Kazi ya chanjo ya kifua kikuu

Posti hii inahusu kazi ya chanjo ya kifua kikuu kwa kitaalamu huitwa BCG. Ni chanjo ambayo uzuia kifua kikuu na ukoma.

Kazi za chanjo ya kifua kikuu.

1. Hii ni chanjo ambayo uzuia kifua kikuu na pia uzuia maambukizi kwenye mfumo wa hewa kwa hiyo hii chanjo ni kwa ajili ya watoto wakizaliwa na sio kwa ajili ya watu wazima, hii ni Chanjo muhimu sana kwa sababu kifua kikuu kwa watoto ni ugonjwa wa hatari sana ambao usababisha makuzi ya watoto kurudi nyuma kwa hiyo sisi kwa pamoja tushirikiane na kuhakikisha kuwa mtoto amepata chanjo hii ya kifua kikuu na kumfanya mtoto haishi kwa furaha kama watoto wengine.na kuendelea kuwa na afya nzuri wakati wa makuzi ya mtoto.

 

2. Pamoja na chanjo hii kuzuia kifua kikuu pia uzuia na ukoma kwa watoto, tunajua kuwa ukoma ni ugonjwa ambao uharibifu sehemu mbalimbali za mwili kama vile kuondoa vidole na sehemu nyingine za mwili, kwa hiyo ugonjwa wa ukoma ni hatari sana kwenye jamii, Ili kuutokomeza tunapaswa kuwapatia watoto wetu chanjo ya kifua kikuu ambayo kwa kitaalamu huitwa BCG Ili kuweza kuepuka madhara mbalimbali yanayoweza kutokea iwapo chanjo hii hailatolewa kwa mtoto kwa hiyo elimu inabidi itolewe kwa wazazi kuhusu ugonjwa huu wa ukoma na madhara yake Ili kuweza kuwapa watu moyo wakufatilia chanjo ya kifua kikuuu.

 

3. Pamoja na faida nyingi za chanjo hii Kuna matokea mbalimbali yanayoweza kutokea iwapo chanjo hii imetolewa kwa mtoto na matokea hayo udumu kwa mda mfupi tu kama vile maumivu sehemu ambapo mtoto amechomwa sindano,na pengine mtoto anaweza kupata kidogo kidogo ambacho kinalingana kama size ya kalamu ya risasi kwa hiyo hii sindano isipotolewa ipasavyo inaweza kusababisha madhara mengine makubwa kwenye mwili wa mtoto.

 

 4. Kwa hiyo tunaona madhara ambayo utokea iwapo mtoto hatapata chanjo hii kwa hiyo tunapaswa kuhakikisha kuwa mtoto amepata chanjo ya kuzuia maambukizi ya kifua kikuu na ukoma Ili kuepuka madhara makubwa kwenye jamii nzima.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 2015

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 Dua za Mitume na Manabii    👉4 web hosting    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

Zijue kazi za chanjo ya DTP au DPT (Donda Koo,Pepopunda, na kifaduro))

Posti hii inahusu zaidi kazi ya chanjo ya DTP au DPT ambayo Inazuia magonjwa ya Donda Koo, Pepopunda na kifaduro.

Soma Zaidi...
Makundi manne ya damu na jinsi yanavyotumika

Post hii inahusu zaidi umuhimu wa makundi manne ya damu na jinsi yanavyotumika, Ni magroup manne ya damu ambayo husaidia kuongeza damu kwa mtu ambaye amepungukiwa damu

Soma Zaidi...
Ukiwa unalima sana unaweza kukonda

Unadhanivkufanya kazi kunaweza kukusababishia maradhi ama mwili kudhoofu, ama kukonda. Umeshawahivkujiuliza wanao nenepa huwa hawafanyi kazi?

Soma Zaidi...
Huduma ya Kwanza kwa mtu aliyezimia

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyezimia

Soma Zaidi...
Je, utamsaidia vipi mtu aliyeumwa na nyuki?

Posti hii inazungumzia kuhusiana na kumsaidia mwenye aliyeumwa na nyuki.nyuki na wadudu ambao wakikushambulia Sana na ukikosa msaada unaweza kufa au kuwa katika Hali mbaya.

Soma Zaidi...
HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYEANGUKA KIFAFA

Kifafa kinaweza kumpata mtu muda wowte.

Soma Zaidi...
Sababu za kumsafisha mgonjwa kinywa

Posti hii inahusu zaidi sababu za kumsafisha mgonjwa kinywa, Mgonjwa akiwa anaumwa na pia anakula chakula ni lazima asafishwe kinywa Ili kuweza kuepuka madhara mengine yanayoweza kujitokeza kwa sababu ya kuwepo kwa uchafu kinywani.

Soma Zaidi...
Maji

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za maji mwilini

Soma Zaidi...
Zijue faida za maji ya uvuguvugu.

Posti hii inahusu zaidi faida za maji ya uvuguvugu, hasa hasa maji haya ni vizuri kabisa kuyatumia hasa wakati wa asubuhi na pia wakati tumbo likiwa halina kitu, kwa hiyo zifuatazo ni faida za maji ya uvuguvugu.

Soma Zaidi...