picha

Faida za chanjo

Posti hii inahusu zaidi faida ya chanjo, tunajua wazi kuwa chanjo Ina faida kubwa kwenye mwili wa binadamu na vile vile kwenye jamii kama tutakavyoona hapo chini.

Faida za chanjo.

1.Kwanza kabisa tunapaswa kujua kuwa chanjo utokana na wadudu au bakteria wanaosababisha ugonjwa huo na bakteria hao hawawezi kuleta madhara kwenye mwili wa binadamu na  uweza kuleta kinga kwenye mwili wa binadamu, kwa hiyo tunaweza kupata faida za chanjo kama ifuatavyo.

 

2.Chanjo usaidia kuzuia Magonjwa mbalimbali.

Kutokana na chanjo tunaweza kuzuia magonjwa mbalimbali kama vile kifua kikuu,uti wa mgongo, kuharisha, kupooza, pepopunda, kifadulo na Surua haya ni magonjwa ambayo yalikuwepo kwa mda mrefu na sasa yamepungua kwa kiasi  kwa hiyo tunapaswa kuendelea kupata chanjo ili kuweza kuepuka Magonjwa mbalimbali kwenye jamii.

 

3.Chanjo pia zimepungua Magonjwa ya  ulemavu.

Tunajua wazi kuwa Magonjwa mengi ya ulemavu yamepungua kutokana na kuwepo kwa chanjo kwa mfano Magonjwa ya kupooza kimepungua sana sasa hivi kwenye jamii kutokana na kuwepo kwa chanjo. Kwa hiyo tunapaswa kuwahimiza jamii  ili waweze kuwapeleka watoto kupata chanjo.

 

4.Chanjo pia zimesaidia kupata ajira.

Tunajua kuwa kuna watu ambao wamepata ajira kutokana na kuwepo kwa chanjo kwa mfano manes wengi wameweza kupata  ajira kutokana na kuwepo kwa chanjo kwa hiyo wameweza kuendesha familia zao.

 

5.Kwa hiyo tunapaswa kuwahimiza jamii nzima ili waweze kuona umuhimu wa chanjo na kuweza kuwapeleka watoto wao ili kuepuka Magonjwa mbalimbali na kuepuka madhara kwenye jamii.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2022/02/13/Sunday - 07:26:19 pm Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 1907

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Dua za Mitume na Manabii    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

Huduma ya Kwanza kwa aliyeng'atwa na nyuki

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyeng'atwa na nyuko

Soma Zaidi...
Huduma ya kwanza kwa mwenye jeraha linalotoa damu

Posti inahusu huduma ya kwanza kwa mwenye jeraha linalotoa damu.huduma ya kwanza Ni kumsaidia mtu alie pata jeraha au ajali kabla hajamwona dactari au kufika hospitalinia.

Soma Zaidi...
Kazi za chanjo ya polio

Posti hii inahusu zaidi kazi ya chanjo za polio na kazi zake,hii ni chanjo ambayo unazuia maambukizi ya Virusi vinavyosababisha polio.

Soma Zaidi...
Njia za kushusha presha

Post hii inakwenda kukujulisha njia za kushusha presha iliyopanda.

Soma Zaidi...
HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYEPATWA NA KWIKWI

Kwikwi sio hatari sana kwa afya, lakini inaweza kuwa hatari zaidi kwa mu aliyefanyiwa upasuaji kwenye tumbo.

Soma Zaidi...
Madhara ya kutumia dawa bila ushauri wa kitaalamu.

Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutumia dawa bila kupata ushauri wa kitaalamu, madhara haya uwapata watu wengi kwa sababu hawajui taratibu za matumizi ya dawa.

Soma Zaidi...
Mbinu za kuondoa sumu mwilini.

Posti hii inahusu zaidi mbinu za kuondoa sumu mwilini, ni njia mbalimbali ambazo uweza kutumika ili kuondoa sumu mwilini.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu vitamini K na kazi zake mwilini

vitamini k ni moja katika vitamini vinavyoitajika sana mwilini. Je unazijuwa athari za upungufu wa vitamini k mwilini?

Soma Zaidi...
Yanayoathiri afya

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu mambo yanayoathiri afya

Soma Zaidi...