Chanjo zinazotolewa nchini Tanzania
Posti hii inahusu zaidi chanjo ambazo utolewa nchini Tanzania, ni chanjo ambazo uzuia Magonjwa ambayo yako katika sehemu mbalimbali za nchi.
Chanjo zinazotolewa nchini Tanzania.
1.Kwanza kabisa tunajua kubwa chanjo usaidia kuzuia Magonjwa mbalimbali kwenye jamii na magonjwa mengi yalikuwa yamekuwa tishio hasa kwa watoto walio chini ya miaka mitano kwa hiyo chanjo zitolewazo ni kama ifuatavyo.
2.Chanjo ya polio .
Hii ni mojawapo ya chanjo ambayo uzuia kupooza kwa hiyo utolewa kwa watoto baada ya kuzaliwa, na baada ya miezi sita, miezi kumi na miezi kumi na minne.
3. Chanjo ya kifua kikuu.
Hii ni chanjo ambayo uzuia kifua kikuu na utolewa mara moja tu pale mtoto anapozaliwa na lazima pawepo na alama na kama hakuna alama yoyote chanjo urudiwa baada ya mwezi mmoja.
4.Chanjo ya homa ya ini.
Pia nayo ni chanjo ambayo utolewa kwa watoto na watu wazima kwa watoto utolewa baada ya miezi sita anapozaliwa ila kwa watu wazima utolewa pale mtu akipimwa na akakutana hana ugonjwa huu anaweza kupata chanjo hiyo.
5.Chanjo ya mlango wa kizazi .
Chanjo huu utolewa kwa mabinti mbalimbali hasa wale ambao hawafiki wa umri wa kuolewa kwa hiyo hili ni chanjo ya muhimu sana kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi.
6.Chanjo ya uti wa mgongo
Hii ni aina ya chanjo ambayo uzuia kuwepo kwa Maambukizi kwenye uti wa mgongo kwa hiyo utolewa kwa watoto.
7.Chanjo ya kuzuia matatizo ya upumuaji.
Hii nayo ni moja ya chanjo ambayo uzuia matatizo ya upumuaji kwa hiyo upewa watoto wakiwa katika umri mdogo ili kuzuia ili tatizo mapema
8.Chanjo ya kuzuia kuharisha ,chanjo ya Surua, chanjo ya kifadulo na chanjo nyingine mbalimbali ambazo hasa uzuia maambukizi kwa watoto.
9.Kwa hiyo tunaona jinsi chanjo zilivyoleta faida kwa jamii kwa sababu Magonjwa mengi yamepungua na mengine yameisha kabisa kwa hiyo tunapaswa kuhudhuria kliniki na kuwasaidia watoto wetu waweze kupata chanjo kwa wale wanaotumia mila na desturi ili kupinga chanjo waache mara moja tabia hiyo na wapewe elimu ya kutosha kuhusu chanjo.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉2 web hosting 👉3 Bongolite - Game zone - Play free game 👉4 Madrasa kiganjani 👉5 ai web app 👉6 Simulizi za Hadithi Audio
Post zinazofanana:
Njia za kuzuia kiungulia
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kuzuia kiungulia
Soma Zaidi...Mbinu za kutoa huduma ya kwanza kwa wagonjwa walioingiliwa na uchafu puani.(foreign body).
Posti hii inaelezea kuhusiana na dalili na mbinu za kutoa huduma ya kwanza kwa mgonjwa alieye ingiwa na uchafu puani (foreign body)
Soma Zaidi...Njia za kuongeza nguvu za kiume
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya njia za kuongeza nguvu za kiume
Soma Zaidi...Namna ya kumwosha Mgonjwa vidonda
Posti hii inahusu zaidi njia za kutumia unapotaka kumwosha Mgonjwa vidonda, ni njia muhimu ambazo ni lazima kuzipitia unapotaka kumwosha Mgonjwa vidonda.
Soma Zaidi...Namna ya kusaidia mwili kupambana na maradhi
Somo hili linakwenda kukuletea namna ambavyo mwili unapambana na maradhi
Soma Zaidi...