Msaada kwa wenye tonsils
Posti hii inahusu zaidi msaada kwa wenye tonsils, kwa wale wenye tonsils wanapaswa kufanya yafuatayo ili kuweza kupambana na ugonjwa huu.
Msaada kwa wenye tonsils.
1.Kwanza kabisa Mgonjwa wa tonsils anakuwa na maumivu kwa hiyo tunapaswa kumpatia dawa ya maumivu ili aweze kupunguzwa maumivu ,dawa zenyewe ni kama vile Asprin na paracetamol kwa kufanya hivyo Mgonjwa atapata nafuu na matibabu mengine yatakuwa yanaendelea.
2. Pia unaweza kuchukua maji ya uvugu uvugu ukaweka chumvi na pia ukampatia Mgonjwa akasukutua kwenye sehemu ya tonsils na kwa kufanya hivyo anaweza kuua bakteria ambao wapo wanamsumbua Mgonjwa na nafuu inaweza kupatikana.
3. Pia kwa wenye tonsils zinazosababishwa na bakteria wanaweza kutumia antibiotics aina ya amoxicillin na ikishirikiana anatumia ciploflaxine na zote hizi zikishindikana anaweza kutumia sindano na pia dawa hizi zinapaswa kutumiwa kwa kupata ushauri kutoka kwa wataalamu wa afya sio kununua tu dukani pasipokuwa na utaalamu wa kutosha.
4.Kama nilivyokwosha tangulia kusema hapo mwanza kuwa tonsils zinazosababishwa na virus hazina dawa ni mpaka kumuandaa Mgonjwa kwa ajili ya upasuaji na Dalili zake ni pamoja na pua kutoa makamasi yenye maji, matatizo kwenye kuona na kikohozi hizi ndizo dalili za tonsils ambazo usababishwa na virus.
5.Kwa hiyo tunapaswa kutibu ugonjwa huu kwa sababu usipotibiwa unaweza kuleta shida kwenye figo, kwenye Tishu nyingine za mwili kwa hiyo ni vizuri kabisa kutafuta tiba kulingana na chanzo cha ugonjwa
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 web hosting 👉2 Dua za Mitume na Manabii 👉3 Bongolite - Game zone - Play free game 👉4 Simulizi za Hadithi Audio 👉5 Kitabu cha Afya 👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina
Post zinazofanana:
Imani potofu kuhusu kifua kikuu
Posti hii inahusu zaidi imani potofu waliyonayo Watu kuhusu ugonjwa wa kifua kikuu, hizi ni imani ambazo uwepo kwenye jamii na pengine uweza kuaminika lakini si za ukweli.
Soma Zaidi...Huduma ya Kwanza kwa mtu anayetokwa na damu ya pua
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu anayetokwa na damu ya pua
Soma Zaidi...Sababu za michubuko kwa watoto wanaozaliwa
Post hii inahusu zaidi sababu za michubuko kwa watoto wanaozaliwa,ni sababu ambazo uweza kuchangia kuwepo kwa michubuko kwa watoto wanaozaliwa.
Soma Zaidi...Namna ambavyo mwili unapambana na maradhi
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu namna ambavyo mwili unapambana na maradhi
Soma Zaidi...Nini husababisha kizunguzungu?
Posti hii inazungumzia kuhusiana na Mambo mbalimbali ambayo husababisha kizunguzungu.
Soma Zaidi...Mem mtoto ang almeza sumu yapanya ila tulimpa maziwa kwan inaweza leta madhara kwabaadae mana atukumpeleka hosptal
Maziwa ni mojakati ya vinywaji ambavyo ni dawa na hutumikakutoa huduma ya kwanza pale mtu anapomeza ama kula sumu. Huduma ya kwanza hii inaweza kuokoa maisha na wakati mwingine inaweza kuwa ndio dawa kabisa wala hakuna haja ya kufika Kituo cha afya.
Soma Zaidi...