picha

Namna ya kutoa huduma ya kwanza

Huduma ya kwanza ni huduma anayopewa mgonjwa au mtu yeyote aliyepata ajali kabla ya kumpeleka hospitalini

Lengo la kutoa huduma ya kwanza ni kama ifuayavyo

1. Kuokoa maisha ya mgonjwa

2. Kuzuia kuongezeka kwa maumivu kwa mgonjwa

3. Kupunguza maumivu

4. Kumlinda mgonjwa asiendeleee kutumia zaidi

Vifaa vinavyotumika wakati wa huduma ya kwanza

1. Pamba

2.tochi

3. Taulo

4. Dawa ya maumivu

5.pini Safi

6  .wembe

7.sabuni

8.dawa ya kusafisha vidonda

 

Ni watu gani wanapaswa kupewa huduma ya kwanza?

1. Watu waliopata ajali

2. Wagonjwa waliopo nyumbani

3.waliovamiwa na nyuki

4.walioumwa na mbwa

5. Waliowamiwa na nyuki

Huduma ya kwanza ni muhumu sana kwa sababu inampa mgonjwa aueni kabla hajafika hospitalini.

 

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Huduma Main: Post File: Download PDF Views 2444

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 Dua za Mitume na Manabii     👉4 web hosting     👉5 Simulizi za Hadithi Audio     👉6 ai web app    

Post zinazofanana:

Njia za kujilinda dhidi ya mapunye

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kujilinda dhidi ya mapunye

Soma Zaidi...
Njia za kupunguza uzito na kitambi

Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kupunguza tatizo la kuwepo kwa uzito mkubwa pamoja na kitambi

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu madhara ya uzito mkubwa

Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kwa mtu mwenye uzito mkubwa,kwa kawaida ili mtu aweze kuwa na uzito wa kawaida ni vizuri na kiafya kupima urefu ukilinganisha na uzito wa mtu.

Soma Zaidi...
Jinsi moyo unavyosukuma damu

Post hii inahusu zaidi jinsi moyo unavyosukuma damu, moyo ni ogani ambayo usukuma damu kwenye sehemu mbalimbali za mwili.

Soma Zaidi...
Huduma ya Kwanza kwa mwenye kizunguzungu

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu mwenye kizunguzungu

Soma Zaidi...
Mabadiliko kwa wavulana wakati wa kubarehe

Post hii inahusu zaidi mabadiliko kwa wavulana wakati wa kubarehe, ni kipindi ambacho ni kutoka utotoni kwendea ujana.

Soma Zaidi...