Aina za vidonda.

Posti hii inahusu zaidi aina kuu za vidonda,kuna aina kuu tatu za vidonda ambapo kila aina utumiwa kwa njia yake kama tutakavyoona hapo chini.

Aina za vidonda.

1.Aina ya kwanza ya vidonda inategemea kuwepo au kutokuwepo na wadudu.

Katika aina hii ya vidonda utegemea kuwepo au kutokuwepo na wadudu, kuna vidonda ambavyo havina wadudu kwa hiyo usafishwa kawaida na maji na ufungwa vizuri, na vingine vina wadudu wa kiasi ambavyo usafishwa na hydrogen peroxide na vingine vina wadudu wengi sana pamoja na uchafu ambayo usafishwa na uso pamoja na hydrogen peroxide.

 

2.Aina nyingine ya vidonda utegemea na hali ya kuwepo au kutokuwepo kwa mvunjiko.

Kwenye aina hii y as vidonda vingine vinakuwa vimefunga na vingine vinakuwa vimefunguliwa kwa hiyo vile vilivyofungwa havina uchafu kama vile vilivyofunguliwa kwa sababu vilivyofunguliwa uhitaji uangalizi zaidi na kuweza kuepuka kuwepo kwa Maambukizi mengine zaidi.

 

3.Aina nyingine ya vidonda utegemea na visababishi kwa sababu vidonda vingine usababisha na kujikwaruaza, vingine usababishwa na kuchomwa na vitu vyenye ncha kali , vingine usababishwa na vitu vyenye kutu, kwa hiyo aina hiyo ya vidonda huwa na chanzo kwa hiyo na matibabu utegemea Chanjo.

 

4.kwa hiyo jamii inapaswa kujua kuwa vidonda vipo kwenye jamii na vinatibiwa na pia tunapaswa kuacha matibabu ya ziada ambayo yanaweza kufanya vidonda visipone haraka kwa mfano kukanda kidonda kikubwa na maji ya moto kwa mda wa siku nyingi na kidonda hicho hakiponagi haraka kwa hiyo tunapaswa kuvileta vidonda hospitalini ili tupate matibabu na vitapona haraka.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 1988

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
๐Ÿ‘‰1 Kitau cha Fiqh    ๐Ÿ‘‰2 kitabu cha Simulizi    ๐Ÿ‘‰3 Simulizi za Hadithi Audio    ๐Ÿ‘‰4 Kitabu cha Afya    ๐Ÿ‘‰5 Bongolite - Game zone - Play free game    ๐Ÿ‘‰6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Namna ya kumlisha Mgonjwa ambaye hawezi kujilisha mwenyewe ni

Posti hii inahusu njia za kumlisha Mgonjwa ambaye hawezi kujilisha wenyewe, hali hii uwa inawapata wagonjwa wale ambao hawawezi kujilisha wenyewe tunaweza kuwalisha kwa njia zifuatazo.

Soma Zaidi...
Utaratibu wa lishe kwa vijana

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu utaratibu wa lishe kwa vijana

Soma Zaidi...
Huduma ya kwanza kwa mtu aliyekula sumu

Post hii inahusu zaidi kutoa huduma ya kwanza kwa mtu aliyekula chakula chenye sumu, kula sumu ni kitendo Cha kula kitu chochote kama dawa,pombe, kemikali na chakula kichafu.

Soma Zaidi...
Njia za kuzuia kiungulia

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kuzuia kiungulia

Soma Zaidi...
Njia za kushusha presha

Post hii inakwenda kukujulisha njia za kushusha presha iliyopanda.

Soma Zaidi...
Mkojo mchafu na Rangi za mikojo na maana zake

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu Rangi za mkojo na maana zake na mkojo mchafu

Soma Zaidi...
Kuboresha afya

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu mambo yanayosaidia kuboresha afya

Soma Zaidi...
HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYENGโ€™ATWA NA NYUKI

Kungโ€™atwa na nyuki kunaweza kukahitaji huduma ya kwanza kwa haraka kama mgonjwa ana aleji na nyuki.

Soma Zaidi...
Njia za kupunguza uzito na kitambi

Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kupunguza tatizo la kuwepo kwa uzito mkubwa pamoja na kitambi

Soma Zaidi...
Aina za kuungua

Post hii inahusu Aina za kuungua, kuungua ni Hali ya kubabuka kwa ngozi ya mwili na kusababisha madhara mbalimbali

Soma Zaidi...