zaidi magonjwa nyemelezi kwa watoto wadogo chini ya miaka mitano,. Ni magonjwa yanayowapata watoto wadogo kwa sababu kinga Yao bado ni ndogo. Soma Zaidi...

Umuhimu wa kupiga push up kiafya
Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kupiga push up kiafya, ni mambo au faida zipatikanazo ki afya kwa wapigaji wa push up kama ifuatavyo. Soma Zaidi...

Dalili za kuaribika kwa mfumo wa kupeleka taarifa kwenye ubongo
Posti hii inahusu zaidi Dalili zinazoweza kujitokeza baada ya sehemu ya kupeleka taarifa kwenye ubongo imearibika, kwa hiyo mambo yafuatayo yakijitokeza utajua wazi kuwa kuna matatizo kwenye mfumo wa kupeleka taarifa kwenye ubongo. Soma Zaidi...

Chanjo zinazotolewa nchini Tanzania
Posti hii inahusu zaidi chanjo ambazo utolewa nchini Tanzania, ni chanjo ambazo uzuia Magonjwa ambayo yako katika sehemu mbalimbali za nchi. Soma Zaidi...

Njia za kufuata unapohudumia watu waliopata ajali
Post hii inahusu zaidi namna ya kutoa huduma ya kwanza kwa watu waliopata ajali. Ajali ni tukio lisilotarajiwa ambalo kinaweza kumkuta mtu yeyote, tunapotoa huduma ya kwanza tnazingatia rangi ambazo huwakilisha jinsi watu walivyoumia. Soma Zaidi...

Dalili za ugonjwa sugu wa Figo.
Ugonjwa sugu wa figo, pia huitwa kushindwa kwa figo sugu, huelezea upotevu wa taratibu wa utendakazi wa figo. Figo zako huchuja taka na Majimaji kupita kiasi kutoka kwa damu yako, ambayo hutolewa kwenye mkojo wako. Ugonjwa sugu wa figo unapofikia hatua ya juu, viwango hatari vya Majimaji, elektroliti na taka vinaweza kujikusanya mwilini mwako. Soma Zaidi...

Zijue sehemu kuu nne za chumba cha upasuaji
Post hii inahusu zaidi sehemu kuu nne za chumba cha upasuaji, chumba cha upasuaji kina sehemu kuu nne na sehemu hizo ufanya kazi tofauti tofauti kama ifuatavyo. Soma Zaidi...

Dalili za fangasi wa kucha.
Posti hii inazungumzia kuhusiana na dalili,sababu za Hatari,na namna ya kujizuia na fangasi wa kucha. Soma Zaidi...

Yajue malengo ya kusafisha vidonda.
Posti hii inahusu zaidi malengo ya kusafisha vidonda, kwa sababu Kuna watu wengine huwa wanajiuliza kwa nini nisafishe kidonda hospitalini au kwenye kituo chochote Cha afya, yafuatayo ni majibu ya kwa Nini nisafishe kidonda. Soma Zaidi...

Kazi za mifupa mwilinj
Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa mifupa mwilini, mifupa ni mojawapo ya tushy zilizounganika na ufanya kazi kubwa kwenye mwili. Soma Zaidi...