Huduma ya kwanza ni huduma anayopewa mgonjwa au mtu yeyote aliyepata ajali kabla ya kumpeleka hospitalini
Lengo la kutoa huduma ya kwanza ni kama ifuayavyo
1. Kuokoa maisha ya mgonjwa
2. Kuzuia kuongezeka kwa maumivu kwa mgonjwa
3. Kupunguza maumivu
4. Kumlinda mgonjwa asiendeleee kutumia zaidi
Vifaa vinavyotumika wakati wa huduma ya kwanza
1. Pamba
2.tochi
3. Taulo
4. Dawa ya maumivu
5.pini Safi
6 .wembe
7.sabuni
8.dawa ya kusafisha vidonda
Ni watu gani wanapaswa kupewa huduma ya kwanza?
1. Watu waliopata ajali
2. Wagonjwa waliopo nyumbani
3.waliovamiwa na nyuki
4.walioumwa na mbwa
5. Waliowamiwa na nyuki
Huduma ya kwanza ni muhumu sana kwa sababu inampa mgonjwa aueni kabla hajafika hospitalini.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi ratiba ya chanjo ya kuzuia kifua kikuu, hiii ni ratiba ambayo chanjo hii utolewa na ushauri mbalimbali utolewa ili kuweza kufanikisha kazi ya chanjo hii
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi namna ya kuchoma chanjo, ni njia ambazo utumika kutoa chanjo kwa watoto na watu wazima kwa utaratibu uliowekwa.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi huduma ya kwanza kwa mtu aliyengatwa na wadudu. Wadudu ni viumbe vidogo ambavyo hukaa sehemu mbalimbali kama vile kwenye miti na sehemu kama hizo
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kupumzika kiafya, kwa kawaida mwili na viungo vingine vya mwili uweza kufanya kazi zaidi pale mtu akiwa amepumzika.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi aina mbalimbali ya maumivu ya mwili, Maumivu ya mwili utokea kwa aina mbalimbali kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi faida za maji ya uvuguvugu, hasa hasa maji haya ni vizuri kabisa kuyatumia hasa wakati wa asubuhi na pia wakati tumbo likiwa halina kitu, kwa hiyo zifuatazo ni faida za maji ya uvuguvugu.
Soma Zaidi...Maisha ya mtu yanaweza kuwa hatarini ama kupotea mara moja baada ya kunywa sumu.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi jinsi moyo unavyosukuma damu, moyo ni ogani ambayo usukuma damu kwenye sehemu mbalimbali za mwili.
Soma Zaidi...Posti hii inaelezea kuhusiana na upungufu wa maji mwilini
Soma Zaidi...