Posti hii inazungumzia kuhusiana na kumsaidia mwenye aliyeumwa na nyuki.nyuki na wadudu ambao wakikushambulia Sana na ukikosa msaada unaweza kufa au kuwa katika Hali mbaya.
Mtu aking'antwa na nyuki Kuna dalili ambazo huonekana Kama vile
1.kuvimba .
2.mapigo ya moyo kuenda haraka.
3.maumivu Tena maumivu haya huwa Ni makali Sana endapo umeshambuliwa na nyuki wengi.
4.kupoteza fahamu. Hii hutegemea na ulivyong'atwa
5.kuwa na kizunguzungu.
6.kichwa kuuma.
8.mwili kuwasha hii unaweza isitokee kwa wote kwasababu hutegemeana na mzio (allergy) wa mtu
Huduma ya kwanza kwa aliyeng'ntwa na nyuki.
1.linda usalama wako na usalama wa mgonjwa.hii husaidia ili na wewe unayemtoa usije ukang'atwa kwahiyo kabla ya yote unatakiwa kujiweka Safi.
2.mtoe kwenye Hilo tukio; baada ya hapo unamwondoa mgonjwa kwenye Hilo tukio ili kumsaidia asiendelee kung'antwa na nyuki.
3.mweke sehemu Safi yenye hewe na Kama inawezekana mweke penye baridi .
4.angali Hali ya mgonjwa Kama amepoteza fahamu kiasi kwamba ukimwita Kama anaitika, Kama anasikia maumivu ili ujue mgonjwa Yuko katika Hali gani.
5.angali mgonjwa Kama anapumua na mapigo ya moyo Kama yapo Kama hayapo mwahishe mgonjwa hospitalini.
6.mwondoe ncha za nyuki kwa kutumi kitu chenye ncha Kali Kama vile sindano,Pini n.k na kifaa hiko kiwe Ni kisafi hakijawahi kutumiwa na mtu yoyote ili kumwepusha asipate Magonjwa mengine na pia kumsaidia mgonjwa kuwa katika Hali nzuri.
7.mwekee barafu kwa kukandamiza ili Kupunguza au kuondoa uvimbe na maumivu na usikandamize Sana dakika kumi zinatosha maana ukikandamiza mda mrefu hupelekea kupata oedema.
8.kama unadawa za maumivu mpatie mgonjwa ili Kupunguza maumivu.
9.Angalia mabadiliko ya mgonjwa, ikiwa hayajabadilika mpeleka mgonjwa kituo Cha afya.
Mwisho; Kuna mambo muhimu ya kuangalia wakati mtu ameng'atwa na mdudu . utaangalia Kama hewa ipo, anapumua na mapigo ya moyo.kingine angalia Hali ya mgonjwa Kama anajielewa au hajielewi .
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za upungufu wa vitamini C mwilini
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa Figo mwilini, Figo ni ogani ambayo kazi yake ni kuchuja sumu mwilini.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza jinsi ya kumfanyia huduma ya Kwanza kwa mtu aloanguka kifafa
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea mambo ambayo hayawezi kuambukiza UKIMWI
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyeng'atwa na nyoka
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi malengo ya kusafisha vidonda, kwa sababu Kuna watu wengine huwa wanajiuliza kwa nini nisafishe kidonda hospitalini au kwenye kituo chochote Cha afya, yafuatayo ni majibu ya kwa Nini nisafishe kidonda.
Soma Zaidi...Huduma ya kwanza ni huduma anayopewa mgonjwa au mtu yeyote aliyepata ajali kabla ya kumpeleka hospitalini
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu namna ya kuyatunza macho
Soma Zaidi...