Zijue sababu za kupungukiwa damu mwilini

Zijue sababu za kupungukiwa damu mwilini

Posti hii inahusu zaidi tatizo la kupungukiwa damu mwilini, ni ugonjwa unaotokana sana hasa kwa watoto wadogo chini ya miaka mitano ingawa na kwa watu wazima.

Download Post hii hapa

Sababu za upungufu wa damu mwilini.

Hili ni tatizo ambalo ushambulia sana watoto wadogo chini ya umri wa miaka mitano na watu wazima, zifuatazo ni sababu za upungufu wa damu

1. Kiwango kidogo Cha damu ambacho uzalishwa na mifupa inayoitwa kwa kitaalamu bone marrow,hii ni mifupa ambapo chembechembe ndogo za damu uzalishwa ambazo kwa kitaalamu huitwa (red blood cell) ushindwa kuzalisha vizuri hizi seli kwa sababu ya maambukizi kwenye mifupa hiyo.

 

2. Kuharibika kwa kiwango kikubwa Cha seli kabla ya mda wake. Upungufu wa damu utokea kwa sababu ya kuharibika kwa seli kabla ya mda wake, hizi seli zinazobeba damu kwenye mwili huaribika kabla ya mda wake kutimia inawezekana kuwa ni maambukizi kama vile malaria, pneumonia ,Homa kali haya magonjwa yote usababisha seli kufa kabla ya mda wake.

 

3. Damu kushindwa kuganda pale mtu anapopata ajali utokea pale ambapo mtu akipata ajali yoyote Damu uendelea kutoka na kusababisha seli nyingi kutoka kwenye mzunguko wake na damu upungua, huu ni ugonjwa ambao hawapaswi kuendelea kuwepo kwa sababu unatibika sana hospitalini na watu wanapona

 

4. Wakati mwingine tatizo la kuishiwa damu ni kutokana na ugonjwa wa kuridhi ambapo seli huwa tofauti na za wengine yaan kwa kitaalamu huitwa sickle cell huu ni ugonjwa wa kuridhi ambapo seli nyekundu za damu huwa tofauti na nyingine hali hii usababisha hewa kushindwa kupita kwenye seli na damu upungua, ugonjwa huu ni hatari usipotibiwa unaweza kuleta madhara makubwa zaidi na hata kifo kwa hiyo tuwe na tahadhari kwa watu wenye ugonjwa huu.

Download Post hii hapa

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 2161

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Aina za kuungua
Aina za kuungua

Post hii inahusu Aina za kuungua, kuungua ni Hali ya kubabuka kwa ngozi ya mwili na kusababisha madhara mbalimbali

Soma Zaidi...
Faida za seli
Faida za seli

Posti hii inahusu zaidi faida za seli. Seli ni chembechembe hai za mwili ambazo hufanya kazi mbalimbali katika mwili wa binadamu.

Soma Zaidi...
Huduma ya kwanza kwa mgonjwa aliyepata ajali ya kichwa
Huduma ya kwanza kwa mgonjwa aliyepata ajali ya kichwa

Ajali ya kichwa na ajali inayotolewa kwenye sehemu mbalimbali za kichwa, ambavyo husababishwa madhara kwa aliyepata ajali hiyo

Soma Zaidi...
Ugonjwa wa Pumu, dalili zake na njia za kujilinda dhidi ya Pumu.
Ugonjwa wa Pumu, dalili zake na njia za kujilinda dhidi ya Pumu.

Pumu ni ugonjwa ambao huathiri sehemu ya kupitisha hewa kwenda kwenye mapafu ya binadamu kitaalamu huitwa bronchioles. Mtu mwenye pumu huwa na michubuko sugu mwilini kwenye mirija yake ya kupitisha hewa. Hali ambayo husababisha kuvimba kwa kuta za mirija

Soma Zaidi...
Huduma ya Kwanza kwa mtu anayetokwa na damu ya pua
Huduma ya Kwanza kwa mtu anayetokwa na damu ya pua

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu anayetokwa na damu ya pua

Soma Zaidi...
Huduma kwa wenye ugonjwa wa herpes  simplex au vipele kwenye midomo na sehemu za siri
Huduma kwa wenye ugonjwa wa herpes simplex au vipele kwenye midomo na sehemu za siri

Post hii inahusu zaidi tiba na huduma kwa wenye ugonjwa wa herpes simplex au vipele kwenye midomo na sehemu za siri.

Soma Zaidi...
Mkojo mchafu na Rangi za mikojo na maana zake
Mkojo mchafu na Rangi za mikojo na maana zake

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu Rangi za mkojo na maana zake na mkojo mchafu

Soma Zaidi...
Zijue kazi za uke (vagina)
Zijue kazi za uke (vagina)

Uke ni sehemu ambayo imo ndani ya mwili wa mwanamke, sehemu hii ufanya kazi mbalimbali hasa wakati wa kujamiiana, kubarehe na kujifungua kwa mama.

Soma Zaidi...
Kawaida Mtu anatakiwa na kiwango gani Cha presha
Kawaida Mtu anatakiwa na kiwango gani Cha presha

Nimeambiwa presha yangu umeshuka iko 90/60 na Nina umri wa miaka 26 KawaidaMtu anatakiwa na kiwango gani Cha presha

Soma Zaidi...
Huduma ya Kwanza kwa aliyeng'atwa na nyuki
Huduma ya Kwanza kwa aliyeng'atwa na nyuki

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyeng'atwa na nyuko

Soma Zaidi...