Zijue hasara za magonjwa ya ngono

Posti hii inahusu zaidi hasara za magonjwa ya ngono, ni magonjwa yanayoambukizwa kwa kujamiiana bila kutumia kinga.

Hasara za magonjwa ya ngono

1. Usababisha ugumba, magonjwa haya yasipotibiwa mapema wadudu ushambulia via vya uzazi na kusababisha ugumba

 

2. Usababisha Kansa ya kizazi.Hali hii utokea pale ambapo, maambukizi usambaa kwenye via vya uzazi na kutengeneza seli zisizotarajiwa na kuleta Kansa

 

3. Usababisha kutoka kwa uchafu mbaya wenye harufu kali inayotisha kwa watu waliotuzunguka na kwa mgonjwa mwenyewe

 

4.usababisha via vya uzazi kuharibika na mgonjwa uanza kukojoa damu na usaha

 

5, usababisha kifo, mgonjwa asipotibiwa haraka anaweza kupoteza maisha. 

Kwa hiyo tunapaswa kuwalinda na kuwasaidia wagonjwa wetu ikiwa wamepatwa na ugonjwa huo, tusiwanyanyapae.

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2021/11/24/Wednesday - 08:01:58 pm     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1040

Post zifazofanana:-

Fahamu kuhusu dawa ya fluconazole.
Post hii inahusu zaidi dawa ya fluconazole ni dawa ya kutibu fangasi za aina au za sehemu mbalimbali, Soma Zaidi...

Sababu na dalili za ugonjwa wa Njia ya mkojo.
Ujue ugonjwa wa Njia ya mkojo unaoitwa urethra stricture. Ambapo kwenye hii posti inaonyesha dalili na Sababu zinazopelekea Njia ya mkojo kuwa ngumu,nyembamba,na kovu. Soma Zaidi...

Hadithi ya chongo wa pili mtoto wa mfalme
Posti hii inakwenda kukuletea hadithi za alifu lela ulela Soma Zaidi...

KOSA LANGU LIKO WAPI
Post hii inahusu Vijana walivyoingiliana kwenye mahusiano na kusababisha kitoelewana kwa hiyo tutaona jinsi walivyoendeleana na kusababisha maumivu zaidi. Soma Zaidi...

Pilipili kali
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za pilipili kali Soma Zaidi...

Mafunzo ya Computer kwa Kiswahili
Utajifunza na kuelewa hata kama hauna computer kwa muda huo Soma Zaidi...

Deni la mapenzi
Posti hii inakwenda kukupa muendelezo kuhusu kifo cha mtoa burudani wa sultani Soma Zaidi...

Mafunzo ya database MySQL - DATABASE somo la 6
Huu ni muendelezo wa mafunzo ya database kwa kutumia MySQL na hili ni somo la 6. Katika somo hili tutakwenda kuona jinsi ya kutengeneza table kwa kutumia MySQL na kwa kutuma SQL. Soma Zaidi...

Zijue faida za mate mdomoni
Post hii inahusu zaidi umuhimu wa mate mdomoni, mate ni majimaji ambayo hukaa mdomoni na husaidia katika kazi mbalimbali mdomoni. Soma Zaidi...

Bawasili usababishwa na nini?
Posti hii inahusu zaidi visababishi vya ugonjwa wa Bawasili,kuna watu wengi wanapenda kujua kabisa chanzo cha kuwepo kwa ugonjwa wa Bawasili kwenye jamii na kuna maswali mengi yanayoulizwa kuhusu visababishi vya Bawasili. Soma Zaidi...

Hadithi ya Kaka wa tano wa kinyozi
Posti hii inakwenda kukupa muendelezo kuhusu kifo cha mtoa burudani wa sultani Soma Zaidi...

Napenda kuuliza mke wangu anamuda wa wiki moja . tumbo na maziwa vinauma je dalili hizo zinawekuwa ni ujauzito...?
Maumivu ya tumbo kwa mjamzito huweza kuanaa kuonekana mwanzoni kabisa mwaujauzito, ndani ya mwezi mmoja. Ikabidi si dalili pekee ya kuwa ni mjamzito. Soma Zaidi...