Zijue sehemu za mwili zinazochomwa chanjo.

Posti hii inahusu zaidi sehemu ambazo zinapaswa kudungwa chanjo, hizi ni sehemu zile zilizopendekezwa kwa ajili ya kuchoma chanjo kwa kadiri ya kazi ya chanjo.

Njia za na kuchoma chanjo.

1.Kwanza kabisa tunapaswa kujua kuwa chanjo zinapaswa kufanya kazi kwa kadiri ya eneo ambalo limependekezwa kuchomwa, nyingine uchomwa kwenye paja la kulia, nyingine paja la kushoto, nyingine kwenye mkono wa kulia au wa kushoto, pengine ufanya hivyo ili kutofautisha na nchi nyingine, hali hii ina faida kwa sababu tunaweza kutofautiana kutoka nchi moja kwa nyingine kwa sababu ya makovu ya chanjo.

 

2.Chanjo nyingine utolewa kwenye bega la kulia.

Aina hii ya chanjo ambayo utolewa kwenye bega ni chanjo ya inayozuia kifua kikuu kwa hiyo kwa hiyo ukiangalia watanzania walio wengi kwenye bega la kulia kuna kovu la chanjo ya kuzuia kifua kikuu kwa hiyo pamoja na tiba usaidia kutofautisha wahamiaji na wasio wahamiaji.

 

3.Chanjo Ambazo utolewa mkono wa kushoto.

Hizi ni aina ya chanjo ambazo ni chanjo inayozuia Surua na kuharisha kwa hiyo hizi ni kinyume cha chanjo ya kifua kikuu na ambayo utolewa kwey mkono wa kulia na hizi utolewa mkono wa kushoto.

 

4.Kuna chanjo ambazo utolewa kwenye mguu wa kulia hizi chanjo usaidia kutibu Magonjwa ya kupooza, Dondakoo na homa ya inn, hizi chanjo upitishwa kwenye paja la kulia utolewa hivyo kulingana na kazi yake.

 

5.Na pia kuna chanjo ambazo upitishwa kwenye kinywa, hii ni chanjo ambazo utibu polio na kuharisha kwa hiyo upitishwa hapo kulinganisha na kazi yake.

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Author Tarehe 2022/02/10/Thursday - 11:49:01 pm     Share On Facebook or WhatsApp Imesomwa mara 758

Post zifazofanana:-

Mtu anaye umwaaa UTI anaweza kuona siku zake?
Kutokuona siku zake mwanamke ni ishara kuwa kuna shida kwenye umfumo wa uzazi. Wakati mwingine kutokuona siku ni ishara ya baraka ya kupata mtoto. Ijapokuwa kuna wengine wanadiriki kutoa mimba kwa sababu zisizo za msingi. Je unadhani UTI inaweza kusababisha kutoona siku zake mwanamke' Soma Zaidi...

Maradhi yatokanayo na fangasi
Somo hili linakwenda kukuletea baadhi ya maradhi yatokanayo na fangasi Soma Zaidi...

Nini husababisha ugonjwa wa kifua na maumivu ya kifua?
Posti hii inazungumzia sababu zinazopelekea kuumwa na kifua. Soma Zaidi...

Dalili za ugonjwa wa herpes simplex au vipele kwenye midomo na sehemu za siri
Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa wa vipele kwenye midomo na sehemu za siri ambao kwa kitaalamu huitwa herpes zoster. Kwa hiyo ili kugundua kubwa mtu ana Ugonjwa huu Dalili kama hizi zifuatazo zinaweza kutokea kwa mgonjwa. Soma Zaidi...

ninaisi kma kunakitu kwenye koo alafu kuna ali ya weupe kwenye ulimi na Mashavu kwa ndan
Weupe kwenye ulimi unaweza kuwa ni hali ya kawaida. Weupe huu ukichanganyika na utandu huwenda ikaashiria uwepo wa hali fulani za kiafya. Soma Zaidi...

Magonjwa ya moyo
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu magonjwa ya moyo Soma Zaidi...

Aina za kisukari
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu aina za kisukari Soma Zaidi...

Dalili za fangasi Mdomoni.
Posti hii inaelezea kuhusiana na dalili za fangasi Mdomoni kwa watoto, vijana, watu wazima na mama wanaonyonyeshwa. Soma Zaidi...

Kuharisha choo cha marenda renda ni dalili gani?
Hivi huwa unachunguza choo chako? ivi huwa kinazama kwenye maji ama kinaelea? Kila damu ama malendalenda, je ni cheusi sana na kina harufu kali sana. Soma Zaidi...

Vidonda vya tumbo
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu ugonjwa wa vidonda vya tumbo Soma Zaidi...

Ugonjwa wa Uharibifu wa seli nyekundu za damu
Posti hii inazungumzia kuhusiana na was Uharibifu wa seli nyekundu za damu ambapo hujulikana Kama Ugonjwa wa Hemolytic uremic (HUS) ni hali inayotokana na uharibifu usio wa kawaida wa seli nyekundu za damu mapema. Mara tu mchakato huu unapoanza, seli nyekundu za damu zilizoharibiwa huanza kuziba mfumo wa kuchuja kwenye figo, ambayo inaweza hatimaye kusababisha kushindwa kwa figo. Soma Zaidi...

Ni Nini husababisha kinjwaa kutoa harufu mbaya?
Posti hii inaelezea kuhusiana na sababu zinazosababisha kinjwa au mdomo kutoa harufu mbaya? Soma Zaidi...