Posti hii inahusu zaidi msaada kwa wenye tonsils, kwa wale wenye tonsils wanapaswa kufanya yafuatayo ili kuweza kupambana na ugonjwa huu.
Msaada kwa wenye tonsils.
1.Kwanza kabisa Mgonjwa wa tonsils anakuwa na maumivu kwa hiyo tunapaswa kumpatia dawa ya maumivu ili aweze kupunguzwa maumivu ,dawa zenyewe ni kama vile Asprin na paracetamol kwa kufanya hivyo Mgonjwa atapata nafuu na matibabu mengine yatakuwa yanaendelea.
2. Pia unaweza kuchukua maji ya uvugu uvugu ukaweka chumvi na pia ukampatia Mgonjwa akasukutua kwenye sehemu ya tonsils na kwa kufanya hivyo anaweza kuua bakteria ambao wapo wanamsumbua Mgonjwa na nafuu inaweza kupatikana.
3. Pia kwa wenye tonsils zinazosababishwa na bakteria wanaweza kutumia antibiotics aina ya amoxicillin na ikishirikiana anatumia ciploflaxine na zote hizi zikishindikana anaweza kutumia sindano na pia dawa hizi zinapaswa kutumiwa kwa kupata ushauri kutoka kwa wataalamu wa afya sio kununua tu dukani pasipokuwa na utaalamu wa kutosha.
4.Kama nilivyokwosha tangulia kusema hapo mwanza kuwa tonsils zinazosababishwa na virus hazina dawa ni mpaka kumuandaa Mgonjwa kwa ajili ya upasuaji na Dalili zake ni pamoja na pua kutoa makamasi yenye maji, matatizo kwenye kuona na kikohozi hizi ndizo dalili za tonsils ambazo usababishwa na virus.
5.Kwa hiyo tunapaswa kutibu ugonjwa huu kwa sababu usipotibiwa unaweza kuleta shida kwenye figo, kwenye Tishu nyingine za mwili kwa hiyo ni vizuri kabisa kutafuta tiba kulingana na chanzo cha ugonjwa
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi matokeo ya maumivu makali , kuna wakati mwingine mgonjwa anapata maumivu makali ya viungo na dawa mbalimbali uweza kutolewa kwa mgonjwa huyo lakini matokeo yake huwa ni kuendelea kwa maumivu kwa hiyo yafuatayo ni matokeo ya maumivu
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu magonjwa ya vidonda vya tumbo, ni hatari inayotokea kwa mtu ambaye haujatibiwa vidonda vya tumbo.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya vyakula vinavyoongeza nguvu za kiume
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyepatwa na joto kubwa mwilini
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu utaratibu wa lishe kwa wagonjwa
Soma Zaidi...Posti hii inaelezea kuhusiana na Ugonjwa wa fizi ambapo fizi huweza kuwa na maumivu, kuambukizwa, kuvuja damu kwenye fizi na Vidonda.
Soma Zaidi...Kung’atwa na nyuki kunaweza kukahitaji huduma ya kwanza kwa haraka kama mgonjwa ana aleji na nyuki.
Soma Zaidi...Kukaza kwa misuli lunaweza kutokea muda wowote ila mara nyingi hutokea pindi mtu anapofanya mazoezi, amnapoogelea ama anapofanya kazi.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyepatwa na shambulio la moyo
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi kazi za ini, kwa kawaida tunafahamu kwamba ini ni sehemu muhimu kwenye mwili wa binadamu kwa sababu ni.likikosa kufanya kazi yake maisha ya binadamu yanakuwa hatarini kwa sababu mbalimbali.
Soma Zaidi...