picha

Ijue rangi za mkojo na maana zake katika mwili kuhsu afya yako

Posti hii inahusu zaidi rangi za mkojo na maana zake, hizi ni rangi ambazo uweza kutokea kwenye mkojo wa mtu mmoja na mwingine kwa sababu ya kuwepo kwa magonjwa, chakula,na mtindo wa maisha inawezekana unywaji wa maji au kutokunywa maji.

Rangi za mkojo na rangi zake.

1.rangi ya kwanza ni rangi ya majani makavu ya njano.ukiona rangi hii mtu anakuwa sawa kabisa ki afya  na mwili unakuwa na maji ya kutosha.

 

2. Mkojo kutokuwa na rangi au angavu.

Mkojo ukiwa hauna rangi maalumu ni ishara wazi kuwa unakumbwa maji mengi na unaweza kupunguza kwa kiasi fulani kwa hiyo mwi umejaa maji.

 

3. Rangi ya njano angavu.

 Hii ni rangi ya kawaida kwa mkojo inaonekana kubwa mtu anakunywa maji ya kawaida ila ni kubwa makini njano isije kuwa kubwa zaidi.

 

4. Njano iliyojaa na weusi.

Rangi hii inatoa taarifa kuwa Mgonjwa anapaswa kunywa maji kwa wingi na pia mtu akinywa maji mkojo kubadilika ni kwa mara moja tu 

 

5. Mkojo juwa na rangi ya asali.

Hali hii utokea kwa wale ambao hawana maji ya kutosha kwenye miili yao kwa hiyo wanapaswa kunywa maji ya kutosha ili walau hii rangi ibadilike na kuwa ya mkojo wa kawaida.

 

6. Rangi ya mkojo kubwa kahawia iliyokaza weusi.

 Ukiona rangi hii ya mkojo uenda ukawa na matatizo ya ini ni vizuri na lazima kwenda kwenye vipimo ili kuweza kuangalia tatizo ni lipi kwa mtoto.

 

7. Rangi ya waridi na yenye wekundu.

Kwa mara nyingine mkojo unakuwa na rangi ya waridi na yenye wekundu inabidi kuangalia kama mtu amekula matunda au vyakula vyenye rangi karibuni kama hapana inawezekana kuna damu kwenye mkojo.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Huduma Main: Post File: Download PDF Views 1701

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
๐Ÿ‘‰1 ai web app     ๐Ÿ‘‰2 Dua za Mitume na Manabii     ๐Ÿ‘‰3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     ๐Ÿ‘‰4 Bongolite - Game zone - Play free game     ๐Ÿ‘‰5 Kitabu cha Afya     ๐Ÿ‘‰6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    

Post zinazofanana:

Vipimo vya minyoo

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vipimo vya minyoo

Soma Zaidi...
HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYENGโ€™ATWA NA NYUKI

Kungโ€™atwa na nyuki kunaweza kukahitaji huduma ya kwanza kwa haraka kama mgonjwa ana aleji na nyuki.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhsu vitamini E na kazi zake mwilini

Je unazijuwa faida za kuwa na vitamini E mwilini mwako.Unahani utapata matatizo yapi ya kiafya endapo utakuwa na upungufu wa vitamini E mwilini? Makala hii ni kwa ajili yako.

Soma Zaidi...
Huduma ya kwanza kwa aliye ungua na Moto.

Posti hii inazungumzia kuhusiana na mbinu za kutoa huduma ya kwanza kwa aliyeungua na Moto.

Soma Zaidi...
Kwanini mtu alie ng'atwa na nyoka hairuhusiwi kumpa pombe?

Swali languKwanini mtu alie ng'atwa na nyoka hairuhusiwi kumpa pombe?

Soma Zaidi...
Maana ya afya

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maana ya afya

Soma Zaidi...