Posti hii inahusu zaidi aina kuu za vidonda,kuna aina kuu tatu za vidonda ambapo kila aina utumiwa kwa njia yake kama tutakavyoona hapo chini.
Aina za vidonda.
1.Aina ya kwanza ya vidonda inategemea kuwepo au kutokuwepo na wadudu.
Katika aina hii ya vidonda utegemea kuwepo au kutokuwepo na wadudu, kuna vidonda ambavyo havina wadudu kwa hiyo usafishwa kawaida na maji na ufungwa vizuri, na vingine vina wadudu wa kiasi ambavyo usafishwa na hydrogen peroxide na vingine vina wadudu wengi sana pamoja na uchafu ambayo usafishwa na uso pamoja na hydrogen peroxide.
2.Aina nyingine ya vidonda utegemea na hali ya kuwepo au kutokuwepo kwa mvunjiko.
Kwenye aina hii y as vidonda vingine vinakuwa vimefunga na vingine vinakuwa vimefunguliwa kwa hiyo vile vilivyofungwa havina uchafu kama vile vilivyofunguliwa kwa sababu vilivyofunguliwa uhitaji uangalizi zaidi na kuweza kuepuka kuwepo kwa Maambukizi mengine zaidi.
3.Aina nyingine ya vidonda utegemea na visababishi kwa sababu vidonda vingine usababisha na kujikwaruaza, vingine usababishwa na kuchomwa na vitu vyenye ncha kali , vingine usababishwa na vitu vyenye kutu, kwa hiyo aina hiyo ya vidonda huwa na chanzo kwa hiyo na matibabu utegemea Chanjo.
4.kwa hiyo jamii inapaswa kujua kuwa vidonda vipo kwenye jamii na vinatibiwa na pia tunapaswa kuacha matibabu ya ziada ambayo yanaweza kufanya vidonda visipone haraka kwa mfano kukanda kidonda kikubwa na maji ya moto kwa mda wa siku nyingi na kidonda hicho hakiponagi haraka kwa hiyo tunapaswa kuvileta vidonda hospitalini ili tupate matibabu na vitapona haraka.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi namna ya kuwasaidia wagonjwa waliopata maambukizi kwenye milija na ovari, ni wagonjwa waliopata maambukizi kwenye milija na ovari.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi mabadiliko katika umri wa kubarehe kwa wsichana, ni kipindi ambacho watoto huelekea ujana, utokea Kati ya miaka kuanzia Kumi na kuendelea.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi aina mbalimbali ya maumivu ya mwili, Maumivu ya mwili utokea kwa aina mbalimbali kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyekunywa sumu
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu utaratibu wa lishe kwa wagonjwa
Soma Zaidi...Posti hii inaelezea kuhusiana na mbinu za kutoa huduma ya kwanza kwa walio na majeraha ya macho kutokana na aina mbalimbali ya jeraha
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi namna ya kutoa huduma ya kwanza kwa watu waliopata ajali. Ajali ni tukio lisilotarajiwa ambalo kinaweza kumkuta mtu yeyote, tunapotoa huduma ya kwanza tnazingatia rangi ambazo huwakilisha jinsi watu walivyoumia.
Soma Zaidi...Muulizaji anauliza he kula denda, ama kumbusu ama kufanya romance na muathirika was HIV na wewe uta ambukizwa?
Soma Zaidi...Posti hii inahusu namna ya kumfanyia mgonjwa usafi mwili mzima, ni njia ambazo utumika kumfanyia mgonjwa usafi mwili mzima au kumwosha Mgonjwa hasa wale walio mahututi na hawawezi kuamka kitandani.
Soma Zaidi...