picha

Zijue sababu za kupungukiwa damu mwilini

Posti hii inahusu zaidi tatizo la kupungukiwa damu mwilini, ni ugonjwa unaotokana sana hasa kwa watoto wadogo chini ya miaka mitano ingawa na kwa watu wazima.

Sababu za upungufu wa damu mwilini.

Hili ni tatizo ambalo ushambulia sana watoto wadogo chini ya umri wa miaka mitano na watu wazima, zifuatazo ni sababu za upungufu wa damu

1. Kiwango kidogo Cha damu ambacho uzalishwa na mifupa inayoitwa kwa kitaalamu bone marrow,hii ni mifupa ambapo chembechembe ndogo za damu uzalishwa ambazo kwa kitaalamu huitwa (red blood cell) ushindwa kuzalisha vizuri hizi seli kwa sababu ya maambukizi kwenye mifupa hiyo.

 

2. Kuharibika kwa kiwango kikubwa Cha seli kabla ya mda wake. Upungufu wa damu utokea kwa sababu ya kuharibika kwa seli kabla ya mda wake, hizi seli zinazobeba damu kwenye mwili huaribika kabla ya mda wake kutimia inawezekana kuwa ni maambukizi kama vile malaria, pneumonia ,Homa kali haya magonjwa yote usababisha seli kufa kabla ya mda wake.

 

3. Damu kushindwa kuganda pale mtu anapopata ajali utokea pale ambapo mtu akipata ajali yoyote Damu uendelea kutoka na kusababisha seli nyingi kutoka kwenye mzunguko wake na damu upungua, huu ni ugonjwa ambao hawapaswi kuendelea kuwepo kwa sababu unatibika sana hospitalini na watu wanapona

 

4. Wakati mwingine tatizo la kuishiwa damu ni kutokana na ugonjwa wa kuridhi ambapo seli huwa tofauti na za wengine yaan kwa kitaalamu huitwa sickle cell huu ni ugonjwa wa kuridhi ambapo seli nyekundu za damu huwa tofauti na nyingine hali hii usababisha hewa kushindwa kupita kwenye seli na damu upungua, ugonjwa huu ni hatari usipotibiwa unaweza kuleta madhara makubwa zaidi na hata kifo kwa hiyo tuwe na tahadhari kwa watu wenye ugonjwa huu.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 2701

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Dua za Mitume na Manabii    👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉6 web hosting   

Post zinazofanana:

Huduma ya Kwanza kwa aliyekazwa na misuli

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyekazwa na misuli

Soma Zaidi...
HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYEUNGUA

Kuungua kupo kwa aina nyingi.

Soma Zaidi...
Mambo yanayoathiri Uponyaji was jeraha.

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Mambo yanayoweza kuadhiri Uponyaji wa jeraha.jeraha huleta maumivu makali sana, vilevile Uvimbe, kutoa usaha. Pia jeraha hutofautiana katika kupona kwa mtu mzima na Mtoto.

Soma Zaidi...
Kazi ya madini mwilini

Posti hii inakwenda kukueleza kuhusu kazi za madini mwilini

Soma Zaidi...
Yanayoathiri afya

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu mambo yanayoathiri afya

Soma Zaidi...
HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYEPATA JOTO LA JUU ZAIDI (HEAT STROKE)

Hii ni hali inayotokea ambapo wili unakuwa na joto la juu sana tofauti na kawaida.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu vitamini D na kazi zake mwilini

Hapa utajifunza kuusu vitamini D, kazi zake, upungufu wake na chanzo cha kupata vitamini D.

Soma Zaidi...
Utaratibu wa lishe kwa vijana

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu utaratibu wa lishe kwa vijana

Soma Zaidi...
Sababu Zinazopelekea maumivu ya shingo.

Maumivu ya shingo ni malalamiko ya kawaida. Misuli ya shingo inaweza kuchujwa kutokana na mkao mbaya - iwe inaegemea kwenye kompyuta yako kazini au kuwinda benchi yako ya kazi nyumbani.

Soma Zaidi...