Posti hii inahusu zaidi sehemu ambazo zinapaswa kudungwa chanjo, hizi ni sehemu zile zilizopendekezwa kwa ajili ya kuchoma chanjo kwa kadiri ya kazi ya chanjo.
Njia za na kuchoma chanjo.
1.Kwanza kabisa tunapaswa kujua kuwa chanjo zinapaswa kufanya kazi kwa kadiri ya eneo ambalo limependekezwa kuchomwa, nyingine uchomwa kwenye paja la kulia, nyingine paja la kushoto, nyingine kwenye mkono wa kulia au wa kushoto, pengine ufanya hivyo ili kutofautisha na nchi nyingine, hali hii ina faida kwa sababu tunaweza kutofautiana kutoka nchi moja kwa nyingine kwa sababu ya makovu ya chanjo.
2.Chanjo nyingine utolewa kwenye bega la kulia.
Aina hii ya chanjo ambayo utolewa kwenye bega ni chanjo ya inayozuia kifua kikuu kwa hiyo kwa hiyo ukiangalia watanzania walio wengi kwenye bega la kulia kuna kovu la chanjo ya kuzuia kifua kikuu kwa hiyo pamoja na tiba usaidia kutofautisha wahamiaji na wasio wahamiaji.
3.Chanjo Ambazo utolewa mkono wa kushoto.
Hizi ni aina ya chanjo ambazo ni chanjo inayozuia Surua na kuharisha kwa hiyo hizi ni kinyume cha chanjo ya kifua kikuu na ambayo utolewa kwey mkono wa kulia na hizi utolewa mkono wa kushoto.
4.Kuna chanjo ambazo utolewa kwenye mguu wa kulia hizi chanjo usaidia kutibu Magonjwa ya kupooza, Dondakoo na homa ya inn, hizi chanjo upitishwa kwenye paja la kulia utolewa hivyo kulingana na kazi yake.
5.Na pia kuna chanjo ambazo upitishwa kwenye kinywa, hii ni chanjo ambazo utibu polio na kuharisha kwa hiyo upitishwa hapo kulinganisha na kazi yake.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowJe umeipenda post hii ?
Posti hii inahusu zaidi kazi za ini, kwa kawaida tunafahamu kwamba ini ni sehemu muhimu kwenye mwili wa binadamu kwa sababu ni.likikosa kufanya kazi yake maisha ya binadamu yanakuwa hatarini kwa sababu mbalimbali.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu kushiriki-ngono-na-mtu-aliye-na-vvu-na-ukimwi
Soma Zaidi...Kama mtu anatokwa na damu za pua, basi juwa kuwa anahitaji huduma ya kwanza.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu madhara ya upungufu wa vyakula
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi matokeo ya maambukizi kwenye milija na ovari, ni matokeo apatayo mtu mwenye maambukizi kwenye milija na ovari.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi msaada kwa wenye tonsils, kwa wale wenye tonsils wanapaswa kufanya yafuatayo ili kuweza kupambana na ugonjwa huu.
Soma Zaidi...Maumivu ya shingo ni malalamiko ya kawaida. Misuli ya shingo inaweza kuchujwa kutokana na mkao mbaya - iwe inaegemea kwenye kompyuta yako kazini au kuwinda benchi yako ya kazi nyumbani.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyepatwa na presha ya kupanda
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu anayetokwa na damu ya pua
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi namna ya ugonjwa wa vipele kwenye midomo na sehemu za siri unavyoweza kuenea kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine.
Soma Zaidi...