Zijue sehemu za mwili zinazochomwa chanjo.

Posti hii inahusu zaidi sehemu ambazo zinapaswa kudungwa chanjo, hizi ni sehemu zile zilizopendekezwa kwa ajili ya kuchoma chanjo kwa kadiri ya kazi ya chanjo.

Njia za na kuchoma chanjo.

1.Kwanza kabisa tunapaswa kujua kuwa chanjo zinapaswa kufanya kazi kwa kadiri ya eneo ambalo limependekezwa kuchomwa, nyingine uchomwa kwenye paja la kulia, nyingine paja la kushoto, nyingine kwenye mkono wa kulia au wa kushoto, pengine ufanya hivyo ili kutofautisha na nchi nyingine, hali hii ina faida kwa sababu tunaweza kutofautiana kutoka nchi moja kwa nyingine kwa sababu ya makovu ya chanjo.

 

2.Chanjo nyingine utolewa kwenye bega la kulia.

Aina hii ya chanjo ambayo utolewa kwenye bega ni chanjo ya inayozuia kifua kikuu kwa hiyo kwa hiyo ukiangalia watanzania walio wengi kwenye bega la kulia kuna kovu la chanjo ya kuzuia kifua kikuu kwa hiyo pamoja na tiba usaidia kutofautisha wahamiaji na wasio wahamiaji.

 

3.Chanjo Ambazo utolewa mkono wa kushoto.

Hizi ni aina ya chanjo ambazo ni chanjo inayozuia Surua na kuharisha kwa hiyo hizi ni kinyume cha chanjo ya kifua kikuu na ambayo utolewa kwey mkono wa kulia na hizi utolewa mkono wa kushoto.

 

4.Kuna chanjo ambazo utolewa kwenye mguu wa kulia hizi chanjo usaidia kutibu Magonjwa ya kupooza, Dondakoo na homa ya inn, hizi chanjo upitishwa kwenye paja la kulia utolewa hivyo kulingana na kazi yake.

 

5.Na pia kuna chanjo ambazo upitishwa kwenye kinywa, hii ni chanjo ambazo utibu polio na kuharisha kwa hiyo upitishwa hapo kulinganisha na kazi yake.

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 1080

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

Visababishi vya magonjwa.

Posti huu inahusu zaidi visababishi mbalimbali vya magonjwa, tunajua wazi kuwa ugonjwa ni hali ya kutokuwa kawaida kwa ogani mbalimbali kwenye mwili na kusababisha mwili kushindwa kufanya kazi zake vizuri.

Soma Zaidi...
Njia za kujikinga na vidonda vya tumbo

Kama unahitaji kujuwa namna ya kuweza kujikinga na vidonda vya tumbo, basi makala hii ni kwa ajili yako. Hapa utaweza kuzijuwa hatuwa zote za kujikinga na kupata vidonda vya tumbo.

Soma Zaidi...
Aina za mishipa inayosafilisha damu mwilni

Post hii inahusu zaidi mishipa inayosafilisha damu mwilni, ni Aina tatu za mishipa ambazo usafilisha damu kutoka sehemu Moja kwenda nyingine

Soma Zaidi...
Yajue malengo ya kusafisha vidonda.

Posti hii inahusu zaidi malengo ya kusafisha vidonda, kwa sababu Kuna watu wengine huwa wanajiuliza kwa nini nisafishe kidonda hospitalini au kwenye kituo chochote Cha afya, yafuatayo ni majibu ya kwa Nini nisafishe kidonda.

Soma Zaidi...
HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYEPATA JOTO LA JUU ZAIDI (HEAT STROKE)

Hii ni hali inayotokea ambapo wili unakuwa na joto la juu sana tofauti na kawaida.

Soma Zaidi...
Mambo ya kuangalia kwa mtu aliyepoteza fahamu

Posti hii inahusu zaidi mambo ya kuangalia kwa mtu aliyepoteza fahamu, kama mtu amepoteza fahamu Kuna mambo muhimu yanapaswa kuangaliwa kwa makini kama ifuayavyo.

Soma Zaidi...
Ratiba ya chanjo ya polio

Posti hii inahusu zaidi namna chanjo ya polio inavyotolewa na ratiba zake yaani kuanzia siku ya kwanza mpaka pale mtoto anapomaliza chanjo hii kwa hiyo tuone ratiba ya chanjo ya polio.

Soma Zaidi...
Mbinu za kutoa huduma ya kwanza kwa wagonjwa walioingiliwa na uchafu puani.(foreign body).

Posti hii inaelezea kuhusiana na dalili na mbinu za kutoa huduma ya kwanza kwa mgonjwa alieye ingiwa na uchafu puani (foreign body)

Soma Zaidi...
Njia za kujikinga na UTI

Somo hili linakwenda kukuletea njia za kujikinga na UTI

Soma Zaidi...
Vipimo vya kuchunguza kama una asidi nyingi tumboni

Posti hii inahusu zaidi vipimo vya kuchunguza kama una kiwango kikubwa cha asidi au tindikali tumboni

Soma Zaidi...