Jifunze kuhusu msukumo wa damu kwa kitaalamu huitwa pressure

Kupanda kwa msukumo wa damu ni ktendo ambapo moyo husukuma damu kwa nguvu kuliko kawaida ambapo hupelekea matatizo mengi kwenye mwili

Walio katika hatari ya kupata ugonjwa huu ni wafuatao.

1.miaka kuanzia 35-50

2,wavutaji wa sigara

3.ambao hawafanyi mazoezi

4.wenye uzitokupitiliza 

5,watumiaji sana wa mafuta na chumvi nyingi

Dalili za ugonjwa huu ni pamoja na

-kichwa kuuuma

-kizunguzungu

-macho kutoona vizuri

-kichefuchefu

-kifua kuuuma

Madhara ya ugonjwa huu ni pamoja na

1.Figo kushindwa kufanya kazi yake vizuri

2. Maambukizi kwenye mishipa ya damu

3.usipotibiwa mapema mgonjwa anaweza kupoteza maisha

Ugonjwa huu nihatari tunashauriwa kuchukua hatua za kwenda hospitalini ukiwa tutapatadalili yoyote kuhusiana na ugonjwa huu

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 1163

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

Vipi kuhusu kibofu kukaza sana na unapokula unahisi kama tumbo kujaa zaidi je hii nidall yamimba?

Dalili za mimba zinaweza kuwa tata sana kuzijua mpaka upate vipimo. Kwa mfano unaweza kupatwa na maumivu yakibofu. Je unadhani nayo ni dalili ya mimba?

Soma Zaidi...
Vyakula vya vitamini

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za vyakula vya vitamini

Soma Zaidi...
Njia za kujikinga na vidonda vya tumbo

Kama unahitaji kujuwa namna ya kuweza kujikinga na vidonda vya tumbo, basi makala hii ni kwa ajili yako. Hapa utaweza kuzijuwa hatuwa zote za kujikinga na kupata vidonda vya tumbo.

Soma Zaidi...
Utajuwaje kama kidonda kupona

Posti hii inahusu zaidi juu ya kuhakiki kama kidonda kimepona kwa mgonjwa mwenye vidonda, kwanza kabisa tunajua kuwa vidonda uwanyima Watu raha na pengine kuwafanya wakate tamaa kama wapo hospitalini kwa hiyo tunapaswa kutumia njia zifuatazo ili kuweza ku

Soma Zaidi...
Vipi utaepuka maumivu ya kichwa ya mara kwa mara?

maumivu ya kichwa ni moja ya dalili za kiafya ambazo huashiria hali isiyo ya kawaida. hata hivyo maumivu ya kichwa yanaweza kutokea hata kama sio mgonjwa. Hapa nitakuletea sababu zinazopelekea kuumwa na kichwa mara kwa mara.Maumivu

Soma Zaidi...
Mambo yanayochangia Ili dawa kuingia kwenye damu vizuri

Post hii inahusu zaidi mambo yanayochangia Ili dawa iingie vizuri kwenye damu, na mambo yanayoweza kusababisha dawa kuingia au kutoingia vizuri kwenye damu.

Soma Zaidi...
Mambo yanayopunguza nguvu za kiume

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu Mambo yanayopunguza nguvu za kiume

Soma Zaidi...
Kwanini mdomo unakuwa mchungu

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za mdomo kuwa mchungu

Soma Zaidi...
Upungufu wa protin

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu madhara ya upungufu wa protini

Soma Zaidi...
Kazi za mifupa mwilinj

Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa mifupa mwilini, mifupa ni mojawapo ya tushy zilizounganika na ufanya kazi kubwa kwenye mwili.

Soma Zaidi...