picha

Madhara ya kutotibu magonjwa ya vidonda vya tumbo

Post hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu magonjwa ya vidonda vya tumbo, ni hatari inayotokea kwa mtu ambaye haujatibiwa vidonda vya tumbo.

Madhara ya kutotibu vidonda vya tumbo

1. Kutoka damu kwenye utumbo, hii utokea kwa sababu mishipa ya damu inayopelekea damu kwenye utumbo imearibika

2. Kuharibika kwa ukuta wa utumbo, hii utokea pale ambapo kama wadudu au acidi imeharibu utumbo na kusababisha madhara makubwa.

 

3. Kuharibika kwa sehemu nyingine za mwili kama vile kongosho nalo ufikiwa na Maambukizi.

 

4.Kusababisha maambukizi kwenye mwili hasa kuharibika kwa sehemu ya kupitia chakula

 

 

4.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Huduma Main: Post File: Download PDF Views 1499

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 web hosting     👉5 Bongolite - Game zone - Play free game     👉6 ai web app    

Post zinazofanana:

Sababu Zinazopelekea maumivu ya shingo.

Maumivu ya shingo ni malalamiko ya kawaida. Misuli ya shingo inaweza kuchujwa kutokana na mkao mbaya - iwe inaegemea kwenye kompyuta yako kazini au kuwinda benchi yako ya kazi nyumbani.

Soma Zaidi...
HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYEANGUKA KIFAFA

Kifafa kinaweza kumpata mtu muda wowte.

Soma Zaidi...
Aina za vidonda.

Posti hii inahusu zaidi aina kuu za vidonda,kuna aina kuu tatu za vidonda ambapo kila aina utumiwa kwa njia yake kama tutakavyoona hapo chini.

Soma Zaidi...
Kwanini mdomo unakuwa mchungu

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za mdomo kuwa mchungu

Soma Zaidi...
Umuhimu wa uterusi

Post hii inahusu zaidi umuhimu wa uterusi, ni mfuko unayosaidia kumtunza mtoto akiwa tumboni mwa mama yake.

Soma Zaidi...
Namna ya kuzuia maambukizi kwenye milija na ovari

Posti hii inahusu zaidi namna ya kuzuia maambukizi kwenye milija na ovari, ni njia ambazo usaidia kuzuia maambukizi kwenye milija na ovari

Soma Zaidi...