Aina za vidonda.
Posti hii inahusu zaidi aina kuu za vidonda,kuna aina kuu tatu za vidonda ambapo kila aina utumiwa kwa njia yake kama tutakavyoona hapo chini.
Aina za vidonda.
1.Aina ya kwanza ya vidonda inategemea kuwepo au kutokuwepo na wadudu.
Katika aina hii ya vidonda utegemea kuwepo au kutokuwepo na wadudu, kuna vidonda ambavyo havina wadudu kwa hiyo usafishwa kawaida na maji na ufungwa vizuri, na vingine vina wadudu wa kiasi ambavyo usafishwa na hydrogen peroxide na vingine vina wadudu wengi sana pamoja na uchafu ambayo usafishwa na uso pamoja na hydrogen peroxide.
2.Aina nyingine ya vidonda utegemea na hali ya kuwepo au kutokuwepo kwa mvunjiko.
Kwenye aina hii y as vidonda vingine vinakuwa vimefunga na vingine vinakuwa vimefunguliwa kwa hiyo vile vilivyofungwa havina uchafu kama vile vilivyofunguliwa kwa sababu vilivyofunguliwa uhitaji uangalizi zaidi na kuweza kuepuka kuwepo kwa Maambukizi mengine zaidi.
3.Aina nyingine ya vidonda utegemea na visababishi kwa sababu vidonda vingine usababisha na kujikwaruaza, vingine usababishwa na kuchomwa na vitu vyenye ncha kali , vingine usababishwa na vitu vyenye kutu, kwa hiyo aina hiyo ya vidonda huwa na chanzo kwa hiyo na matibabu utegemea Chanjo.
4.kwa hiyo jamii inapaswa kujua kuwa vidonda vipo kwenye jamii na vinatibiwa na pia tunapaswa kuacha matibabu ya ziada ambayo yanaweza kufanya vidonda visipone haraka kwa mfano kukanda kidonda kikubwa na maji ya moto kwa mda wa siku nyingi na kidonda hicho hakiponagi haraka kwa hiyo tunapaswa kuvileta vidonda hospitalini ili tupate matibabu na vitapona haraka.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 ai web app 👉2 Simulizi za Hadithi Audio 👉3 Kitau cha Fiqh 👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉5 Madrasa kiganjani 👉6 Bongolite - Game zone - Play free game
Post zinazofanana:
Mbinu za kuondoa sumu mwilini.
Posti hii inahusu zaidi mbinu za kuondoa sumu mwilini, ni njia mbalimbali ambazo uweza kutumika ili kuondoa sumu mwilini.
Soma Zaidi...Upungufu wa maji
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu madhara ya upungufu wa maji mwilini
Soma Zaidi...Njia za kuzuia damu isiendelee kuvuja
Posti hii inahusu zaidi njia za kuzuia damu isiendelee kuvuja, ni njia ambazo utumika ikiwa kuna damu inavuja kwenye sehemu yoyote ya mwili,kwa hiyo tunaweza kutumia njia hizi ili kuepuka kuendelea kuvuja kwa damu.
Soma Zaidi...Fahamu kuhusu virutubisho vya wanga na kazi zake mwilini
Katika vyakula tunaposema wanga tunamaanisha virutubisho ambavyo hupatikana kwenye vyakula. Hivi husaidia sana katika kuifanya miili yetu iwe na nguvu.
Soma Zaidi...Huduma ya kwanza kwa mtu aliyekula sumu
Post hii inahusu zaidi kutoa huduma ya kwanza kwa mtu aliyekula chakula chenye sumu, kula sumu ni kitendo Cha kula kitu chochote kama dawa,pombe, kemikali na chakula kichafu.
Soma Zaidi...Huduma ya Kwanza kwa aliyeungua
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa aliyeungua
Soma Zaidi...