Posti hii inahusu zaidi tatizo la kupungukiwa damu mwilini, ni ugonjwa unaotokana sana hasa kwa watoto wadogo chini ya miaka mitano ingawa na kwa watu wazima.
Sababu za upungufu wa damu mwilini.
Hili ni tatizo ambalo ushambulia sana watoto wadogo chini ya umri wa miaka mitano na watu wazima, zifuatazo ni sababu za upungufu wa damu
1. Kiwango kidogo Cha damu ambacho uzalishwa na mifupa inayoitwa kwa kitaalamu bone marrow,hii ni mifupa ambapo chembechembe ndogo za damu uzalishwa ambazo kwa kitaalamu huitwa (red blood cell) ushindwa kuzalisha vizuri hizi seli kwa sababu ya maambukizi kwenye mifupa hiyo.
2. Kuharibika kwa kiwango kikubwa Cha seli kabla ya mda wake. Upungufu wa damu utokea kwa sababu ya kuharibika kwa seli kabla ya mda wake, hizi seli zinazobeba damu kwenye mwili huaribika kabla ya mda wake kutimia inawezekana kuwa ni maambukizi kama vile malaria, pneumonia ,Homa kali haya magonjwa yote usababisha seli kufa kabla ya mda wake.
3. Damu kushindwa kuganda pale mtu anapopata ajali utokea pale ambapo mtu akipata ajali yoyote Damu uendelea kutoka na kusababisha seli nyingi kutoka kwenye mzunguko wake na damu upungua, huu ni ugonjwa ambao hawapaswi kuendelea kuwepo kwa sababu unatibika sana hospitalini na watu wanapona
4. Wakati mwingine tatizo la kuishiwa damu ni kutokana na ugonjwa wa kuridhi ambapo seli huwa tofauti na za wengine yaan kwa kitaalamu huitwa sickle cell huu ni ugonjwa wa kuridhi ambapo seli nyekundu za damu huwa tofauti na nyingine hali hii usababisha hewa kushindwa kupita kwenye seli na damu upungua, ugonjwa huu ni hatari usipotibiwa unaweza kuleta madhara makubwa zaidi na hata kifo kwa hiyo tuwe na tahadhari kwa watu wenye ugonjwa huu.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
makala hii inakwenda kukupa faida, kazi na athari za vitamini B mwilini. Nini hutokea endapo utakuwa na upungufu wa vitamini B mwilini?
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ya kunywa pombe kiafya, ni madhara ambayo utokea kwa watu wanaokumywa pombe kwa kupita kiasi kwa hiyo wanapaswa kupunguza kunywa pombe baada ya kujua madhara yake.
Soma Zaidi...Katika post hii utajifunza sababu zinazowezabkuorlekea kibofu kuuma upande mmoja
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na Uvimbe au mashambulizi ya bacteria kwenye utando laini uliopo tumboni ambao kitaalamu hujulikana Kama peritonitis.
Soma Zaidi...Kwikwi sio hatari sana kwa afya, lakini inaweza kuwa hatari zaidi kwa mu aliyefanyiwa upasuaji kwenye tumbo.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi kutoa huduma ya kwanza kwa mtu aliyekula chakula chenye sumu, kula sumu ni kitendo Cha kula kitu chochote kama dawa,pombe, kemikali na chakula kichafu.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi namna ya kuwasaidia vijana wakati wa kubarehe, ni njia za kuhakikisha kuwa vijana wanakuwa na mwelekeo ,
Soma Zaidi...