Posti hii inahusu zaidi sehemu ambazo zinapaswa kudungwa chanjo, hizi ni sehemu zile zilizopendekezwa kwa ajili ya kuchoma chanjo kwa kadiri ya kazi ya chanjo.
Njia za na kuchoma chanjo.
1.Kwanza kabisa tunapaswa kujua kuwa chanjo zinapaswa kufanya kazi kwa kadiri ya eneo ambalo limependekezwa kuchomwa, nyingine uchomwa kwenye paja la kulia, nyingine paja la kushoto, nyingine kwenye mkono wa kulia au wa kushoto, pengine ufanya hivyo ili kutofautisha na nchi nyingine, hali hii ina faida kwa sababu tunaweza kutofautiana kutoka nchi moja kwa nyingine kwa sababu ya makovu ya chanjo.
2.Chanjo nyingine utolewa kwenye bega la kulia.
Aina hii ya chanjo ambayo utolewa kwenye bega ni chanjo ya inayozuia kifua kikuu kwa hiyo kwa hiyo ukiangalia watanzania walio wengi kwenye bega la kulia kuna kovu la chanjo ya kuzuia kifua kikuu kwa hiyo pamoja na tiba usaidia kutofautisha wahamiaji na wasio wahamiaji.
3.Chanjo Ambazo utolewa mkono wa kushoto.
Hizi ni aina ya chanjo ambazo ni chanjo inayozuia Surua na kuharisha kwa hiyo hizi ni kinyume cha chanjo ya kifua kikuu na ambayo utolewa kwey mkono wa kulia na hizi utolewa mkono wa kushoto.
4.Kuna chanjo ambazo utolewa kwenye mguu wa kulia hizi chanjo usaidia kutibu Magonjwa ya kupooza, Dondakoo na homa ya inn, hizi chanjo upitishwa kwenye paja la kulia utolewa hivyo kulingana na kazi yake.
5.Na pia kuna chanjo ambazo upitishwa kwenye kinywa, hii ni chanjo ambazo utibu polio na kuharisha kwa hiyo upitishwa hapo kulinganisha na kazi yake.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi rangi za mkojo na maana zake, hizi ni rangi ambazo uweza kutokea kwenye mkojo wa mtu mmoja na mwingine kwa sababu ya kuwepo kwa magonjwa, chakula,na mtindo wa maisha inawezekana unywaji wa maji au kutokunywa maji.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya roghage
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu madhara ya upungufu wa maji mwilini
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu utaratibu wa lishe kwa wazee
Soma Zaidi...Post inaenda kuzungumzia kuhusiana na upungufu wa damu mwilini ambapo tutaona SABABU na dalili zake lakin upungufu wa damu mwilini hujulikana Kama ANEMIA.
Soma Zaidi...Ajali ya kichwa na ajali inayotolewa kwenye sehemu mbalimbali za kichwa, ambavyo husababishwa madhara kwa aliyepata ajali hiyo
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi chanjo ambazo utolewa nchini Tanzania, ni chanjo ambazo uzuia Magonjwa ambayo yako katika sehemu mbalimbali za nchi.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi mabadiliko katika umri wa kubarehe kwa wsichana, ni kipindi ambacho watoto huelekea ujana, utokea Kati ya miaka kuanzia Kumi na kuendelea.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea endapo tatizo halijatibiwa.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mkojo wa kawaida kwa kila mwanadamu na unavyopaswakuwa, mkojo wa kawaida kwa binadamu huwa na sifa zifuatazo.
Soma Zaidi...