Chanjo zinazotolewa nchini Tanzania

Posti hii inahusu zaidi chanjo ambazo utolewa nchini Tanzania, ni chanjo ambazo uzuia Magonjwa ambayo yako katika sehemu mbalimbali za nchi.

Chanjo zinazotolewa nchini Tanzania.

1.Kwanza kabisa tunajua kubwa chanjo usaidia kuzuia Magonjwa mbalimbali kwenye jamii na magonjwa mengi yalikuwa yamekuwa tishio hasa kwa  watoto walio chini ya miaka mitano kwa hiyo chanjo zitolewazo ni kama ifuatavyo.

 

2.Chanjo ya polio .

Hii ni mojawapo ya chanjo ambayo uzuia kupooza kwa hiyo utolewa kwa watoto baada ya kuzaliwa, na baada ya miezi sita, miezi kumi na miezi kumi na minne.

 

3. Chanjo ya kifua kikuu.

Hii ni chanjo ambayo uzuia kifua kikuu na utolewa mara moja tu pale mtoto anapozaliwa na lazima pawepo na alama na kama hakuna alama yoyote chanjo urudiwa baada ya mwezi mmoja.

 

4.Chanjo ya homa ya ini.

Pia nayo ni chanjo ambayo utolewa kwa watoto na watu wazima kwa watoto utolewa baada ya miezi sita anapozaliwa ila kwa watu wazima utolewa pale mtu akipimwa na akakutana hana ugonjwa huu anaweza kupata chanjo hiyo.

 

5.Chanjo ya mlango wa kizazi .

Chanjo huu utolewa kwa mabinti mbalimbali hasa wale ambao hawafiki wa umri wa kuolewa kwa hiyo hili ni chanjo ya muhimu sana kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi.

 

6.Chanjo ya uti wa mgongo 

Hii ni aina ya chanjo ambayo uzuia kuwepo kwa Maambukizi kwenye uti wa mgongo kwa hiyo utolewa kwa watoto.

 

7.Chanjo ya kuzuia matatizo ya upumuaji.

Hii nayo ni moja ya chanjo ambayo uzuia matatizo ya upumuaji kwa hiyo upewa watoto wakiwa katika umri mdogo ili kuzuia ili tatizo mapema 

 

8.Chanjo ya kuzuia kuharisha ,chanjo ya Surua, chanjo ya kifadulo na chanjo nyingine mbalimbali ambazo hasa uzuia maambukizi kwa watoto.

 

9.Kwa hiyo tunaona jinsi chanjo zilivyoleta faida kwa jamii kwa sababu Magonjwa mengi yamepungua na mengine yameisha kabisa kwa hiyo tunapaswa kuhudhuria kliniki na kuwasaidia watoto wetu waweze kupata chanjo kwa wale wanaotumia mila na desturi ili kupinga chanjo waache mara moja tabia hiyo na wapewe elimu ya kutosha kuhusu chanjo.

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Author Tarehe 2022/02/10/Thursday - 11:06:33 pm     Share On Facebook or WhatsApp Imesomwa mara 767

Post zifazofanana:-

Saratani (cancer)
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maradhi ya cancer/saratani Soma Zaidi...

Namna ya kumsafisha mgonjwa kinywa
Posti hii inahusu namna ya kumsafisha mgonjwa kinywa,ni njia unazopaswa kufuata wakati unamsafisha mgonjwa kinywa hasa wale walio mahututi. Soma Zaidi...

Je unaweza ukapona macho kama huoni vizuri kwa sababu ya vitamini A,
Jiamini A ni katika vitamini inayojulikana sana kuboresha na kuimarisha afya vya macho na uoni. Tafiti zinaonyesha kuwa kuna kundi kubwa la watoto wanaopata tayizobla kutokuona kutokana na ukosefu wa vitamini A vya kutosha. Soma Zaidi...

Malengo ya kumsafisha mgonjwa nywele.
Posti hii inahusu zaidi malengo ya kumsafisha mgonjwa nywele zake, ni sababu ambazo upelekea kumsafisha mgonjwa nywele kama tutakavyoona hapo chini. Soma Zaidi...

Namna ya kuepuka Ugonjwa wa ngiri.
Posti hii inahusu zaidi namna au njia za kuepuka na Ugonjwa huu wa ngiri ambao uleta madhara kwa watoto, vijana na watu wazima, kwa hiyo ili tuweze janga hili ni lazima tufanye yafuatayo. Soma Zaidi...

Namna ya kumfanyia usafi Mgonjwa kwa mwili mzima.
Posti hii inahusu namna ya kumfanyia mgonjwa usafi mwili mzima, ni njia ambazo utumika kumfanyia mgonjwa usafi mwili mzima au kumwosha Mgonjwa hasa wale walio mahututi na hawawezi kuamka kitandani. Soma Zaidi...

Siku za kupata mimba
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu siku za kupata mimba Soma Zaidi...

Dawa mbadala za vidonda vya tumbo
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa mbadala za vidonda vya tumbo Soma Zaidi...

Hatua mbili kuu za kushuka kwa Quran
Quran (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

Aina za vidonda.
Posti hii inahusu zaidi aina kuu za vidonda,kuna aina kuu tatu za vidonda ambapo kila aina utumiwa kwa njia yake kama tutakavyoona hapo chini. Soma Zaidi...

Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Dengue
Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa Dengue, ni ugonjwa unaosababishwa na virusi ila unasambazwa na mbu kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine mbu anayasambaza Ugonjwa huu kwa kitaalamu huitwa Aedes mosquito . Soma Zaidi...

Dalili za UTI
Somo hili linakwenda kukuletea dalili za UTI Soma Zaidi...