Posti hii inahusu zaidi hasara za magonjwa ya ngono, ni magonjwa yanayoambukizwa kwa kujamiiana bila kutumia kinga.
Hasara za magonjwa ya ngono
1. Usababisha ugumba, magonjwa haya yasipotibiwa mapema wadudu ushambulia via vya uzazi na kusababisha ugumba
2. Usababisha Kansa ya kizazi.Hali hii utokea pale ambapo, maambukizi usambaa kwenye via vya uzazi na kutengeneza seli zisizotarajiwa na kuleta Kansa
3. Usababisha kutoka kwa uchafu mbaya wenye harufu kali inayotisha kwa watu waliotuzunguka na kwa mgonjwa mwenyewe
4.usababisha via vya uzazi kuharibika na mgonjwa uanza kukojoa damu na usaha
5, usababisha kifo, mgonjwa asipotibiwa haraka anaweza kupoteza maisha.
Kwa hiyo tunapaswa kuwalinda na kuwasaidia wagonjwa wetu ikiwa wamepatwa na ugonjwa huo, tusiwanyanyapae.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi Aina ya choo kisichokuwa cha kawaida, ni dalili za choo ambacho siyo Cha kawaida, Ina maana ukiona dalili za choo Cha Aina hii ni vizuri kwenda hospitalini Ili kupata matibabu.
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu utaratibu wa lishe kwa wajawazito na wanaonyonyesha
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi ratiba ya chanjo ya kuzuia kifua kikuu, hiii ni ratiba ambayo chanjo hii utolewa na ushauri mbalimbali utolewa ili kuweza kufanikisha kazi ya chanjo hii
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi mishipa inayosafilisha damu mwilni, ni Aina tatu za mishipa ambazo usafilisha damu kutoka sehemu Moja kwenda nyingine
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi jinsi moyo unavyosukuma damu, moyo ni ogani ambayo usukuma damu kwenye sehemu mbalimbali za mwili.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi mabadiliko kwa wavulana wakati wa kubarehe, ni kipindi ambacho ni kutoka utotoni kwendea ujana.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea mambo ambayo hayawezi kuambukiza UKIMWI
Soma Zaidi...Nimeambiwa presha yangu umeshuka iko 90/60 na Nina umri wa miaka 26 KawaidaMtu anatakiwa na kiwango gani Cha presha
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kukabiliana na presha ya kushuka
Soma Zaidi...