Posti hii inahusu zaidi rangi za mkojo na maana zake, hizi ni rangi ambazo uweza kutokea kwenye mkojo wa mtu mmoja na mwingine kwa sababu ya kuwepo kwa magonjwa, chakula,na mtindo wa maisha inawezekana unywaji wa maji au kutokunywa maji.
Rangi za mkojo na rangi zake.
1.rangi ya kwanza ni rangi ya majani makavu ya njano.ukiona rangi hii mtu anakuwa sawa kabisa ki afya na mwili unakuwa na maji ya kutosha.
2. Mkojo kutokuwa na rangi au angavu.
Mkojo ukiwa hauna rangi maalumu ni ishara wazi kuwa unakumbwa maji mengi na unaweza kupunguza kwa kiasi fulani kwa hiyo mwi umejaa maji.
3. Rangi ya njano angavu.
Hii ni rangi ya kawaida kwa mkojo inaonekana kubwa mtu anakunywa maji ya kawaida ila ni kubwa makini njano isije kuwa kubwa zaidi.
4. Njano iliyojaa na weusi.
Rangi hii inatoa taarifa kuwa Mgonjwa anapaswa kunywa maji kwa wingi na pia mtu akinywa maji mkojo kubadilika ni kwa mara moja tu
5. Mkojo juwa na rangi ya asali.
Hali hii utokea kwa wale ambao hawana maji ya kutosha kwenye miili yao kwa hiyo wanapaswa kunywa maji ya kutosha ili walau hii rangi ibadilike na kuwa ya mkojo wa kawaida.
6. Rangi ya mkojo kubwa kahawia iliyokaza weusi.
Ukiona rangi hii ya mkojo uenda ukawa na matatizo ya ini ni vizuri na lazima kwenda kwenye vipimo ili kuweza kuangalia tatizo ni lipi kwa mtoto.
7. Rangi ya waridi na yenye wekundu.
Kwa mara nyingine mkojo unakuwa na rangi ya waridi na yenye wekundu inabidi kuangalia kama mtu amekula matunda au vyakula vyenye rangi karibuni kama hapana inawezekana kuna damu kwenye mkojo.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Post hii inahusu zaidi kutoa huduma ya kwanza kwa mtu aliyekula chakula chenye sumu, kula sumu ni kitendo Cha kula kitu chochote kama dawa,pombe, kemikali na chakula kichafu.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia za kuzuia damu isiendelee kuvuja, ni njia ambazo utumika ikiwa kuna damu inavuja kwenye sehemu yoyote ya mwili,kwa hiyo tunaweza kutumia njia hizi ili kuepuka kuendelea kuvuja kwa damu.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyeng'atwa na nyuko
Soma Zaidi...Uke ni sehemu ambayo imo ndani ya mwili wa mwanamke, sehemu hii ufanya kazi mbalimbali hasa wakati wa kujamiiana, kubarehe na kujifungua kwa mama.
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kuzuia kiungulia
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu mbalimbali za chakula kushindwa kumengenywa kwenye tumbo,ni sababu mbalimbali hasa za kiafya kama tutakavyoona hapo mbeleni
Soma Zaidi...Makala hii itakwenda kukufundisha kazi 5 za maafu mwilimi. Wengi tunajuwa tu kuwa mapafu yanafanya kazi ya kupumuwa. ila si hivyo tu yapo mengi zaidi.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu madhara ya upungufu wa maji mwilini
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu utaratibu wa lishe kwa wazee
Soma Zaidi...