Kazi ya chanjo ya kifua kikuu

Posti hii inahusu kazi ya chanjo ya kifua kikuu kwa kitaalamu huitwa BCG. Ni chanjo ambayo uzuia kifua kikuu na ukoma.

Kazi za chanjo ya kifua kikuu.

1. Hii ni chanjo ambayo uzuia kifua kikuu na pia uzuia maambukizi kwenye mfumo wa hewa kwa hiyo hii chanjo ni kwa ajili ya watoto wakizaliwa na sio kwa ajili ya watu wazima, hii ni Chanjo muhimu sana kwa sababu kifua kikuu kwa watoto ni ugonjwa wa hatari sana ambao usababisha makuzi ya watoto kurudi nyuma kwa hiyo sisi kwa pamoja tushirikiane na kuhakikisha kuwa mtoto amepata chanjo hii ya kifua kikuu na kumfanya mtoto haishi kwa furaha kama watoto wengine.na kuendelea kuwa na afya nzuri wakati wa makuzi ya mtoto.

 

2. Pamoja na chanjo hii kuzuia kifua kikuu pia uzuia na ukoma kwa watoto, tunajua kuwa ukoma ni ugonjwa ambao uharibifu sehemu mbalimbali za mwili kama vile kuondoa vidole na sehemu nyingine za mwili, kwa hiyo ugonjwa wa ukoma ni hatari sana kwenye jamii, Ili kuutokomeza tunapaswa kuwapatia watoto wetu chanjo ya kifua kikuu ambayo kwa kitaalamu huitwa BCG Ili kuweza kuepuka madhara mbalimbali yanayoweza kutokea iwapo chanjo hii hailatolewa kwa mtoto kwa hiyo elimu inabidi itolewe kwa wazazi kuhusu ugonjwa huu wa ukoma na madhara yake Ili kuweza kuwapa watu moyo wakufatilia chanjo ya kifua kikuuu.

 

3. Pamoja na faida nyingi za chanjo hii Kuna matokea mbalimbali yanayoweza kutokea iwapo chanjo hii imetolewa kwa mtoto na matokea hayo udumu kwa mda mfupi tu kama vile maumivu sehemu ambapo mtoto amechomwa sindano,na pengine mtoto anaweza kupata kidogo kidogo ambacho kinalingana kama size ya kalamu ya risasi kwa hiyo hii sindano isipotolewa ipasavyo inaweza kusababisha madhara mengine makubwa kwenye mwili wa mtoto.

 

 4. Kwa hiyo tunaona madhara ambayo utokea iwapo mtoto hatapata chanjo hii kwa hiyo tunapaswa kuhakikisha kuwa mtoto amepata chanjo ya kuzuia maambukizi ya kifua kikuu na ukoma Ili kuepuka madhara makubwa kwenye jamii nzima.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 1789

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina   

Post zinazofanana:

Kazi ya chanjo ya Surua

Posti hii inahusu zaidi kazi ya chanjo ya Surua kwa watoto, ni Aina ya chanjo ambayo utolewa kwa watoto na kufanya kazi mbalimbali mwilini ambazo ni kumkinga mtoto asipatwe na magonjwa.

Soma Zaidi...
Utajuwaje kama kidonda kupona

Posti hii inahusu zaidi juu ya kuhakiki kama kidonda kimepona kwa mgonjwa mwenye vidonda, kwanza kabisa tunajua kuwa vidonda uwanyima Watu raha na pengine kuwafanya wakate tamaa kama wapo hospitalini kwa hiyo tunapaswa kutumia njia zifuatazo ili kuweza ku

Soma Zaidi...
Jinsi ya kujikinga na U.T.I inayijirudia rudia.

Endapo U.T.I inajirudiarudia baada yavkutibiwa inawezabkuwa ikakupa mawazo mengi. Katika post hii nitakufafanulia nini ufanye.

Soma Zaidi...
Namna ya kuchoma chanjo

Posti hii inahusu zaidi namna ya kuchoma chanjo, ni njia ambazo utumika kutoa chanjo kwa watoto na watu wazima kwa utaratibu uliowekwa.

Soma Zaidi...
Mbinu za kutoa huduma ya kwanza kwa wagonjwa walioingiliwa na uchafu puani.(foreign body).

Posti hii inaelezea kuhusiana na dalili na mbinu za kutoa huduma ya kwanza kwa mgonjwa alieye ingiwa na uchafu puani (foreign body)

Soma Zaidi...
Namna ya kusaidia mwili kupambana na maradhi

Somo hili linakwenda kukuletea namna ambavyo mwili unapambana na maradhi

Soma Zaidi...
Kazi ya madini mwilini

Posti hii inakwenda kukueleza kuhusu kazi za madini mwilini

Soma Zaidi...
Dalili za sumu ya pombe

hatari matokeo ya kunywa kiasi kikubwa cha pombe kwa muda mfupi. Kunywa pombe haraka kupita kiasi kunaweza kuathiri kupumua kwako, mapigo ya moyo, halijoto ya mwili na kunaweza kusababisha Coma na kifo.

Soma Zaidi...
Namna ya kuyatunza macho

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu namna ya kuyatunza macho

Soma Zaidi...
Mambo yanayopunguza nguvu za kiume

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu Mambo yanayopunguza nguvu za kiume

Soma Zaidi...