Posti hii inahusu zaidi faida ya chanjo, tunajua wazi kuwa chanjo Ina faida kubwa kwenye mwili wa binadamu na vile vile kwenye jamii kama tutakavyoona hapo chini.
Faida za chanjo.
1.Kwanza kabisa tunapaswa kujua kuwa chanjo utokana na wadudu au bakteria wanaosababisha ugonjwa huo na bakteria hao hawawezi kuleta madhara kwenye mwili wa binadamu na uweza kuleta kinga kwenye mwili wa binadamu, kwa hiyo tunaweza kupata faida za chanjo kama ifuatavyo.
2.Chanjo usaidia kuzuia Magonjwa mbalimbali.
Kutokana na chanjo tunaweza kuzuia magonjwa mbalimbali kama vile kifua kikuu,uti wa mgongo, kuharisha, kupooza, pepopunda, kifadulo na Surua haya ni magonjwa ambayo yalikuwepo kwa mda mrefu na sasa yamepungua kwa kiasi kwa hiyo tunapaswa kuendelea kupata chanjo ili kuweza kuepuka Magonjwa mbalimbali kwenye jamii.
3.Chanjo pia zimepungua Magonjwa ya ulemavu.
Tunajua wazi kuwa Magonjwa mengi ya ulemavu yamepungua kutokana na kuwepo kwa chanjo kwa mfano Magonjwa ya kupooza kimepungua sana sasa hivi kwenye jamii kutokana na kuwepo kwa chanjo. Kwa hiyo tunapaswa kuwahimiza jamii ili waweze kuwapeleka watoto kupata chanjo.
4.Chanjo pia zimesaidia kupata ajira.
Tunajua kuwa kuna watu ambao wamepata ajira kutokana na kuwepo kwa chanjo kwa mfano manes wengi wameweza kupata ajira kutokana na kuwepo kwa chanjo kwa hiyo wameweza kuendesha familia zao.
5.Kwa hiyo tunapaswa kuwahimiza jamii nzima ili waweze kuona umuhimu wa chanjo na kuweza kuwapeleka watoto wao ili kuepuka Magonjwa mbalimbali na kuepuka madhara kwenye jamii.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu madhara ya upungufu wa vyakula vya madini
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya madini mwilini
Soma Zaidi...Post hii inahusu huduma ya kwanza kwa mtu aliyeingiwa na uchafu au kitu chochote sikioni. Sikio ni mojawapo ya milango ya fahamu ambapo hutumika kusikia, Kuna wakati vitu uingia ndani yake na kuleta madhara
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi faida za kusafisha vidonda, ni faida ambazo Mgonjwa mwenye vidonge uzipata kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu namna ya kumsafisha mgonjwa kinywa,ni njia unazopaswa kufuata wakati unamsafisha mgonjwa kinywa hasa wale walio mahututi.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyepatwa na shambulio la moyo
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi njia za kuenea kwa ugonjwa wa Ukimwi. Ukimwi ni upungufu wa kinga mwilini.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu anayetokwa na damu ya pua
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi Aina kuu tatu za mvunjiko ni Aina za kuvunjika ambazo uwakumba watu mbalimbali na watu ushindwa kutambua hizi Aina tatu za mvunjiko, zifuatazo ni Aina za mvunjiko.
Soma Zaidi...Posti inahusu huduma ya kwanza kwa mwenye jeraha linalotoa damu.huduma ya kwanza Ni kumsaidia mtu alie pata jeraha au ajali kabla hajamwona dactari au kufika hospitalinia.
Soma Zaidi...