Posti hii inahusu zaidi hasara za magonjwa ya ngono, ni magonjwa yanayoambukizwa kwa kujamiiana bila kutumia kinga.
Hasara za magonjwa ya ngono
1. Usababisha ugumba, magonjwa haya yasipotibiwa mapema wadudu ushambulia via vya uzazi na kusababisha ugumba
2. Usababisha Kansa ya kizazi.Hali hii utokea pale ambapo, maambukizi usambaa kwenye via vya uzazi na kutengeneza seli zisizotarajiwa na kuleta Kansa
3. Usababisha kutoka kwa uchafu mbaya wenye harufu kali inayotisha kwa watu waliotuzunguka na kwa mgonjwa mwenyewe
4.usababisha via vya uzazi kuharibika na mgonjwa uanza kukojoa damu na usaha
5, usababisha kifo, mgonjwa asipotibiwa haraka anaweza kupoteza maisha.
Kwa hiyo tunapaswa kuwalinda na kuwasaidia wagonjwa wetu ikiwa wamepatwa na ugonjwa huo, tusiwanyanyapae.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu hasa jinsi uchafu, wadudu na vitu vingine vinavyoweza kuingia machoni.macho ni mojawapo ya milango mitano ya fahamu ambapo kazi yake ni kuona.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyepatwa na shambulio la moyo
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu madhara ya upungufu wa protini
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu namna ambavyo mwili unapambana na maradhi
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mbinu ambazo hutumika kuponyesha majeraha kwa haraka zaidi,tunajua majereha utokana na kupona kwa vile vidonda au kupona kwa sehemu ambayo imekuwa na majeraha kwa hiyo ili kuponyesha majeraha hayo tunapaswa kufanya yafuatayo.
Soma Zaidi...Kupanda kwa msukumo wa damu ni ktendo ambapo moyo husukuma damu kwa nguvu kuliko kawaida ambapo hupelekea matatizo mengi kwenye mwili
Soma Zaidi...Swali languKwanini mtu alie ng'atwa na nyoka hairuhusiwi kumpa pombe?
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya fati na mafuta
Soma Zaidi...