picha

Aina za vidonda

Posti hii inahusu zaidi Aina mbalimbali za vidonda kwenye mwili wa binadamu, ni vidonda ambavyo utokea kwenye mwili wa binadamu kwa Aina tofauti.

Aina za vidonda

1. Kuna vidonda visafi ambapo kwa kitaalamu huitwa (clean wound ) hii ni Aina ya vidonda ambavyo having wadudu au bakteria kwa kitaalamu hawa wadudu huitwa pathogens organism.tiba ya vidonda hivi ni kusafisha kila mara na Tabia ya vidonda hivi upona haraka sana kuliko Aina yoyote Ile ya vidonda, kwa hiyo watu wenye vidonda vya Aina hii hawapati sana shida katika kupona kwa sababu ya uharaka wa vidonda hivi kupona.

 

2.Aina nyingine ya vidonda ni vidonda vile ambavyo vina wadudu au bakteria vidonda hivi vidonda mara nyingi upatikana kwenye ajali, watu ambao Upata ajali huwa na vidonda vya Aina hii, vidonda hivi vikitumiwa kwa mda mwafaka upona haraka Ila visipotibiwa kwa mda mwafaka kwa Sababu ya uchafu unaokuwemo kwenye vidonda wadudu uongezeka kwa kiasi kikubwa na hatimaye kidonda uchukua mda mrefu kupona. Kwa hiyo hivi vidonda inabidi vipelekwe hospitalini haraka Ili kuweza kuzuia madhara makubwa yanayoweza kujitokeza kwa sababu ya kuongezeka kwa wadudu kwenye kidonda.

 

3. Vidonda ambavyo vina kiasi kikubwa Cha wadudu na uchafu vinakuwa mwingi sana, hii ni Aina ya kidonda  ambayo unakuta seli pamoja na tisu vyote vimearibika kwenye sehemu ya kidonda.

Aina hii ya vidonda huitaji uangalifu sana kwa sababu ya hali yake na pia vinapaswa kutibiwa hospitalini kwa mda na mgonjwa anapaswa kupatiwa dawa za kutosha Ili kuponyesha Aina hii ya vidonda.

Aina hii ya vidonda usababisha na ajali au pengine na upungufu wa a kinga mwilini ambao usababisha seli kufa na tisu pia kufa wakati mwingine hivi vidonda vinaweza kuitwa vidonda ndugu kwa hiyo uchukua mda mwingi kupona.

Kwa wagojwa wa Mama hii kwanza wanatakiwa kuhojiwa kujua chanzo Cha kidonda na kwa wale wanaowahudumia wagonjwa wa namna hii wanapaswa kuwa makini iili kuepuka maambukizi ya Moja kwa Moja au ya baadae kwa sababu ya hali ya kidonda, kwa hiyo tunapaswa kuelimisha jamii kuhusu kuwepo kwa vidonda na pia kujua kuwa ni ugonjwa wa kawaida na unaweza kutibika. Na jamii zile ambazo wanaendelea kutibu vidonda hivi nyumbani waache maana vidonda vingine ni vikubwa na vinahitaji uangalizi zaidi.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2021/12/14/Tuesday - 07:58:47 am Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 4578

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 ai web app    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Dua za Mitume na Manabii    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Mambo yanayoweza kudhoofisha kinga ya mwili

Kinga ya mwili inapodhoofu mwili unakuwa hatarini kupata maradhi. Je unayajuwa mambo yanayodhoofisha kinga ysbmeili?

Soma Zaidi...
Namna ya kusaidia vijana wakati wa kubarehe

Post hii inahusu zaidi namna ya kuwasaidia vijana wakati wa kubarehe, ni njia za kuhakikisha kuwa vijana wanakuwa na mwelekeo ,

Soma Zaidi...
Upungufu wa vitamin

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu madhara ya upungufu wa vitamin

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu vitamini D na kazi zake mwilini

Hapa utajifunza kuusu vitamini D, kazi zake, upungufu wake na chanzo cha kupata vitamini D.

Soma Zaidi...
Kwanini mtu alie ng'atwa na nyoka hairuhusiwi kumpa pombe?

Swali languKwanini mtu alie ng'atwa na nyoka hairuhusiwi kumpa pombe?

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu madhara ya uzito mkubwa

Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kwa mtu mwenye uzito mkubwa,kwa kawaida ili mtu aweze kuwa na uzito wa kawaida ni vizuri na kiafya kupima urefu ukilinganisha na uzito wa mtu.

Soma Zaidi...
Huduma ya kwanza kwa aliye ungua na Moto.

Posti hii inazungumzia kuhusiana na mbinu za kutoa huduma ya kwanza kwa aliyeungua na Moto.

Soma Zaidi...
Zijue kazi za Figo mwilini

Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa Figo mwilini, Figo ni ogani ambayo kazi yake ni kuchuja sumu mwilini.

Soma Zaidi...
Jinsi mimba inavyotungwa mpaka mtoto kuingia kwenye mfuko wa uzazi

Post hii inahusu zaidi namna mimba inavyotungwa mpaka mtoto kuingia kwenye mfuko wa uzazi, mimba kutungwa ni kitendo ambapo mbegu za kiume kuungana na yai la kike na kutengeneza zygote.

Soma Zaidi...
Namna ambavyo mwili unapambana na maradhi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu namna ambavyo mwili unapambana na maradhi

Soma Zaidi...