Posti hii inahusu zaidi aina kuu za vidonda,kuna aina kuu tatu za vidonda ambapo kila aina utumiwa kwa njia yake kama tutakavyoona hapo chini.
Aina za vidonda.
1.Aina ya kwanza ya vidonda inategemea kuwepo au kutokuwepo na wadudu.
Katika aina hii ya vidonda utegemea kuwepo au kutokuwepo na wadudu, kuna vidonda ambavyo havina wadudu kwa hiyo usafishwa kawaida na maji na ufungwa vizuri, na vingine vina wadudu wa kiasi ambavyo usafishwa na hydrogen peroxide na vingine vina wadudu wengi sana pamoja na uchafu ambayo usafishwa na uso pamoja na hydrogen peroxide.
2.Aina nyingine ya vidonda utegemea na hali ya kuwepo au kutokuwepo kwa mvunjiko.
Kwenye aina hii y as vidonda vingine vinakuwa vimefunga na vingine vinakuwa vimefunguliwa kwa hiyo vile vilivyofungwa havina uchafu kama vile vilivyofunguliwa kwa sababu vilivyofunguliwa uhitaji uangalizi zaidi na kuweza kuepuka kuwepo kwa Maambukizi mengine zaidi.
3.Aina nyingine ya vidonda utegemea na visababishi kwa sababu vidonda vingine usababisha na kujikwaruaza, vingine usababishwa na kuchomwa na vitu vyenye ncha kali , vingine usababishwa na vitu vyenye kutu, kwa hiyo aina hiyo ya vidonda huwa na chanzo kwa hiyo na matibabu utegemea Chanjo.
4.kwa hiyo jamii inapaswa kujua kuwa vidonda vipo kwenye jamii na vinatibiwa na pia tunapaswa kuacha matibabu ya ziada ambayo yanaweza kufanya vidonda visipone haraka kwa mfano kukanda kidonda kikubwa na maji ya moto kwa mda wa siku nyingi na kidonda hicho hakiponagi haraka kwa hiyo tunapaswa kuvileta vidonda hospitalini ili tupate matibabu na vitapona haraka.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu utaratibu wa lishe kwa wazee
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi njia za kuenea kwa ugonjwa wa Ukimwi. Ukimwi ni upungufu wa kinga mwilini.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi kutoa huduma ya kwanza kwa mtu aliyekula chakula chenye sumu, kula sumu ni kitendo Cha kula kitu chochote kama dawa,pombe, kemikali na chakula kichafu.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyekazwa na misuli
Soma Zaidi...Kungโatwa na nyuki kunaweza kukahitaji huduma ya kwanza kwa haraka kama mgonjwa ana aleji na nyuki.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za vyakula vya vitamini
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya kazi ya protin na vyakula vya protini mwilini
Soma Zaidi...Posti hii inahusu mambo yanayochangia katika kupona kwa kidonda, ni mambo ambayo yapo kwa mgonjwa mwenyewe kama ifuayavyo.
Soma Zaidi...Hii posti inahusu zaidi sifa za mkojo usio wa kawaida,ukiona mkojo wa namna hii unapaswa kwenda hospitalini kwa matibabu au vipimo vya zaidi.
Soma Zaidi...