picha

Ijue rangi za mkojo na maana zake katika mwili kuhsu afya yako

Posti hii inahusu zaidi rangi za mkojo na maana zake, hizi ni rangi ambazo uweza kutokea kwenye mkojo wa mtu mmoja na mwingine kwa sababu ya kuwepo kwa magonjwa, chakula,na mtindo wa maisha inawezekana unywaji wa maji au kutokunywa maji.

Rangi za mkojo na rangi zake.

1.rangi ya kwanza ni rangi ya majani makavu ya njano.ukiona rangi hii mtu anakuwa sawa kabisa ki afya  na mwili unakuwa na maji ya kutosha.

 

2. Mkojo kutokuwa na rangi au angavu.

Mkojo ukiwa hauna rangi maalumu ni ishara wazi kuwa unakumbwa maji mengi na unaweza kupunguza kwa kiasi fulani kwa hiyo mwi umejaa maji.

 

3. Rangi ya njano angavu.

 Hii ni rangi ya kawaida kwa mkojo inaonekana kubwa mtu anakunywa maji ya kawaida ila ni kubwa makini njano isije kuwa kubwa zaidi.

 

4. Njano iliyojaa na weusi.

Rangi hii inatoa taarifa kuwa Mgonjwa anapaswa kunywa maji kwa wingi na pia mtu akinywa maji mkojo kubadilika ni kwa mara moja tu 

 

5. Mkojo juwa na rangi ya asali.

Hali hii utokea kwa wale ambao hawana maji ya kutosha kwenye miili yao kwa hiyo wanapaswa kunywa maji ya kutosha ili walau hii rangi ibadilike na kuwa ya mkojo wa kawaida.

 

6. Rangi ya mkojo kubwa kahawia iliyokaza weusi.

 Ukiona rangi hii ya mkojo uenda ukawa na matatizo ya ini ni vizuri na lazima kwenda kwenye vipimo ili kuweza kuangalia tatizo ni lipi kwa mtoto.

 

7. Rangi ya waridi na yenye wekundu.

Kwa mara nyingine mkojo unakuwa na rangi ya waridi na yenye wekundu inabidi kuangalia kama mtu amekula matunda au vyakula vyenye rangi karibuni kama hapana inawezekana kuna damu kwenye mkojo.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Huduma Main: Post File: Download PDF Views 1935

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio     👉2 ai web app     👉3 Dua za Mitume na Manabii     👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉5 kitabu cha Simulizi     👉6 Bongolite - Game zone - Play free game    

Post zinazofanana:

Fahamu kuhusu vitamini C na kazi zake

Makala hii itakujulisha kazi kuu za vitamini C mwilini. Hapa pia utatambuwa ni kwa nini tunahitaji vitamini C na wapi tutavipata

Soma Zaidi...
Namna ya kuchoma chanjo

Posti hii inahusu zaidi namna ya kuchoma chanjo, ni njia ambazo utumika kutoa chanjo kwa watoto na watu wazima kwa utaratibu uliowekwa.

Soma Zaidi...
Huduma ya Kwanza kwa mwenye kizunguzungu

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu mwenye kizunguzungu

Soma Zaidi...
HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYEUNGUA

Kuungua kupo kwa aina nyingi.

Soma Zaidi...
Huduma ya kwanza kwa mtu aliyekula sumu

Post hii inahusu zaidi kutoa huduma ya kwanza kwa mtu aliyekula chakula chenye sumu, kula sumu ni kitendo Cha kula kitu chochote kama dawa,pombe, kemikali na chakula kichafu.

Soma Zaidi...
Njia za kuingiza chanjo mwilini

Posti hii inahusu njia mbalimbali ambazo utumika kupitisha chanjo, njia hizo utegemea na kazi ya chanjo kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...