Aina za vidonda

Posti hii inahusu zaidi Aina mbalimbali za vidonda kwenye mwili wa binadamu, ni vidonda ambavyo utokea kwenye mwili wa binadamu kwa Aina tofauti.

Aina za vidonda

1. Kuna vidonda visafi ambapo kwa kitaalamu huitwa (clean wound ) hii ni Aina ya vidonda ambavyo having wadudu au bakteria kwa kitaalamu hawa wadudu huitwa pathogens organism.tiba ya vidonda hivi ni kusafisha kila mara na Tabia ya vidonda hivi upona haraka sana kuliko Aina yoyote Ile ya vidonda, kwa hiyo watu wenye vidonda vya Aina hii hawapati sana shida katika kupona kwa sababu ya uharaka wa vidonda hivi kupona.

 

2.Aina nyingine ya vidonda ni vidonda vile ambavyo vina wadudu au bakteria vidonda hivi vidonda mara nyingi upatikana kwenye ajali, watu ambao Upata ajali huwa na vidonda vya Aina hii, vidonda hivi vikitumiwa kwa mda mwafaka upona haraka Ila visipotibiwa kwa mda mwafaka kwa Sababu ya uchafu unaokuwemo kwenye vidonda wadudu uongezeka kwa kiasi kikubwa na hatimaye kidonda uchukua mda mrefu kupona. Kwa hiyo hivi vidonda inabidi vipelekwe hospitalini haraka Ili kuweza kuzuia madhara makubwa yanayoweza kujitokeza kwa sababu ya kuongezeka kwa wadudu kwenye kidonda.

 

3. Vidonda ambavyo vina kiasi kikubwa Cha wadudu na uchafu vinakuwa mwingi sana, hii ni Aina ya kidonda  ambayo unakuta seli pamoja na tisu vyote vimearibika kwenye sehemu ya kidonda.

Aina hii ya vidonda huitaji uangalifu sana kwa sababu ya hali yake na pia vinapaswa kutibiwa hospitalini kwa mda na mgonjwa anapaswa kupatiwa dawa za kutosha Ili kuponyesha Aina hii ya vidonda.

Aina hii ya vidonda usababisha na ajali au pengine na upungufu wa a kinga mwilini ambao usababisha seli kufa na tisu pia kufa wakati mwingine hivi vidonda vinaweza kuitwa vidonda ndugu kwa hiyo uchukua mda mwingi kupona.

Kwa wagojwa wa Mama hii kwanza wanatakiwa kuhojiwa kujua chanzo Cha kidonda na kwa wale wanaowahudumia wagonjwa wa namna hii wanapaswa kuwa makini iili kuepuka maambukizi ya Moja kwa Moja au ya baadae kwa sababu ya hali ya kidonda, kwa hiyo tunapaswa kuelimisha jamii kuhusu kuwepo kwa vidonda na pia kujua kuwa ni ugonjwa wa kawaida na unaweza kutibika. Na jamii zile ambazo wanaendelea kutibu vidonda hivi nyumbani waache maana vidonda vingine ni vikubwa na vinahitaji uangalizi zaidi.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 3527

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Dalili za upungufu wa vitamini C mwilini

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za upungufu wa vitamini C mwilini

Soma Zaidi...
Ratiba ya chanjo ya kuzuia Nimonia

Posti hii inahusu zaidi ratiba ya chanjo ya kuzuia Nimonia, hii ni chanjo inayozuia hasa hasa Magonjwa ya mfumo wa hewa kwa hiyo nayo upewa watoto wenye umri chini ya miaka mitano.

Soma Zaidi...
Mambo yanayosababisha kupona kwa vidonda.

Posti hii inahusu mambo yanayochangia katika kupona kwa kidonda, ni mambo ambayo yapo kwa mgonjwa mwenyewe kama ifuayavyo.

Soma Zaidi...
Mbinu za kuponyesha majeraha

Posti hii inahusu zaidi mbinu ambazo hutumika kuponyesha majeraha kwa haraka zaidi,tunajua majereha utokana na kupona kwa vile vidonda au kupona kwa sehemu ambayo imekuwa na majeraha kwa hiyo ili kuponyesha majeraha hayo tunapaswa kufanya yafuatayo.

Soma Zaidi...
HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYEPANDWA NA PRESHA

Presha ya kupanda hutokea pale kipimo kinaposoma zaidi ya 120/80mm Hg.

Soma Zaidi...
Namna ugonjwa wa herpes simplex unavyosambaa.

Posti hii inahusu zaidi namna ya ugonjwa wa vipele kwenye midomo na sehemu za siri unavyoweza kuenea kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine.

Soma Zaidi...
Choo kisichokuwa cha kawaida

Posti hii inahusu zaidi Aina ya choo kisichokuwa cha kawaida, ni dalili za choo ambacho siyo Cha kawaida, Ina maana ukiona dalili za choo Cha Aina hii ni vizuri kwenda hospitalini Ili kupata matibabu.

Soma Zaidi...
Huduma ya Kwanza kwa mtu aliyekunywa sumu

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyekunywa sumu

Soma Zaidi...
Nini husababisha kibofu cha mkojo kuuma na baadae kutoka damu

Katika post hii utajifunza sababu zinazowezabkuorlekea kibofu kuuma upande mmoja

Soma Zaidi...
Ugonjwa wa Pumu, dalili zake na njia za kujilinda dhidi ya Pumu.

Pumu ni ugonjwa ambao huathiri sehemu ya kupitisha hewa kwenda kwenye mapafu ya binadamu kitaalamu huitwa bronchioles. Mtu mwenye pumu huwa na michubuko sugu mwilini kwenye mirija yake ya kupitisha hewa. Hali ambayo husababisha kuvimba kwa kuta za mirija

Soma Zaidi...