Posti hii inahusu kazi ya chanjo ya kifua kikuu kwa kitaalamu huitwa BCG. Ni chanjo ambayo uzuia kifua kikuu na ukoma.
Kazi za chanjo ya kifua kikuu.
1. Hii ni chanjo ambayo uzuia kifua kikuu na pia uzuia maambukizi kwenye mfumo wa hewa kwa hiyo hii chanjo ni kwa ajili ya watoto wakizaliwa na sio kwa ajili ya watu wazima, hii ni Chanjo muhimu sana kwa sababu kifua kikuu kwa watoto ni ugonjwa wa hatari sana ambao usababisha makuzi ya watoto kurudi nyuma kwa hiyo sisi kwa pamoja tushirikiane na kuhakikisha kuwa mtoto amepata chanjo hii ya kifua kikuu na kumfanya mtoto haishi kwa furaha kama watoto wengine.na kuendelea kuwa na afya nzuri wakati wa makuzi ya mtoto.
2. Pamoja na chanjo hii kuzuia kifua kikuu pia uzuia na ukoma kwa watoto, tunajua kuwa ukoma ni ugonjwa ambao uharibifu sehemu mbalimbali za mwili kama vile kuondoa vidole na sehemu nyingine za mwili, kwa hiyo ugonjwa wa ukoma ni hatari sana kwenye jamii, Ili kuutokomeza tunapaswa kuwapatia watoto wetu chanjo ya kifua kikuu ambayo kwa kitaalamu huitwa BCG Ili kuweza kuepuka madhara mbalimbali yanayoweza kutokea iwapo chanjo hii hailatolewa kwa mtoto kwa hiyo elimu inabidi itolewe kwa wazazi kuhusu ugonjwa huu wa ukoma na madhara yake Ili kuweza kuwapa watu moyo wakufatilia chanjo ya kifua kikuuu.
3. Pamoja na faida nyingi za chanjo hii Kuna matokea mbalimbali yanayoweza kutokea iwapo chanjo hii imetolewa kwa mtoto na matokea hayo udumu kwa mda mfupi tu kama vile maumivu sehemu ambapo mtoto amechomwa sindano,na pengine mtoto anaweza kupata kidogo kidogo ambacho kinalingana kama size ya kalamu ya risasi kwa hiyo hii sindano isipotolewa ipasavyo inaweza kusababisha madhara mengine makubwa kwenye mwili wa mtoto.
4. Kwa hiyo tunaona madhara ambayo utokea iwapo mtoto hatapata chanjo hii kwa hiyo tunapaswa kuhakikisha kuwa mtoto amepata chanjo ya kuzuia maambukizi ya kifua kikuu na ukoma Ili kuepuka madhara makubwa kwenye jamii nzima.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Post hii inahusu zaidi namna ya kutoa huduma ya kwanza kwa watu waliopata ajali. Ajali ni tukio lisilotarajiwa ambalo kinaweza kumkuta mtu yeyote, tunapotoa huduma ya kwanza tnazingatia rangi ambazo huwakilisha jinsi watu walivyoumia.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi michubuko ambayo mara nyingi utokea kwa watoto wakati wa kuzaliwa,na mara nyingi uweza kupona baada ya masaa ishilini na manne au ndani ya masaa ishilini na manne.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi rangi isiyo ya kawaida kwenye mkojo, kawaida mkojo huwa na rangi ya kahawia Ila ukiona rangi zifuatazo Kuna shida kwenye mkojo.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za mdomo kuwa mchungu
Soma Zaidi...Vipi utamsaidia mti ambaye amepaliwa na maji? Post hii itakwenda kukifundisha jambo hili.
Soma Zaidi...Poshi hii inahusu madhara ya ulevi.Utegemezi wa pombe kwa kawaida humaanisha kuwa mtu anatumia kiasi kikubwa cha pombe na kuna masuala kuhusu kupoteza udhibiti.
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyepatwa na presha ya kushuka
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi kazi za ini, kwa kawaida tunafahamu kwamba ini ni sehemu muhimu kwenye mwili wa binadamu kwa sababu ni.likikosa kufanya kazi yake maisha ya binadamu yanakuwa hatarini kwa sababu mbalimbali.
Soma Zaidi...