Chanjo zinazotolewa nchini Tanzania

Chanjo zinazotolewa nchini Tanzania

Posti hii inahusu zaidi chanjo ambazo utolewa nchini Tanzania, ni chanjo ambazo uzuia Magonjwa ambayo yako katika sehemu mbalimbali za nchi.

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Chanjo zinazotolewa nchini Tanzania.

1.Kwanza kabisa tunajua kubwa chanjo usaidia kuzuia Magonjwa mbalimbali kwenye jamii na magonjwa mengi yalikuwa yamekuwa tishio hasa kwa  watoto walio chini ya miaka mitano kwa hiyo chanjo zitolewazo ni kama ifuatavyo.

 

2.Chanjo ya polio .

Hii ni mojawapo ya chanjo ambayo uzuia kupooza kwa hiyo utolewa kwa watoto baada ya kuzaliwa, na baada ya miezi sita, miezi kumi na miezi kumi na minne.

 

3. Chanjo ya kifua kikuu.

Hii ni chanjo ambayo uzuia kifua kikuu na utolewa mara moja tu pale mtoto anapozaliwa na lazima pawepo na alama na kama hakuna alama yoyote chanjo urudiwa baada ya mwezi mmoja.

 

4.Chanjo ya homa ya ini.

Pia nayo ni chanjo ambayo utolewa kwa watoto na watu wazima kwa watoto utolewa baada ya miezi sita anapozaliwa ila kwa watu wazima utolewa pale mtu akipimwa na akakutana hana ugonjwa huu anaweza kupata chanjo hiyo.

 

5.Chanjo ya mlango wa kizazi .

Chanjo huu utolewa kwa mabinti mbalimbali hasa wale ambao hawafiki wa umri wa kuolewa kwa hiyo hili ni chanjo ya muhimu sana kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi.

 

6.Chanjo ya uti wa mgongo 

Hii ni aina ya chanjo ambayo uzuia kuwepo kwa Maambukizi kwenye uti wa mgongo kwa hiyo utolewa kwa watoto.

 

7.Chanjo ya kuzuia matatizo ya upumuaji.

Hii nayo ni moja ya chanjo ambayo uzuia matatizo ya upumuaji kwa hiyo upewa watoto wakiwa katika umri mdogo ili kuzuia ili tatizo mapema 

 

8.Chanjo ya kuzuia kuharisha ,chanjo ya Surua, chanjo ya kifadulo na chanjo nyingine mbalimbali ambazo hasa uzuia maambukizi kwa watoto.

 

9.Kwa hiyo tunaona jinsi chanjo zilivyoleta faida kwa jamii kwa sababu Magonjwa mengi yamepungua na mengine yameisha kabisa kwa hiyo tunapaswa kuhudhuria kliniki na kuwasaidia watoto wetu waweze kupata chanjo kwa wale wanaotumia mila na desturi ili kupinga chanjo waache mara moja tabia hiyo na wapewe elimu ya kutosha kuhusu chanjo.

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 1498

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Njia ambazo maradhi huambukizwa
Njia ambazo maradhi huambukizwa

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia ambazo maradhi huambukizwa

Soma Zaidi...
Njia za kujilinda dhidi ya mapunye
Njia za kujilinda dhidi ya mapunye

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kujilinda dhidi ya mapunye

Soma Zaidi...
HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYENG’ATWA NA NYUKI
HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYENG’ATWA NA NYUKI

Kung’atwa na nyuki kunaweza kukahitaji huduma ya kwanza kwa haraka kama mgonjwa ana aleji na nyuki.

Soma Zaidi...
Ntajilinda vipi na magonjwa ya meno
Ntajilinda vipi na magonjwa ya meno

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kujilinda na magonjwa ya meno

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu kizunguzungu
Fahamu kuhusu kizunguzungu

Posti hii inahusu zaidi tatizo la kizungu Zungu ni tatizo ambalo utokea kwa watu mbalimbali na kwa sababu tofauti tofauti na pengine mtu akipata kizungu sehemu mbaya anaweza kusababisha majeraha au pengine kupata ulemavu

Soma Zaidi...
Zijue faida za mate mdomoni
Zijue faida za mate mdomoni

Post hii inahusu zaidi umuhimu wa mate mdomoni, mate ni majimaji ambayo hukaa mdomoni na husaidia katika kazi mbalimbali mdomoni.

Soma Zaidi...
Utaratibu wa lishe kwa wazee
Utaratibu wa lishe kwa wazee

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu utaratibu wa lishe kwa wazee

Soma Zaidi...
Matokeo ya maumivu makali.
Matokeo ya maumivu makali.

Posti hii inahusu zaidi matokeo ya maumivu makali , kuna wakati mwingine mgonjwa anapata maumivu makali ya viungo na dawa mbalimbali uweza kutolewa kwa mgonjwa huyo lakini matokeo yake huwa ni kuendelea kwa maumivu kwa hiyo yafuatayo ni matokeo ya maumivu

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu michubuko kwa watoto wakati wa kuzaliwa
Fahamu kuhusu michubuko kwa watoto wakati wa kuzaliwa

Post hii inahusu zaidi michubuko ambayo mara nyingi utokea kwa watoto wakati wa kuzaliwa,na mara nyingi uweza kupona baada ya masaa ishilini na manne au ndani ya masaa ishilini na manne.

Soma Zaidi...
Faida za kusafisha vidonda.
Faida za kusafisha vidonda.

Posti hii inahusu zaidi faida za kusafisha vidonda, ni faida ambazo Mgonjwa mwenye vidonge uzipata kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...