Mtoto mdogo ni mtoto chini ya miaka mitano, yaan kuanzia pale anapozaliwa mpaka anapafikisha miaka mitano
Huduma kwa mtoto mdogo mgonjwa
1. Kunifanyia usafi
2. Kuzuia kuongezeka kwa Homa
3. Kuangalia kama Kuna maambukizi yoyote
4 kumoatia chanjo
5. Kuhakikisha kwamba uzito haupunguo
Yafuatayo ni maginjwa yanayowapata watoto
1. Kuharisha
2. Kuishiwa damu
3. Utapia mlo
4. Maambukizi kwenye macho
5. Degedege
Mambo ya kuzingatia Ili kuzuia maginjwa kwa watoto
1. Kuhudhulia kliniki kila mwezi
2. Kuhakikisha kuwa mtoto amepata chanjo
3. Kumoatia chakula chenye mlo kamili
4. Kumpa mtoto mda mzuri wa kunyonya
Mtoto chini ya miaka mitano anapaswa kuangalia kwa karibu zaidi Ili tuweze kuepuka maginjwa na vifo vya watoto.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Post hii inahusu zaidi athari za kutotibu maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo, nimatazito yanayoweza kutokea iwapo ugonjwa huu hautatibika.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi umuhimu wa damu mwilini, Damu ni tisu pekee yenye majimaji ambayo hufanya kazi mbalimbali katika mwili wa binadamu.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu madhara ya upungufu wa maji mwilini
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi faida ya chanjo, tunajua wazi kuwa chanjo Ina faida kubwa kwenye mwili wa binadamu na vile vile kwenye jamii kama tutakavyoona hapo chini.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi namna mimba inavyotungwa mpaka mtoto kuingia kwenye mfuko wa uzazi, mimba kutungwa ni kitendo ambapo mbegu za kiume kuungana na yai la kike na kutengeneza zygote.
Soma Zaidi...Kupanda kwa msukumo wa damu ni ktendo ambapo moyo husukuma damu kwa nguvu kuliko kawaida ambapo hupelekea matatizo mengi kwenye mwili
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kujilinda dhidi ya mapunye
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi namna ya ugonjwa wa vipele kwenye midomo na sehemu za siri unavyoweza kuenea kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine.
Soma Zaidi...Kushambuliwa kwa moyo na kupumua ni kitendo Cha moyo kusimama ghafla, Hali hii unapaswa kutolewa huduma ya kwanza Ili moyo ufanye kazi tena,
Soma Zaidi...