Namna ya kutoa huduma ya kwanza
Huduma ya kwanza ni huduma anayopewa mgonjwa au mtu yeyote aliyepata ajali kabla ya kumpeleka hospitalini
Lengo la kutoa huduma ya kwanza ni kama ifuayavyo
1. Kuokoa maisha ya mgonjwa
2. Kuzuia kuongezeka kwa maumivu kwa mgonjwa
3. Kupunguza maumivu
4. Kumlinda mgonjwa asiendeleee kutumia zaidi
Vifaa vinavyotumika wakati wa huduma ya kwanza
1. Pamba
2.tochi
3. Taulo
4. Dawa ya maumivu
5.pini Safi
6 .wembe
7.sabuni
8.dawa ya kusafisha vidonda
Ni watu gani wanapaswa kupewa huduma ya kwanza?
1. Watu waliopata ajali
2. Wagonjwa waliopo nyumbani
3.waliovamiwa na nyuki
4.walioumwa na mbwa
5. Waliowamiwa na nyuki
Huduma ya kwanza ni muhumu sana kwa sababu inampa mgonjwa aueni kabla hajafika hospitalini.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Madrasa kiganjani 👉2 ai web app 👉3 Bongolite - Game zone - Play free game 👉4 Simulizi za Hadithi Audio 👉5 kitabu cha Simulizi 👉6 web hosting
Post zinazofanana:
Upungufu wa damu mwilini
Post inaenda kuzungumzia kuhusiana na upungufu wa damu mwilini ambapo tutaona SABABU na dalili zake lakin upungufu wa damu mwilini hujulikana Kama ANEMIA.
Soma Zaidi...Ratiba ya chanjo ya polio
Posti hii inahusu zaidi namna chanjo ya polio inavyotolewa na ratiba zake yaani kuanzia siku ya kwanza mpaka pale mtoto anapomaliza chanjo hii kwa hiyo tuone ratiba ya chanjo ya polio.
Soma Zaidi...Huduma ya kwanz akwa aliyeumwa na nyoka
Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kumsaidia aliyeumwa na nyoka
Soma Zaidi...Ajali ya jicho
Post hii inahusu zaidi ajali ya jicho na visababishi vyake, ajali ya jicho ni pale jicho linavyoingiliwa na uchafu na vitu vingine ambavyo havistahili kuwa kwenye jicho
Soma Zaidi...Mambo yanayochangia Ili dawa kuingia kwenye damu vizuri
Post hii inahusu zaidi mambo yanayochangia Ili dawa iingie vizuri kwenye damu, na mambo yanayoweza kusababisha dawa kuingia au kutoingia vizuri kwenye damu.
Soma Zaidi...