picha

Faida za chanjo

Posti hii inahusu zaidi faida ya chanjo, tunajua wazi kuwa chanjo Ina faida kubwa kwenye mwili wa binadamu na vile vile kwenye jamii kama tutakavyoona hapo chini.

Faida za chanjo.

1.Kwanza kabisa tunapaswa kujua kuwa chanjo utokana na wadudu au bakteria wanaosababisha ugonjwa huo na bakteria hao hawawezi kuleta madhara kwenye mwili wa binadamu na  uweza kuleta kinga kwenye mwili wa binadamu, kwa hiyo tunaweza kupata faida za chanjo kama ifuatavyo.

 

2.Chanjo usaidia kuzuia Magonjwa mbalimbali.

Kutokana na chanjo tunaweza kuzuia magonjwa mbalimbali kama vile kifua kikuu,uti wa mgongo, kuharisha, kupooza, pepopunda, kifadulo na Surua haya ni magonjwa ambayo yalikuwepo kwa mda mrefu na sasa yamepungua kwa kiasi  kwa hiyo tunapaswa kuendelea kupata chanjo ili kuweza kuepuka Magonjwa mbalimbali kwenye jamii.

 

3.Chanjo pia zimepungua Magonjwa ya  ulemavu.

Tunajua wazi kuwa Magonjwa mengi ya ulemavu yamepungua kutokana na kuwepo kwa chanjo kwa mfano Magonjwa ya kupooza kimepungua sana sasa hivi kwenye jamii kutokana na kuwepo kwa chanjo. Kwa hiyo tunapaswa kuwahimiza jamii  ili waweze kuwapeleka watoto kupata chanjo.

 

4.Chanjo pia zimesaidia kupata ajira.

Tunajua kuwa kuna watu ambao wamepata ajira kutokana na kuwepo kwa chanjo kwa mfano manes wengi wameweza kupata  ajira kutokana na kuwepo kwa chanjo kwa hiyo wameweza kuendesha familia zao.

 

5.Kwa hiyo tunapaswa kuwahimiza jamii nzima ili waweze kuona umuhimu wa chanjo na kuweza kuwapeleka watoto wao ili kuepuka Magonjwa mbalimbali na kuepuka madhara kwenye jamii.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Huduma Main: Post File: Download PDF Views 2107

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉2 Simulizi za Hadithi Audio     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 Bongolite - Game zone - Play free game     👉5 web hosting     👉6 Kitabu cha Afya    

Post zinazofanana:

Vyakula vya fati na mafuta

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya fati na mafuta

Soma Zaidi...
Imani potofu kuhusu kifua kikuu

Posti hii inahusu zaidi imani potofu waliyonayo Watu kuhusu ugonjwa wa kifua kikuu, hizi ni imani ambazo uwepo kwenye jamii na pengine uweza kuaminika lakini si za ukweli.

Soma Zaidi...
Nna swali mimi nimefanya Romance na mtu ambaye sijampima kbsa sasa naogopa anaeza kuwa mgonjwa na mm nkaupata

Muulizaji anauliza he kula denda, ama kumbusu ama kufanya romance na muathirika was HIV na wewe uta ambukizwa?

Soma Zaidi...
Kazi za wahudumu wa afya wakati wa kutoa dawa kwa wagojwa

Hii post inahusu zaidi kazi za wahudumu wa afya wakati wa kutoa dawa, ni kanuni zinazopaswa kufuata wakati wa kutoa dawa kwa wagojwa.

Soma Zaidi...
Mbinu za kutoa huduma ya kwanza kwa wagonjwa walioingiliwa na uchafu puani.(foreign body).

Posti hii inaelezea kuhusiana na dalili na mbinu za kutoa huduma ya kwanza kwa mgonjwa alieye ingiwa na uchafu puani (foreign body)

Soma Zaidi...
Zijue faida za mate mdomoni

Post hii inahusu zaidi umuhimu wa mate mdomoni, mate ni majimaji ambayo hukaa mdomoni na husaidia katika kazi mbalimbali mdomoni.

Soma Zaidi...