Aina za vidonda

Aina za vidonda

Posti hii inahusu zaidi Aina mbalimbali za vidonda kwenye mwili wa binadamu, ni vidonda ambavyo utokea kwenye mwili wa binadamu kwa Aina tofauti.

Download Post hii hapa

Aina za vidonda

1. Kuna vidonda visafi ambapo kwa kitaalamu huitwa (clean wound ) hii ni Aina ya vidonda ambavyo having wadudu au bakteria kwa kitaalamu hawa wadudu huitwa pathogens organism.tiba ya vidonda hivi ni kusafisha kila mara na Tabia ya vidonda hivi upona haraka sana kuliko Aina yoyote Ile ya vidonda, kwa hiyo watu wenye vidonda vya Aina hii hawapati sana shida katika kupona kwa sababu ya uharaka wa vidonda hivi kupona.

 

2.Aina nyingine ya vidonda ni vidonda vile ambavyo vina wadudu au bakteria vidonda hivi vidonda mara nyingi upatikana kwenye ajali, watu ambao Upata ajali huwa na vidonda vya Aina hii, vidonda hivi vikitumiwa kwa mda mwafaka upona haraka Ila visipotibiwa kwa mda mwafaka kwa Sababu ya uchafu unaokuwemo kwenye vidonda wadudu uongezeka kwa kiasi kikubwa na hatimaye kidonda uchukua mda mrefu kupona. Kwa hiyo hivi vidonda inabidi vipelekwe hospitalini haraka Ili kuweza kuzuia madhara makubwa yanayoweza kujitokeza kwa sababu ya kuongezeka kwa wadudu kwenye kidonda.

 

3. Vidonda ambavyo vina kiasi kikubwa Cha wadudu na uchafu vinakuwa mwingi sana, hii ni Aina ya kidonda  ambayo unakuta seli pamoja na tisu vyote vimearibika kwenye sehemu ya kidonda.

Aina hii ya vidonda huitaji uangalifu sana kwa sababu ya hali yake na pia vinapaswa kutibiwa hospitalini kwa mda na mgonjwa anapaswa kupatiwa dawa za kutosha Ili kuponyesha Aina hii ya vidonda.

Aina hii ya vidonda usababisha na ajali au pengine na upungufu wa a kinga mwilini ambao usababisha seli kufa na tisu pia kufa wakati mwingine hivi vidonda vinaweza kuitwa vidonda ndugu kwa hiyo uchukua mda mwingi kupona.

Kwa wagojwa wa Mama hii kwanza wanatakiwa kuhojiwa kujua chanzo Cha kidonda na kwa wale wanaowahudumia wagonjwa wa namna hii wanapaswa kuwa makini iili kuepuka maambukizi ya Moja kwa Moja au ya baadae kwa sababu ya hali ya kidonda, kwa hiyo tunapaswa kuelimisha jamii kuhusu kuwepo kwa vidonda na pia kujua kuwa ni ugonjwa wa kawaida na unaweza kutibika. Na jamii zile ambazo wanaendelea kutibu vidonda hivi nyumbani waache maana vidonda vingine ni vikubwa na vinahitaji uangalizi zaidi.

Download Post hii hapa

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 3427

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

Hatari ya uzito mkubwa
Hatari ya uzito mkubwa

Posti hii inahusu zaidi hatari zilizopo kwa mtu mwenye uzito mkubwa,kwa sababu ya kuwepo kwa uzito mkubwa na pia unene usio wa kawaida usababisha mtu kuwa na matatizo mbalimbali hasa saratani za kila sehemu kama tutakavyoona.

Soma Zaidi...
HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYEPANDWA NA PRESHA
HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYEPANDWA NA PRESHA

Presha ya kupanda hutokea pale kipimo kinaposoma zaidi ya 120/80mm Hg.

Soma Zaidi...
Faida za tumbo katika mwili wa binadamu
Faida za tumbo katika mwili wa binadamu

Posti hii inahusu zaidi faida za tumbo,tumbo ni sehemu ya mwili ambayo ushughilika na kutunza chakula,

Soma Zaidi...
Namna ya kumwosha Mgonjwa vidonda
Namna ya kumwosha Mgonjwa vidonda

Posti hii inahusu zaidi njia za kutumia unapotaka kumwosha Mgonjwa vidonda, ni njia muhimu ambazo ni lazima kuzipitia unapotaka kumwosha Mgonjwa vidonda.

Soma Zaidi...
Ukiwa unalima sana unaweza kukonda
Ukiwa unalima sana unaweza kukonda

Unadhanivkufanya kazi kunaweza kukusababishia maradhi ama mwili kudhoofu, ama kukonda. Umeshawahivkujiuliza wanao nenepa huwa hawafanyi kazi?

Soma Zaidi...
Zijue sababu za chakula kushindwa kumengenywa kwenye tumbo.
Zijue sababu za chakula kushindwa kumengenywa kwenye tumbo.

Posti hii inahusu zaidi sababu mbalimbali za chakula kushindwa kumengenywa kwenye tumbo,ni sababu mbalimbali hasa za kiafya kama tutakavyoona hapo mbeleni

Soma Zaidi...
Sababu za zinazosababisha kuwepo kwa vidonda
Sababu za zinazosababisha kuwepo kwa vidonda

Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwepo kwa vidonda, kwa sababu tunaona vidonda vinashambulia sehemu mbalimbali za mwili ila tunakuwa hatuna sababu kwa hiyo zifuatazo ni sababu za kuwepo kwa vidonda.

Soma Zaidi...
Huduma kwa watu wanaoishi na virusi vya Ukimwi
Huduma kwa watu wanaoishi na virusi vya Ukimwi

Posti hii inahusu zaidi huduma ambazo wagonjwa wanaoishi na maambukizi ya virus vya ukimwi wanaweza kupata, huduma hii utolewa hasa kwa wale ambao wamejitokeza kupima afya zao na kujua wazi hali zao na kwa wale wanaofatilia huduma hii wanaweza kuishi vizu

Soma Zaidi...
Faida za seli
Faida za seli

Posti hii inahusu zaidi faida za seli. Seli ni chembechembe hai za mwili ambazo hufanya kazi mbalimbali katika mwili wa binadamu.

Soma Zaidi...
Mfuno wa damu na makundi manne ya damu na asili yake nani anayepasa kutoa damu?
Mfuno wa damu na makundi manne ya damu na asili yake nani anayepasa kutoa damu?

Posti hii inakwenda kukujuza kuhusu makundi manne ya damu, asili yake, maana ya antijeni na antibody, pia utajifunza kuhusu mfumo wa Rh. Mwisho utajifunza watu wanaopasa kutoa damu.

Soma Zaidi...